• “Kazi yangu ni kucheza mpira na sio kujisifia, wanaotazama ndio wanapaswa kusema mimi ni bora ila sio kujisemea, ila ukiniambia nikutajie Mabeki bora wa kati kwenye hii nchi maana yake wawili wa kwanza wanapaswa kutoka Yanga kwakuwa hawajaruhusu bao lolote mpaka sasa, Ibra Bacca na Dickson Job wapo vizuri sana, kisha Fuentes yupo Azam na Abdulrazack Hamza ni Beki mzuri sana”

    Che Malone, Beki wa kati wa SIMBA SC.
    #paulswai
    “Kazi yangu ni kucheza mpira na sio kujisifia, wanaotazama ndio wanapaswa kusema mimi ni bora ila sio kujisemea, ila ukiniambia nikutajie Mabeki bora wa kati kwenye hii nchi maana yake wawili wa kwanza wanapaswa kutoka Yanga kwakuwa hawajaruhusu bao lolote mpaka sasa, Ibra Bacca na Dickson Job wapo vizuri sana, kisha Fuentes yupo Azam na Abdulrazack Hamza ni Beki mzuri sana” Che Malone, Beki wa kati wa SIMBA SC. #paulswai
    Like
    1
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 98 Views
  • MWAMUZI wa kati, Hery Sasii ndiye atakayesimamia mchezo wa kuvutia na kusisimua wa Ligi Kuu Bara wa 'Mzizima Dabi' kati ya wenyeji Azam FC dhidi ya Simba utakaopigwa leo kwenye Uwanja wa New Complex Amaan visiwani Zanzibar saa 2:30 usiku.
    #paulswai
    🚨 MWAMUZI wa kati, Hery Sasii ndiye atakayesimamia mchezo wa kuvutia na kusisimua wa Ligi Kuu Bara wa 'Mzizima Dabi' kati ya wenyeji Azam FC dhidi ya Simba utakaopigwa leo kwenye Uwanja wa New Complex Amaan visiwani Zanzibar saa 2:30 usiku. #paulswai
    Like
    2
    1 Yorumlar 0 hisse senetleri 130 Views
  • MAZOEZI YA MWISHO KUELEKEA MCHEZO WA KESHO DHIDI YA AZAM FC.

    #paulswai
    MAZOEZI YA MWISHO KUELEKEA MCHEZO WA KESHO DHIDI YA AZAM FC. #paulswai
    Like
    3
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 69 Views

  • KUELEKEA MCHEZO WA KESHO DHIDI YA AZAM FC.

    Uongozi wa Simba umeweka wazi kuwa hawana hofu na wapinzani wao kwenye mchezo wao wa Mzizima Dabi ambao unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.

    Simba imecheza mechi mbili ndani ya Ligi Kuu Bara ambazo ni dakika 180 na kupata ushindi kwenye mechi zote hizo huku Azam FC ikicheza mechi nne ambazo ni dakika 360, ushindi ni kwenye mechi mbili na iliambulia sare kwenye mechi mbili.

    Mchezo uliopita kwa Azam FC ilikuwa nyumbani Uwanja wa Azam Complex baada ya dakika 90 ubao ulisoma Azam FC 1- Coastal Union, hivyo walikomba pointi tatu kwenye mchezo wa pili mfululizo baada ya ule wa kwanza kupata ushindi dhidi ya KMC wa mabao 4-0 uliochezwa Uwanja wa KMC, Complex.

    Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba ameweka wazi kuwa hawana hofu na wapinzani wao Azam FC kikubwa ni utayari na wanahitaji pointi tatu muhimu. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Septemba 26 2024.

    “Tunakwenda kwenye mchezo wetu tukiwa na ari ya kutafuta ushindi hatuna hofu kuwakabili wapinzani wetu Azam FC ni timu nzuri lakini tunakwenda kukabiliana nao ili kupata pointi tatu muhimu.”
    #paulswai
    KUELEKEA MCHEZO WA KESHO DHIDI YA AZAM FC. Uongozi wa Simba umeweka wazi kuwa hawana hofu na wapinzani wao kwenye mchezo wao wa Mzizima Dabi ambao unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Simba imecheza mechi mbili ndani ya Ligi Kuu Bara ambazo ni dakika 180 na kupata ushindi kwenye mechi zote hizo huku Azam FC ikicheza mechi nne ambazo ni dakika 360, ushindi ni kwenye mechi mbili na iliambulia sare kwenye mechi mbili. Mchezo uliopita kwa Azam FC ilikuwa nyumbani Uwanja wa Azam Complex baada ya dakika 90 ubao ulisoma Azam FC 1- Coastal Union, hivyo walikomba pointi tatu kwenye mchezo wa pili mfululizo baada ya ule wa kwanza kupata ushindi dhidi ya KMC wa mabao 4-0 uliochezwa Uwanja wa KMC, Complex. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba ameweka wazi kuwa hawana hofu na wapinzani wao Azam FC kikubwa ni utayari na wanahitaji pointi tatu muhimu. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Septemba 26 2024. “Tunakwenda kwenye mchezo wetu tukiwa na ari ya kutafuta ushindi hatuna hofu kuwakabili wapinzani wetu Azam FC ni timu nzuri lakini tunakwenda kukabiliana nao ili kupata pointi tatu muhimu.” #paulswai
    Like
    3
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 197 Views
  • HIZI HAPA MECHI TATU ZA SIMBA ZIJAZO ZA NBC PRIMER LEAGUE

    Kulingana na maboresho ya ratiba, Simba atacheza mechi tatu za ligi kuu katika kipindi cha wiki moja kabla ya mapumziko ya kalenda ya FIFA.

