• Sefania 1:15,17-18
    [15]Siku ile ni siku ya ghadhabu,
    Siku ya fadhaa na dhiki,
    Siku ya uharibifu na ukiwa,
    Siku ya giza na utusitusi,
    Siku ya mawingu na giza kuu,

    [17]Nami nitawaletea wanadamu dhiki, hata watakwenda kama vipofu, kwa sababu wamemtenda BWANA dhambi; na damu yao itamwagwa kama mavumbi, na nyama yao kama mavi.
    .
    [18]Fedha yao wala dhahabu yao havitaweza kuwaokoa katika siku ile ya ghadhabu ya BWANA; bali nchi yote pia itateketezwa kwa moto wa wivu wake; maana atawakomesha watu wote wakaao katika nchi hii, naam, ukomo wa kutisha.

    Siku ngumu sana siku ile kila mwanadamu atalipwa kadiri ya matendo yake .

    Siku ile inayozungumzwa hapo ni siku ya mwisho ambayo ipo katika nafasi tofauti siku ya kutwaliwa kwako kama ukutenda wema ni siku ya dhiki na giza kwako kwani hakuta hakuta kuwa na nafasi nyingine ya kutengeneza.

    Mungu hutoa nafasi ya kutengeneza mara moja tu ambayo ni kipindi uko hai matendo yako ndo ufunguo wa nuru yako au giza yako.

    Mwanadamu anajivunia fedha na uchumi wake au vitu vyake siku ile havita kuokoa badala yake utaviacha wakati wewe unaishi katika giza nene la kutisha na uku ukiteseka kuzimu kisha ukiusubiri moto.

    Mpokeee Yesu leo , tengeneza maisha yako kabla hii siku ya dhiki na uovu haijafika kwa maisha yako ili ukapumzike kifuani pa Ibrahimu umwakati ukisubiri ile siku kuu.

    Yoeli 2:3
    [3]Moto unakula mbele yao; na nyuma yao miali ya moto inateketeza; hiyo nchi inafanana na bustani ya Adeni mbele yao, na nyuma yao imekuwa jangwa tupu; naam, hakuna aliyeokoka asipatikane nao.

    Dhambi itasababisha nchi kuwa giza nene na kila mtu atalia kilio kikuu sababu tu ya uovu.

    Siku hiyo iko karibu mno badili maisha yako leo hii Yesu aingie kwako ili siku ile ya dhiki na giza Bwana awe msaada wako tele na upumzike kwa wema wako.

    Ufunuo wa Yohana 22:11
    [11]Mwenye kudhulumu na azidi kudhulumu; na mwenye uchafu na azidi kuwa mchafu; na mwenye haki na azidi kufanya haki; na mtakatifu na azidi kutakaswa.

    Badilisha njia zako asubui hii na Yesu akupe kushinda sawa sawa na neno lake

    Ufunuo wa Yohana 16:15
    [15](Tazama, naja kama mwivi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake.)

    Shika sana ulicho nacho ndugu yangu usije ukaikosa mbingu.

    Tunza sana karama ns huduma yako usije ukaingia katika ile siku ya dhiki badala yako iwe siku ya ushindi.

    Ufunuo wa Yohana 22:12,14
    [12]Tazama, naja upesi, na ujira wangu u pamoja nami, kumlipa kila mtu kama kazi yake ilivyo.

    [14]Heri wazifuao nguo zao, wawe na amri kuuendea huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa milango yake.

    Zidi kujitakasa kila siku ili siku ile ikikute umefua na uko na mavazi safi kwa sjiri ya kwenda na Bwana.

    Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new ede )

    #build new eden
    #restore men position
    Sefania 1:15,17-18 [15]Siku ile ni siku ya ghadhabu, Siku ya fadhaa na dhiki, Siku ya uharibifu na ukiwa, Siku ya giza na utusitusi, Siku ya mawingu na giza kuu, [17]Nami nitawaletea wanadamu dhiki, hata watakwenda kama vipofu, kwa sababu wamemtenda BWANA dhambi; na damu yao itamwagwa kama mavumbi, na nyama yao kama mavi. . [18]Fedha yao wala dhahabu yao havitaweza kuwaokoa katika siku ile ya ghadhabu ya BWANA; bali nchi yote pia itateketezwa kwa moto wa wivu wake; maana atawakomesha watu wote wakaao katika nchi hii, naam, ukomo wa kutisha. Siku ngumu sana siku ile kila mwanadamu atalipwa kadiri ya matendo yake . Siku ile inayozungumzwa hapo ni siku ya mwisho ambayo ipo katika nafasi tofauti siku ya kutwaliwa kwako kama ukutenda wema ni siku ya dhiki na giza kwako kwani hakuta hakuta kuwa na nafasi nyingine ya kutengeneza. Mungu hutoa nafasi ya kutengeneza mara moja tu ambayo ni kipindi uko hai matendo yako ndo ufunguo wa nuru yako au giza yako. Mwanadamu anajivunia fedha na uchumi wake au vitu vyake siku ile havita kuokoa badala yake utaviacha wakati wewe unaishi katika giza nene la kutisha na uku ukiteseka kuzimu kisha ukiusubiri moto. Mpokeee Yesu leo , tengeneza maisha yako kabla hii siku ya dhiki na uovu haijafika kwa maisha yako ili ukapumzike kifuani pa Ibrahimu umwakati ukisubiri ile siku kuu. Yoeli 2:3 [3]Moto unakula mbele yao; na nyuma yao miali ya moto inateketeza; hiyo nchi inafanana na bustani ya Adeni mbele yao, na nyuma yao imekuwa jangwa tupu; naam, hakuna aliyeokoka asipatikane nao. Dhambi itasababisha nchi kuwa giza nene na kila mtu atalia kilio kikuu sababu tu ya uovu. Siku hiyo iko karibu mno badili maisha yako leo hii Yesu aingie kwako ili siku ile ya dhiki na giza Bwana awe msaada wako tele na upumzike kwa wema wako. Ufunuo wa Yohana 22:11 [11]Mwenye kudhulumu na azidi kudhulumu; na mwenye uchafu na azidi kuwa mchafu; na mwenye haki na azidi kufanya haki; na mtakatifu na azidi kutakaswa. Badilisha njia zako asubui hii na Yesu akupe kushinda sawa sawa na neno lake Ufunuo wa Yohana 16:15 [15](Tazama, naja kama mwivi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake.) Shika sana ulicho nacho ndugu yangu usije ukaikosa mbingu. Tunza sana karama ns huduma yako usije ukaingia katika ile siku ya dhiki badala yako iwe siku ya ushindi. Ufunuo wa Yohana 22:12,14 [12]Tazama, naja upesi, na ujira wangu u pamoja nami, kumlipa kila mtu kama kazi yake ilivyo. [14]Heri wazifuao nguo zao, wawe na amri kuuendea huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa milango yake. Zidi kujitakasa kila siku ili siku ile ikikute umefua na uko na mavazi safi kwa sjiri ya kwenda na Bwana. Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new ede ) #build new eden #restore men position
    Love
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·930 Views
  • Power of choice part 5.

    Neno msingi. "Angalia na wawekea mbele yako yaani baraka na laana" torati 11:26

    Tunaendelea na madhara ya kujiongoza vibaya katika kutumia nguvu ya kuchagua.

    Na kwakuanza jana tulimuona Sauli na matokeo aliyo yapata kutokana na kushindwa kuchagua kwani maamuzi yote yapo ndani ya Nguvu inayo twa chaguo.
    Leo tutaingia ndani kidogo tumtazame mnadhiri wa Bwana kwa kudhariwa .

    2.SAMSON

    Samsoni alikuwa mwamuzi wa islaeri kwa miaka 20 .

    Alifanya makubwa sana juu ya kulilinda na kulipambania islaeri juu ya wafiristi.

    Samsoni pamoja na uimara wote huo bado alishindwa kuielewa nguvu anayo itoa roho mtakatifu inayo itwa nguvu ya kuchagua.

    Samsoni akaangukia kwenye penzi la mfiristi la kwanza lakini haikuwa nadhani fungu lake .

    Waamuzi 14:16
    [16]Basi mkewe Samsoni akalia mbele yake, akasema, Wewe wanichukia tu, wala hunipendi; wewe umewategea kitendawili hao wana wa watu wangu, nawe hukuniambia mimi. Naye akamwambia, Angalia, sikumwambia baba yangu wala mama yangu, nami nikuambie wewe?

    Samsoni ni lover boy ambaye alitoa kitendawili lakini watu walimtumia mkewe akategua kitendawili .

    Lakini pia kisa pendwa cha samsoni na kahaba Delila sanson alipo chagua kuingia penzi na kahaba ndipo uharibifu ukamuotea tena .

    Samsoni ameulizwa juu ya siri ya nguvu mara tatu zaidi bado hakushtuka kwa kuwa nguvu ya ndani ya kuchagua maamuzi sahii ilikuwa imetoweka sababu ya dhambi.

    Matokeo ya kujiongoza kuchagua mtu hodari sana katika islaeri anadhihakiwa na watu wasio tahiriwa (wasio wabarikiwa)

    Samsoni alikuwa mnadhiri au mtu aliye zaliwa na kupewa nguvu lakini sababu ya kukosa nguvu ya kuchagua samsoni alipoteza focus yake.Waamuzi 16:17,28
    [17]Ndipo alipomwambia yote yaliyokuwa moyoni mwake, akamwambia, Wembe haukupita juu ya kichwa changu kamwe; maana mimi nimekuwa Mnadhiri wa Mungu, tangu tumboni mwa mama yangu; nikinyolewa, ndipo nguvu zangu zitanitoka, nami nitakuwa dhaifu, nitakuwa kama wanadamu wenzangu.

    Ndivyo ilivyo hata leo kuna watumishi wengi sababu tu ya kukosa nguvu ya kuchagua au kwa kufanya maamuzi yasiyo paswa kuyachagua wanapoteza vipawa vyao .

    Wengine wanashindwa kuchagua utakatifu wanaangukia kwenye zinaa na majivuno na wao pia wanapoteza uhusiano na Mungu.

    [28]Samsoni akamwita BWANA, akasema, Ee Bwana MUNGU, unikumbuke, nakuomba, ukanitie nguvu, nakuomba, mara hii tu, Ee Mungu, ili nipate kujilipiza kisasi juu ya Wafilisti kwa ajili ya macho yangu mawili
    Bila neema ya kristo katika roho huwezi kufanya maamuzi mema .

    Ok naitwa sylvester Mwakabende (build new eden )

    #build new eden
    Power of choice part 5. Neno msingi. "Angalia na wawekea mbele yako yaani baraka na laana" torati 11:26 Tunaendelea na madhara ya kujiongoza vibaya katika kutumia nguvu ya kuchagua. Na kwakuanza jana tulimuona Sauli na matokeo aliyo yapata kutokana na kushindwa kuchagua kwani maamuzi yote yapo ndani ya Nguvu inayo twa chaguo. Leo tutaingia ndani kidogo tumtazame mnadhiri wa Bwana kwa kudhariwa . 2.SAMSON Samsoni alikuwa mwamuzi wa islaeri kwa miaka 20 . Alifanya makubwa sana juu ya kulilinda na kulipambania islaeri juu ya wafiristi. Samsoni pamoja na uimara wote huo bado alishindwa kuielewa nguvu anayo itoa roho mtakatifu inayo itwa nguvu ya kuchagua. Samsoni akaangukia kwenye penzi la mfiristi la kwanza lakini haikuwa nadhani fungu lake . Waamuzi 14:16 [16]Basi mkewe Samsoni akalia mbele yake, akasema, Wewe wanichukia tu, wala hunipendi; wewe umewategea kitendawili hao wana wa watu wangu, nawe hukuniambia mimi. Naye akamwambia, Angalia, sikumwambia baba yangu wala mama yangu, nami nikuambie wewe? Samsoni ni lover boy ambaye alitoa kitendawili lakini watu walimtumia mkewe akategua kitendawili . Lakini pia kisa pendwa cha samsoni na kahaba Delila sanson alipo chagua kuingia penzi na kahaba ndipo uharibifu ukamuotea tena . Samsoni ameulizwa juu ya siri ya nguvu mara tatu zaidi bado hakushtuka kwa kuwa nguvu ya ndani ya kuchagua maamuzi sahii ilikuwa imetoweka sababu ya dhambi. Matokeo ya kujiongoza kuchagua mtu hodari sana katika islaeri anadhihakiwa na watu wasio tahiriwa (wasio wabarikiwa) Samsoni alikuwa mnadhiri au mtu aliye zaliwa na kupewa nguvu lakini sababu ya kukosa nguvu ya kuchagua samsoni alipoteza focus yake.Waamuzi 16:17,28 [17]Ndipo alipomwambia yote yaliyokuwa moyoni mwake, akamwambia, Wembe haukupita juu ya kichwa changu kamwe; maana mimi nimekuwa Mnadhiri wa Mungu, tangu tumboni mwa mama yangu; nikinyolewa, ndipo nguvu zangu zitanitoka, nami nitakuwa dhaifu, nitakuwa kama wanadamu wenzangu. Ndivyo ilivyo hata leo kuna watumishi wengi sababu tu ya kukosa nguvu ya kuchagua au kwa kufanya maamuzi yasiyo paswa kuyachagua wanapoteza vipawa vyao . Wengine wanashindwa kuchagua utakatifu wanaangukia kwenye zinaa na majivuno na wao pia wanapoteza uhusiano na Mungu. [28]Samsoni akamwita BWANA, akasema, Ee Bwana MUNGU, unikumbuke, nakuomba, ukanitie nguvu, nakuomba, mara hii tu, Ee Mungu, ili nipate kujilipiza kisasi juu ya Wafilisti kwa ajili ya macho yangu mawili Bila neema ya kristo katika roho huwezi kufanya maamuzi mema . Ok naitwa sylvester Mwakabende (build new eden ) #build new eden
    Like
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·834 Views
  • Ufunuo 2:18 KANISA LA ZINAA

    Ufunuo wa Yohana 2:18-19
    [18]Na kwa malaika wa kanisa lililoko Thiatira andika;
    Haya ndiyo anenayo Mwana wa Mungu, yeye aliye na macho yake kama mwali wa moto, na miguu yake mfano wa shaba iliyosuguliwa sana.

    *[19]Nayajua matendo yako na upendo na imani na huduma na subira yako; tena kwamba matendo yako ya mwisho yamezidi yale ya kwanza*.

    Kanisa la thiatra lilikuwa kanisa zuri kabisa lakini lilitawaliwa na roho ya Yezeberi kiasi cha kwamba lilikuwa tayari kufuata mfundisho ya yezeberi.

    Biblia inasema nayajua matendo yako ,imani yako na subira yako .kwa lugha nyepesi ni kuwa matendo yao yalikuwa safi kabisa tatizo ni moja tu na ndilo lilikuwa kubwa sana.

    *Tatizo wanalidhia mafundisho ya Yezeberi,(roho ya Yezeberi) ambayo ni roho ya uharibifu sana kuliko kawaida .*

    Roho ya Yezeberi ni roho ya uharibifu ni roho iliyopo kanisani ambako watu ni walokole lakin wanaongoza kwa uzinzi ,uasherati na mabo mengine.

