• NJIA MPYA YA KUJIINGIZIA PESA FACEBOOK KUPITIA POSTS ZA MAANDISHI, VIDEO NA REELS.

    October 2, 2024 Facebook Walizindua Programu Mpya waliyoipa Jina “Content Monetization” ambayo imezijumuisha kwa Pamoja category ambazo mwanzo zilijitegemea, Category hizo zilikuwa,

    猬滐笍 Ads On Reels
    猬滐笍 InStream Ads
    猬滐笍 Performance Bonus

    Category hizi kwasasa zimejumuishwa kwa Pamoja na Kupewa Jina “Content Monetization” ambapo Mtu yeyote kwasasa mwenye Page ya Facebook au Account ambayo iko “on Professional Mode” iliyo na Video, Picha, Post au Maudhui yoyote ambayo yatakuwa yanafaa Kulipwa basi Facebook watapachika Matangazo yao na Mhusika ataanza Kulipwa kwa Ukubwa zaidi kuliko Mwanzo. Malipo ni kila Tarehe 21-23 ya Kila Mwezi na kiwango cha Chini cha Kutoa Pesa ni $100 (Tshs 271,500), yaani ikiwa Page au Account yako haijafikisha Kiwango hicho hutoruhusiwa Kutoa mpaka utakapofikisha au kupita kiwango hicho na Ni rahisi kufikisha ikiwa unatengeneza Video zaidi na zinatazamwa zaidi.

    Hii Itawapa Motisha zaidi Content Creators kutengeneza Video zaidi katika Platform hiyo.

    Mfumo huu kwasasa unatolewa kwa Mualiko Pekee, ikiwa Una Page au Account yenye Video au Posts zilizo tazamwa zaidi fuata hatua zifuatazo hapo chini kuomba Mualiko wa Kuunganishwa na Programu hii BURE.

    猬滐笍 Ingia >> hapa https://creators.facebook.com/tools/facebook-content-monetization
    猬滐笍 Chagua >> I'm Interested
    猬滐笍 Jaza Taarifa zako
    猬滐笍 Sehemu ya Email Address, Weka Email yako yoyote iliyo hewani (Ni Vizuri ukitumia uliyo Link katika Account yako)
    猬滐笍 Sehemu ya Facebook Account URL, Weka Link ya Account au Page yako unayohitaji Iwe na Programu hiyo.
    猬滐笍 Sehemu ya Other Social Media Accounts, Weka Link ya Account yako katika Mtandao Mwingine (Hasa Instagram).
    Baadae Bofya LET'S DO THIS


    Utapokea Email ya Uthibitisho baada ya Siku kadhaa ikiwa Account au Page yako imeruhusiwa Kutumia Programu hiyo.

