• TUJIKUMBUSHE KIDOGO

    Sebastian Coates

    Sebastian Coates alisajiliwa na Liverpool kutoka Nacional mwezi Agosti 2011 baada ya kupigiwa kura kama mchezaji bora chipukizi kwenye Copa America ya mwaka huo.

    Akiwa na urefu wa futi 6 na inchi 6, raia huyo wa Uruguay aliwasili akiwa na sifa ya kuwa na uwezo mkubwa wa kucheza mipira ya juu — pia akiwa hatari katika ulinzi na mashambulizi.

    Alicheza mechi 12 katika msimu wake wa kwanza ndani ya Liverpool, tukio la kukumbukwa likiwa bao la kuvutia alilofunga kwa bicycle kick dhidi ya Queens Park Rangers.

    Katika msimu wa 2012–13, msimu wa kwanza wa Brendan Rodgers kama kocha, Coates alicheza tena mechi 12.

    Hata hivyo, matumaini ya kujikita kikosini chini ya kocha wa kipindi hicho, Rodgers yalizimwa na jeraha lililomharibia msimu uliofuata.

    Baadaye alitolewa kwa mkopo kwenda Sunderland msimu wa 2014–15, na hatimaye akajiunga nao kwa mkataba wa kudumu mwezi Julai 2015.
    👀TUJIKUMBUSHE KIDOGO 👀Sebastian Coates 👉Sebastian Coates alisajiliwa na Liverpool kutoka Nacional mwezi Agosti 2011 baada ya kupigiwa kura kama mchezaji bora chipukizi kwenye Copa America ya mwaka huo. 👉Akiwa na urefu wa futi 6 na inchi 6, raia huyo wa Uruguay aliwasili akiwa na sifa ya kuwa na uwezo mkubwa wa kucheza mipira ya juu — pia akiwa hatari katika ulinzi na mashambulizi. 👉Alicheza mechi 12 katika msimu wake wa kwanza ndani ya Liverpool, tukio la kukumbukwa likiwa bao la kuvutia alilofunga kwa bicycle kick dhidi ya Queens Park Rangers. 👉Katika msimu wa 2012–13, msimu wa kwanza wa Brendan Rodgers kama kocha, Coates alicheza tena mechi 12. 👉Hata hivyo, matumaini ya kujikita kikosini chini ya kocha wa kipindi hicho, Rodgers yalizimwa na jeraha lililomharibia msimu uliofuata. 👉Baadaye alitolewa kwa mkopo kwenda Sunderland msimu wa 2014–15, na hatimaye akajiunga nao kwa mkataba wa kudumu mwezi Julai 2015.
    0 Reacties ·0 aandelen ·392 Views
  • Zaburi 34:8-9
    [8]Onjeni mwone ya kuwa BWANA yu mwema;
    Heri mtu yule anayemtumaini.
    .
    [9]Mcheni BWANA, enyi watakatifu wake,
    Yaani, wamchao hawahitaji kitu.
    .
    Bwana ni mwema kwetu kila wakati kwa hakika kila mtu amwaminiye na amtumainiye Mungu humtukuza.

    Bwana ni mwema kwetu na sisi ni watu wake tunapaswa Mungu atupe nafasi ya kupendwa naye kila wakati.

    Bwana ni mwema kwetu sisi na wote wamchao na wote wamtumainio bwana hawata ogopa kitu.

    Zaburi 23:6
    [6]Hakika wema na fadhili zitanifuata
    Siku zote za maisha yangu;
    Nami nitakaa nyumbani mwa BWANA milele.

    Wema wa Bwana na fadhiri zake ni kwa watu wamchao na watu wamtafutao kwani wako watu wamepewa privilege na Bwana ya wao kumtumaini siku zote.

    Ukimpenda Bwana Bwana pia anakupenda na akikupenda lazima fadhiri zake zitakuwa na wewe.

    #Mit 3:5-6 SUV
    Na hili fadhiri zije kwetu ni lazima tumuamini Mungu kweli kweli.
    Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote, Wala usizitegemee akili zako mwenyewe; Katika njia zako zote mkiri yeye, Naye atayanyosha mapito yako

    Hivyo ndivyo tunaweza kuonja wema wa Bwana katika maisha yetu siku zote.

    Ni matumaini yangu hata kwako leo inawezekana ulikata tamaa lakini kwa jina la Yesu noamba nikwambie lipo tumaini katika mti ulio katwa ,ukachipuka tena.

    Natamani uchipuke tena uone wema wa Mungu katika maisha yako .

    Mungu anakupenda atafungua maisha yako na kukumbuka kwa sababu yeye awapenda wampendao na wamtafutao kwa bidii.

    Nikutakie jion njema na siku njem .

    Naitwa mwl Sylvester Mwakabende kutoka build new eden.

    Mawasiliano 0622625340.