    Kuna muda lazima tuseme ukweli kanisa la thiatra ni kanisa kubwa lililoko huku duniani s,sadaka linatoa ,kuabudu na kusifu linasifu lakini likitoka hapo linaweza kwenda kwa mchepuko na kuzini naye.

    *Kwa sababu hii imepelekea kanisa kupoteza utu wake kama kanisa na kubaki kama kopo tu*

    Uwezi kuwa mtumishi mzuri ,prayer worier ,worship mzuri huku roho ya Yezeberi imekutawala.

    *Roho za Yezeberi ni zipi. Kanisa lenye zinaa kama maisha yao .Roho ya kujiinua na roho ya kutotii ni roho za Yezeberi na kanisa lisipo tubu litakuwa limepoteza sana kuliko kawaida*

    *Biblia inasema wazi kabisa kosa kubwa alilo lifanya Ahabui ni kuoa YEZEBERI bint Ethbaali.*

    Ahabu alikosea hapo kwa kuoa binti ambaye alikuwa amelelewa na kukuzwa katika miungu ya baali .

    Ok naomba nirudi kwenye mada muhimu sana kuwa kanisa la thiatra linaishi mpaka leo kwa kuwa kanisa bado linaiishi zinaa kama sehemu ya maisha yake.

    *Kristo anasema hivi ametoa nafasi ya watu kutubu kama amta tubu ndipo tutajua kuwa yeye ni Mungu anaye chunguza moyo na viuno*

    Ufunuo wa Yohana 2:20-21
    *[20]Lakini nina neno juu yako, ya kwamba wamridhia yule mwanamke Yezebeli, yeye ajiitaye nabii na kuwafundisha watumishi wangu na kuwapoteza, ili wazini na kula vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu.*

    [21]Nami nimempa muda ili atubu, wala hataki kuutubia uzinzi wake.

    Kama kanisa tumepewa nafasi ya kutubu ili tuweze kumuona Mungu.

    *Toba ni muhimu sana kama kanisa ili roho ya Yezeberi isilikumbe kanisa kama ilivyo likumba kabisa la thiatra .*

    Huu ndo wito wetu kwa kanisa la leo kurejea kumtafuta masihi kwa kuikataa roho ya yezeberi kwa toba kama Kristo alivyo toa nafasi ya toba.

    Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden )

    #build new eden
    #restore men position
    Ufunuo 2:18 KANISA LA ZINAA Ufunuo wa Yohana 2:18-19 [18]Na kwa malaika wa kanisa lililoko Thiatira andika; Haya ndiyo anenayo Mwana wa Mungu, yeye aliye na macho yake kama mwali wa moto, na miguu yake mfano wa shaba iliyosuguliwa sana. *[19]Nayajua matendo yako na upendo na imani na huduma na subira yako; tena kwamba matendo yako ya mwisho yamezidi yale ya kwanza*. Kanisa la thiatra lilikuwa kanisa zuri kabisa lakini lilitawaliwa na roho ya Yezeberi kiasi cha kwamba lilikuwa tayari kufuata mfundisho ya yezeberi. Biblia inasema nayajua matendo yako ,imani yako na subira yako .kwa lugha nyepesi ni kuwa matendo yao yalikuwa safi kabisa tatizo ni moja tu na ndilo lilikuwa kubwa sana. *Tatizo wanalidhia mafundisho ya Yezeberi,(roho ya Yezeberi) ambayo ni roho ya uharibifu sana kuliko kawaida .* Roho ya Yezeberi ni roho ya uharibifu ni roho iliyopo kanisani ambako watu ni walokole lakin wanaongoza kwa uzinzi ,uasherati na mabo mengine. Kuna muda lazima tuseme ukweli kanisa la thiatra ni kanisa kubwa lililoko huku duniani s,sadaka linatoa ,kuabudu na kusifu linasifu lakini likitoka hapo linaweza kwenda kwa mchepuko na kuzini naye. *Kwa sababu hii imepelekea kanisa kupoteza utu wake kama kanisa na kubaki kama kopo tu* Uwezi kuwa mtumishi mzuri ,prayer worier ,worship mzuri huku roho ya Yezeberi imekutawala. *Roho za Yezeberi ni zipi. Kanisa lenye zinaa kama maisha yao .Roho ya kujiinua na roho ya kutotii ni roho za Yezeberi na kanisa lisipo tubu litakuwa limepoteza sana kuliko kawaida* *Biblia inasema wazi kabisa kosa kubwa alilo lifanya Ahabui ni kuoa YEZEBERI bint Ethbaali.* Ahabu alikosea hapo kwa kuoa binti ambaye alikuwa amelelewa na kukuzwa katika miungu ya baali . Ok naomba nirudi kwenye mada muhimu sana kuwa kanisa la thiatra linaishi mpaka leo kwa kuwa kanisa bado linaiishi zinaa kama sehemu ya maisha yake. *Kristo anasema hivi ametoa nafasi ya watu kutubu kama amta tubu ndipo tutajua kuwa yeye ni Mungu anaye chunguza moyo na viuno* Ufunuo wa Yohana 2:20-21 *[20]Lakini nina neno juu yako, ya kwamba wamridhia yule mwanamke Yezebeli, yeye ajiitaye nabii na kuwafundisha watumishi wangu na kuwapoteza, ili wazini na kula vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu.* [21]Nami nimempa muda ili atubu, wala hataki kuutubia uzinzi wake. Kama kanisa tumepewa nafasi ya kutubu ili tuweze kumuona Mungu. *Toba ni muhimu sana kama kanisa ili roho ya Yezeberi isilikumbe kanisa kama ilivyo likumba kabisa la thiatra .* Huu ndo wito wetu kwa kanisa la leo kurejea kumtafuta masihi kwa kuikataa roho ya yezeberi kwa toba kama Kristo alivyo toa nafasi ya toba. Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ) #build new eden #restore men position
    0 Commentarios ·0 Acciones ·986 Views
  • MTAKATIFU ANAYE ISHI PART TWO.

    MTAZAMO CHANYA KUHUSU UTAKATIFU.

    1.*UTAKATIFU NI KUTENGWA*(KUKUBALI KUACHA)

    Dunia inamtazamo wake kuhusu utakatifu na Mbingu pia ina mtazamo wake kuhusu utakatifu.

    *Kitendo cha biblia kukufahamu kama mtakatifu ni lazima Mungu awe amekutenga kwa kusudi maalamu.*

    Kila aliye okoka ni kiungo katika kuukamilisha mwili wa Kristo katika eneo alilo itiwa .inaweza kuwa uchungaji ,ualimu ,uinjiristi ,,biashara ,siasa , utumishi wa uma nk .

    *Na nieleweke zaidi ninapo sema "Kutengwa" au "kuitwa '' simahanishi kuwa muhudumu wa madhabau peke yake hapana na maanisha kila jambo unalo lifanya ukiokoka na ukafanya sawa sawa na mapenzi ya Mungu ndio wito wako wengine wameitwa kuwa wafanya biashara ,wengine watawala ,wengine wachungaji ,wengine ni wasomi na washauri ko kila mmoja katika gield yake anapaswa kujua ametengwa na "Mungu kuwa mtakatifu"*

    Warumi 1:1 *Paulo, mtumishi wa Kristo Yesu, aliyeitwa kuwa mtume na kutengwa kwa ajili ya Injili ya Mungu*

    Paulo yeye alitengwa kwa ajiri ya injiri ya mataifa ,mimi sijui wewe umeitwa katika karia gani ila najenga msingi kuwa katika field uliyo itwa Bwana amekutenga uwe mtakatifu.

    Warumi 12:2. *Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.*

    Kumbuka kuwa Mungu alimuumba mwanadamu ili awe mkamirifu .

    Ndo mana ni rahisi sana kwa mtucasite jua wokovu kuona kama utakatifu unapaswa kuzingatiwa na makuhani peke yake ,

    *Lakini uhalisia utakatifu ni maisha ya mwamini kila wakati na mwamini lazima ujue wewe ni barua unasomwa na wengi*

    Mifano ya watu ambao hawakuwa makuhani wala manabii ila waliupendeza moyo wa Mungu .

    *-Daudi alipendezwa na Mungu na akuwa kuhani wala nabii alikuwa mwanasiasa (mfalme) wa nchi lakini kiwango cha unyenyekevu wake kilimpendeza Mungu.*

    -Daniel akuwa nabii lakini alikuwa mwanasiasa kwa maana ya (ukuu wa wilaya) lugha nyepesi kada wa mlengo wa mfalme (mwanasiasa) lakini alisimama na kukubali kutengwa na kutimiza kusudi la Mungu ata katika ugenini.

    Danieli 10:12. *Aliitwa apendwaye sana sibahati bali ni kwa sababu alikubali kujitenga na kuishi utakatifu , ni wewe tu mwokovu wa leo unaona kama kuishi utakatifu haiwezekani .*

    -Yusuph alikuwa si muhubiri pia wala kuhani lakini alichagua kujitenga na uharibifu wa zinaa na alikuwa mwanasiasa karsmatic leader ko ni wewe tu blaza unatumia ushawishi wako vibaya .

    *Ok nataka kusema hivi kama kila mtu ataamua kuwa barua ya kristo katika eneo alilo itiwa basi jua kabisa tutmpendeza Mungu cna baraka zitatufuata duniani kisha uzima wa milele .*

    Utakatifu ni maisha siyo tukio ukiweza kujua hilo basi utakuwa uleishu kadiri roho apendavyo.

    Ok naitwa sylvester kutoka (build new eden ) kwa mafundisho zaidi unaweza nitafuta kwa namba 0622625340 ni ku add kwenye mfululizo wa mafundisho .

    #build new eden
    #restore men position
    MTAKATIFU ANAYE ISHI PART TWO. MTAZAMO CHANYA KUHUSU UTAKATIFU. 1.*UTAKATIFU NI KUTENGWA*(KUKUBALI KUACHA) Dunia inamtazamo wake kuhusu utakatifu na Mbingu pia ina mtazamo wake kuhusu utakatifu. *Kitendo cha biblia kukufahamu kama mtakatifu ni lazima Mungu awe amekutenga kwa kusudi maalamu.* Kila aliye okoka ni kiungo katika kuukamilisha mwili wa Kristo katika eneo alilo itiwa .inaweza kuwa uchungaji ,ualimu ,uinjiristi ,,biashara ,siasa , utumishi wa uma nk . *Na nieleweke zaidi ninapo sema "Kutengwa" au "kuitwa '' simahanishi kuwa muhudumu wa madhabau peke yake hapana na maanisha kila jambo unalo lifanya ukiokoka na ukafanya sawa sawa na mapenzi ya Mungu ndio wito wako wengine wameitwa kuwa wafanya biashara ,wengine watawala ,wengine wachungaji ,wengine ni wasomi na washauri ko kila mmoja katika gield yake anapaswa kujua ametengwa na "Mungu kuwa mtakatifu"* Warumi 1:1 *Paulo, mtumishi wa Kristo Yesu, aliyeitwa kuwa mtume na kutengwa kwa ajili ya Injili ya Mungu* Paulo yeye alitengwa kwa ajiri ya injiri ya mataifa ,mimi sijui wewe umeitwa katika karia gani ila najenga msingi kuwa katika field uliyo itwa Bwana amekutenga uwe mtakatifu. Warumi 12:2. *Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.* Kumbuka kuwa Mungu alimuumba mwanadamu ili awe mkamirifu . Ndo mana ni rahisi sana kwa mtucasite jua wokovu kuona kama utakatifu unapaswa kuzingatiwa na makuhani peke yake , *Lakini uhalisia utakatifu ni maisha ya mwamini kila wakati na mwamini lazima ujue wewe ni barua unasomwa na wengi* Mifano ya watu ambao hawakuwa makuhani wala manabii ila waliupendeza moyo wa Mungu . *-Daudi alipendezwa na Mungu na akuwa kuhani wala nabii alikuwa mwanasiasa (mfalme) wa nchi lakini kiwango cha unyenyekevu wake kilimpendeza Mungu.* -Daniel akuwa nabii lakini alikuwa mwanasiasa kwa maana ya (ukuu wa wilaya) lugha nyepesi kada wa mlengo wa mfalme (mwanasiasa) lakini alisimama na kukubali kutengwa na kutimiza kusudi la Mungu ata katika ugenini. Danieli 10:12. *Aliitwa apendwaye sana sibahati bali ni kwa sababu alikubali kujitenga na kuishi utakatifu , ni wewe tu mwokovu wa leo unaona kama kuishi utakatifu haiwezekani .* -Yusuph alikuwa si muhubiri pia wala kuhani lakini alichagua kujitenga na uharibifu wa zinaa na alikuwa mwanasiasa karsmatic leader ko ni wewe tu blaza unatumia ushawishi wako vibaya . *Ok nataka kusema hivi kama kila mtu ataamua kuwa barua ya kristo katika eneo alilo itiwa basi jua kabisa tutmpendeza Mungu cna baraka zitatufuata duniani kisha uzima wa milele .* Utakatifu ni maisha siyo tukio ukiweza kujua hilo basi utakuwa uleishu kadiri roho apendavyo. Ok naitwa sylvester kutoka (build new eden ) kwa mafundisho zaidi unaweza nitafuta kwa namba 0622625340 ni ku add kwenye mfululizo wa mafundisho . #build new eden #restore men position
    0 Commentarios ·0 Acciones ·1K Views
  • Habari ya usiku ndugu zangu ni siku ya nne leo japo kwa kuchelewe tunaendelea na mwendelezo wa fasiri za ndoto kiblia .

    *Ungana nami Sylvester Mwakabende kwa ufafanuzi zaidi kadiri roho wa Bwana Atakavyo niongoza*

    *Je umewai kuota unafukuzwa na mbwa ? nini maana yake*? .


    Zaburi 22:16
    *[16]Kwa maana mbwa wamenizunguka Kusanyiko la waovu wamenisonga;
    Wamenizua mikono na miguu*
    For dogs have compassed me: the assembly of the wicked have inclosed me: they pierced my hands and my feet.

    1.Kufuatiliwa na roho chafu kama zinaa na uasherati

    Mithali26:11 SUV

    *Kama vile mbwa arudiavyo matapiko yake; Kadhalika mpumbavu afanya upumbavu tena.*

    Kutoka 22:31 BHN
    *Nyinyi mtakuwa watu waliowekwa wakfu kwangu. Kwa hiyo hamtakula nyama ya mnyama aliyeuawa na mnyama wa porini. Nyama hiyo mtawatupia mbwa.*

    Chochote kile kilicho kichafu upaswi kukila .

    Torati 23:18 BHN
    *Usilete ujira wa kahaba, wala mshahara wa mbwa, katika nyumba ya BWANA, Mungu wako, kwa ajili ya nadhiri yoyote; kwani haya ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako, yote mawili.*
    2wafalme 9;10

    Zaburi 22;20 BHN
    *Iokoe nafsi yangu mbali na upanga, yaokoe maisha yangu makuchani mwa mbwa hao!*

    *Mbwa ana nguvu maana yake mbwa anawakilisha roho chafu za zinaa, uasherati na machafu yote ya shetani .*
    .
    2.kuiacha njia ya bwana kama kuhani.