    Programu hii ni Programu nzuri na Bora zaidi kwa Content Creators wadogo, Wakubwa na Wanaochipukia (Upcoming Creators). Ni Programu Rafiki kwa kila Mmoja, itakusaidia Kupata Chochote kupitia Kazi zako.
    NJIA MPYA YA KUJIINGIZIA PESA FACEBOOK KUPITIA POSTS ZA MAANDISHI, VIDEO NA REELS. October 2, 2024 Facebook Walizindua Programu Mpya waliyoipa Jina “Content Monetization” ambayo imezijumuisha kwa Pamoja category ambazo mwanzo zilijitegemea, Category hizo zilikuwa, 猬滐笍 Ads On Reels 猬滐笍 InStream Ads 猬滐笍 Performance Bonus Category hizi kwasasa zimejumuishwa kwa Pamoja na Kupewa Jina “Content Monetization” ambapo Mtu yeyote kwasasa mwenye Page ya Facebook au Account ambayo iko “on Professional Mode” iliyo na Video, Picha, Post au Maudhui yoyote ambayo yatakuwa yanafaa Kulipwa basi Facebook watapachika Matangazo yao na Mhusika ataanza Kulipwa kwa Ukubwa zaidi kuliko Mwanzo. Malipo ni kila Tarehe 21-23 ya Kila Mwezi na kiwango cha Chini cha Kutoa Pesa ni $100 (Tshs 271,500), yaani ikiwa Page au Account yako haijafikisha Kiwango hicho hutoruhusiwa Kutoa mpaka utakapofikisha au kupita kiwango hicho na Ni rahisi kufikisha ikiwa unatengeneza Video zaidi na zinatazamwa zaidi. Hii Itawapa Motisha zaidi Content Creators kutengeneza Video zaidi katika Platform hiyo. Mfumo huu kwasasa unatolewa kwa Mualiko Pekee, ikiwa Una Page au Account yenye Video au Posts zilizo tazamwa zaidi fuata hatua zifuatazo hapo chini kuomba Mualiko wa Kuunganishwa na Programu hii BURE. 猬滐笍 Ingia >> hapa https://creators.facebook.com/tools/facebook-content-monetization 猬滐笍 Chagua >> I'm Interested 猬滐笍 Jaza Taarifa zako 猬滐笍 Sehemu ya Email Address, Weka Email yako yoyote iliyo hewani (Ni Vizuri ukitumia uliyo Link katika Account yako) 猬滐笍 Sehemu ya Facebook Account URL, Weka Link ya Account au Page yako unayohitaji Iwe na Programu hiyo. 猬滐笍 Sehemu ya Other Social Media Accounts, Weka Link ya Account yako katika Mtandao Mwingine (Hasa Instagram). 馃敆 Baadae Bofya LET'S DO THIS Utapokea Email ya Uthibitisho baada ya Siku kadhaa ikiwa Account au Page yako imeruhusiwa Kutumia Programu hiyo. Programu hii ni Programu nzuri na Bora zaidi kwa Content Creators wadogo, Wakubwa na Wanaochipukia (Upcoming Creators). Ni Programu Rafiki kwa kila Mmoja, itakusaidia Kupata Chochote kupitia Kazi zako.
    Love
    1
    0 Comments 0 Shares 728 Views
  • Nyumbu ( wildebeest) uzito 140 hadi 220 kulingana na afya yake, hupendelea kula nyasi ndogo ndogo zinazochipua, kama hatopata suluba huishi hadi miaka 17 na kidogo.uzee ukimzidi akishindwa kufanya safari kutafta malisho na wenzake basi hufa kwa njaa, eidha ufanywa kitoweo cha jioni na mtawala wa eneo hilo (simba)

    Kundi LA nyumbu huwa kati ya 10,000 hadi 90,000. Endapo majani yapo yakutosha nyumbu huongezeka idadi hadi kufikia 100,000 na zaidi.vipindi vya mvua nyingi ndipo nymbu huzaliana kwa kasi zaidi,

    Nyumbu wa Serengeti hula na kuzaliana nyakati za masika tu.endapo kiangazi kitaingia nyumbuwote hufunga safari na kuelekea hifadhi jilani ya Kenya (masaimar). Nyakati hizo huko kenya huwa kunamalisho yakutosha, nyumbu hukaa miezi isiyopungua 6 ndipo hufanya safari zao.

    Nyumbu ni mnyama wa tofauti kidogo na wanyama wengine kimaumbile, yaani nyumbu amebeba muonekano wa wanyama wasiopungua 7, ngoja nikujuze,

    Nywele za shingoni; SIMBA
    Mkia: FARASI
    Ndevu:MBUZI
    Mapaja ya nyuma; PUNDA MILIA
    Mgongo :ng'ombe
    Miguu ya mbele milefu yanyuma mifupi ; FISI

    Watu husema nyumbu ni mwoga na mzembe

    Nyumbu wakiwa katika kundi huwa ni waoga saaaana, yaani at a mtoto wa duma mwenye mwezi mmoja anaweza kutishia kundi LA nyumbu 20000 na wakakimbia, na asiwepo nyumbu wa kudinda ata kugeuka nyuma.

    Ila nyumbu akiwa mwenyew huwa haogopi .ni mala chache mno nyumbu aliye pekeake kumkimbia adui yake, nyumbu akiwa mwenyewe huwa anajiona kama tembo au kifaru, huwa ni hatari zaidi ata duma hutegea wawe kwenye kundi ndio wavamie.

    Nyumbu wakiwa safarini hawajawai kupisha kitu chochote kilichopo mbeleyao. Wakiwa katika mwendo wa mchaka mchaka wakiluka mabonde na mapolomoko, wakivuka mito mikubwa mithiri ya wanajeshi wakiwa mafunzoni.