    #build new eden
    #restore men position
    Zaburi 34:8-9 [8]Onjeni mwone ya kuwa BWANA yu mwema; Heri mtu yule anayemtumaini. . [9]Mcheni BWANA, enyi watakatifu wake, Yaani, wamchao hawahitaji kitu. . Bwana ni mwema kwetu kila wakati kwa hakika kila mtu amwaminiye na amtumainiye Mungu humtukuza. Bwana ni mwema kwetu na sisi ni watu wake tunapaswa Mungu atupe nafasi ya kupendwa naye kila wakati. Bwana ni mwema kwetu sisi na wote wamchao na wote wamtumainio bwana hawata ogopa kitu. Zaburi 23:6 [6]Hakika wema na fadhili zitanifuata Siku zote za maisha yangu; Nami nitakaa nyumbani mwa BWANA milele. Wema wa Bwana na fadhiri zake ni kwa watu wamchao na watu wamtafutao kwani wako watu wamepewa privilege na Bwana ya wao kumtumaini siku zote. Ukimpenda Bwana Bwana pia anakupenda na akikupenda lazima fadhiri zake zitakuwa na wewe. #Mit 3:5-6 SUV Na hili fadhiri zije kwetu ni lazima tumuamini Mungu kweli kweli. Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote, Wala usizitegemee akili zako mwenyewe; Katika njia zako zote mkiri yeye, Naye atayanyosha mapito yako Hivyo ndivyo tunaweza kuonja wema wa Bwana katika maisha yetu siku zote. Ni matumaini yangu hata kwako leo inawezekana ulikata tamaa lakini kwa jina la Yesu noamba nikwambie lipo tumaini katika mti ulio katwa ,ukachipuka tena. Natamani uchipuke tena uone wema wa Mungu katika maisha yako . Mungu anakupenda atafungua maisha yako na kukumbuka kwa sababu yeye awapenda wampendao na wamtafutao kwa bidii. Nikutakie jion njema na siku njem . Naitwa mwl Sylvester Mwakabende kutoka build new eden. Mawasiliano 0622625340. #build new eden #restore men position
    0 Reacties ·0 aandelen ·820 Views
  • RASMI:

    Genoa imemsajili kiungo Valentín Carboni(20) kwa mkopo wa msimu mzima kutoka Inter Milan.

    Nyota huyo chipukizi wa Argentina atakuwa sehemu ya kikosi cha Genoa kwa msimu wa 2025/26 ili kupata muda zaidi wa kucheza na kukuza kipaji chake.

    #SportsElite
    🔴🔵 RASMI: Genoa imemsajili kiungo Valentín Carboni(20) kwa mkopo wa msimu mzima kutoka Inter Milan. ✍️📆 Nyota huyo chipukizi wa Argentina atakuwa sehemu ya kikosi cha Genoa kwa msimu wa 2025/26 ili kupata muda zaidi wa kucheza na kukuza kipaji chake. 🇦🇷🔥 #SportsElite
    0 Reacties ·0 aandelen ·162 Views
  • Klabu ya Everton imemkaribisha rasmi mshambuliaji chipukizi Thierno Barry ambaye awali alikuwa Villarreal. Barry, anayewakilisha timu ya taifa ya vijana ya Ufaransa chini ya miaka 21, sasa atakuwa sehemu ya kikosi cha Everton kwa mkataba wa miaka minne. DDiili hilo linaripotiwa harimu takribani pauni milionii 27.5.

    #SportsElite
    Klabu ya Everton imemkaribisha rasmi mshambuliaji chipukizi Thierno Barry ambaye awali alikuwa Villarreal. Barry, anayewakilisha timu ya taifa ya vijana ya Ufaransa chini ya miaka 21, sasa atakuwa sehemu ya kikosi cha Everton kwa mkataba wa miaka minne. DDiili hilo linaripotiwa harimu takribani pauni milionii 27.5. 🔵 #SportsElite
    0 Reacties ·0 aandelen ·356 Views
  • .Wafilipi 4:13
    [13]Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.

    Hii ni siri kwa mtu aliye okoka katika kila jambo unapaswa kumtazama Bwana kwani katika yote unaweza.

    Si mambo nusu Mambo yote bwana anawezq kukusaidia.

    Ili maneno haya yawe kwako lazima ujue siri hizi kuwa

    -Msaada wote ni katika Bwana.
    Zaburi 121:2
    Msaada wangu u katika BWANA, Aliyezifanya mbingu na nchi.

    -lazima ujue kumngojea Bwana na kumtazamia
    Mika 7:7
    Lakini mimi, nitamtazamia BWANA; nitamngojea Mungu wa wokovu wangu; Mungu wangu atanisikia.

    -Lazima ujue kuomba Bwana katika kila jambo .
    Yakobo 5:18
    Kisha akaomba tena inyeshe, na anga ikatoa mvua, na ardhi ikatoa mazao

    Elia alikuwa mwanadamu kama sisi lakini aliijua siri hii kuwa anayaweza mambo yote katika yeye amtiae nguvu na alisimamisha mvua na matokeo yalionekana.

    Lazima uwe mtu wa kupanda kwa machozi.

    Zaburi 126:5-6
    Wapandao kwa machozi Watavuna kwa kelele za furaha. Ingawa mtu anakwenda zake akilia, Azichukuapo mbegu za kupanda. Hakika atarudi kwa kelele za furaha, Aichukuapo miganda yake

    Ili uone matokeo lazima uwe mtu wa kupanda kwa mchozi .

    Abrahamu alimwamini Mungu kiasi cha kuwa tayari ata kutoa mwana wake ni kwasababu alijia siri hii ya kuwa katika yeye yote yanawezekana.

    -Tumaini lako liwe kwa bwana tu
    Ombolezo 3:25
    Ni huruma za BWANA kwamba hatuangamii, Kwa kuwa rehema zake hazikomi. Ni mpya kila siku asubuhi; Uaminifu wako ni mkuu. BWANA ndiye fungu langu, husema nafsi yangu, *Kwa hiyo nitamtumaini yeye. BWANA ni mwema kwa hao wamngojeao, Kwa hiyo nafsi imtafutayo.*

    Ukifika level hiyo utqkuwa na ujasiri ya kuliishi neno hili nayaweza maombo yote katika yeye anitiaye nguvu.