    Isaya 56:11 BHN
    *Hao ni kama mbwa wenye uchu sana, wala hawawezi kamwe kutoshelezwa. Wachungaji hao hawana akili yoyote; kila mmoja hutafuta faida yake mwenyewe.*

    Naombaje ?NAMNA YA KUOMBA

    1.Toba ya kweli kwa sababu ya kufungua mlango .

    2.kuhalibu kila njia ya uovu inayo kufuatilia

    3.Muone kuhani kwa ajiri ya ukombozi .

    4.kataa kabisa roho za uharibifu kwa kusimamisha madhabau ya Mungu kwa sadaka.

    Zingatia :Ndoto ni mlango Mungu anao utumia kupitisha ujumbe wake na shetani naye anatumia hivyo hivyo jifunze kuomba uongozi wa roho mtakatifu katika fasiri sahiii japo zingine uja kwa uchovu na shughuli nyingi.

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende wa (Build new eden)
    Unaweza share somo hili kwa rafiki wengine.
    Simu no :0622625340
    Habari ya usiku ndugu zangu ni siku ya nne leo japo kwa kuchelewe tunaendelea na mwendelezo wa fasiri za ndoto kiblia . *Ungana nami Sylvester Mwakabende kwa ufafanuzi zaidi kadiri roho wa Bwana Atakavyo niongoza* *Je umewai kuota unafukuzwa na mbwa ? nini maana yake*? . Zaburi 22:16 *[16]Kwa maana mbwa wamenizunguka Kusanyiko la waovu wamenisonga; Wamenizua mikono na miguu* For dogs have compassed me: the assembly of the wicked have inclosed me: they pierced my hands and my feet. 1.Kufuatiliwa na roho chafu kama zinaa na uasherati Mithali26:11 SUV *Kama vile mbwa arudiavyo matapiko yake; Kadhalika mpumbavu afanya upumbavu tena.* Kutoka 22:31 BHN *Nyinyi mtakuwa watu waliowekwa wakfu kwangu. Kwa hiyo hamtakula nyama ya mnyama aliyeuawa na mnyama wa porini. Nyama hiyo mtawatupia mbwa.* Chochote kile kilicho kichafu upaswi kukila . Torati 23:18 BHN *Usilete ujira wa kahaba, wala mshahara wa mbwa, katika nyumba ya BWANA, Mungu wako, kwa ajili ya nadhiri yoyote; kwani haya ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako, yote mawili.* 2wafalme 9;10 Zaburi 22;20 BHN *Iokoe nafsi yangu mbali na upanga, yaokoe maisha yangu makuchani mwa mbwa hao!* *Mbwa ana nguvu maana yake mbwa anawakilisha roho chafu za zinaa, uasherati na machafu yote ya shetani .* . 2.kuiacha njia ya bwana kama kuhani. Isaya 56:11 BHN *Hao ni kama mbwa wenye uchu sana, wala hawawezi kamwe kutoshelezwa. Wachungaji hao hawana akili yoyote; kila mmoja hutafuta faida yake mwenyewe.* Naombaje ?NAMNA YA KUOMBA 1.Toba ya kweli kwa sababu ya kufungua mlango . 2.kuhalibu kila njia ya uovu inayo kufuatilia 3.Muone kuhani kwa ajiri ya ukombozi . 4.kataa kabisa roho za uharibifu kwa kusimamisha madhabau ya Mungu kwa sadaka. Zingatia :Ndoto ni mlango Mungu anao utumia kupitisha ujumbe wake na shetani naye anatumia hivyo hivyo jifunze kuomba uongozi wa roho mtakatifu katika fasiri sahiii japo zingine uja kwa uchovu na shughuli nyingi. Ok naitwa Sylvester Mwakabende wa (Build new eden) Unaweza share somo hili kwa rafiki wengine. Simu no :0622625340
    Love
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·1K Views
  • Unaweza Kuwa Baba bora na Bado Ukapoteza Familia Yako
    Kwa sababu katika ulimwengu wa sasa, juhudi haimaanishi chochote ikiwa wewe ni mwanaume.
    Unaamka mapema.
    Nenda kazini.
    Unalipa kodi.
    Ubaki mwaminifu.
    Unaiombea familia.
    Bado-
    unawapoteza.
    Sio kwa sababu umeshindwa.
    Lakini kwa sababu ubaba wa kisasa umejengwa kama mtego.
    Unafanya kila kitu sawa ...
    na bado kuishia vibaya.
    Anaondoka. Watoto wanafuata. Nyumba inakuwa kumbukumbu.
    Unaendelea kulipa bili.
    Anaendelea kubadilisha simulizi.
    Na ikiwa unathubutu kupaza sauti yako?
    Wewe ni "sumu."
    Wewe "huna msimamo."
    Wewe ndiye "sababu aliondoka."
    Umelipia mpiga filimbi-
    lakini bado anaamuru wimbo.
    Ulifuata sheria. Lakini hilo ndilo tatizo.
    Kwa sababu ukifuata sheria, wewe si kiongozi.
    Ikiwa wewe ni mwaminifu, unakuwa rahisi.
    Uliambiwa umlinde.
    Kwa hivyo ulifanya.
    Uliambiwa utoe.
    Kwa hivyo ulifanya.
    Uliambiwa ukae mwaminifu.
    Kwa hivyo ulifanya.
    Na sasa?
    Umeachana.
    Una huzuni.
    Unaweza kutupwa.
    Mahakama inasema, "Wewe si baba."
    Lakini uharibifu tayari umefanywa.
    Moyo wako? Imevunjwa.
    Jina lako? Iliyotiwa rangi.
    Mkoba wako? Bado kuwajibika.
    Wanaiita “kwa manufaa ya mtoto.”
    Mtoto hatakuruhusu umuone... tangu 2019.
    Wakati huo huo, anatabasamu kwa ukimya.
    Kwa sababu tayari alishinda.
    Uongo huo ulifanya kazi.
    Mfumo ulimsaidia.
    Na jamii ikamshangilia.
    Wewe?
    Uko kwenye mtaala wako wa nne.
    Na hakuna mtu aliyepiga makofi ulivyo nusurika.
    Tuzungumze ukweli.80% ya talaka huanzishwa na wanawake.
    Uchunguzi wa DNA 1 kati ya 3 hurejea kuwa hasi.
    Maelfu ya wanaume wako korokoroni—si kwa uhalifu—
    lakini kwa kutoweza kuendelea na malipo yaliyoidhinishwa na mahakama...
    kwa watoto ambao hata si wao.
    Acha hiyo marinate.
    Unapoteza familia yako ... na bado wanakulaumu.
    "Labda alimuonya."
    "Alichagua uzuri, sio akili."
    "Hakujitambua vya kutosha."
    Kweli?
    Kwa hivyo wakati watu wa Mungu-
    Mchungaji Chris Oyakhilome, Benny Hinn,Kenneth Copeland—
    kuishia kutengana au kuachwa...
    hawakumsikia Mungu? Hawakuwa na kasi ya kutosha?
    Hawakuwa na macho ya kiroho?
    Au labda…
    labda tu…
    walioa wanawake ambao walikuwa wataalamu wa kuficha asili yao halisi.
    Hadi siku moja -
    waliamka, na kubadili.
    Hakuna onyo.
    Hakuna majuto.
    "Nimebadilika tu."
    Wanawake wa kisasa hawakuacha kwa kudanganya.
    Wanaondoka kwa sababu rekodi yako ya matukio imekwisha.
    Hujawa mtu wa njozi haraka vya kutosha.
    Hukuweza kumudu kifurushi cha maisha laini kwa ratiba.
    Kwa hiyo "hupunguza hasara zao" na kupiga risasi mitaani.
    Ulikuwa mzuri.
    Lakini ulikuwa hautoshi.
    Sio tajiri wa kutosha.
    Sio furaha ya kutosha.
    Haielekezi vya kutosha.
    Na sasa watoto wamekwenda.
    Nyumba ni kimya.
    Moyo wako umechoka.
    Na yote unayosikia ni:
    "Wanaume wa kweli hupigania familia zao."
    Kana kwamba haujatoa damu ukijaribu.
    Niseme wazi.

    Unaweza kuwa baba bora -
    na bado kupoteza.
    Sio kwa sababu haukupenda vya kutosha.
    Lakini kwa sababu upendo haujalishi tena.
    Sio kama wewe ni mwanaume.
    Wacha wapiganaji na wataalam wafurike maoni.
    Wacha wanawake waseme "sio sote."
    Waache wakanushaji waje wakibembea.

    Lakini wanaume halisi wanajua.
    Wameishi.
    Wamemwaga damu.
    Wamezika ndoto.
    Usiseme chochote.
    Andika tu "Kupitia" na uendelee.

    #ubaba
    #uanaume
    #maumivu kimya
    #utapeli wa ubaba
    #mahakama ya familia
    Unaweza Kuwa Baba bora na Bado Ukapoteza Familia Yako Kwa sababu katika ulimwengu wa sasa, juhudi haimaanishi chochote ikiwa wewe ni mwanaume. Unaamka mapema. Nenda kazini. Unalipa kodi. Ubaki mwaminifu. Unaiombea familia. Bado- unawapoteza. Sio kwa sababu umeshindwa. Lakini kwa sababu ubaba wa kisasa umejengwa kama mtego. Unafanya kila kitu sawa ... na bado kuishia vibaya. Anaondoka. Watoto wanafuata. Nyumba inakuwa kumbukumbu. Unaendelea kulipa bili. Anaendelea kubadilisha simulizi. Na ikiwa unathubutu kupaza sauti yako? Wewe ni "sumu." Wewe "huna msimamo." Wewe ndiye "sababu aliondoka." Umelipia mpiga filimbi- lakini bado anaamuru wimbo. Ulifuata sheria. Lakini hilo ndilo tatizo. Kwa sababu ukifuata sheria, wewe si kiongozi. Ikiwa wewe ni mwaminifu, unakuwa rahisi. Uliambiwa umlinde. Kwa hivyo ulifanya. Uliambiwa utoe. Kwa hivyo ulifanya. Uliambiwa ukae mwaminifu. Kwa hivyo ulifanya. Na sasa? Umeachana. Una huzuni. Unaweza kutupwa. Mahakama inasema, "Wewe si baba." Lakini uharibifu tayari umefanywa. Moyo wako? Imevunjwa. Jina lako? Iliyotiwa rangi. Mkoba wako? Bado kuwajibika. Wanaiita “kwa manufaa ya mtoto.” Mtoto hatakuruhusu umuone... tangu 2019. Wakati huo huo, anatabasamu kwa ukimya. Kwa sababu tayari alishinda. Uongo huo ulifanya kazi. Mfumo ulimsaidia. Na jamii ikamshangilia. Wewe? Uko kwenye mtaala wako wa nne. Na hakuna mtu aliyepiga makofi ulivyo nusurika. Tuzungumze ukweli.80% ya talaka huanzishwa na wanawake. Uchunguzi wa DNA 1 kati ya 3 hurejea kuwa hasi. Maelfu ya wanaume wako korokoroni—si kwa uhalifu— lakini kwa kutoweza kuendelea na malipo yaliyoidhinishwa na mahakama... kwa watoto ambao hata si wao. Acha hiyo marinate. Unapoteza familia yako ... na bado wanakulaumu. "Labda alimuonya." "Alichagua uzuri, sio akili." "Hakujitambua vya kutosha." Kweli? Kwa hivyo wakati watu wa Mungu- Mchungaji Chris Oyakhilome, Benny Hinn,Kenneth Copeland— kuishia kutengana au kuachwa... hawakumsikia Mungu? Hawakuwa na kasi ya kutosha? Hawakuwa na macho ya kiroho? Au labda… labda tu… walioa wanawake ambao walikuwa wataalamu wa kuficha asili yao halisi. Hadi siku moja - waliamka, na kubadili. Hakuna onyo. Hakuna majuto. "Nimebadilika tu." Wanawake wa kisasa hawakuacha kwa kudanganya. Wanaondoka kwa sababu rekodi yako ya matukio imekwisha. Hujawa mtu wa njozi haraka vya kutosha. Hukuweza kumudu kifurushi cha maisha laini kwa ratiba. Kwa hiyo "hupunguza hasara zao" na kupiga risasi mitaani. Ulikuwa mzuri. Lakini ulikuwa hautoshi. Sio tajiri wa kutosha. Sio furaha ya kutosha. Haielekezi vya kutosha. Na sasa watoto wamekwenda. Nyumba ni kimya. Moyo wako umechoka. Na yote unayosikia ni: "Wanaume wa kweli hupigania familia zao." Kana kwamba haujatoa damu ukijaribu. Niseme wazi. Unaweza kuwa baba bora - na bado kupoteza. Sio kwa sababu haukupenda vya kutosha. Lakini kwa sababu upendo haujalishi tena. Sio kama wewe ni mwanaume. Wacha wapiganaji na wataalam wafurike maoni. Wacha wanawake waseme "sio sote." Waache wakanushaji waje wakibembea. Lakini wanaume halisi wanajua. Wameishi. Wamemwaga damu. Wamezika ndoto. Usiseme chochote. Andika tu "Kupitia" na uendelee. #ubaba #uanaume #maumivu kimya #utapeli wa ubaba #mahakama ya familia
    Like
    Love
    2
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·2K Views
  • JE, UNAMLETEA UHAI MPENZI WAKO, AU UNALETA KISU?

    Upendo unakusudiwa kujenga, sio kuvunja. Uhusiano unakusudiwa kuwa patakatifu, sio kichinjio. Nafsi mbili zinapokutana, zinapaswa kuleta uhai kwa kila mmoja, sio majeraha, sio makovu, sio huzuni. Hata hivyo, ukweli wa kusikitisha ni kwamba watu wengi huingia kwenye mahusiano wakitarajia kupendwa lakini hupokea maumivu. Wanatazamia furaha lakini wanakutana na taabu. Badala ya mwenzi anayeleta uzima, wanajikuta wanaishi na mtu ambaye ana kisu, akipunguza ujasiri wao, amani na heshima. Kwa hiyo, unaleta uhai kwa mpenzi wako, au unaleta kisu? Upendo unakusudiwa kumpa uhai yule unayedai kumpenda. Katika Mwanzo Mungu alimpulizia Adamu pumzi ya uhai, naye akawa nafsi hai. Kwa njia hiyo hiyo, uhusiano unapaswa kupumua maisha ndani ya mtu, sio kukimbia maisha kutoka kwao. Unapomhimiza mwenzako kufuata ndoto zake, unaleta uzima. Unapozungumza maneno ya fadhili, heshima, na uthibitisho, unaleta uzima. Unapovumilia mapungufu yao na kutembea nao katika mapambano yao, unaleta uhai. Wakati uwepo wako ni chanzo cha amani na si chanzo cha msongo wa mawazo, unaleta uhai. Upendo haupaswi kamwe kuhisi kama kutembea kwenye uwanja wa vita, ambapo kila neno, kila kitendo na kila siku huhisi kama kupigania kuishi. Mpenzi wako hapaswi kujisikia salama nje kuliko ndani ya uhusiano. Ikiwa unampenda mtu, anapaswa kustawi chini ya upendo wako, sio kukauka.