    Katika safari yao nyumbu hawajawahi kumsubiri nyumbu mwezao aliyepata ajali, aliejisahau eidha alikuw anakul majan, aliyezaa wala aliyekamatwa na mnyama mlanyama, msafala wao huwa hausubiri kitu wala hauna fea.

    Pia nyumbu hawana mda wa kumtetea mwenzao aliyedhibitiwa na mnyama mla mnyama.
    Nyumbu ( wildebeest) uzito 140 hadi 220 kulingana na afya yake, hupendelea kula nyasi ndogo ndogo zinazochipua, kama hatopata suluba huishi hadi miaka 17 na kidogo.uzee ukimzidi akishindwa kufanya safari kutafta malisho na wenzake basi hufa kwa njaa, eidha ufanywa kitoweo cha jioni na mtawala wa eneo hilo (simba) Kundi LA nyumbu huwa kati ya 10,000 hadi 90,000. Endapo majani yapo yakutosha nyumbu huongezeka idadi hadi kufikia 100,000 na zaidi.vipindi vya mvua nyingi ndipo nymbu huzaliana kwa kasi zaidi, Nyumbu wa Serengeti hula na kuzaliana nyakati za masika tu.endapo kiangazi kitaingia nyumbuwote hufunga safari na kuelekea hifadhi jilani ya Kenya (masaimar). Nyakati hizo huko kenya huwa kunamalisho yakutosha, nyumbu hukaa miezi isiyopungua 6 ndipo hufanya safari zao. Nyumbu ni mnyama wa tofauti kidogo na wanyama wengine kimaumbile, yaani nyumbu amebeba muonekano wa wanyama wasiopungua 7, ngoja nikujuze, Nywele za shingoni; SIMBA Mkia: FARASI Ndevu:MBUZI Mapaja ya nyuma; PUNDA MILIA Mgongo :ng'ombe Miguu ya mbele milefu yanyuma mifupi ; FISI Watu husema nyumbu ni mwoga na mzembe Nyumbu wakiwa katika kundi huwa ni waoga saaaana, yaani at a mtoto wa duma mwenye mwezi mmoja anaweza kutishia kundi LA nyumbu 20000 na wakakimbia, na asiwepo nyumbu wa kudinda ata kugeuka nyuma. Ila nyumbu akiwa mwenyew huwa haogopi .ni mala chache mno nyumbu aliye pekeake kumkimbia adui yake, nyumbu akiwa mwenyewe huwa anajiona kama tembo au kifaru, huwa ni hatari zaidi ata duma hutegea wawe kwenye kundi ndio wavamie. Nyumbu wakiwa safarini hawajawai kupisha kitu chochote kilichopo mbeleyao. Wakiwa katika mwendo wa mchaka mchaka wakiluka mabonde na mapolomoko, wakivuka mito mikubwa mithiri ya wanajeshi wakiwa mafunzoni. Katika safari yao nyumbu hawajawahi kumsubiri nyumbu mwezao aliyepata ajali, aliejisahau eidha alikuw anakul majan, aliyezaa wala aliyekamatwa na mnyama mlanyama, msafala wao huwa hausubiri kitu wala hauna fea. Pia nyumbu hawana mda wa kumtetea mwenzao aliyedhibitiwa na mnyama mla mnyama.
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 659 Views
  • Mkuu wa kitengo cha maudhui wa klabu ya Yanga SC, Privaldinho amjia juu Wilson Orumo.

    "Ukiniuliza miongoni mwa wachambuzi wenye uelewa mzuri wa soka nisipotaja jina la @wilsonoruma_ basi ulizia natumia kinywaji gani muda pengine nimepiga vyombo.

    Namfahamu Udom. Najua uwezo wake. Sijui shida gani imempata. Anyway twende kwenye hoja yake.

    Kwamba kumkejeli Pacome hujagusa biashara ya watu? Sijaona ukiongelea hili bali umejikita kwenye ishu ya mtengeneza jezi. Kuna nyakati tuliitwa maiti? Kuna nyakati walisema jezi zetu ni mbaya mno. Je mzee wangu ulikemea? Je Yanga tulisema chochote?

    Iko hivi

    Utani wa jadi ni mbwembwe za Makolo na mabingwa wa kihistoria. Ni kama mchezo wa ngumi tu. Mbwembwembwe na kejeli zeru ndio tambo zetu. Ipo hivo miaka na miaka. Kama hutaki kutaniwa usije kwenye hizi timu mbili. Pengine kauze suti za wanasheria huko kidogo kuna maadili.