    Mfano ayubu alijua siri hii pia
    Ayubu 14:7
    “Kwa maana lipo tumaini kwa mti; kama ukikatwa utachipuka tena, nayo machipukizi yake mapya hayatakoma.

    Ko ukiliishi neno letu la leo uwezi ona vitu vigumu badala yake utafanya kwa kufuata maelekezo ya Bwana .

    Na nakuhakikishia kama ukifuata sawa sawa na neno lake basi matokeo lazima uyapate tu .

    *wokovu ni matokeo ya kuyaweza mambo yote ni wewe tu ulikuwa ujui siri hii.*

    Amina nikutakie jion njema ya baraka na neema .

    Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden).

    Ukitaka kujifunza neno karibu katika group la watsap pia .
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
    #Build new eden
    #Restoremenposition
    .Wafilipi 4:13 [13]Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu. Hii ni siri kwa mtu aliye okoka katika kila jambo unapaswa kumtazama Bwana kwani katika yote unaweza. Si mambo nusu Mambo yote bwana anawezq kukusaidia. Ili maneno haya yawe kwako lazima ujue siri hizi kuwa -Msaada wote ni katika Bwana. Zaburi 121:2 Msaada wangu u katika BWANA, Aliyezifanya mbingu na nchi. -lazima ujue kumngojea Bwana na kumtazamia Mika 7:7 Lakini mimi, nitamtazamia BWANA; nitamngojea Mungu wa wokovu wangu; Mungu wangu atanisikia. -Lazima ujue kuomba Bwana katika kila jambo . Yakobo 5:18 Kisha akaomba tena inyeshe, na anga ikatoa mvua, na ardhi ikatoa mazao Elia alikuwa mwanadamu kama sisi lakini aliijua siri hii kuwa anayaweza mambo yote katika yeye amtiae nguvu na alisimamisha mvua na matokeo yalionekana. Lazima uwe mtu wa kupanda kwa machozi. Zaburi 126:5-6 Wapandao kwa machozi Watavuna kwa kelele za furaha. Ingawa mtu anakwenda zake akilia, Azichukuapo mbegu za kupanda. Hakika atarudi kwa kelele za furaha, Aichukuapo miganda yake Ili uone matokeo lazima uwe mtu wa kupanda kwa mchozi . Abrahamu alimwamini Mungu kiasi cha kuwa tayari ata kutoa mwana wake ni kwasababu alijia siri hii ya kuwa katika yeye yote yanawezekana. -Tumaini lako liwe kwa bwana tu Ombolezo 3:25 Ni huruma za BWANA kwamba hatuangamii, Kwa kuwa rehema zake hazikomi. Ni mpya kila siku asubuhi; Uaminifu wako ni mkuu. BWANA ndiye fungu langu, husema nafsi yangu, *Kwa hiyo nitamtumaini yeye. BWANA ni mwema kwa hao wamngojeao, Kwa hiyo nafsi imtafutayo.* Ukifika level hiyo utqkuwa na ujasiri ya kuliishi neno hili nayaweza maombo yote katika yeye anitiaye nguvu. Mfano ayubu alijua siri hii pia Ayubu 14:7 “Kwa maana lipo tumaini kwa mti; kama ukikatwa utachipuka tena, nayo machipukizi yake mapya hayatakoma. Ko ukiliishi neno letu la leo uwezi ona vitu vigumu badala yake utafanya kwa kufuata maelekezo ya Bwana . Na nakuhakikishia kama ukifuata sawa sawa na neno lake basi matokeo lazima uyapate tu . *wokovu ni matokeo ya kuyaweza mambo yote ni wewe tu ulikuwa ujui siri hii.* Amina nikutakie jion njema ya baraka na neema . Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden). Ukitaka kujifunza neno karibu katika group la watsap pia . https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #Build new eden #Restoremenposition
    Sad
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·1K Views
  • .DIRISHA LA USAJILI YANGA SC 2025 –2026 MABADILIKO MAKUBWA YAMEANZA KUFANYIKA MAPEMA!

    Muda wa kujipanga upya kwa mashindano makubwa – NBCPL & CAF!

    ---

    WALIOSAJILIWA (RASMI):

    1. Feisal Salum – Kiungo mnyumbulifu anarudi nyumbani kuongoza mashambulizi.

    2. Jonathan Sowah – Mshambuliaji hatari, amekuja kuvuruga mabeki!

    3. Arthur Bada – Kiungo chipukizi wa Kitanzania mwenye vision ya juu.

    4. Obasogie – Kipa mpya, ukuta mpya wa mabingwa.

    ---

    WALIOUZWA (CONFIRMED):

    Aziz Ki

    Djigui Diarra

    Clement Mzize

    Yanga wamefanya biashara kubwa kuwatoa mastaa hawa baada ya mchango wao mkubwa.

    ---

    HAWAMO KWENYE MPANGO:

    Kennedy Musonda

    Aboubakar Khomeiny

    Yao Kouassi

    Taarifa zinasema hawa jamaa hawapo tena kwenye ramani ya Yanga msimu ujao.

    ---

    WANAOWINDWA:

    Aishi Manula

    Pascal Msindo

    Kelvin Nashon

    Henock Inonga Baka

    Yanga wanataka kutengeneza mashine mpya ya ushindi.

    ---

    WANAOFANYIWA TATHMINI (Loan/Exit):

    Jonas Mkude

    Aziz Andambwile

    Sureboy

    Farid Musa

    Jonathan Ikangalombo

    Mwalimu anatazama uwezo wao kabla ya kufanya maamuzi ya mwisho.