    Kisu sio lazima kiwe cha mwili kila wakati. Vidonda vingine huenda zaidi kuliko mwili; wanachoma roho. Baadhi yetu, badala ya kuleta uhai, kuleta kisu. Tunaleta kisu cha maneno makali, kukata ndani ya kujithamini kwa mpenzi wetu. Tunaleta kisu cha kulinganisha, na kuwafanya wahisi kama hawatoshi vya kutosha. Tunakuja na kisu cha kupuuza, na njaa ya upendo na tahadhari wanayotamani. Kwa namna fulani, pia kuja na kisu cha usaliti, ambapo uaminifu wetu ni kwa maneno tu lakini si kwa vitendo. Watu wengine wanakufa kihisia na kiroho kwa sababu ya mtu wanayempenda. Furaha yao inafifia taratibu. Kujiamini kwao kunatoweka. Kicheko chao hakitoki tena moyoni. Kwa nini? Kwa sababu aliyekusudiwa kuwalisha sasa ndiye anayewaangamiza. Je, wewe ni mtoaji wa uzima au mleta maumivu? Je, watu hupata amani mbele yako au wasiwasi wako? Je, unainua au kubomoa? Ikiwa mtu unayempenda anafurahi zaidi wakati haupo kuliko wakati haupo, ni ishara kwamba unaweza kuwa unaleta kisu, sio maisha. Upendo unapaswa kuwa kama bustani ambayo watu wawili hukua pamoja. Lakini upendo unawezaje kukua ikiwa mwenzi mmoja anamwaga maji wakati mwingine anamwaga sumu? Ikiwa mmoja anapanda mbegu wakati mwingine anang'oa? Chagua kusema maneno ya uhai badala ya maneno yanayoua kujiamini. Chagua kukumbatia dosari badala ya kuzitumia kama silaha. Chagua kuunga mkono ndoto badala ya kuzikejeli. Chagua kuwa mahali salama, sio eneo la vita.

    Upendo unapaswa kuwa zawadi, sio mzigo. Baraka, si laana. Nguvu ya uponyaji, sio chanzo cha majeraha. Je, katika maisha ya mwenzako wewe ni mganga au mharibifu? Unaleta uhai au kisu?

    Credit
    Albert Nwosu
    JE, UNAMLETEA UHAI MPENZI WAKO, AU UNALETA KISU? Upendo unakusudiwa kujenga, sio kuvunja. Uhusiano unakusudiwa kuwa patakatifu, sio kichinjio. Nafsi mbili zinapokutana, zinapaswa kuleta uhai kwa kila mmoja, sio majeraha, sio makovu, sio huzuni. Hata hivyo, ukweli wa kusikitisha ni kwamba watu wengi huingia kwenye mahusiano wakitarajia kupendwa lakini hupokea maumivu. Wanatazamia furaha lakini wanakutana na taabu. Badala ya mwenzi anayeleta uzima, wanajikuta wanaishi na mtu ambaye ana kisu, akipunguza ujasiri wao, amani na heshima. Kwa hiyo, unaleta uhai kwa mpenzi wako, au unaleta kisu? Upendo unakusudiwa kumpa uhai yule unayedai kumpenda. Katika Mwanzo Mungu alimpulizia Adamu pumzi ya uhai, naye akawa nafsi hai. Kwa njia hiyo hiyo, uhusiano unapaswa kupumua maisha ndani ya mtu, sio kukimbia maisha kutoka kwao. Unapomhimiza mwenzako kufuata ndoto zake, unaleta uzima. Unapozungumza maneno ya fadhili, heshima, na uthibitisho, unaleta uzima. Unapovumilia mapungufu yao na kutembea nao katika mapambano yao, unaleta uhai. Wakati uwepo wako ni chanzo cha amani na si chanzo cha msongo wa mawazo, unaleta uhai. Upendo haupaswi kamwe kuhisi kama kutembea kwenye uwanja wa vita, ambapo kila neno, kila kitendo na kila siku huhisi kama kupigania kuishi. Mpenzi wako hapaswi kujisikia salama nje kuliko ndani ya uhusiano. Ikiwa unampenda mtu, anapaswa kustawi chini ya upendo wako, sio kukauka. Kisu sio lazima kiwe cha mwili kila wakati. Vidonda vingine huenda zaidi kuliko mwili; wanachoma roho. Baadhi yetu, badala ya kuleta uhai, kuleta kisu. Tunaleta kisu cha maneno makali, kukata ndani ya kujithamini kwa mpenzi wetu. Tunaleta kisu cha kulinganisha, na kuwafanya wahisi kama hawatoshi vya kutosha. Tunakuja na kisu cha kupuuza, na njaa ya upendo na tahadhari wanayotamani. Kwa namna fulani, pia kuja na kisu cha usaliti, ambapo uaminifu wetu ni kwa maneno tu lakini si kwa vitendo. Watu wengine wanakufa kihisia na kiroho kwa sababu ya mtu wanayempenda. Furaha yao inafifia taratibu. Kujiamini kwao kunatoweka. Kicheko chao hakitoki tena moyoni. Kwa nini? Kwa sababu aliyekusudiwa kuwalisha sasa ndiye anayewaangamiza. Je, wewe ni mtoaji wa uzima au mleta maumivu? Je, watu hupata amani mbele yako au wasiwasi wako? Je, unainua au kubomoa? Ikiwa mtu unayempenda anafurahi zaidi wakati haupo kuliko wakati haupo, ni ishara kwamba unaweza kuwa unaleta kisu, sio maisha. Upendo unapaswa kuwa kama bustani ambayo watu wawili hukua pamoja. Lakini upendo unawezaje kukua ikiwa mwenzi mmoja anamwaga maji wakati mwingine anamwaga sumu? Ikiwa mmoja anapanda mbegu wakati mwingine anang'oa? Chagua kusema maneno ya uhai badala ya maneno yanayoua kujiamini. Chagua kukumbatia dosari badala ya kuzitumia kama silaha. Chagua kuunga mkono ndoto badala ya kuzikejeli. Chagua kuwa mahali salama, sio eneo la vita. Upendo unapaswa kuwa zawadi, sio mzigo. Baraka, si laana. Nguvu ya uponyaji, sio chanzo cha majeraha. Je, katika maisha ya mwenzako wewe ni mganga au mharibifu? Unaleta uhai au kisu? Credit Albert Nwosu
    Love
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·1K Views
  • PART 7

    Saa 4:28 asubuhi, Mnara wa Kaskazini wa WTC ulianguka, dakika 102 baada ya athari iliyosababishwa na ndege ya shirika la ndege la American Airlines. Mamia ya watu, ambao hawakuweza kuondolewa, ikiwa ni pamoja na waokoaji waliokuwa katika ghorofa, walifukiwa na vifusi vya jengo hilo.
    Minara hiyo inayoanguka pia ilisababisha uharibifu mkubwa kwa majengo yaliyo kuwa karibu, kama mnara wa 7 wa WTC, ambao ulidondoka saa 11:20 jioni.
    PART 7 Saa 4:28 asubuhi, Mnara wa Kaskazini wa WTC ulianguka, dakika 102 baada ya athari iliyosababishwa na ndege ya shirika la ndege la American Airlines. Mamia ya watu, ambao hawakuweza kuondolewa, ikiwa ni pamoja na waokoaji waliokuwa katika ghorofa, walifukiwa na vifusi vya jengo hilo. Minara hiyo inayoanguka pia ilisababisha uharibifu mkubwa kwa majengo yaliyo kuwa karibu, kama mnara wa 7 wa WTC, ambao ulidondoka saa 11:20 jioni.
    Like
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·888 Views
  • Undani wa bifu kati Rais wa DR Congo , Félix Tshisekedi na Kiongozi Mkuu wa Waasi wa M23, Corneille
    Nanga.

    Anaitwa Jenerali Corneille Nanga ambaye ni Kamanda Mkuu (Rais) wa makundi yote ya Waasi yanayopigana Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo likiwemo kundi la M23. Muungano huo unaitwa Congo River Allience na yeye ndio Kiongozi Mkuu na amesema malengo yao ni kuitwaa DR Congo yote mpaka Mji Mkuu Kinshasa.

    Muungano wa makundi hayo aliutangaza rasmi mwaka 2023. Ikumbukwe kwamba Corneille Nanga alikuwa Mtumishi wa ngazi za juu ndani ya Serikali ya DR Congo kwa miaka mingi akifanya kazi katika programu mbalimbali za umoja wa mataifa. Mwaka 2015 mpaka 2021 alikuwa Mkuu wa tume ya Taifa ya uchaguzi Nchini humo CENI (Commission Electoral Ingependence) na ndiye aliyemtangaza Rais Felix Tshisekedi mshindi wa urais katika uchaguzi mwaka 2018.

    Nanga alitofautiana na Mteuzi wake Rais mstaafu Joseph Kabila na Rais mpya Félix Tshisekedi kwamba kuna makubaliano walikubaliana katika uchaguzi wa 2018 ambapo anadai alichakachua uchaguzi kama Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi CENI na kumpa ushindi Tshisekedi ila baada ya ushindi Tshisekedi akageuka makubaliano yao. Tuhuma hizo Tshisekedi alizikanusha na kusema alishinda kihalali.

    Baada ya mvutano mkali hatimaye Nanga alikimbia Nchi na mwaka 2023 katika mkutano wake uhamishoni Jijini Nairobi alitangaza Muungano wa makundi (17) ya Waasi wote wanaopigana Mashariki mwa DR Congo ikiwemo kundi la M23 na Muungano huo ukapewa jina la Congo River Allience na yeye kuwa ndio Kiongozi Mkuu mkuu wa makundi yote.

    Wakati Nanga akiwa uhamishoni mahakama Kuu Jijini Kinshasa ilimuhukumu adhabu ya kifo akiwa hayupo mahakamani kwa kosa la uhaini. Kiufupi uasi wa DR Congo pakubwa umechangiwa na Uongozi mbovu, ukifuatilia mizizi ya mgogoro utagundua pia kuna mkataba Serikali ya Rais Laurent Kabila iliingia na jamii ya Watutsi Mashariki mwa DR Congo wakati wa kumpindua Rais wa zamani wa Nchi hiyo Mobutu Seseseko lakini baadaye akawageuka baada ya miaka mingi ya mvutano ndio ikaja kuundwa M23.

    Moja makubaliano yao yalikua ni Jamii hiyo ya Watutsi kumsaidia Rais wa zamani Laurent Désiré Kabila (Baba Mzazi wa Joseph Kabila) kumpindua Mobutu kisa Watutsi wapewe sehemu ya Mkoa wa Sud-Kivu na wawe Raia wa DR Congo baada ya kuonekana kukataliwa na Paul Kagame kwa madai kwamba ni mmojawapo ya makundi yaliyohusika na mauwaji ya kimbari mwaka 1994.

    Kundi hili la Waasi la M23, jana lilikanusha kwamba linaungwa mkono na Serikali ya Rwanda (Paul Kagame). Baadaye kwenye mkutano wa Marais wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Paul Kagame alisema kuwa Waasi wanaopigana Nchini DR Congo, wote ni Wakongo (Wakongomani) huku akimnyooshea kidole Félix Tshisekedi kuwa anashindwa kusema hadharani kiini halisi cha mgogoro uliopo kati ya Waasi hao na DR Congo ambapo Kagame alidai kuwa kuna mikataba yao ambao hataki kuzungumzwa na Serikali ya DR Congo akiwemo Tshisekedi na wakijificha kwenye kichaka cha kwamba Rwanda ndio mfadhili wa Waasi hao.

    Undani wa bifu kati Rais wa DR Congo 🇨🇩, Félix Tshisekedi na Kiongozi Mkuu wa Waasi wa M23, Corneille Nanga. Anaitwa Jenerali Corneille Nanga ambaye ni Kamanda Mkuu (Rais) wa makundi yote ya Waasi yanayopigana Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo likiwemo kundi la M23. Muungano huo unaitwa Congo River Allience na yeye ndio Kiongozi Mkuu na amesema malengo yao ni kuitwaa DR Congo yote mpaka Mji Mkuu Kinshasa. Muungano wa makundi hayo aliutangaza rasmi mwaka 2023. Ikumbukwe kwamba Corneille Nanga alikuwa Mtumishi wa ngazi za juu ndani ya Serikali ya DR Congo kwa miaka mingi akifanya kazi katika programu mbalimbali za umoja wa mataifa. Mwaka 2015 mpaka 2021 alikuwa Mkuu wa tume ya Taifa ya uchaguzi Nchini humo CENI (Commission Electoral Ingependence) na ndiye aliyemtangaza Rais Felix Tshisekedi mshindi wa urais katika uchaguzi mwaka 2018. Nanga alitofautiana na Mteuzi wake Rais mstaafu Joseph Kabila na Rais mpya Félix Tshisekedi kwamba kuna makubaliano walikubaliana katika uchaguzi wa 2018 ambapo anadai alichakachua uchaguzi kama Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi CENI na kumpa ushindi Tshisekedi ila baada ya ushindi Tshisekedi akageuka makubaliano yao. Tuhuma hizo Tshisekedi alizikanusha na kusema alishinda kihalali. Baada ya mvutano mkali hatimaye Nanga alikimbia Nchi na mwaka 2023 katika mkutano wake uhamishoni Jijini Nairobi alitangaza Muungano wa makundi (17) ya Waasi wote wanaopigana Mashariki mwa DR Congo ikiwemo kundi la M23 na Muungano huo ukapewa jina la Congo River Allience na yeye kuwa ndio Kiongozi Mkuu mkuu wa makundi yote. Wakati Nanga akiwa uhamishoni mahakama Kuu Jijini Kinshasa ilimuhukumu adhabu ya kifo akiwa hayupo mahakamani kwa kosa la uhaini. Kiufupi uasi wa DR Congo pakubwa umechangiwa na Uongozi mbovu, ukifuatilia mizizi ya mgogoro utagundua pia kuna mkataba Serikali ya Rais Laurent Kabila iliingia na jamii ya Watutsi Mashariki mwa DR Congo wakati wa kumpindua Rais wa zamani wa Nchi hiyo Mobutu Seseseko lakini baadaye akawageuka baada ya miaka mingi ya mvutano ndio ikaja kuundwa M23. Moja makubaliano yao yalikua ni Jamii hiyo ya Watutsi kumsaidia Rais wa zamani Laurent Désiré Kabila (Baba Mzazi wa Joseph Kabila) kumpindua Mobutu kisa Watutsi wapewe sehemu ya Mkoa wa Sud-Kivu na wawe Raia wa DR Congo baada ya kuonekana kukataliwa na Paul Kagame kwa madai kwamba ni mmojawapo ya makundi yaliyohusika na mauwaji ya kimbari mwaka 1994. Kundi hili la Waasi la M23, jana lilikanusha kwamba linaungwa mkono na Serikali ya Rwanda 🇷🇼 (Paul Kagame). Baadaye kwenye mkutano wa Marais wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Paul Kagame alisema kuwa Waasi wanaopigana Nchini DR Congo, wote ni Wakongo (Wakongomani) huku akimnyooshea kidole Félix Tshisekedi kuwa anashindwa kusema hadharani kiini halisi cha mgogoro uliopo kati ya Waasi hao na DR Congo ambapo Kagame alidai kuwa kuna mikataba yao ambao hataki kuzungumzwa na Serikali ya DR Congo akiwemo Tshisekedi na wakijificha kwenye kichaka cha kwamba Rwanda ndio mfadhili wa Waasi hao.
    1 Commentarios ·0 Acciones ·1K Views
  • Sina bifu na mtu yeyote
    Sina bifu na mtu yeyote👊👊👊👊🫂🫂🫂
    Love
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·366 Views
  • CHAGUA KINACHO FAIDA, SI KILE KINACHOSISIMUA...