    Uvumilivu wa utani wa jadi umegusa wengi. Huyu Oruma mwenyewe amewahi kuingia kwenye utani wa jadi. Mara kadhaa ametumia maneno makali dhidi ya Yanga na Yanga haijawahi kumgusa.

    Oruma ni bingwa kuitania Yanga ametuita gongo wazi. Hakuna mtu kutoka Yanga aliyewahi kwenda mahakamani. Gongo wazi ni neno la kejeli kwa Yanga.

    Pengine basi kwa kuwa anaharibu brand ya Yanga twende mahakamani na invoice? Mtu ambaye tulitegemea awe mchambuzi na mtenda haki anaingia kwenye utani na Yanga inaona sawa tu. Lakini walipohisi ally amemlenga mtu wao wanatoka na Mapanga.

    Oruma, ni mtu mwenye akili na uelewa mkubwa wa mambo. Kwa bahati mbaya hivi karibuni amechagua njia ambayo binafsi simwelewi. Ni kama anapigana na Yanga hadharani.

    Ni rafiki yangu na mara kadhaa huwa namwambia. Uwezo wake wa kuchanganua mambo ni hazina kubwa kwa taifa letu. Lakini matumizi yake amejikita kwenye siasa za mpira ambazo mara nyingi kwangu sioni kama zina afya.

    Moja kati ya wachambuzi ambao wangeamua kujikita kwenye tactically analysis angesaidia sana TAIFA hili. Leo hii anaita Yanga Gongowazi hivi na sisi tukiamua kuitafutia jina baya EFM atakaa kimya?

    Mimi nafikiri rafiki yangu huyu afanye tafakuri ya kutosha. Kwanza afaham kuwa taifa linamhitaji zaidi kuliko vijana wanaochipukia wanavyosaka comments na likes. Atafakari vyema njia zake.

    Shalom."
    Mkuu wa kitengo cha maudhui wa klabu ya Yanga SC, Privaldinho amjia juu Wilson Orumo. "Ukiniuliza miongoni mwa wachambuzi wenye uelewa mzuri wa soka nisipotaja jina la @wilsonoruma_ basi ulizia natumia kinywaji gani muda pengine nimepiga vyombo. Namfahamu Udom. Najua uwezo wake. Sijui shida gani imempata. Anyway twende kwenye hoja yake. Kwamba kumkejeli Pacome hujagusa biashara ya watu? Sijaona ukiongelea hili bali umejikita kwenye ishu ya mtengeneza jezi. Kuna nyakati tuliitwa maiti? Kuna nyakati walisema jezi zetu ni mbaya mno. Je mzee wangu ulikemea? Je Yanga tulisema chochote? Iko hivi Utani wa jadi ni mbwembwe za Makolo na mabingwa wa kihistoria. Ni kama mchezo wa ngumi tu. Mbwembwembwe na kejeli zeru ndio tambo zetu. Ipo hivo miaka na miaka. Kama hutaki kutaniwa usije kwenye hizi timu mbili. Pengine kauze suti za wanasheria huko kidogo kuna maadili. Uvumilivu wa utani wa jadi umegusa wengi. Huyu Oruma mwenyewe amewahi kuingia kwenye utani wa jadi. Mara kadhaa ametumia maneno makali dhidi ya Yanga na Yanga haijawahi kumgusa. Oruma ni bingwa kuitania Yanga ametuita gongo wazi. Hakuna mtu kutoka Yanga aliyewahi kwenda mahakamani. Gongo wazi ni neno la kejeli kwa Yanga. Pengine basi kwa kuwa anaharibu brand ya Yanga twende mahakamani na invoice? Mtu ambaye tulitegemea awe mchambuzi na mtenda haki anaingia kwenye utani na Yanga inaona sawa tu. Lakini walipohisi ally amemlenga mtu wao wanatoka na Mapanga. Oruma, ni mtu mwenye akili na uelewa mkubwa wa mambo. Kwa bahati mbaya hivi karibuni amechagua njia ambayo binafsi simwelewi. Ni kama anapigana na Yanga hadharani. Ni rafiki yangu na mara kadhaa huwa namwambia. Uwezo wake wa kuchanganua mambo ni hazina kubwa kwa taifa letu. Lakini matumizi yake amejikita kwenye siasa za mpira ambazo mara nyingi kwangu sioni kama zina afya. Moja kati ya wachambuzi ambao wangeamua kujikita kwenye tactically analysis angesaidia sana TAIFA hili. Leo hii anaita Yanga Gongowazi hivi na sisi tukiamua kuitafutia jina baya EFM atakaa kimya? Mimi nafikiri rafiki yangu huyu afanye tafakuri ya kutosha. Kwanza afaham kuwa taifa linamhitaji zaidi kuliko vijana wanaochipukia wanavyosaka comments na likes. Atafakari vyema njia zake. Shalom."
    0 Comments 0 Shares 749 Views
  • Moja ya kitu kinaweza kukuchosha kwenye maisha yako ni pale ambapo kila siku unaona haupati matokeo ya unachofanya ni kama haupati mavuno unayotaka, watu wengi sana wamekata tamaa wanapopitia hali hii ndio maana Robert Louis Stevenson aliwahi kusema “Usiitathmini siku yako kwa MAVUNO unayovuna Bali kwa MBEGU ambazo UNAPANDA”(Don't judge each day by the harvest you reap but by the seeds that you plant)