    ---

    MABADILIKO YA KISHINDO – YANGA SC INAJIPANGA UPYA KIBINGWA!
    .DIRISHA LA USAJILI YANGA SC 2025 –2026 MABADILIKO MAKUBWA YAMEANZA KUFANYIKA MAPEMA! Muda wa kujipanga upya kwa mashindano makubwa – NBCPL & CAF! --- ✅ WALIOSAJILIWA (RASMI): 1. Feisal Salum – Kiungo mnyumbulifu anarudi nyumbani kuongoza mashambulizi. ✍️ 2. Jonathan Sowah – Mshambuliaji hatari, amekuja kuvuruga mabeki! ⚔️ 3. Arthur Bada – Kiungo chipukizi wa Kitanzania mwenye vision ya juu. 🔥 4. Obasogie – Kipa mpya, ukuta mpya wa mabingwa. 🧤 --- 🔁 WALIOUZWA (CONFIRMED): Aziz Ki Djigui Diarra Clement Mzize Yanga wamefanya biashara kubwa kuwatoa mastaa hawa baada ya mchango wao mkubwa. --- ⛔ HAWAMO KWENYE MPANGO: Kennedy Musonda Aboubakar Khomeiny Yao Kouassi Taarifa zinasema hawa jamaa hawapo tena kwenye ramani ya Yanga msimu ujao. --- 🎯 WANAOWINDWA: Aishi Manula Pascal Msindo Kelvin Nashon Henock Inonga Baka Yanga wanataka kutengeneza mashine mpya ya ushindi. --- 🕵️‍♂️ WANAOFANYIWA TATHMINI (Loan/Exit): Jonas Mkude Aziz Andambwile Sureboy Farid Musa Jonathan Ikangalombo Mwalimu anatazama uwezo wao kabla ya kufanya maamuzi ya mwisho. --- MABADILIKO YA KISHINDO – YANGA SC INAJIPANGA UPYA KIBINGWA!
    Like
    Love
    2
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·1K Views
  • NJIA MPYA YA KUJIINGIZIA PESA FACEBOOK KUPITIA POSTS ZA MAANDISHI, VIDEO NA REELS.

    October 2, 2024 Facebook Walizindua Programu Mpya waliyoipa Jina “Content Monetization” ambayo imezijumuisha kwa Pamoja category ambazo mwanzo zilijitegemea, Category hizo zilikuwa,

    ⬜️ Ads On Reels
    ⬜️ InStream Ads
    ⬜️ Performance Bonus

    Category hizi kwasasa zimejumuishwa kwa Pamoja na Kupewa Jina “Content Monetization” ambapo Mtu yeyote kwasasa mwenye Page ya Facebook au Account ambayo iko “on Professional Mode” iliyo na Video, Picha, Post au Maudhui yoyote ambayo yatakuwa yanafaa Kulipwa basi Facebook watapachika Matangazo yao na Mhusika ataanza Kulipwa kwa Ukubwa zaidi kuliko Mwanzo. Malipo ni kila Tarehe 21-23 ya Kila Mwezi na kiwango cha Chini cha Kutoa Pesa ni $100 (Tshs 271,500), yaani ikiwa Page au Account yako haijafikisha Kiwango hicho hutoruhusiwa Kutoa mpaka utakapofikisha au kupita kiwango hicho na Ni rahisi kufikisha ikiwa unatengeneza Video zaidi na zinatazamwa zaidi.

    Hii Itawapa Motisha zaidi Content Creators kutengeneza Video zaidi katika Platform hiyo.

    Mfumo huu kwasasa unatolewa kwa Mualiko Pekee, ikiwa Una Page au Account yenye Video au Posts zilizo tazamwa zaidi fuata hatua zifuatazo hapo chini kuomba Mualiko wa Kuunganishwa na Programu hii BURE.

    ⬜️ Ingia >> hapa https://creators.facebook.com/tools/facebook-content-monetization
    ⬜️ Chagua >> I'm Interested
    ⬜️ Jaza Taarifa zako
    ⬜️ Sehemu ya Email Address, Weka Email yako yoyote iliyo hewani (Ni Vizuri ukitumia uliyo Link katika Account yako)
    ⬜️ Sehemu ya Facebook Account URL, Weka Link ya Account au Page yako unayohitaji Iwe na Programu hiyo.
    ⬜️ Sehemu ya Other Social Media Accounts, Weka Link ya Account yako katika Mtandao Mwingine (Hasa Instagram).
    Baadae Bofya LET'S DO THIS


    Utapokea Email ya Uthibitisho baada ya Siku kadhaa ikiwa Account au Page yako imeruhusiwa Kutumia Programu hiyo.