    Maisha ni safari iliyojaa chaguzi, njia panda, na maamuzi ambayo yanaunda hatima yetu. Hata hivyo, katikati ya haya yote, moja ya majaribu makubwa tunayokabiliana nayo ni chambo cha kile kinachoonekana "kuvutia." Lakini wacha nikukumbushe kwamba sio kila kitu kinachovutia ambacho kinafaa kufuata, na sio kila kitu kitamu kinaongoza kwenye uzima. Tunaishi katika ulimwengu unaotukuza kufuatia raha, mvuto wa burudani, na msisimuko wa muda mfupi tu. Lakini kumbuka hili: "Labda ni ya kuvutia, lakini inaua." Sio nyakati za msisimko za muda mfupi ambazo hufafanua ubora wa maisha yako; ni maamuzi ya muda mrefu unayofanya ambayo ni muhimu sana. Kuna meza ambapo raha hutolewa kwenye sahani za fedha, meza ambapo anasa hupongezwa, na mipaka imefichwa. Jedwali hizi zinaweza kuonekana kuwa za kuvutia, lakini mara nyingi huficha vikombe vyenye sumu. Maisha mengi yameharibiwa na ladha tamu ya anasa. Kinywaji hicho cha ziada, tabia hiyo ya kutojali, tukio hilo lisilo na madhara, yote ya kuvutia kwa sasa, lakini wengi wamelipa kwa afya zao, amani yao, na hata maisha yao. Je! ni watu wangapi wamelala kwenye vitanda vya hospitali leo kwa sababu walifuata kile "kinachovutia"? Ni ndoto ngapi zimekatishwa kwa sababu mtu alifuata kile "kinachosisimua" bila kuzingatia matokeo? Kama vile mithali ya kale inavyosema, “Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, lakini mwisho wake ni njia za mauti” (Mithali 14:12).

    Jedwali lingine la kuepukwa ni meza ya uvumi. Lo, ni jambo la kupendeza kama nini kuketi na kusikiliza mtu akipasuliwa, jina lake likikokotwa kwenye tope! Lakini wacha nikuambie kitu: porojo hazina marafiki wa kudumu. Vinywa vile vile vinavyowachana wengine mbele yako ndivyo vitakugeukia wewe usipokuwepo. Usidanganywe na maoni ya uwongo ya urafiki ambayo porojo hutoa. Uvumi ni kama vampire, unalisha damu ya mahusiano, uaminifu, na sifa. Inavutia, lakini inaua. Inaua urafiki, familia, na jamii. Kama msemo unavyosema, "Mtu anayeondoa kaa linalowaka kutoka kwa paa la jirani yake atalipata peke yake." Unaposhiriki katika uvumi, unafungua mlango wa uharibifu kuingia katika maisha yako mwenyewe. Maisha si msururu wa starehe za kupita muda; ni zawadi takatifu inayokusudiwa kuishi kwa makusudi. Usiishi maisha yako kwa kuzingatia kile kinachovutia. Badala yake, iishi kulingana na kile ambacho kinafaa kwako kwa muda mrefu. Mambo yanayotutegemeza, nidhamu, kazi ngumu, uadilifu, na upendo, si mara zote "yanavutia" kwa sasa, lakini yanajenga maisha yenye thamani. Epuka meza ambapo vitu vya kupendeza tu hutolewa. Jizungushe na watu wanaokupa changamoto, wanaokuhimiza kukua, wanaokuita kwa viwango vya juu zaidi. Kama vile Mtakatifu Paulo anavyoandika, “Vitu vyote ni halali kwangu, lakini si vyote vyenye faida” (1 Wakorintho 10:23). Chagua kile ambacho ni cha manufaa, sio tu kinachosisimua.

    Usiruhusu harakati zako za msisimko zikupoteze maisha ambayo Mungu alikusudia kwa ajili yako. Chagua maisha, chagua kusudi, na uchague njia inayoongoza kwa furaha ya kweli na amani ya kudumu.
    @Fr. Albert Nwosu'
    CHAGUA KINACHO FAIDA, SI KILE KINACHOSISIMUA... Maisha ni safari iliyojaa chaguzi, njia panda, na maamuzi ambayo yanaunda hatima yetu. Hata hivyo, katikati ya haya yote, moja ya majaribu makubwa tunayokabiliana nayo ni chambo cha kile kinachoonekana "kuvutia." Lakini wacha nikukumbushe kwamba sio kila kitu kinachovutia ambacho kinafaa kufuata, na sio kila kitu kitamu kinaongoza kwenye uzima. Tunaishi katika ulimwengu unaotukuza kufuatia raha, mvuto wa burudani, na msisimuko wa muda mfupi tu. Lakini kumbuka hili: "Labda ni ya kuvutia, lakini inaua." Sio nyakati za msisimko za muda mfupi ambazo hufafanua ubora wa maisha yako; ni maamuzi ya muda mrefu unayofanya ambayo ni muhimu sana. Kuna meza ambapo raha hutolewa kwenye sahani za fedha, meza ambapo anasa hupongezwa, na mipaka imefichwa. Jedwali hizi zinaweza kuonekana kuwa za kuvutia, lakini mara nyingi huficha vikombe vyenye sumu. Maisha mengi yameharibiwa na ladha tamu ya anasa. Kinywaji hicho cha ziada, tabia hiyo ya kutojali, tukio hilo lisilo na madhara, yote ya kuvutia kwa sasa, lakini wengi wamelipa kwa afya zao, amani yao, na hata maisha yao. Je! ni watu wangapi wamelala kwenye vitanda vya hospitali leo kwa sababu walifuata kile "kinachovutia"? Ni ndoto ngapi zimekatishwa kwa sababu mtu alifuata kile "kinachosisimua" bila kuzingatia matokeo? Kama vile mithali ya kale inavyosema, “Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, lakini mwisho wake ni njia za mauti” (Mithali 14:12). Jedwali lingine la kuepukwa ni meza ya uvumi. Lo, ni jambo la kupendeza kama nini kuketi na kusikiliza mtu akipasuliwa, jina lake likikokotwa kwenye tope! Lakini wacha nikuambie kitu: porojo hazina marafiki wa kudumu. Vinywa vile vile vinavyowachana wengine mbele yako ndivyo vitakugeukia wewe usipokuwepo. Usidanganywe na maoni ya uwongo ya urafiki ambayo porojo hutoa. Uvumi ni kama vampire, unalisha damu ya mahusiano, uaminifu, na sifa. Inavutia, lakini inaua. Inaua urafiki, familia, na jamii. Kama msemo unavyosema, "Mtu anayeondoa kaa linalowaka kutoka kwa paa la jirani yake atalipata peke yake." Unaposhiriki katika uvumi, unafungua mlango wa uharibifu kuingia katika maisha yako mwenyewe. Maisha si msururu wa starehe za kupita muda; ni zawadi takatifu inayokusudiwa kuishi kwa makusudi. Usiishi maisha yako kwa kuzingatia kile kinachovutia. Badala yake, iishi kulingana na kile ambacho kinafaa kwako kwa muda mrefu. Mambo yanayotutegemeza, nidhamu, kazi ngumu, uadilifu, na upendo, si mara zote "yanavutia" kwa sasa, lakini yanajenga maisha yenye thamani. Epuka meza ambapo vitu vya kupendeza tu hutolewa. Jizungushe na watu wanaokupa changamoto, wanaokuhimiza kukua, wanaokuita kwa viwango vya juu zaidi. Kama vile Mtakatifu Paulo anavyoandika, “Vitu vyote ni halali kwangu, lakini si vyote vyenye faida” (1 Wakorintho 10:23). Chagua kile ambacho ni cha manufaa, sio tu kinachosisimua. Usiruhusu harakati zako za msisimko zikupoteze maisha ambayo Mungu alikusudia kwa ajili yako. Chagua maisha, chagua kusudi, na uchague njia inayoongoza kwa furaha ya kweli na amani ya kudumu. @Fr. Albert Nwosu'
    Love
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·1K Views
  • UGOMVI WA PALESTINA NA ISRAEL NI WA MAPACHA WAWILI TOKA WAKIWA TUMBONI KABLA YA KUZALIWA.

    Nini sababu ya ugomvi ? Siyo tatizo la kugombania ardhi wala kugombania mji wa Yerusalem kunakosababisha ugomvi kati ya mataifa haya mawili ni kwamba kila taifa halitaki kutambulika kwa taifa jingine kama taifa huru.

    Hii inamaanisha kwamba hata kama taifa la Palestina litahamia katika bara jingine au Israel kuhamia bara jingine bado ugomvi na vita ingeendelea kati ya mataifa haya mawili ,ugomvi kati ya mataifa haya unakwenda mbali zaidi tangu watoto wawili mapacha wakiwa tumboni kabla ya kuzaliwa.

    Katika kitabu cha (Mwanzo 25:22) inasomeka;"Bwana akamwambia ,Mataifa mawili yamo tumboni mwako ,Na Kabila mbili za watu watafarakana tangu tumboni mwako, Kabila moja litakuwa hodari Kuliko la pili na mkubwa atamtumikia mdogo."

    Alizaliwa kwanza Esau ambaye baadae aliitwa Edom kisha akafuatia Yakobo ambaye baadae aliitwa Israel. Wakati Edom ni taifa la Palestina, Israel ni taifa la Israeli, hakuna ubishi kwamba Israel ni hodari zaidi ya Palestina.

    Miaka ya 50 iliyopita, yaani mwaka 1967 ,kulitokea vita kati ya Israel na mataifa jirani zake, Vita hii ilipiganwa kwa siku 6 tu(Juni 5---Juni 10,1967) lakini madhara yake yapo mpaka leo ,ilikuwa ni miaka michache kupita baada ya wa--NAZI wa Hitler,kuwaua wayahudi milioni 6 ,ndoto ya kuanzishwa kwa Taifa la Israeli kama ilivyotabiriwa kwenye biblia ilitimia.

    Mwishoni mwa mwaka 1948 ikiwa ni miaka 3 tangu kumalizika kwa vita kuu ya pili ya dunia ,Mataifa ya kiarabu majirani mwa Israel yaliivamia Israel yakijaribu kuliangamiza Taifa changa ambalo muda mfupi tu lilikuwa limetangazwa na Umoja wa Mataifa kuwa Taifa huru, lakini hayakufanikiwa.

    Jeshi la misri lilipigwa lakini askari waliokuwa kwenye eneo dogo linalojulikana kama Falluja walikataa kusalimu amri ,kundi la askari wa Misri na Israeli walipambana vikali ,Miongoni mwa askari Vijana waliokuwa kwenye kikosi cha jeshi la Israel alikuwa ni Yitzhak Rabin ambaye alikuwa na umri wa miaka 26 wakati huo, Pamoja na Meja Gamal Abdel Nasser wa jeshi la Misri aliyekuwa na miaka 30.

    Wapalestina wanauita mwaka 1948 kuwa ni "al--Nakba" yaani 'Janga' .Zaidi ya wapalestina 750,000 walifukuzwa kutoka kwenye eneo ambalo sasa linajulikana kama Taifa la Israel na hawakuruhusiwa kurudi tena mahali hapo.

    Mataifa ya Misri, Jordani, na Syria yaliungana pamoja kuishambulia Israel ambayo hata hivyo ndiyo kwanza ilikuwa imepewa hadhi ya kuwa taifa huru. Lakini kwasababu Mungu alikuwa amesema kwamba "Kabila moja litakuwa hodari kuliko la pili" ni wazi kuwa Israel ,likiwa taifa changa ,bado lilifanikiwa kuwashinda majirani zake tena ndani ya siku 6 tu.

    Ingawa vita kati ya Israel na Palestina ilianzia tumboni ,lakini vita nyingi hutengenezwa na wajenzi huru kwa faida yao, Februari 17 mwaka 1950 James Paul Warburg mwenye asili ya kiyahudi alihutubia Baraza la Senate la Marekani na kusema " Government creates a crisis for which the public demands a solution.
    That solution instigates the changes that the government initially wanted but which the people would have been unwilling to accept.

    It is order out of chaos !!! Worldwide chaos will lead to worldwide solutions which will establish the one world order " yaani; Serikali hutengeneza migogoro ambayo umma hutaka pawepo na suruhisho.
    Suruhisho hilo hulazimisha mabadiliko ambayo awali Serikali iliyataka lakini umma ulikuwa hauyataki, ni utaratibu unaopatikana Kutokana na machafuko !! Machafuko ya kidunia yataleta suruhisho la kidunia ambalo litaanzisha utaratibu mmoja wa ulimwengu.

    Katika hotuba yake inayojulikana kama "Urbi et Orbi ", Papa Francis alisema ;" Pepo za vita zinavuma katika ulimwengu wetu na maendeleo yanaendelea kusababisha mmomonyoko wa maadili na uharibifu wa mazingira " Urbi et Orbi ni maneno yanayomaanisha " To the city and to the world" yaani " kwenda kwa mji na kwenda kwa ulimwengu" kumaanisha kwamba hotuba za Papa Francis zinakwenda kwa wakazi wa mji wa Vatican city na wakazi wa ulimwenguni kote.

    Tishio la silaha za nyuklia kutoka Korea kaskazini ,mgogoro wa peninsula ya Korea pamoja na mgogoro wa mji wa Yerusalem baada ya Rais Trump kutangaza kuwa Yerusalem ni mji Mkuu wa Israel na tangazo hilo kupingwa na Umoja wa Mataifa, ni pepo zinazoonyesha dalili ya kufumka kwa vita duniani kote.

    Katika hotuba hiyo papa Francis alipendekeza kutambuliwa kwa mataifa mawili yaani Israel na Palestina, kama suruhisho la mgogoro wa Mashariki ya kati pamoja na kutatua mgogoro wa Korea kaskazini kwa njia ya kidiplomasia.

    Itakumbukwa kwamba, Mwanasayansi mashuhuri aliyejulikana kama Albert Einstein alitoa tafsiri ya neno " Insanity" yaani " kuchanganyikiwa au uwendawazimu " akisema ;"wakati mtu anapojaribu kutumia kanuni ya zamani ambayo ilishindwa kwa wakati na wakati mwingine tena, akiamini kwamba ,kwa vyovyote atapata matokeo tofauti mtu huyo amechanganyikiwa au ana uwendawazimu.