    Kumbuka kila siku una fursa na nafasi mpya ya kupanda kitu kwa ajili ya KESHO yako na sio kila siku utakuwa unavuna. Kuna wakati UAMINIFU wako utakuwa kama unaona hauna faida, kuna wakati BIDII yako itakuwa kama haileti tofauti, kuna wakati NIDHAMU yako itakuwa kama ni bure: Usiache kwa sababu hauoni matokeo ya nje.
    kumbuka hiyo ni MBEGU kuna siku ITAOTA.

    Unapokuwa MKULIMA kuna wakati watu wataona kama vile unapoteza MUDA kwa sababu mbegu ulizopanda shambani zitakuwa bado HAZIJAOTA. Usiache KUMWAGILIA kwa sababu HAZIJACHIPUA. Kumbuka kuna mambo yanachukua MUDA MFUPI na mengine yanachukua MUDA MREFU sana Kuyakamilisha.

    Je, kesho unatapanda mbegu gani..?
    Moja ya kitu kinaweza kukuchosha kwenye maisha yako ni pale ambapo kila siku unaona haupati matokeo ya unachofanya ni kama haupati mavuno unayotaka, watu wengi sana wamekata tamaa wanapopitia hali hii ndio maana Robert Louis Stevenson aliwahi kusema “Usiitathmini siku yako kwa MAVUNO unayovuna Bali kwa MBEGU ambazo UNAPANDA”(Don't judge each day by the harvest you reap but by the seeds that you plant) Kumbuka kila siku una fursa na nafasi mpya ya kupanda kitu kwa ajili ya KESHO yako na sio kila siku utakuwa unavuna. Kuna wakati UAMINIFU wako utakuwa kama unaona hauna faida, kuna wakati BIDII yako itakuwa kama haileti tofauti, kuna wakati NIDHAMU yako itakuwa kama ni bure: Usiache kwa sababu hauoni matokeo ya nje. kumbuka hiyo ni MBEGU kuna siku ITAOTA. Unapokuwa MKULIMA kuna wakati watu wataona kama vile unapoteza MUDA kwa sababu mbegu ulizopanda shambani zitakuwa bado HAZIJAOTA. Usiache KUMWAGILIA kwa sababu HAZIJACHIPUA. Kumbuka kuna mambo yanachukua MUDA MFUPI na mengine yanachukua MUDA MREFU sana Kuyakamilisha. Je, kesho unatapanda mbegu gani..?
    0 Comments 0 Shares 473 Views
  • BADO NAJIFUNZA KUTOKA KWA WAKUBWA ZANGU - CHASAMBI

    Winga chipukizi wa Klabu ya Simba, Ladack Chasambi, amewatoa hofu mashabiki wa timu hiyo akisema kukaa kwake benchi ni kwa sababu
    ya kujifunza kitu kutoka kwa wakubwa zake,

    Chasambi anaamini siku moja atapata namba ya kudumu katika kikosi hicho huku akimalizia kuwa hakuna timu yoyote duniani ambayo mchezaji atakwenda na kupata namba kirahisi bila ya kuipambania.