    Programu hii ni Programu nzuri na Bora zaidi kwa Content Creators wadogo, Wakubwa na Wanaochipukia (Upcoming Creators). Ni Programu Rafiki kwa kila Mmoja, itakusaidia Kupata Chochote kupitia Kazi zako.
    NJIA MPYA YA KUJIINGIZIA PESA FACEBOOK KUPITIA POSTS ZA MAANDISHI, VIDEO NA REELS. October 2, 2024 Facebook Walizindua Programu Mpya waliyoipa Jina “Content Monetization” ambayo imezijumuisha kwa Pamoja category ambazo mwanzo zilijitegemea, Category hizo zilikuwa, ⬜️ Ads On Reels ⬜️ InStream Ads ⬜️ Performance Bonus Category hizi kwasasa zimejumuishwa kwa Pamoja na Kupewa Jina “Content Monetization” ambapo Mtu yeyote kwasasa mwenye Page ya Facebook au Account ambayo iko “on Professional Mode” iliyo na Video, Picha, Post au Maudhui yoyote ambayo yatakuwa yanafaa Kulipwa basi Facebook watapachika Matangazo yao na Mhusika ataanza Kulipwa kwa Ukubwa zaidi kuliko Mwanzo. Malipo ni kila Tarehe 21-23 ya Kila Mwezi na kiwango cha Chini cha Kutoa Pesa ni $100 (Tshs 271,500), yaani ikiwa Page au Account yako haijafikisha Kiwango hicho hutoruhusiwa Kutoa mpaka utakapofikisha au kupita kiwango hicho na Ni rahisi kufikisha ikiwa unatengeneza Video zaidi na zinatazamwa zaidi. Hii Itawapa Motisha zaidi Content Creators kutengeneza Video zaidi katika Platform hiyo. Mfumo huu kwasasa unatolewa kwa Mualiko Pekee, ikiwa Una Page au Account yenye Video au Posts zilizo tazamwa zaidi fuata hatua zifuatazo hapo chini kuomba Mualiko wa Kuunganishwa na Programu hii BURE. ⬜️ Ingia >> hapa https://creators.facebook.com/tools/facebook-content-monetization ⬜️ Chagua >> I'm Interested ⬜️ Jaza Taarifa zako ⬜️ Sehemu ya Email Address, Weka Email yako yoyote iliyo hewani (Ni Vizuri ukitumia uliyo Link katika Account yako) ⬜️ Sehemu ya Facebook Account URL, Weka Link ya Account au Page yako unayohitaji Iwe na Programu hiyo. ⬜️ Sehemu ya Other Social Media Accounts, Weka Link ya Account yako katika Mtandao Mwingine (Hasa Instagram). 🔗 Baadae Bofya LET'S DO THIS Utapokea Email ya Uthibitisho baada ya Siku kadhaa ikiwa Account au Page yako imeruhusiwa Kutumia Programu hiyo. Programu hii ni Programu nzuri na Bora zaidi kwa Content Creators wadogo, Wakubwa na Wanaochipukia (Upcoming Creators). Ni Programu Rafiki kwa kila Mmoja, itakusaidia Kupata Chochote kupitia Kazi zako.
    Love
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·2K Views
  • Nyumbu ( wildebeest) uzito 140 hadi 220 kulingana na afya yake, hupendelea kula nyasi ndogo ndogo zinazochipua, kama hatopata suluba huishi hadi miaka 17 na kidogo.uzee ukimzidi akishindwa kufanya safari kutafta malisho na wenzake basi hufa kwa njaa, eidha ufanywa kitoweo cha jioni na mtawala wa eneo hilo (simba)

    Kundi LA nyumbu huwa kati ya 10,000 hadi 90,000. Endapo majani yapo yakutosha nyumbu huongezeka idadi hadi kufikia 100,000 na zaidi.vipindi vya mvua nyingi ndipo nymbu huzaliana kwa kasi zaidi,

    Nyumbu wa Serengeti hula na kuzaliana nyakati za masika tu.endapo kiangazi kitaingia nyumbuwote hufunga safari na kuelekea hifadhi jilani ya Kenya (masaimar). Nyakati hizo huko kenya huwa kunamalisho yakutosha, nyumbu hukaa miezi isiyopungua 6 ndipo hufanya safari zao.

    Nyumbu ni mnyama wa tofauti kidogo na wanyama wengine kimaumbile, yaani nyumbu amebeba muonekano wa wanyama wasiopungua 7, ngoja nikujuze,

    Nywele za shingoni; SIMBA
    Mkia: FARASI
    Ndevu:MBUZI
    Mapaja ya nyuma; PUNDA MILIA
    Mgongo :ng'ombe
    Miguu ya mbele milefu yanyuma mifupi ; FISI

    Watu husema nyumbu ni mwoga na mzembe

    Nyumbu wakiwa katika kundi huwa ni waoga saaaana, yaani at a mtoto wa duma mwenye mwezi mmoja anaweza kutishia kundi LA nyumbu 20000 na wakakimbia, na asiwepo nyumbu wa kudinda ata kugeuka nyuma.

    Ila nyumbu akiwa mwenyew huwa haogopi .ni mala chache mno nyumbu aliye pekeake kumkimbia adui yake, nyumbu akiwa mwenyewe huwa anajiona kama tembo au kifaru, huwa ni hatari zaidi ata duma hutegea wawe kwenye kundi ndio wavamie.

    Nyumbu wakiwa safarini hawajawai kupisha kitu chochote kilichopo mbeleyao. Wakiwa katika mwendo wa mchaka mchaka wakiluka mabonde na mapolomoko, wakivuka mito mikubwa mithiri ya wanajeshi wakiwa mafunzoni.

    Katika safari yao nyumbu hawajawahi kumsubiri nyumbu mwezao aliyepata ajali, aliejisahau eidha alikuw anakul majan, aliyezaa wala aliyekamatwa na mnyama mlanyama, msafala wao huwa hausubiri kitu wala hauna fea.