    Israel, Palestina, Marekani na Umoja wa Mataifa kwa zaidi ya miaka 50 wamekuwa wakijadili uwezekano wa kuleta suluhu kwa kuifanya Palestina kuwa Taifa huru pamoja na Israeli. Hata hivyo ,wapalestina wamekuwa wakijiondoa kwenye suruhisho hilo kwa sababu mpango huo unaifanya Israel iendelee kuwa Taifa huru ,wapalestina wamekuwa wakipinga wazo kwamba Israel ina haki ya kuwepo na kuishi kama Taifa.

    Lengo ni kuwafutilia mbali wayahudi wote, jambo ambalo hata Adolf Hitler alikuwa nalo lakini hakuweza ,kwa mujibu wa Mwanasayansi Albert Einstein " suruhisho la mataifa mawili ( two state solution) limeshindwa kufanya kazi na wale wanaoendelea kupendekeza suruhisho hilo, ama wamechanganyikiwa na ni wendawazimu au wanafanya kwa makusudi wakiwa wanafahamu matokeo yake.

    Raia wa mataifa yote mawili wanamtambua Ibrahimu kama Baba wa Mataifa yao, Ibrahimu aliishi miaka 4000 iliyopita akisafiri Kwenye eneo la Taifa linalojulikana leo kama Iraqi, na akafika Kwenye eneo la taifa linalojulikana leo kama Israeli.

    Ibrahimu aliahidiwa na Mungu Kwamba atapata mtoto Katika uzee wake .Akiwa amesubiri utimilifu wa ahadi hii kwa muda mrefu bila kupata mtoto ,alimchukua kijakazi wake na akafanikiwa kuzaa naye mtoto aliyeitwa ishmail. Lakini mungu hakuwa amepanga kumpatia Ibrahim mtoto kwa njia hiyo, bado aliendelea kumhakikishia kwamba atapata mtoto kupitia kwa mkewe. Kwa sababu alikuwa na imani ,alifanikiwa kumpata mtoto aliyepewa jina la Isaka.

    Kisha Mungu akamuagiza kwenda kwenye mlima Moria, ili akamtoe kafara mtoto wake Isaka ambaye alikuwa amemsubiri Kwa muda mrefu. Huu mlima Moria upo wapi? Ingawa wakati wa siku za Ibrahimu ,miaka 2000KK ,eneo kubwa lilikuwa jangwa ,miaka 1000KK baadae Mfalme Daudi alijenga mji wa Yerusalem katika eneo hilo na mtoto wake aliyejulikana kama Mfalme Sulemani alijenga hekalu la kwanza kwenye eneo hilo la mlima Moria .

    Imeandikwa " ndipo Sulemani akaanza kuijenga nyumba ya bwana huko Yerusalem ,juu ya mlima Moria ..." (2 Nyakati 3:1). Lakini kwa Ibrahimu Mungu anamwambia : " umchukue mwanao ,mwana wako wa pekee, umpendaye ,Isaka, ukaende zako mpaka nchi ya Moria, ukamtoe sadaka, ..." ( Mzo. 22:2) Hivyo basi mji wa Yerusalem anajulikana kama nchi ya Moria au mlima wa Moria au mji wa Daudi mahali palepale alipoambiwa nabii Ibrahimu kwenda kutoa kafara ,ndipo Hapo hapo Mfalme Sulemani alipojenga hekalu la kumuabudia Mungu na kumtolea kafara za wanyama.

    Lakini zaidi ni katika mji wa Yerusalem ndipo yesu aliposulubiwa msalabani na hapo ndipo lilipo chimbuko la dini ya ukristo iliyoanzishwa kwa ujumla uzao wa Ibrahimu ndio chimbuko la dini kubwa tatu ,yaani uyahudi, uislamu ,na ukristo.

    Dini zingine zote zimetokana na dini hizi tatu ,Kutokana na ukweli huu ,wajenzi huru wamefanikiwa kuwashawishi viongozi wa dini zote na kuziunganisha kuwa dini moja. Ingawa majina ya dini hizi yanaendelea kutumika kiasi cha kuonekana kwamba hakuna tofauti ,lakini matunda ya dini hizi yanaonyesha wazi kuwa yanatokea kwenye mti mmoja.

    Katika mambo ya kiroho jina la dini ya mtu au dhehebu lake haliwezi kumfanya muumini afike mbinguni bali kitu muhimu ni matunda ya dini hiyo au dhehebu hilo. Kwa kujua hili mwanzilishi wa illuminati Dkt Adam Weishaupt aliandika akisema , The great strength of our order lies in its concealment " yaani nguvu kubwa ya Utaratibu wetu Iko katika kuficha na kufanya kazi zetu kwa siri kubwa " Hata huu muunganiko wa dini umefanywa kwa siri kubwa kiasi kwamba waumini wengi hawajui kinachoendelea.

    Weishaupt akaendelea kusema, " let it never appear in any place in its own name, but always covered by another name and another occupation " yaani; " hebu isionekane mahali popote kwa jina lake, lakini daima ifanyike kwa jina lingine na kwa namna nyingine." ( Robin's Proofs of a Conspiracy, P. 195).
    UGOMVI WA PALESTINA NA ISRAEL NI WA MAPACHA WAWILI TOKA WAKIWA TUMBONI KABLA YA KUZALIWA. Nini sababu ya ugomvi ? Siyo tatizo la kugombania ardhi wala kugombania mji wa Yerusalem kunakosababisha ugomvi kati ya mataifa haya mawili ni kwamba kila taifa halitaki kutambulika kwa taifa jingine kama taifa huru. Hii inamaanisha kwamba hata kama taifa la Palestina litahamia katika bara jingine au Israel kuhamia bara jingine bado ugomvi na vita ingeendelea kati ya mataifa haya mawili ,ugomvi kati ya mataifa haya unakwenda mbali zaidi tangu watoto wawili mapacha wakiwa tumboni kabla ya kuzaliwa. Katika kitabu cha (Mwanzo 25:22) inasomeka;"Bwana akamwambia ,Mataifa mawili yamo tumboni mwako ,Na Kabila mbili za watu watafarakana tangu tumboni mwako, Kabila moja litakuwa hodari Kuliko la pili na mkubwa atamtumikia mdogo." Alizaliwa kwanza Esau ambaye baadae aliitwa Edom kisha akafuatia Yakobo ambaye baadae aliitwa Israel. Wakati Edom ni taifa la Palestina, Israel ni taifa la Israeli, hakuna ubishi kwamba Israel ni hodari zaidi ya Palestina. Miaka ya 50 iliyopita, yaani mwaka 1967 ,kulitokea vita kati ya Israel na mataifa jirani zake, Vita hii ilipiganwa kwa siku 6 tu(Juni 5---Juni 10,1967) lakini madhara yake yapo mpaka leo ,ilikuwa ni miaka michache kupita baada ya wa--NAZI wa Hitler,kuwaua wayahudi milioni 6 ,ndoto ya kuanzishwa kwa Taifa la Israeli kama ilivyotabiriwa kwenye biblia ilitimia. Mwishoni mwa mwaka 1948 ikiwa ni miaka 3 tangu kumalizika kwa vita kuu ya pili ya dunia ,Mataifa ya kiarabu majirani mwa Israel yaliivamia Israel yakijaribu kuliangamiza Taifa changa ambalo muda mfupi tu lilikuwa limetangazwa na Umoja wa Mataifa kuwa Taifa huru, lakini hayakufanikiwa. Jeshi la misri lilipigwa lakini askari waliokuwa kwenye eneo dogo linalojulikana kama Falluja walikataa kusalimu amri ,kundi la askari wa Misri na Israeli walipambana vikali ,Miongoni mwa askari Vijana waliokuwa kwenye kikosi cha jeshi la Israel alikuwa ni Yitzhak Rabin ambaye alikuwa na umri wa miaka 26 wakati huo, Pamoja na Meja Gamal Abdel Nasser wa jeshi la Misri aliyekuwa na miaka 30. Wapalestina wanauita mwaka 1948 kuwa ni "al--Nakba" yaani 'Janga' .Zaidi ya wapalestina 750,000 walifukuzwa kutoka kwenye eneo ambalo sasa linajulikana kama Taifa la Israel na hawakuruhusiwa kurudi tena mahali hapo. Mataifa ya Misri, Jordani, na Syria yaliungana pamoja kuishambulia Israel ambayo hata hivyo ndiyo kwanza ilikuwa imepewa hadhi ya kuwa taifa huru. Lakini kwasababu Mungu alikuwa amesema kwamba "Kabila moja litakuwa hodari kuliko la pili" ni wazi kuwa Israel ,likiwa taifa changa ,bado lilifanikiwa kuwashinda majirani zake tena ndani ya siku 6 tu. Ingawa vita kati ya Israel na Palestina ilianzia tumboni ,lakini vita nyingi hutengenezwa na wajenzi huru kwa faida yao, Februari 17 mwaka 1950 James Paul Warburg mwenye asili ya kiyahudi alihutubia Baraza la Senate la Marekani na kusema " Government creates a crisis for which the public demands a solution. That solution instigates the changes that the government initially wanted but which the people would have been unwilling to accept. It is order out of chaos !!! Worldwide chaos will lead to worldwide solutions which will establish the one world order " yaani; Serikali hutengeneza migogoro ambayo umma hutaka pawepo na suruhisho. Suruhisho hilo hulazimisha mabadiliko ambayo awali Serikali iliyataka lakini umma ulikuwa hauyataki, ni utaratibu unaopatikana Kutokana na machafuko !! Machafuko ya kidunia yataleta suruhisho la kidunia ambalo litaanzisha utaratibu mmoja wa ulimwengu. Katika hotuba yake inayojulikana kama "Urbi et Orbi ", Papa Francis alisema ;" Pepo za vita zinavuma katika ulimwengu wetu na maendeleo yanaendelea kusababisha mmomonyoko wa maadili na uharibifu wa mazingira " Urbi et Orbi ni maneno yanayomaanisha " To the city and to the world" yaani " kwenda kwa mji na kwenda kwa ulimwengu" kumaanisha kwamba hotuba za Papa Francis zinakwenda kwa wakazi wa mji wa Vatican city na wakazi wa ulimwenguni kote. Tishio la silaha za nyuklia kutoka Korea kaskazini ,mgogoro wa peninsula ya Korea pamoja na mgogoro wa mji wa Yerusalem baada ya Rais Trump kutangaza kuwa Yerusalem ni mji Mkuu wa Israel na tangazo hilo kupingwa na Umoja wa Mataifa, ni pepo zinazoonyesha dalili ya kufumka kwa vita duniani kote. Katika hotuba hiyo papa Francis alipendekeza kutambuliwa kwa mataifa mawili yaani Israel na Palestina, kama suruhisho la mgogoro wa Mashariki ya kati pamoja na kutatua mgogoro wa Korea kaskazini kwa njia ya kidiplomasia. Itakumbukwa kwamba, Mwanasayansi mashuhuri aliyejulikana kama Albert Einstein alitoa tafsiri ya neno " Insanity" yaani " kuchanganyikiwa au uwendawazimu " akisema ;"wakati mtu anapojaribu kutumia kanuni ya zamani ambayo ilishindwa kwa wakati na wakati mwingine tena, akiamini kwamba ,kwa vyovyote atapata matokeo tofauti mtu huyo amechanganyikiwa au ana uwendawazimu. Israel, Palestina, Marekani na Umoja wa Mataifa kwa zaidi ya miaka 50 wamekuwa wakijadili uwezekano wa kuleta suluhu kwa kuifanya Palestina kuwa Taifa huru pamoja na Israeli. Hata hivyo ,wapalestina wamekuwa wakijiondoa kwenye suruhisho hilo kwa sababu mpango huo unaifanya Israel iendelee kuwa Taifa huru ,wapalestina wamekuwa wakipinga wazo kwamba Israel ina haki ya kuwepo na kuishi kama Taifa. Lengo ni kuwafutilia mbali wayahudi wote, jambo ambalo hata Adolf Hitler alikuwa nalo lakini hakuweza ,kwa mujibu wa Mwanasayansi Albert Einstein " suruhisho la mataifa mawili ( two state solution) limeshindwa kufanya kazi na wale wanaoendelea kupendekeza suruhisho hilo, ama wamechanganyikiwa na ni wendawazimu au wanafanya kwa makusudi wakiwa wanafahamu matokeo yake. Raia wa mataifa yote mawili wanamtambua Ibrahimu kama Baba wa Mataifa yao, Ibrahimu aliishi miaka 4000 iliyopita akisafiri Kwenye eneo la Taifa linalojulikana leo kama Iraqi, na akafika Kwenye eneo la taifa linalojulikana leo kama Israeli. Ibrahimu aliahidiwa na Mungu Kwamba atapata mtoto Katika uzee wake .Akiwa amesubiri utimilifu wa ahadi hii kwa muda mrefu bila kupata mtoto ,alimchukua kijakazi wake na akafanikiwa kuzaa naye mtoto aliyeitwa ishmail. Lakini mungu hakuwa amepanga kumpatia Ibrahim mtoto kwa njia hiyo, bado aliendelea kumhakikishia kwamba atapata mtoto kupitia kwa mkewe. Kwa sababu alikuwa na imani ,alifanikiwa kumpata mtoto aliyepewa jina la Isaka. Kisha Mungu akamuagiza kwenda kwenye mlima Moria, ili akamtoe kafara mtoto wake Isaka ambaye alikuwa amemsubiri Kwa muda mrefu. Huu mlima Moria upo wapi? Ingawa wakati wa siku za Ibrahimu ,miaka 2000KK ,eneo kubwa lilikuwa jangwa ,miaka 1000KK baadae Mfalme Daudi alijenga mji wa Yerusalem katika eneo hilo na mtoto wake aliyejulikana kama Mfalme Sulemani alijenga hekalu la kwanza kwenye eneo hilo la mlima Moria . Imeandikwa " ndipo Sulemani akaanza kuijenga nyumba ya bwana huko Yerusalem ,juu ya mlima Moria ..." (2 Nyakati 3:1). Lakini kwa Ibrahimu Mungu anamwambia : " umchukue mwanao ,mwana wako wa pekee, umpendaye ,Isaka, ukaende zako mpaka nchi ya Moria, ukamtoe sadaka, ..." ( Mzo. 22:2) Hivyo basi mji wa Yerusalem anajulikana kama nchi ya Moria au mlima wa Moria au mji wa Daudi mahali palepale alipoambiwa nabii Ibrahimu kwenda kutoa kafara ,ndipo Hapo hapo Mfalme Sulemani alipojenga hekalu la kumuabudia Mungu na kumtolea kafara za wanyama. Lakini zaidi ni katika mji wa Yerusalem ndipo yesu aliposulubiwa msalabani na hapo ndipo lilipo chimbuko la dini ya ukristo iliyoanzishwa kwa ujumla uzao wa Ibrahimu ndio chimbuko la dini kubwa tatu ,yaani uyahudi, uislamu ,na ukristo. Dini zingine zote zimetokana na dini hizi tatu ,Kutokana na ukweli huu ,wajenzi huru wamefanikiwa kuwashawishi viongozi wa dini zote na kuziunganisha kuwa dini moja. Ingawa majina ya dini hizi yanaendelea kutumika kiasi cha kuonekana kwamba hakuna tofauti ,lakini matunda ya dini hizi yanaonyesha wazi kuwa yanatokea kwenye mti mmoja. Katika mambo ya kiroho jina la dini ya mtu au dhehebu lake haliwezi kumfanya muumini afike mbinguni bali kitu muhimu ni matunda ya dini hiyo au dhehebu hilo. Kwa kujua hili mwanzilishi wa illuminati Dkt Adam Weishaupt aliandika akisema , The great strength of our order lies in its concealment " yaani nguvu kubwa ya Utaratibu wetu Iko katika kuficha na kufanya kazi zetu kwa siri kubwa " Hata huu muunganiko wa dini umefanywa kwa siri kubwa kiasi kwamba waumini wengi hawajui kinachoendelea. Weishaupt akaendelea kusema, " let it never appear in any place in its own name, but always covered by another name and another occupation " yaani; " hebu isionekane mahali popote kwa jina lake, lakini daima ifanyike kwa jina lingine na kwa namna nyingine." ( Robin's Proofs of a Conspiracy, P. 195).
    Like
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·2K Views
  • JE UNAKIJUA CHUMBA MAARUFU NAMBA 39?...