    #paulswai
    BADO NAJIFUNZA KUTOKA KWA WAKUBWA ZANGU - CHASAMBI 馃敆 Winga chipukizi wa Klabu ya Simba, Ladack Chasambi, amewatoa hofu mashabiki wa timu hiyo akisema kukaa kwake benchi ni kwa sababu ya kujifunza kitu kutoka kwa wakubwa zake, Chasambi anaamini siku moja atapata namba ya kudumu katika kikosi hicho huku akimalizia kuwa hakuna timu yoyote duniani ambayo mchezaji atakwenda na kupata namba kirahisi bila ya kuipambania. #paulswai
    Like
    1
    1 Comments 0 Shares 295 Views
  • Nikicheki muda Ni saa 4 usiku Napiga Dua namshukuru mungu
    Kwa kunilinda Hii Siku na Wenye #Bifu
    Naomba Tena Atulinde huu usiku #Mrefu
    Mungu Mimi kwako si #Mkamilifu
    Najua nakosea Nina mengi #Madhaifu
    Kwa wema wako nioshe niwe #Nadhifu
    Nakusifu kwa mdomo maana hujaniumba #BuBu
    Wape Tumaini wenye matatizo yanayo #Wasibu
    Wagonjwa mahospitali wema wako #Ukawatibu
    Wategemee Dua na sio sangoma Wala #Chifu
    Waombewe na watumishi mashekh wakina #Sharifu
    Wasirogane kwa kuvunjiana Nazi na #Madafu
    Nashukuru kwa hii pumzi inayoingia kwenye #Mapafu
    Nitimize sakramenti takwa Mimi nilie #Mkristu
    Niepushe Na zinaa niogope kufungua #Zipu
    Niepushe Na tamaa nisipende Sana #Chipu
    Niwe mwema ndugu zangu nisiwachezee #Rafu
    Niiheshimu ndoa nilale chumbani niogee #Bafu
    Kesho nijalie riziki yangu niingojee kwa #Safu
    Nisishawishike na ulevi nikaja lala #Club
    Ee mungu tulinde Huu usiku na kila #Tabu
    Dua zetu zipokee kwako ndo liliko #Jawabu
    Nikicheki muda Ni saa 4 usiku Napiga Dua namshukuru mungu馃帳 Kwa kunilinda Hii Siku na Wenye #Bifu Naomba Tena Atulinde huu usiku #Mrefu Mungu Mimi kwako si #Mkamilifu Najua nakosea Nina mengi #Madhaifu Kwa wema wako nioshe niwe #Nadhifu Nakusifu kwa mdomo maana hujaniumba #BuBu Wape Tumaini wenye matatizo yanayo #Wasibu Wagonjwa mahospitali wema wako #Ukawatibu Wategemee Dua na sio sangoma Wala #Chifu Waombewe na watumishi mashekh wakina #Sharifu Wasirogane kwa kuvunjiana Nazi na #Madafu Nashukuru kwa hii pumzi inayoingia kwenye #Mapafu Nitimize sakramenti takwa Mimi nilie #Mkristu Niepushe Na zinaa niogope kufungua #Zipu Niepushe Na tamaa nisipende Sana #Chipu Niwe mwema ndugu zangu nisiwachezee #Rafu Niiheshimu ndoa nilale chumbani niogee #Bafu Kesho nijalie riziki yangu niingojee kwa #Safu Nisishawishike na ulevi nikaja lala #Club Ee mungu tulinde Huu usiku na kila #Tabu Dua zetu zipokee kwako ndo liliko #Jawabu
    0 Comments 0 Shares 1K Views
  • Jamani naombeni mumsapoti msanii wetu chipukizi anaitwa azomingo for user name na pia kumbuka kushare na kuweka komenti anapatikana vidmeti na YouTube, TikTok kwa jina la azomingo kwa nyimbo nziri mmoja wapo huu
    Jamani naombeni mumsapoti msanii wetu chipukizi anaitwa azomingo for user name na pia kumbuka kushare na kuweka komenti anapatikana vidmeti na YouTube, TikTok kwa jina la azomingo kwa nyimbo nziri mmoja wapo huu
    Like
    Love
    7
    2 Comments 0 Shares 649 Views 9