• Kutokana na “Sheria ya Beckham” – ambayo inaruhusu vilabu vya MLS (Major League Soccer) kusaini hadi wachezaji watatu walioko nje ya kiwango cha mshahara kilichowekwa (yaani wanaweza kulipwa zaidi au kusajiliwa kwa ada ya uhamisho) – Rodrigo De Paul atajiunga na Inter Miami kwa mkopo wa miezi 6, ukiambatana na kifungu cha lazima cha kumnunua kwa €15 milioni pamoja na bonasi.

    Mkopo huo utaendelea hadi mwisho wa mwaka 2025
    Kuanzia mwaka 2026, atakuwa mchezaji wa kudumu hadi mwaka 2029

    Atlético Madrid watatumia kipengele cha kuongeza mkataba wa De Paul kwa mwaka mmoja hadi katikati ya 2027 ili kuwezesha mkopo huo.

    Mpango uliopo kwa sasa, uliowasilishwa kwa MLS, ni kwamba De Paul hatakuwa mmoja wa wachezaji walioteuliwa kama “Designated Player (DP)” wakati wa mkopo mwaka 2025.
    Hii ina maana kuwa wachezaji watatu waliopo kwenye nafasi za DP katika Inter Miami watabaki kuwa:

    Lionel Messi

    Jordi Alba

    Sergio Busquets

    Chanzo: GIVEMESPORT

    ---

    Hii ni dili kubwa kwa Inter Miami na inaonyesha jinsi wanavyoendelea kujenga kikosi chenye nguvu huku wakizingatia sheria za mshahara wa MLS kwa ustadi.

    #SportsElite
    💣 Kutokana na “Sheria ya Beckham” – ambayo inaruhusu vilabu vya MLS (Major League Soccer) kusaini hadi wachezaji watatu walioko nje ya kiwango cha mshahara kilichowekwa (yaani wanaweza kulipwa zaidi au kusajiliwa kwa ada ya uhamisho) – Rodrigo De Paul atajiunga na Inter Miami kwa mkopo wa miezi 6, ukiambatana na kifungu cha lazima cha kumnunua kwa €15 milioni pamoja na bonasi. 🔹 Mkopo huo utaendelea hadi mwisho wa mwaka 2025 🔹 Kuanzia mwaka 2026, atakuwa mchezaji wa kudumu hadi mwaka 2029 🔹 Atlético Madrid watatumia kipengele cha kuongeza mkataba wa De Paul kwa mwaka mmoja hadi katikati ya 2027 ili kuwezesha mkopo huo. 🇦🇷🦩 ℹ️ Mpango uliopo kwa sasa, uliowasilishwa kwa MLS, ni kwamba De Paul hatakuwa mmoja wa wachezaji walioteuliwa kama “Designated Player (DP)” wakati wa mkopo mwaka 2025. Hii ina maana kuwa wachezaji watatu waliopo kwenye nafasi za DP katika Inter Miami watabaki kuwa: Lionel Messi Jordi Alba Sergio Busquets 🔗 Chanzo: GIVEMESPORT --- Hii ni dili kubwa kwa Inter Miami na inaonyesha jinsi wanavyoendelea kujenga kikosi chenye nguvu huku wakizingatia sheria za mshahara wa MLS kwa ustadi. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·265 Views
  • USIPO TIKI MKEKA HUU NAACHA BASHIRI KUANZIA LEO
    #sokachampions
    #soccersports
    USIPO TIKI MKEKA HUU NAACHA BASHIRI KUANZIA LEO💯💯 #sokachampions #soccersports
    Like
    1
    · 1 Comments ·0 Shares ·969 Views
  • Uongozi wa Ligi Kuu ya mpira wa miguu Nchini Marekani , Major League Soccer (MLS), umempiga marufuku Mlinzi binafsi (Bodyguard) wa Lionel Messi, Yassine Cheuko, kuwa kando na kuingia katikati ya Uwanja wakati wa mechi za Inter Miami kwa lengo lake la kumlinda Mwajiri wake Messi.

    Ikumbukwe kwamba Yassine Cheuko, ni Mwanajeshi wa zamani wa kikosi maalumu cha operesheni za kijeshi cha Jeshi la Majini la Marekani (U.S. Navy) kinachobobea katika vita visivyo vya kawaida, kupambana na ugaidi, mashambulizi ya moja kwa moja, na upelelezi wa kijeshi. Tangu Yessine Cheuko aanze kufanya kazi na Messi amejizolea umaarufu mkubwa Duniani kwani ameonekana mara nyingi akiwadhibiti Wavamizi mbalimbali ambao wengi lengo lao huwa sio baya, zaidi wanataka kupiga picha na Messi.