    Pia nyumbu hawana mda wa kumtetea mwenzao aliyedhibitiwa na mnyama mla mnyama.
    Nyumbu ( wildebeest) uzito 140 hadi 220 kulingana na afya yake, hupendelea kula nyasi ndogo ndogo zinazochipua, kama hatopata suluba huishi hadi miaka 17 na kidogo.uzee ukimzidi akishindwa kufanya safari kutafta malisho na wenzake basi hufa kwa njaa, eidha ufanywa kitoweo cha jioni na mtawala wa eneo hilo (simba) Kundi LA nyumbu huwa kati ya 10,000 hadi 90,000. Endapo majani yapo yakutosha nyumbu huongezeka idadi hadi kufikia 100,000 na zaidi.vipindi vya mvua nyingi ndipo nymbu huzaliana kwa kasi zaidi, Nyumbu wa Serengeti hula na kuzaliana nyakati za masika tu.endapo kiangazi kitaingia nyumbuwote hufunga safari na kuelekea hifadhi jilani ya Kenya (masaimar). Nyakati hizo huko kenya huwa kunamalisho yakutosha, nyumbu hukaa miezi isiyopungua 6 ndipo hufanya safari zao. Nyumbu ni mnyama wa tofauti kidogo na wanyama wengine kimaumbile, yaani nyumbu amebeba muonekano wa wanyama wasiopungua 7, ngoja nikujuze, Nywele za shingoni; SIMBA Mkia: FARASI Ndevu:MBUZI Mapaja ya nyuma; PUNDA MILIA Mgongo :ng'ombe Miguu ya mbele milefu yanyuma mifupi ; FISI Watu husema nyumbu ni mwoga na mzembe Nyumbu wakiwa katika kundi huwa ni waoga saaaana, yaani at a mtoto wa duma mwenye mwezi mmoja anaweza kutishia kundi LA nyumbu 20000 na wakakimbia, na asiwepo nyumbu wa kudinda ata kugeuka nyuma. Ila nyumbu akiwa mwenyew huwa haogopi .ni mala chache mno nyumbu aliye pekeake kumkimbia adui yake, nyumbu akiwa mwenyewe huwa anajiona kama tembo au kifaru, huwa ni hatari zaidi ata duma hutegea wawe kwenye kundi ndio wavamie. Nyumbu wakiwa safarini hawajawai kupisha kitu chochote kilichopo mbeleyao. Wakiwa katika mwendo wa mchaka mchaka wakiluka mabonde na mapolomoko, wakivuka mito mikubwa mithiri ya wanajeshi wakiwa mafunzoni. Katika safari yao nyumbu hawajawahi kumsubiri nyumbu mwezao aliyepata ajali, aliejisahau eidha alikuw anakul majan, aliyezaa wala aliyekamatwa na mnyama mlanyama, msafala wao huwa hausubiri kitu wala hauna fea. Pia nyumbu hawana mda wa kumtetea mwenzao aliyedhibitiwa na mnyama mla mnyama.
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·1K Views
  • Mkuu wa kitengo cha maudhui wa klabu ya Yanga SC, Privaldinho amjia juu Wilson Orumo.

    "Ukiniuliza miongoni mwa wachambuzi wenye uelewa mzuri wa soka nisipotaja jina la @wilsonoruma_ basi ulizia natumia kinywaji gani muda pengine nimepiga vyombo.

    Namfahamu Udom. Najua uwezo wake. Sijui shida gani imempata. Anyway twende kwenye hoja yake.

    Kwamba kumkejeli Pacome hujagusa biashara ya watu? Sijaona ukiongelea hili bali umejikita kwenye ishu ya mtengeneza jezi. Kuna nyakati tuliitwa maiti? Kuna nyakati walisema jezi zetu ni mbaya mno. Je mzee wangu ulikemea? Je Yanga tulisema chochote?

    Iko hivi

    Utani wa jadi ni mbwembwe za Makolo na mabingwa wa kihistoria. Ni kama mchezo wa ngumi tu. Mbwembwembwe na kejeli zeru ndio tambo zetu. Ipo hivo miaka na miaka. Kama hutaki kutaniwa usije kwenye hizi timu mbili. Pengine kauze suti za wanasheria huko kidogo kuna maadili.

    Uvumilivu wa utani wa jadi umegusa wengi. Huyu Oruma mwenyewe amewahi kuingia kwenye utani wa jadi. Mara kadhaa ametumia maneno makali dhidi ya Yanga na Yanga haijawahi kumgusa.

    Oruma ni bingwa kuitania Yanga ametuita gongo wazi. Hakuna mtu kutoka Yanga aliyewahi kwenda mahakamani. Gongo wazi ni neno la kejeli kwa Yanga.

    Pengine basi kwa kuwa anaharibu brand ya Yanga twende mahakamani na invoice? Mtu ambaye tulitegemea awe mchambuzi na mtenda haki anaingia kwenye utani na Yanga inaona sawa tu. Lakini walipohisi ally amemlenga mtu wao wanatoka na Mapanga.

    Oruma, ni mtu mwenye akili na uelewa mkubwa wa mambo. Kwa bahati mbaya hivi karibuni amechagua njia ambayo binafsi simwelewi. Ni kama anapigana na Yanga hadharani.

    Ni rafiki yangu na mara kadhaa huwa namwambia. Uwezo wake wa kuchanganua mambo ni hazina kubwa kwa taifa letu. Lakini matumizi yake amejikita kwenye siasa za mpira ambazo mara nyingi kwangu sioni kama zina afya.

    Moja kati ya wachambuzi ambao wangeamua kujikita kwenye tactically analysis angesaidia sana TAIFA hili. Leo hii anaita Yanga Gongowazi hivi na sisi tukiamua kuitafutia jina baya EFM atakaa kimya?