    ROOM 39.....

    NIlipokuwa nikisoma kuhusu dada yake kiongozi wa Korea Kaskazini aitwae Kim Yo-jong nikapata kidogo ufahamu wa chumba kiitwacho Room 39 ambacho inasadikiwa kuwa mume wake dada huyo aitwae Chong Ryong-hae anafanya kazi ndani ya chumba hicho.

    Chumba hiki kina majina mengi kadhaa kama vile Bureau au Kitengo, Division au sehemu au pia Office 39.

    Chumba hiki kipo ndani ya jengo la chama cha wafanyakazi wa Korea kaskazini jengo ambalo halipo mbali na makazi rasmi ya kiongozi wa Korea Kaskazini bwana Kim Jong-un.

    Lakini kiukweli hiki ni kitengo maalum cha kijasusi ambacho kinafanya kazi zake ndani ya chama cha wafanyakazi wa Korea Kaskazni ambacho kina jukumu moja tu, kuhakikisha viongozi wa Korea Kaskazini wana fedha za kigeni za matumizi wakiwa nje ya nchi hiyo.

    Room 39 kipo chini ya usimamizi wa kamati kuu ya chama hicho lakini upande wa kamati ya kijeshi ambayo ina majukumu ya kupitisha matumizi ya fedha kwa jeshi kwenye ununuzi wa silaha na usimamzi wa maliasili za nchi hiyo madini yakiwemo.

    Inakisiwa kuwa kitengo hicho kinaingiza kati ya dola milioni 500 hadi bilioni 1 au zaidi kwa mwaka, na fedha hizo ni kutokana na biashara za aina zote tunazozifahamu duniani zikiwemo halali na haramu.

    Ukiangalia kazi za kitengo hiki waweza kukifananisha kwa mbali na jeshi maalum la Iran la IRGC ambalo pia linajitegemea na linahisiwa kuingiza kiasi cha dola hadi bilioni 12 kwa mwaka zinatotokana na shughuli mbalimbali za kiuchumi.

    Tofauti iliyopo kidogo ni kwamba Chumba 39 au Room 39 kimejikita zaidi kwenye ujasusi wa nje ya Korea Kaskazini na kinaratibu ofisi na makampuni mbalimbali ndani na nje ya Korea Kaskazini huku wakibadilisha majina mara kwa mara.

    Mfano wa makampuni mbalimbali yanayoendesha shughuli zake nje ya Korea Kaskazini ni migahawa iitwayo Pyongyang ambayo ipo sehemu mbalimbali duniani.

    Kampuni ingine ni ile ya KNIC ambayo inashughulika na masuala ya bima na ina ofisi katika miji ya Hamburg nchini Ujerumani na London nchini Uingereza. Mwaka 2015 umoja wa Ulaya uliwahi kuifungia kampuni hii kutokana na kujishughulisha na biashara haramu na bima bandia na kujipatia fedha kutokana na kudai bima hewa.

    Chumba 39 kilianzishwa kwenye miaka ya 70 na Kim II Sung ambae ni babu yake Kim Jong-un na kukabidhiwa majukumu ya kuhakikisha utawala wa Korea kaskazini huishiwi fedha za kujiendesha pamoja na usimamizi wa uchumi wa nchi hiyo.

    Mahali kilipoanzia shughuli zake ni chumba kilichoitwa Office 39 na baadae kubatiza chumba hichi jina la Room 39 kikiwa nyuma ya chumba kingine kiitwacho room 36 ambacho kazi yake kubwa ni kusimamia fedha za utawala wa Korea Kakazini.

    Chumba hiki kina shughuli nyingi na kimesheheni majasusi wenye taaluma zote muhimu wakiwemo wakemia ambao hudaiwa kutengeneza madawa mbalimbali na kuyauza nchini China, Japan na sehemu zingine barani Asia.

    Pia majasusi wakemia wa chumba 39 wanasadikiwa kutengeneza dawa za kuongeza nguvu za kiume maarufu kama Viagra zenye vimelea mbalimbali kwenye viwanda vyake vilivyoko sehemu iitwayo Chonglin na kuuza kwenye nchi za Hong Kong, China na Mashariki ya kati.

    Kitengo hiki pia kina wataalam wa masuala ya fedha na watengenezaji noti bandia ziitwazo "Supernotes" ambazo huonekana kama fedha halali kwa matumizi na huwa na thamani ya hadi dola milioni 100.

    Kitengo hiki cha kipekee pia hutengeneza bidhaa ambazo baadae huwekwa nembo ya bidhaa za China na kupitishwa na kufanikiwa kufika kwenye masoko ya kimataifa kwenye nchi kama za Ufaransa, Italia na Korea Kusini.

    Bidhaa hizo ni pamoja na Eyelashes (kalamu ya urembo wa kope za macho), vifaa vya muziki na sigara ambavyo kwa pamoja vinasadikiwa kuiingizia nchi hiyo dola milioni 120 kwa mwaka.

    Kwa upande wa mauzo ya silaha nchi hiyo iliwekewa vikwazo kwenye uuzajiw a silaha zake lakini chumba namba 39 kikafanikwia na mwaka 2014 silaha za Korea kaskazini ziliuzwa kwa kutumia makampuni yake yenye majna halali kwa nchi za Syria, Myanmar, Eritrea, Tanzania, Ethiopia, Somalia na Iran.

    Kitengo hiki pia mwaka 2016 kwa kutumia majasusi wake wataalam wa teknolojia walifanikiwa kudukua hazina ya New York iitwayo Federal Reserve na kuchukua kiasi cha dola bilioni 1.

    Majasusi wa Marekani walipokuwa wakifuatilia wizi huo walikuja kugundua kasoro ya maandishi kwenye makaratasi ya kuombea kufanya mialama na ndipo walipogundua kasoro kwenye neno Foundation lililoandikwa "fandation" ndipo walipobaini kuwa wakorea kaskazini ndio walofanya uharibifu.

    Itakumbukwa kuwa mwaka huohuo wa 2016 ndio mwaka ambao kulitokea kirusi cha kompyuta cha "Wannacry" ambacho kilivamia mifumo mbalimbali ya kompyuta duniani.

    Pia majasusi hao wa Room 39 waliweza kuingiza kwenye mifumo ya ulinzi wa anga ya Korea Kusini na kufanikiwa kuiba ndege za kivita na kisha kuzirusha na kuzitua salama nchini Korea Kaskazini na zisipatikane hadi leo.

    Nchi nyingi zilizoendelea kwa sasa zimeamua kuwekeza kwenye utaalam wa masuala ya mitandao uitwao Cyber Security kwani inasadikiwa kuwa chumba namba 39 kina majasusi wengi walopikwa tayari kushambulia nchi yoyote ile duniani.

    Ama hakika chumba hiki kiitwacho Room 39 ni chumba hatari kuwahi kutokea duniani na hivi karibuni na kuendelea tuzidi kusikiliza kauli zinazotoka kwa utawala wa PyongYang khasa dada yake Kim Jong-un aitwae Kim Yo-jong ambae kiufundi anaonekana ndie kamanda wa Room 39.

    Hii inaweza kumfanya aonekane kuwa ni mwanamke hatari zaidi kuwahi kutokea duniani.

    NB: Ombi kwa MOds msiuunganishe uzi huu.

    Karibu.
    JE UNAKIJUA CHUMBA MAARUFU NAMBA 39?... ROOM 39..... NIlipokuwa nikisoma kuhusu dada yake kiongozi wa Korea Kaskazini aitwae Kim Yo-jong nikapata kidogo ufahamu wa chumba kiitwacho Room 39 ambacho inasadikiwa kuwa mume wake dada huyo aitwae Chong Ryong-hae anafanya kazi ndani ya chumba hicho. Chumba hiki kina majina mengi kadhaa kama vile Bureau au Kitengo, Division au sehemu au pia Office 39. Chumba hiki kipo ndani ya jengo la chama cha wafanyakazi wa Korea kaskazini jengo ambalo halipo mbali na makazi rasmi ya kiongozi wa Korea Kaskazini bwana Kim Jong-un. Lakini kiukweli hiki ni kitengo maalum cha kijasusi ambacho kinafanya kazi zake ndani ya chama cha wafanyakazi wa Korea Kaskazni ambacho kina jukumu moja tu, kuhakikisha viongozi wa Korea Kaskazini wana fedha za kigeni za matumizi wakiwa nje ya nchi hiyo. Room 39 kipo chini ya usimamizi wa kamati kuu ya chama hicho lakini upande wa kamati ya kijeshi ambayo ina majukumu ya kupitisha matumizi ya fedha kwa jeshi kwenye ununuzi wa silaha na usimamzi wa maliasili za nchi hiyo madini yakiwemo. Inakisiwa kuwa kitengo hicho kinaingiza kati ya dola milioni 500 hadi bilioni 1 au zaidi kwa mwaka, na fedha hizo ni kutokana na biashara za aina zote tunazozifahamu duniani zikiwemo halali na haramu. Ukiangalia kazi za kitengo hiki waweza kukifananisha kwa mbali na jeshi maalum la Iran la IRGC ambalo pia linajitegemea na linahisiwa kuingiza kiasi cha dola hadi bilioni 12 kwa mwaka zinatotokana na shughuli mbalimbali za kiuchumi. Tofauti iliyopo kidogo ni kwamba Chumba 39 au Room 39 kimejikita zaidi kwenye ujasusi wa nje ya Korea Kaskazini na kinaratibu ofisi na makampuni mbalimbali ndani na nje ya Korea Kaskazini huku wakibadilisha majina mara kwa mara. Mfano wa makampuni mbalimbali yanayoendesha shughuli zake nje ya Korea Kaskazini ni migahawa iitwayo Pyongyang ambayo ipo sehemu mbalimbali duniani. Kampuni ingine ni ile ya KNIC ambayo inashughulika na masuala ya bima na ina ofisi katika miji ya Hamburg nchini Ujerumani na London nchini Uingereza. Mwaka 2015 umoja wa Ulaya uliwahi kuifungia kampuni hii kutokana na kujishughulisha na biashara haramu na bima bandia na kujipatia fedha kutokana na kudai bima hewa. Chumba 39 kilianzishwa kwenye miaka ya 70 na Kim II Sung ambae ni babu yake Kim Jong-un na kukabidhiwa majukumu ya kuhakikisha utawala wa Korea kaskazini huishiwi fedha za kujiendesha pamoja na usimamizi wa uchumi wa nchi hiyo. Mahali kilipoanzia shughuli zake ni chumba kilichoitwa Office 39 na baadae kubatiza chumba hichi jina la Room 39 kikiwa nyuma ya chumba kingine kiitwacho room 36 ambacho kazi yake kubwa ni kusimamia fedha za utawala wa Korea Kakazini. Chumba hiki kina shughuli nyingi na kimesheheni majasusi wenye taaluma zote muhimu wakiwemo wakemia ambao hudaiwa kutengeneza madawa mbalimbali na kuyauza nchini China, Japan na sehemu zingine barani Asia. Pia majasusi wakemia wa chumba 39 wanasadikiwa kutengeneza dawa za kuongeza nguvu za kiume maarufu kama Viagra zenye vimelea mbalimbali kwenye viwanda vyake vilivyoko sehemu iitwayo Chonglin na kuuza kwenye nchi za Hong Kong, China na Mashariki ya kati. Kitengo hiki pia kina wataalam wa masuala ya fedha na watengenezaji noti bandia ziitwazo "Supernotes" ambazo huonekana kama fedha halali kwa matumizi na huwa na thamani ya hadi dola milioni 100. Kitengo hiki cha kipekee pia hutengeneza bidhaa ambazo baadae huwekwa nembo ya bidhaa za China na kupitishwa na kufanikiwa kufika kwenye masoko ya kimataifa kwenye nchi kama za Ufaransa, Italia na Korea Kusini. Bidhaa hizo ni pamoja na Eyelashes (kalamu ya urembo wa kope za macho), vifaa vya muziki na sigara ambavyo kwa pamoja vinasadikiwa kuiingizia nchi hiyo dola milioni 120 kwa mwaka. Kwa upande wa mauzo ya silaha nchi hiyo iliwekewa vikwazo kwenye uuzajiw a silaha zake lakini chumba namba 39 kikafanikwia na mwaka 2014 silaha za Korea kaskazini ziliuzwa kwa kutumia makampuni yake yenye majna halali kwa nchi za Syria, Myanmar, Eritrea, Tanzania, Ethiopia, Somalia na Iran. Kitengo hiki pia mwaka 2016 kwa kutumia majasusi wake wataalam wa teknolojia walifanikiwa kudukua hazina ya New York iitwayo Federal Reserve na kuchukua kiasi cha dola bilioni 1. Majasusi wa Marekani walipokuwa wakifuatilia wizi huo walikuja kugundua kasoro ya maandishi kwenye makaratasi ya kuombea kufanya mialama na ndipo walipogundua kasoro kwenye neno Foundation lililoandikwa "fandation" ndipo walipobaini kuwa wakorea kaskazini ndio walofanya uharibifu. Itakumbukwa kuwa mwaka huohuo wa 2016 ndio mwaka ambao kulitokea kirusi cha kompyuta cha "Wannacry" ambacho kilivamia mifumo mbalimbali ya kompyuta duniani. Pia majasusi hao wa Room 39 waliweza kuingiza kwenye mifumo ya ulinzi wa anga ya Korea Kusini na kufanikiwa kuiba ndege za kivita na kisha kuzirusha na kuzitua salama nchini Korea Kaskazini na zisipatikane hadi leo. Nchi nyingi zilizoendelea kwa sasa zimeamua kuwekeza kwenye utaalam wa masuala ya mitandao uitwao Cyber Security kwani inasadikiwa kuwa chumba namba 39 kina majasusi wengi walopikwa tayari kushambulia nchi yoyote ile duniani. Ama hakika chumba hiki kiitwacho Room 39 ni chumba hatari kuwahi kutokea duniani na hivi karibuni na kuendelea tuzidi kusikiliza kauli zinazotoka kwa utawala wa PyongYang khasa dada yake Kim Jong-un aitwae Kim Yo-jong ambae kiufundi anaonekana ndie kamanda wa Room 39. Hii inaweza kumfanya aonekane kuwa ni mwanamke hatari zaidi kuwahi kutokea duniani. NB: Ombi kwa MOds msiuunganishe uzi huu. Karibu.
    0 Commentarios ·0 Acciones ·2K Views
  • SIMBA KUCHUKULIWA HATUA KUTOKANA NA KUHUSIKA NA VURUGU NA UHARIBIFU WA MIUNDOMBINU YA UWANJA WA TAIFA
    SIMBA KUCHUKULIWA HATUA KUTOKANA NA KUHUSIKA NA VURUGU NA UHARIBIFU WA MIUNDOMBINU YA UWANJA WA TAIFA
    Love
    Like
    3
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·323 Views
  • Meneja wa Diamond Platnumz, Sallam SK amefunguka kuhusu Diamond Platnumz kushindwa kutumbuiza huko Nchini Kenya usiku wa kuamkia leo. Hii baada ya Msanii wa kenya Willy Paul kudai kuwa Wasanii wa Tanzania wanapendelewa zaidi Nchini humo huku akimtaja Diamond Platnumz kutaka kutumbuiza kabla yake.