    Tayari uongozi wa Ligi hiyo umemzuia kuingia Uwanjani, sasa ataruhusiwa tu kuwa kwenye Vyumba vya kubadilishia nguo na maeneo ya Waandishi wa habari siku za mechi. Uamuzi huu ni sehemu ya mpango wa (MLS) wa kuchukua mamlaka kamili ya usalama wa mechi.

    Baada ya katazo, Yassine Cheuko ameonyesha kutoridhishwa na hatua hiyo, akisema kuwa Wavamizi wa Uwanja ni tatizo kubwa zaidi Nchini Marekani kuliko Ulaya. Kwa mujibu wake, katika miaka saba aliyofanya kazi Ulaya, kulikuwa na matukio sita pekee ya uvamizi Uwanjani, ilhali katika miezi 20 Nchini Marekani, tayari yameshuhudiwa matukio 16.

    Mlinzi huyo ameendelea kusema kuwa Uongozi wa Ligi Kuu ya Marekani haukutakiwa kumzuia kufanye kazi yake bali walitakiwa kumpa ushirikiano ili kazi hiyo waifanye kwa pamoja kwa sababu eti kipindi yupo barani Ulaya, alipata ushirikiano wa kutosha kutoka kwenye Uongozi na alifanya kazi yake kwa uhuru. Pamoja na kuzuiliwa kuingia Uwanjani au kukaa kando ya Uwanja, Cheuko amesema kuwa ataendelea kufanya kazi yake kama kawaida bila kuvunja sheria au utaratibu uliopo kwenye mchezo wa mpira wa miguu.