    Mimi nafikiri rafiki yangu huyu afanye tafakuri ya kutosha. Kwanza afaham kuwa taifa linamhitaji zaidi kuliko vijana wanaochipukia wanavyosaka comments na likes. Atafakari vyema njia zake.

    Shalom."
    Mkuu wa kitengo cha maudhui wa klabu ya Yanga SC, Privaldinho amjia juu Wilson Orumo. "Ukiniuliza miongoni mwa wachambuzi wenye uelewa mzuri wa soka nisipotaja jina la @wilsonoruma_ basi ulizia natumia kinywaji gani muda pengine nimepiga vyombo. Namfahamu Udom. Najua uwezo wake. Sijui shida gani imempata. Anyway twende kwenye hoja yake. Kwamba kumkejeli Pacome hujagusa biashara ya watu? Sijaona ukiongelea hili bali umejikita kwenye ishu ya mtengeneza jezi. Kuna nyakati tuliitwa maiti? Kuna nyakati walisema jezi zetu ni mbaya mno. Je mzee wangu ulikemea? Je Yanga tulisema chochote? Iko hivi Utani wa jadi ni mbwembwe za Makolo na mabingwa wa kihistoria. Ni kama mchezo wa ngumi tu. Mbwembwembwe na kejeli zeru ndio tambo zetu. Ipo hivo miaka na miaka. Kama hutaki kutaniwa usije kwenye hizi timu mbili. Pengine kauze suti za wanasheria huko kidogo kuna maadili. Uvumilivu wa utani wa jadi umegusa wengi. Huyu Oruma mwenyewe amewahi kuingia kwenye utani wa jadi. Mara kadhaa ametumia maneno makali dhidi ya Yanga na Yanga haijawahi kumgusa. Oruma ni bingwa kuitania Yanga ametuita gongo wazi. Hakuna mtu kutoka Yanga aliyewahi kwenda mahakamani. Gongo wazi ni neno la kejeli kwa Yanga. Pengine basi kwa kuwa anaharibu brand ya Yanga twende mahakamani na invoice? Mtu ambaye tulitegemea awe mchambuzi na mtenda haki anaingia kwenye utani na Yanga inaona sawa tu. Lakini walipohisi ally amemlenga mtu wao wanatoka na Mapanga. Oruma, ni mtu mwenye akili na uelewa mkubwa wa mambo. Kwa bahati mbaya hivi karibuni amechagua njia ambayo binafsi simwelewi. Ni kama anapigana na Yanga hadharani. Ni rafiki yangu na mara kadhaa huwa namwambia. Uwezo wake wa kuchanganua mambo ni hazina kubwa kwa taifa letu. Lakini matumizi yake amejikita kwenye siasa za mpira ambazo mara nyingi kwangu sioni kama zina afya. Moja kati ya wachambuzi ambao wangeamua kujikita kwenye tactically analysis angesaidia sana TAIFA hili. Leo hii anaita Yanga Gongowazi hivi na sisi tukiamua kuitafutia jina baya EFM atakaa kimya? Mimi nafikiri rafiki yangu huyu afanye tafakuri ya kutosha. Kwanza afaham kuwa taifa linamhitaji zaidi kuliko vijana wanaochipukia wanavyosaka comments na likes. Atafakari vyema njia zake. Shalom."
    0 Reacties ·0 aandelen ·1K Views
  • Moja ya kitu kinaweza kukuchosha kwenye maisha yako ni pale ambapo kila siku unaona haupati matokeo ya unachofanya ni kama haupati mavuno unayotaka, watu wengi sana wamekata tamaa wanapopitia hali hii ndio maana Robert Louis Stevenson aliwahi kusema “Usiitathmini siku yako kwa MAVUNO unayovuna Bali kwa MBEGU ambazo UNAPANDA”(Don't judge each day by the harvest you reap but by the seeds that you plant)

    Kumbuka kila siku una fursa na nafasi mpya ya kupanda kitu kwa ajili ya KESHO yako na sio kila siku utakuwa unavuna. Kuna wakati UAMINIFU wako utakuwa kama unaona hauna faida, kuna wakati BIDII yako itakuwa kama haileti tofauti, kuna wakati NIDHAMU yako itakuwa kama ni bure: Usiache kwa sababu hauoni matokeo ya nje.
    kumbuka hiyo ni MBEGU kuna siku ITAOTA.

    Unapokuwa MKULIMA kuna wakati watu wataona kama vile unapoteza MUDA kwa sababu mbegu ulizopanda shambani zitakuwa bado HAZIJAOTA. Usiache KUMWAGILIA kwa sababu HAZIJACHIPUA. Kumbuka kuna mambo yanachukua MUDA MFUPI na mengine yanachukua MUDA MREFU sana Kuyakamilisha.