    “Nadhani ifike mahali wasanii muwekeze bidii
    kwenye kazi, kufeki story sababu ya fame ya kulazimisha bifu ili kutrend haisaidii, Msanii aitwae Willy aseme ukweli alikuwa anabishana na mtoto wa kike ( Zuchu ) aliblock njia Zuchu asipande kwenye steji akisema alikuwepo tokea mwanzo hivyo anataka pande yeye, ilhali wakati zamu yake allitwa apande kwenye stage aligoma na kusema hawezi kupanda yeye ni Headliner anataka Afunge show Mwisho, baada ya kuona wenzake wanapata shangwe akawa anforce kupanda kwenye Muda wa Zuchu na wala sio Diamond. Regarding why Diamond hajapanda is between us and organizer has nothing to do na msanii yoyote. Bless Up” - Sallam SK

    Toa maoni yako
    Meneja wa Diamond Platnumz, Sallam SK amefunguka kuhusu Diamond Platnumz kushindwa kutumbuiza huko Nchini Kenya usiku wa kuamkia leo. Hii baada ya Msanii wa kenya Willy Paul kudai kuwa Wasanii wa Tanzania wanapendelewa zaidi Nchini humo huku akimtaja Diamond Platnumz kutaka kutumbuiza kabla yake. “Nadhani ifike mahali wasanii muwekeze bidii kwenye kazi, kufeki story sababu ya fame ya kulazimisha bifu ili kutrend haisaidii, Msanii aitwae Willy aseme ukweli alikuwa anabishana na mtoto wa kike ( Zuchu ) aliblock njia Zuchu asipande kwenye steji akisema alikuwepo tokea mwanzo hivyo anataka pande yeye, ilhali wakati zamu yake allitwa apande kwenye stage aligoma na kusema hawezi kupanda yeye ni Headliner anataka Afunge show Mwisho, baada ya kuona wenzake wanapata shangwe akawa anforce kupanda kwenye Muda wa Zuchu na wala sio Diamond. Regarding why Diamond hajapanda is between us and organizer has nothing to do na msanii yoyote. Bless Up” - Sallam SK Toa maoni yako
    Like
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·1K Views
  • napanda kitandani na movie ya kuzimu ndio inaanza/
    narudisha miaka nyuma kurudisha enzi za HBC na KWANZA/
    enzi za real hiphop hakuna vikatuni vilivyojibanza/
    kigangsta napambana..bars zinapandana/
    metaphorz zinafanana..punch zinafuatana/
    mashairi na kinywa vinajamiiana.. ninacho ongea na ukweli vinashabihiana/
    bifu zinaongezeka na emceez wanachinjana.. live kwenye cypher wanauwana/
    hadi wakongwe hakuna wanaopatana.. kila mmoja anaspit kwa kina na mapana/
    mapresenter wanajaribu kubana.. lakini vichwa halisi vinaendelea kuchana/
    mahardcore wanamwaga vesi za kinabii kwenye cypher zinalundikana/
    batto zinaanzishwa emcee feki wanafichama.. wanajifanya makamanda kumbe watoto wa mama/
    naleta propaganda wote waliopo juu wanapigwa mitama/
    namwona zomba ameketi peponi akichekelea..
    nigga one ameketi pembeni hiphop inaongelewa..
    wanadiscuss jinsi kuleta unabii hiphop bongo ikapokelewa//
    nastuka duuh kumbe nilikuwa naota....................
    napanda kitandani na movie ya kuzimu ndio inaanza/ narudisha miaka nyuma kurudisha enzi za HBC na KWANZA/ enzi za real hiphop hakuna vikatuni vilivyojibanza/ kigangsta napambana..bars zinapandana/ metaphorz zinafanana..punch zinafuatana/ mashairi na kinywa vinajamiiana.. ninacho ongea na ukweli vinashabihiana/ bifu zinaongezeka na emceez wanachinjana.. live kwenye cypher wanauwana/ hadi wakongwe hakuna wanaopatana.. kila mmoja anaspit kwa kina na mapana/ mapresenter wanajaribu kubana.. lakini vichwa halisi vinaendelea kuchana/ mahardcore wanamwaga vesi za kinabii kwenye cypher zinalundikana/ batto zinaanzishwa emcee feki wanafichama.. wanajifanya makamanda kumbe watoto wa mama/ naleta propaganda wote waliopo juu wanapigwa mitama/ namwona zomba ameketi peponi akichekelea.. nigga one ameketi pembeni hiphop inaongelewa.. wanadiscuss jinsi kuleta unabii hiphop bongo ikapokelewa// nastuka duuh kumbe nilikuwa naota....................
    Like
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·1K Views
  • Unafanya nisote Jamani.../
    skupendi..maana unafanya nikose Amani/
    Umekuja lini..? kwangu skumbuki../!
    na kama ungekua...binadamu ninge kushuti/
    Sio siri hata Raha umenikata.../
    nime kukimbia bushi...mpaka Dom umenifata/
    umeniganda...sina mishe hakika../
    Lengo lako ni lipi..? au unataka nife kabisa/?
    umenipa mikosi...umenipa balaa.../
    umeninyima pesa...pia umezika na Raha/
    Shida..sio kwamba nakutenga.../
    Duniani.. hakuna anae kupenda/
    sio mimi tu!.. unatesa taifa langu../
    Urafki wako..hakuna faida kwangu/
    Aah!!..nakupa sera nielewe../
    bila hatia maskini, wanatupwa jera kisa wewe/!!
    Vers..2
    unachukiwa...mpaka na shehe Flan../
    skufichi... huna tofauti na Shetani/
    Najua... hutaki nifike kwa kua../
    una bifu namimi...hutaki nipige hatua/
    niendelee au niachie HapO.?
    Unafanya nisote Jamani.../ skupendi..maana unafanya nikose Amani/ Umekuja lini..? kwangu skumbuki../! na kama ungekua...binadamu ninge kushuti/ Sio siri hata Raha umenikata.../ nime kukimbia bushi...mpaka Dom umenifata/ umeniganda...sina mishe hakika../ Lengo lako ni lipi..? au unataka nife kabisa/? umenipa mikosi...umenipa balaa.../ umeninyima pesa...pia umezika na Raha/ Shida..sio kwamba nakutenga.../ Duniani.. hakuna anae kupenda/ sio mimi tu!.. unatesa taifa langu../ Urafki wako..hakuna faida kwangu/ Aah!!..nakupa sera nielewe../ bila hatia maskini, wanatupwa jera kisa wewe/!! Vers..2 unachukiwa...mpaka na shehe Flan../ skufichi... huna tofauti na Shetani/ Najua... hutaki nifike kwa kua../ una bifu namimi...hutaki nipige hatua/ niendelee au niachie HapO.?
    Like
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·397 Views
  • Unafanya nisote Jamani.../
    skupendi..maana unafanya nikose Amani/
    Umekuja lini..? kwangu skumbuki../!
    na kama ungekua...binadamu ninge kushuti/
    Sio siri hata Raha umenikata.../
    nime kukimbia bushi...mpaka Dom umenifata/
    umeniganda...sina mishe hakika../
    Lengo lako ni lipi..? au unataka nife kabisa/?
    umenipa mikosi...umenipa balaa.../
    umeninyima pesa...pia umezika na Raha/
    Shida..sio kwamba nakutenga.../
    Duniani.. hakuna anae kupenda/
    sio mimi tu!.. unatesa taifa langu../
    Urafki wako..hakuna faida kwangu/
    Aah!!..nakupa sera nielewe../
    bila hatia maskini, wanatupwa jera kisa wewe/!!
    Vers..2
    unachukiwa...mpaka na shehe Flan../
    skufichi... huna tofauti na Shetani/
    Najua... hutaki nifike kwa kua../
    una bifu namimi...hutaki nipige hatua/
    niendelee au niachie HapO.?
    Unafanya nisote Jamani.../ skupendi..maana unafanya nikose Amani/ Umekuja lini..? kwangu skumbuki../! na kama ungekua...binadamu ninge kushuti/ Sio siri hata Raha umenikata.../ nime kukimbia bushi...mpaka Dom umenifata/ umeniganda...sina mishe hakika../ Lengo lako ni lipi..? au unataka nife kabisa/? umenipa mikosi...umenipa balaa.../ umeninyima pesa...pia umezika na Raha/ Shida..sio kwamba nakutenga.../ Duniani.. hakuna anae kupenda/ sio mimi tu!.. unatesa taifa langu../ Urafki wako..hakuna faida kwangu/ Aah!!..nakupa sera nielewe../ bila hatia maskini, wanatupwa jera kisa wewe/!! Vers..2 unachukiwa...mpaka na shehe Flan../ skufichi... huna tofauti na Shetani/ Najua... hutaki nifike kwa kua../ una bifu namimi...hutaki nipige hatua/ niendelee au niachie HapO.?
    Like
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·403 Views
  • Am back again mwandamizi mfuwadhi wa tungo #salaries
    Michoro black combain kwa miluzi hii its not rap #siries
    ben wa michoro na tungo za kiimani Fanya moyo mnyofu taamka #kinywani
    Hichi kidonge cha mpenda rap kwenye map utusue #hewani
    Hip hop sio maji beba peleka bafuni lazma uumize kichwa kama umeng'atwa #kunguni
    Mwenda wa zimu aliechanganyikiwa kwa virusi vya #hip hop
    Natema ngumu kwenye beat napachika #mnofu
    Wananiita teacher ingawa me lecture wa #chuo
    All Mcz nawapa rhymes kwa mgao ili mnipe #cheo
    Ata Siku nikifa tungo zangu mtatumia kama #kombeo
    Paroko damu yangu ulimwengu umejaa #majungu
    Mcz na marapa bifu za kijinga tuzitupe kwenye #uvungu
    Vina kalandika pamoja toka ujana mpaka tuna #pinda
    Am back again mwandamizi mfuwadhi wa tungo #salaries Michoro black combain kwa miluzi hii its not rap #siries ben wa michoro na tungo za kiimani Fanya moyo mnyofu taamka #kinywani Hichi kidonge cha mpenda rap kwenye map utusue #hewani Hip hop sio maji beba peleka bafuni lazma uumize kichwa kama umeng'atwa #kunguni Mwenda wa zimu aliechanganyikiwa kwa virusi vya #hip hop Natema ngumu kwenye beat napachika #mnofu Wananiita teacher ingawa me lecture wa #chuo All Mcz nawapa rhymes kwa mgao ili mnipe #cheo Ata Siku nikifa tungo zangu mtatumia kama #kombeo Paroko damu yangu ulimwengu umejaa #majungu Mcz na marapa bifu za kijinga tuzitupe kwenye #uvungu Vina kalandika pamoja toka ujana mpaka tuna #pinda
    Like
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·2K Views
  • Nikicheki muda Ni saa 4 usiku Napiga Dua namshukuru mungu
    Kwa kunilinda Hii Siku na Wenye #Bifu
    Naomba Tena Atulinde huu usiku #Mrefu
    Mungu Mimi kwako si #Mkamilifu
    Najua nakosea Nina mengi #Madhaifu
    Kwa wema wako nioshe niwe #Nadhifu
    Nakusifu kwa mdomo maana hujaniumba #BuBu
    Wape Tumaini wenye matatizo yanayo #Wasibu
    Wagonjwa mahospitali wema wako #Ukawatibu
    Wategemee Dua na sio sangoma Wala #Chifu
    Waombewe na watumishi mashekh wakina #Sharifu
    Wasirogane kwa kuvunjiana Nazi na #Madafu
    Nashukuru kwa hii pumzi inayoingia kwenye #Mapafu
    Nitimize sakramenti takwa Mimi nilie #Mkristu
    Niepushe Na zinaa niogope kufungua #Zipu
    Niepushe Na tamaa nisipende Sana #Chipu
    Niwe mwema ndugu zangu nisiwachezee #Rafu
    Niiheshimu ndoa nilale chumbani niogee #Bafu
    Kesho nijalie riziki yangu niingojee kwa #Safu
    Nisishawishike na ulevi nikaja lala #Club
    Ee mungu tulinde Huu usiku na kila #Tabu
    Dua zetu zipokee kwako ndo liliko #Jawabu
    Nikicheki muda Ni saa 4 usiku Napiga Dua namshukuru mungu🎤 Kwa kunilinda Hii Siku na Wenye #Bifu Naomba Tena Atulinde huu usiku #Mrefu Mungu Mimi kwako si #Mkamilifu Najua nakosea Nina mengi #Madhaifu Kwa wema wako nioshe niwe #Nadhifu Nakusifu kwa mdomo maana hujaniumba #BuBu Wape Tumaini wenye matatizo yanayo #Wasibu Wagonjwa mahospitali wema wako #Ukawatibu Wategemee Dua na sio sangoma Wala #Chifu Waombewe na watumishi mashekh wakina #Sharifu Wasirogane kwa kuvunjiana Nazi na #Madafu Nashukuru kwa hii pumzi inayoingia kwenye #Mapafu Nitimize sakramenti takwa Mimi nilie #Mkristu Niepushe Na zinaa niogope kufungua #Zipu Niepushe Na tamaa nisipende Sana #Chipu Niwe mwema ndugu zangu nisiwachezee #Rafu Niiheshimu ndoa nilale chumbani niogee #Bafu Kesho nijalie riziki yangu niingojee kwa #Safu Nisishawishike na ulevi nikaja lala #Club Ee mungu tulinde Huu usiku na kila #Tabu Dua zetu zipokee kwako ndo liliko #Jawabu
    0 Commentarios ·0 Acciones ·2K Views
Resultados de la búsqueda