    Uongozi wa Ligi Kuu ya mpira wa miguu Nchini Marekani 🇺🇸, Major League Soccer (MLS), umempiga marufuku Mlinzi binafsi (Bodyguard) wa Lionel Messi, Yassine Cheuko, kuwa kando na kuingia katikati ya Uwanja wakati wa mechi za Inter Miami kwa lengo lake la kumlinda Mwajiri wake Messi. Ikumbukwe kwamba Yassine Cheuko, ni Mwanajeshi wa zamani wa kikosi maalumu cha operesheni za kijeshi cha Jeshi la Majini la Marekani (U.S. Navy) kinachobobea katika vita visivyo vya kawaida, kupambana na ugaidi, mashambulizi ya moja kwa moja, na upelelezi wa kijeshi. Tangu Yessine Cheuko aanze kufanya kazi na Messi amejizolea umaarufu mkubwa Duniani kwani ameonekana mara nyingi akiwadhibiti Wavamizi mbalimbali ambao wengi lengo lao huwa sio baya, zaidi wanataka kupiga picha na Messi. Tayari uongozi wa Ligi hiyo umemzuia kuingia Uwanjani, sasa ataruhusiwa tu kuwa kwenye Vyumba vya kubadilishia nguo na maeneo ya Waandishi wa habari siku za mechi. Uamuzi huu ni sehemu ya mpango wa (MLS) wa kuchukua mamlaka kamili ya usalama wa mechi. Baada ya katazo, Yassine Cheuko ameonyesha kutoridhishwa na hatua hiyo, akisema kuwa Wavamizi wa Uwanja ni tatizo kubwa zaidi Nchini Marekani kuliko Ulaya. Kwa mujibu wake, katika miaka saba aliyofanya kazi Ulaya, kulikuwa na matukio sita pekee ya uvamizi Uwanjani, ilhali katika miezi 20 Nchini Marekani, tayari yameshuhudiwa matukio 16. Mlinzi huyo ameendelea kusema kuwa Uongozi wa Ligi Kuu ya Marekani haukutakiwa kumzuia kufanye kazi yake bali walitakiwa kumpa ushirikiano ili kazi hiyo waifanye kwa pamoja kwa sababu eti kipindi yupo barani Ulaya, alipata ushirikiano wa kutosha kutoka kwenye Uongozi na alifanya kazi yake kwa uhuru. Pamoja na kuzuiliwa kuingia Uwanjani au kukaa kando ya Uwanja, Cheuko amesema kuwa ataendelea kufanya kazi yake kama kawaida bila kuvunja sheria au utaratibu uliopo kwenye mchezo wa mpira wa miguu.
    0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • GUSA ACHIA TWENDE KWA MWAARABU: Congratulations yanga, mimi binafsi nasema Alger atakufa goli 3:1 Kwa mkapa Kwa bori nililo shuhudia katika mchezo wa ugenini Al hilal Yanga, aisee!!!! yanga BINGWA CAF CHAMPIONS 2025.
    #sokachampions
    #soccersportstz
    #cafchampionsleague2024
    #milardayo
    #shortsvideos
    🇹🇿GUSA ACHIA TWENDE KWA MWAARABU🤝: Congratulations yanga, mimi binafsi nasema Alger atakufa goli 3:1 Kwa mkapa Kwa bori nililo shuhudia katika mchezo wa ugenini Al hilal 🆚 Yanga, aisee!!!! yanga BINGWA CAF CHAMPIONS 2025. #sokachampions #soccersportstz #cafchampionsleague2024 #milardayo #shortsvideos
    Like
    Love
    9
    · 1 Comments ·0 Shares ·2K Views
  • AZAM FC; Hivi nyie azam alo wadanganya kuwa kinacho sababisha GUSA ACHIA TWENDE KWAO ni PACOME ZOUZOUA ninani!!!?
    Yaaani mmeona bora mkatafute walau ata zuzu(zouzou) yaweza kufaana poleni sana acheni kuigaiga msiyo yaweza this is DAR YOUNG AFRICANS .
    #sokachampions
    #milardayo
    #soccersportstz
    #cafchampionsleague2024
    AZAM FC; Hivi nyie azam alo wadanganya kuwa kinacho sababisha GUSA ACHIA TWENDE KWAO ni PACOME ZOUZOUA ninani!!!?🤣 Yaaani mmeona bora mkatafute walau ata zuzu(zouzou) yaweza kufaana🤣🤣 poleni sana acheni kuigaiga msiyo yaweza this is DAR YOUNG AFRICANS 🖐️💚💛💚💛. #sokachampions #milardayo #soccersportstz #cafchampionsleague2024
    Like
    Love
    Wow
    10
    · 2 Comments ·0 Shares ·2K Views
  • KHERI LAWAMA; Hii nikauli ya ibenge kasema hawezi kulegeza nati hata kidogo licha ya kufuzu, Ibenge kasema yanga naifahamu vizuri toka nikutane naye katika michuano ya mabingwa Africa hajawahi kunifunga hivyo nitajitahidi kulinda rekodi yangu na nitahakikisha naongoza kundi mpaka mwisho wa mashindano haya.
    Sokachampions; namimi naunga mkono kauli ya ibenge kheri lawama, hii mechi yanga atafungwa 2:1 naomba tuelewane apa hii mechi yanga wanaitaka na siku zote unacho kipata sio rahisi kupata hivyo hii mechi yanga lost, nikumbushwe kama yanga atashinda pia nifungiwe kabisa nisijihusishe na mpira milele.
    #sokachampions
    #milardayo
    #cafchampionsleague2024
    #soccersportstz
    KHERI LAWAMA; Hii nikauli ya ibenge kasema hawezi kulegeza nati hata kidogo licha ya kufuzu, Ibenge kasema yanga naifahamu vizuri toka nikutane naye katika michuano ya mabingwa Africa hajawahi kunifunga hivyo nitajitahidi kulinda rekodi yangu na nitahakikisha naongoza kundi mpaka mwisho wa mashindano haya. Sokachampions; namimi naunga mkono kauli ya ibenge kheri lawama, hii mechi yanga atafungwa 2:1 naomba tuelewane apa hii mechi yanga wanaitaka na siku zote unacho kipata sio rahisi kupata hivyo hii mechi yanga lost, nikumbushwe kama yanga atashinda pia nifungiwe kabisa nisijihusishe na mpira milele🤣🤣. #sokachampions #milardayo #cafchampionsleague2024 #soccersportstz
    Like
    Love
    Sad
    6
    · 3 Comments ·0 Shares ·2K Views
  • ETI ENZI IZOO WEWE ULIMKUBALI NANI KATIKA PICHA HII
    JIUNGE na GROUP LA MASHABIKI AFRICA https://chat.whatsapp.com/FIaOHgFUUhODCH1MFw5PWV
    #sokachampions
    #soccersportstz
    #cafchampionsleague2024
    #milardayo
    ETI ENZI IZOO WEWE ULIMKUBALI NANI KATIKA PICHA HII👇 JIUNGE na GROUP LA MASHABIKI AFRICA👇 https://chat.whatsapp.com/FIaOHgFUUhODCH1MFw5PWV #sokachampions #soccersportstz #cafchampionsleague2024 #milardayo
    Like
    Love
    7
    · 0 Comments ·0 Shares ·2K Views
  • Utabiri wa Africa Soccer Zone wa michezo ya klabu bingwa barani Afrika (CAF Champions League).