    Je, kesho unatapanda mbegu gani..?
    Moja ya kitu kinaweza kukuchosha kwenye maisha yako ni pale ambapo kila siku unaona haupati matokeo ya unachofanya ni kama haupati mavuno unayotaka, watu wengi sana wamekata tamaa wanapopitia hali hii ndio maana Robert Louis Stevenson aliwahi kusema “Usiitathmini siku yako kwa MAVUNO unayovuna Bali kwa MBEGU ambazo UNAPANDA”(Don't judge each day by the harvest you reap but by the seeds that you plant) Kumbuka kila siku una fursa na nafasi mpya ya kupanda kitu kwa ajili ya KESHO yako na sio kila siku utakuwa unavuna. Kuna wakati UAMINIFU wako utakuwa kama unaona hauna faida, kuna wakati BIDII yako itakuwa kama haileti tofauti, kuna wakati NIDHAMU yako itakuwa kama ni bure: Usiache kwa sababu hauoni matokeo ya nje. kumbuka hiyo ni MBEGU kuna siku ITAOTA. Unapokuwa MKULIMA kuna wakati watu wataona kama vile unapoteza MUDA kwa sababu mbegu ulizopanda shambani zitakuwa bado HAZIJAOTA. Usiache KUMWAGILIA kwa sababu HAZIJACHIPUA. Kumbuka kuna mambo yanachukua MUDA MFUPI na mengine yanachukua MUDA MREFU sana Kuyakamilisha. Je, kesho unatapanda mbegu gani..?
    0 Reacties ·0 aandelen ·858 Views
  • BADO NAJIFUNZA KUTOKA KWA WAKUBWA ZANGU - CHASAMBI

    Winga chipukizi wa Klabu ya Simba, Ladack Chasambi, amewatoa hofu mashabiki wa timu hiyo akisema kukaa kwake benchi ni kwa sababu
    ya kujifunza kitu kutoka kwa wakubwa zake,

    Chasambi anaamini siku moja atapata namba ya kudumu katika kikosi hicho huku akimalizia kuwa hakuna timu yoyote duniani ambayo mchezaji atakwenda na kupata namba kirahisi bila ya kuipambania.

    #paulswai
    BADO NAJIFUNZA KUTOKA KWA WAKUBWA ZANGU - CHASAMBI 🔗 Winga chipukizi wa Klabu ya Simba, Ladack Chasambi, amewatoa hofu mashabiki wa timu hiyo akisema kukaa kwake benchi ni kwa sababu ya kujifunza kitu kutoka kwa wakubwa zake, Chasambi anaamini siku moja atapata namba ya kudumu katika kikosi hicho huku akimalizia kuwa hakuna timu yoyote duniani ambayo mchezaji atakwenda na kupata namba kirahisi bila ya kuipambania. #paulswai
    Like
    1
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·444 Views
  • Nikicheki muda Ni saa 4 usiku Napiga Dua namshukuru mungu
    Kwa kunilinda Hii Siku na Wenye #Bifu
    Naomba Tena Atulinde huu usiku #Mrefu
    Mungu Mimi kwako si #Mkamilifu
    Najua nakosea Nina mengi #Madhaifu
    Kwa wema wako nioshe niwe #Nadhifu
    Nakusifu kwa mdomo maana hujaniumba #BuBu
    Wape Tumaini wenye matatizo yanayo #Wasibu
    Wagonjwa mahospitali wema wako #Ukawatibu
    Wategemee Dua na sio sangoma Wala #Chifu
    Waombewe na watumishi mashekh wakina #Sharifu
    Wasirogane kwa kuvunjiana Nazi na #Madafu
    Nashukuru kwa hii pumzi inayoingia kwenye #Mapafu
    Nitimize sakramenti takwa Mimi nilie #Mkristu
    Niepushe Na zinaa niogope kufungua #Zipu
    Niepushe Na tamaa nisipende Sana #Chipu
    Niwe mwema ndugu zangu nisiwachezee #Rafu
    Niiheshimu ndoa nilale chumbani niogee #Bafu
    Kesho nijalie riziki yangu niingojee kwa #Safu
    Nisishawishike na ulevi nikaja lala #Club
    Ee mungu tulinde Huu usiku na kila #Tabu
    Dua zetu zipokee kwako ndo liliko #Jawabu
    Nikicheki muda Ni saa 4 usiku Napiga Dua namshukuru mungu🎤 Kwa kunilinda Hii Siku na Wenye #Bifu Naomba Tena Atulinde huu usiku #Mrefu Mungu Mimi kwako si #Mkamilifu Najua nakosea Nina mengi #Madhaifu Kwa wema wako nioshe niwe #Nadhifu Nakusifu kwa mdomo maana hujaniumba #BuBu Wape Tumaini wenye matatizo yanayo #Wasibu Wagonjwa mahospitali wema wako #Ukawatibu Wategemee Dua na sio sangoma Wala #Chifu Waombewe na watumishi mashekh wakina #Sharifu Wasirogane kwa kuvunjiana Nazi na #Madafu Nashukuru kwa hii pumzi inayoingia kwenye #Mapafu Nitimize sakramenti takwa Mimi nilie #Mkristu Niepushe Na zinaa niogope kufungua #Zipu Niepushe Na tamaa nisipende Sana #Chipu Niwe mwema ndugu zangu nisiwachezee #Rafu Niiheshimu ndoa nilale chumbani niogee #Bafu Kesho nijalie riziki yangu niingojee kwa #Safu Nisishawishike na ulevi nikaja lala #Club Ee mungu tulinde Huu usiku na kila #Tabu Dua zetu zipokee kwako ndo liliko #Jawabu
    0 Reacties ·0 aandelen ·2K Views
  • Jamani naombeni mumsapoti msanii wetu chipukizi anaitwa azomingo for user name na pia kumbuka kushare na kuweka komenti anapatikana vidmeti na YouTube, TikTok kwa jina la azomingo kwa nyimbo nziri mmoja wapo huu
    Jamani naombeni mumsapoti msanii wetu chipukizi anaitwa azomingo for user name na pia kumbuka kushare na kuweka komenti anapatikana vidmeti na YouTube, TikTok kwa jina la azomingo kwa nyimbo nziri mmoja wapo huu
    Like
    Love
    7
    · 2 Reacties ·0 aandelen ·1K Views ·9