    Baada ya mchezo dhidi ya Azam Fc, kikosi cha kocha Fadlu Davids kitaelekea mkoani Dodoma kwa ajili ya mchezo dhidi ya Dodoma Jiji utakaopigwa Septemba 29 na Oktoba 04 Simba itakuwa Dar es salaam kuikabili Coastal Union katika mchezo utakaopigwa KMC Complex.
    #paulswai
    HIZI HAPA MECHI TATU ZA SIMBA ZIJAZO ZA NBC PRIMER LEAGUE ⛳ 🔗 Kulingana na maboresho ya ratiba, Simba atacheza mechi tatu za ligi kuu katika kipindi cha wiki moja kabla ya mapumziko ya kalenda ya FIFA. Baada ya mchezo dhidi ya Azam Fc, kikosi cha kocha Fadlu Davids kitaelekea mkoani Dodoma kwa ajili ya mchezo dhidi ya Dodoma Jiji utakaopigwa Septemba 29 na Oktoba 04 Simba itakuwa Dar es salaam kuikabili Coastal Union katika mchezo utakaopigwa KMC Complex. #paulswai
    Like
    3
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 160 Views
  • " Kabla ya mimi kusajili Simba nilipata ofa kutoka Yanga ila kwangu mimi nilichagua kuja kucheza Simba,nilikua naifahamu Simba pekee yake Tanzania tofauti na timu zingine, Yanga nawafahamu ila sio sana Kama Simba SC, mchezaji wa Yanga niliyekuwa namfahamu ni Aziz Ki, Azam siwafahamu"

    Leonel Ateba mbele ya waandishi wa habari kwenye Simba Media Day.
    #paulswai
    " Kabla ya mimi kusajili Simba nilipata ofa kutoka Yanga ila kwangu mimi nilichagua kuja kucheza Simba,nilikua naifahamu Simba pekee yake Tanzania tofauti na timu zingine, Yanga nawafahamu ila sio sana Kama Simba SC, mchezaji wa Yanga niliyekuwa namfahamu ni Aziz Ki, Azam siwafahamu" 🗣️ Leonel Ateba mbele ya waandishi wa habari kwenye Simba Media Day. #paulswai
    Like
    3
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 249 Views
  • .NBC PREMIER LEAGUE

    FULL TIME

    KMC 0 - 4 AZAM FC

    NEXT AZAM FC SIMBA SC
    .NBC PREMIER LEAGUE FULL TIME KMC 0 - 4 AZAM FC NEXT AZAM FC 🆚 SIMBA SC
    Like
    Love
    Haha
    3
    2 Yorumlar 0 hisse senetleri 152 Views
  • .GOAAAAL! ⚽️

    26' KMC FC 0-1 Azam FC

    Nado ⚽️
    .GOAAAAL! ⚽️ 26' KMC FC 0-1 Azam FC Nado ⚽️
    Like
    Love
    Haha
    4
    2 Yorumlar 0 hisse senetleri 125 Views

  • HII HAPAHii RATIBA NA TAREHE YA MECHI ZIJAZO ZA SIMBASC MWEZI HUU ..!!

    Al Ahli Tripoli Vs Simba SC
    🗓15/9 (CAFCC - Away)

    Simba SC Vs Al Ahli Tripoli
    22/9 (CAFCC- Home)

    Azam FC Vs Simba SC
    26/9 (NBC - Away)

    Dodoma Jiji Vs Simba SC
    29/9(NBC - Away)

    Unaizungumziaje ratba yetu ya mwezi huu wa tisaa..

    #paulswai
    HII HAPAHii RATIBA NA TAREHE YA MECHI ZIJAZO ZA SIMBASC MWEZI HUU ..!! 🔗Al Ahli Tripoli Vs Simba SC 🗓15/9 (CAFCC - Away) 🔗Simba SC Vs Al Ahli Tripoli 🗓️22/9 (CAFCC- Home) 🔗Azam FC Vs Simba SC 🗓️26/9 (NBC - Away) 🔗Dodoma Jiji Vs Simba SC 🗓️29/9(NBC - Away) Unaizungumziaje ratba yetu ya mwezi huu wa tisaa..🙌 🙌 #paulswai
    Like
    2
    2 Yorumlar 0 hisse senetleri 216 Views
  • Leo tuna mchezo wa kirafiki kati ya Simba na Jkt Tz uwanja wa KMC Complex Mwenge, mechi hii itachezwa bila watazamaji
    #paulswai
    Leo tuna mchezo wa kirafiki kati ya Simba na Jkt Tz uwanja wa KMC Complex Mwenge, mechi hii itachezwa bila watazamaji #paulswai
    Like
    2
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 80 Views
Arama Sonuçları