    - Yanga SC 3-1 TP Mazembe
    - Al Hilal 2-1 MC Alger

    Utabiri wa Africa Soccer Zone wa michezo ya klabu bingwa barani Afrika (CAF Champions League). - Yanga SC 3-1 TP Mazembe - Al Hilal 2-1 MC Alger
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·642 Views
  • Cristiano Ronaldo kuhusu Ballon d'Or 2024

    "Kwangu mimi, Vinicius alistahili kushinda Ballon d'Or. Ilikuwa ni haki potofu, nasema hivi mbele ya kila mtu."

    "Rodri pia alistahili, lakini nadhani wangeweza kumtunuku Vinicius kwa sababu alishinda Ligi ya Mabingwa na alifunga kwenye fainali."

    "Ilikuwa ni Haki Potofu. Ndio maana napenda Globe Soccer Awards, wanakuwa waaminifu."

    Cristiano Ronaldo kuhusu Ballon d'Or 2024 "Kwangu mimi, Vinicius alistahili kushinda Ballon d'Or. Ilikuwa ni haki potofu, nasema hivi mbele ya kila mtu." "Rodri pia alistahili, lakini nadhani wangeweza kumtunuku Vinicius kwa sababu alishinda Ligi ya Mabingwa na alifunga kwenye fainali." "Ilikuwa ni Haki Potofu. Ndio maana napenda Globe Soccer Awards, wanakuwa waaminifu."
    0 Comments ·0 Shares ·537 Views
  • Jude Bellingham amechaguliwa kuwa Kiungo bora kwenye Tuzo za Globe Soccer Awards.

    Jude Bellingham amechaguliwa kuwa Kiungo bora kwenye Tuzo za Globe Soccer Awards.
    0 Comments ·0 Shares ·524 Views
  • Mchezaji wa klabu ya Real Madrid, Vinicius amechaguliwa kuwa Mchezaji bora wa mwaka kwenye Tuzo za Globe Soccer Awards.
    Mchezaji wa klabu ya Real Madrid, Vinicius 🇧🇷 amechaguliwa kuwa Mchezaji bora wa mwaka kwenye Tuzo za Globe Soccer Awards.
    0 Comments ·0 Shares ·536 Views
  • Cristiano Ronaldo ameshinda Tuzo ya Mchezaji bora anayecheza barani Asia kwenye Tuzo za Globe Soccer Awards.
    Cristiano Ronaldo ameshinda Tuzo ya Mchezaji bora anayecheza barani Asia kwenye Tuzo za Globe Soccer Awards.
    0 Comments ·0 Shares ·526 Views
  • Kwa mujibu wa mtandao wa Africa soccer zone, jezi ya YANGA imeshika nafasi ya pili kwa ubora Africa..
    N.B, Wanasema kama huioni ya kwako, ongeza ubora kwenye ubunifu
    #neliudcosiah
    Kwa mujibu wa mtandao wa Africa soccer zone, jezi ya YANGA imeshika nafasi ya pili kwa ubora Africa.🔰😂💯. N.B, Wanasema kama huioni ya kwako, ongeza ubora kwenye ubunifu 😂 #neliudcosiah
    0 Comments ·0 Shares ·774 Views
  • ROBO FINAL 8%; Katika kundi "A" la Ali hilal, Mc Alger, Tp mazembe, na Yanga, linazidi kuwa gumu Kwa yanga mpaka sasa anaburuza mkia, But bado Kuna asilimia 8% za kufuzu Robo fainal je,? Unashauri nini/kipi yanga wafanye ili waweze kusogea kileleni zaidi!???.
    #sokachampions
    #cafchampionsleague2024
    #soccersportstz
    #AzamTVBurudaniKwaWote
    #milardayo
    #Sports
    ROBO FINAL 8%🌔; Katika kundi "A" la Ali hilal, Mc Alger, Tp mazembe, na Yanga, linazidi kuwa gumu Kwa yanga mpaka sasa anaburuza mkia, But bado Kuna asilimia 8% za kufuzu Robo fainal je,? Unashauri nini/kipi yanga wafanye ili waweze kusogea kileleni zaidi!???✍️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏. #sokachampions #cafchampionsleague2024 #soccersportstz #AzamTVBurudaniKwaWote #milardayo #Sports
    Like
    Love
    5
    · 1 Comments ·0 Shares ·2K Views
  • SISEMI SANA MAANA NAOGOPA KUTUKANWA BUT TOMORROW 3:1.
    #sokachampions
    #milardayo
    #soccersportstz
    #AzamTVBurudaniKwaWote
    #cafchampionsleague2024
    #sports
    SISEMI SANA MAANA NAOGOPA KUTUKANWA🤐 BUT TOMORROW 3:1. #sokachampions #milardayo #soccersportstz #AzamTVBurudaniKwaWote #cafchampionsleague2024 #sports
    Love
    Haha
    3
    · 0 Comments ·0 Shares ·2K Views
  • IMEKUWA KINYUME ( Vice versa ); Hii yanga itatuua yaani hakuna siku imechana mikeka kama leo
    #sokachampions
    #soccersportstz
    #milardayo
    #AzamTVBurudaniKwaWote
    #cafchampionsleague2024
    #sports
    IMEKUWA KINYUME ( Vice versa ); Hii yanga itatuua yaani hakuna siku imechana mikeka kama leo😭😭😭 #sokachampions #soccersportstz #milardayo #AzamTVBurudaniKwaWote #cafchampionsleague2024 #sports
    Love
    Haha
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·2K Views
  • MC ALGER YANGA 0:2; Unaweza usinielewe kwanini nimeandika hivi ila ukiwa na D2 Utaelewa nilicho maanisha, kilicho chakweli tuseme tu ukweli yanga Wana timu kubwa sio timu yakufananisha na VITAL"0" hii yanga KIBOKO ya waarabu/Mwewe na kuku keshoYANGA BINGWA
    #sokachampions
    #soccersportstz
    #milardayo
    #AzamTVBurudaniKwaWote
    #sports
    MC ALGER 🆚 YANGA 0:2; Unaweza usinielewe kwanini nimeandika hivi ila ukiwa na D2 Utaelewa nilicho maanisha, kilicho chakweli tuseme tu ukweli yanga Wana timu kubwa sio timu yakufananisha na VITAL"0" hii yanga KIBOKO ya waarabu/Mwewe na kuku💪💚💛💚💛 kesho👏YANGA BINGWA✍️ #sokachampions #soccersportstz #milardayo #AzamTVBurudaniKwaWote #sports
    Like
    4
    · 1 Comments ·1 Shares ·2K Views
  • MC ALGER VS YANGA
    Ukiangalia takwimu hizi utagundua kuwa Point 3 ni za Dar young Africans
    2017 Benjamin mkapa
    Yanga 1:0 Mc Alger FT.
    2017Stade Du 5 Juillet 1962
    Mc Alger 4:0 Young Africans FT.
    #soccersportstz
    #milardayo
    #sokachampions
    #sports
    MC ALGER🇩🇿 VS YANGA 🇹🇿 Ukiangalia takwimu hizi utagundua kuwa Point 3 ni za Dar young Africans👇 2017🪐 Benjamin mkapa Yanga 1:0 Mc Alger FT. 2017🪐Stade Du 5 Juillet 1962 Mc Alger 4:0 Young Africans FT. #soccersportstz #milardayo #sokachampions #sports
    Love
    Yay
    3
    · 0 Comments ·0 Shares ·2K Views
  • Utabiri wa Africa Soccer Zone wa michezo ya kombe la Shirikisho barani Afrika (CAF Conferation Cup) inayotarajiwa kuchezwa Wikiendi hii.

    Utabiri wa Africa Soccer Zone wa michezo ya kombe la Shirikisho barani Afrika (CAF Conferation Cup) inayotarajiwa kuchezwa Wikiendi hii.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·589 Views
  • Kwa mujibu wa Afica Soccer Zone, hizi ndizo klabu zilizoonyesha "Performance" bora barani Afrika.

    1. Al Ahly
    2. Simba SC
    Kwa mujibu wa Afica Soccer Zone, hizi ndizo klabu zilizoonyesha "Performance" bora barani Afrika. 1. Al Ahly 2. Simba SC
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·517 Views
More Results