Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Αναζήτηση
Δημοσιεύσεις
Blogs
Χρήστες
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-03-11 10:24:28 ·
    "Kupitia kituo cha Wasafi, Kamishna wa mchezo wa Simba na Yanga wa raundi ya kwanza Khalid Bitebo ameomba radhi kuwa aliteleza sio kweli kwamba Yanga walifanya mazoezi ya mwisho kwenye uwanja wa Mkapa kwenye Derby iliyopita, kifupi ameomba radhi kuwa alijichanganya.

    Na huo ndio ukweli ulio wazi kuwa kwenye historia ya Derby hakuna aliyewahi kufanya mazoezi siku moja kabla ya mchezo pale hata Mimi siku ya kwanza ya sakata hili niliripoti kuwa Yanga alifanya mazoezi pale ila sio kweli hawakufanya, Simba na Yanga hata mechi yao iwe Mwanza au Kigoma hawafanyi mazoezi kwenye uwanja wa game, inaenda mbali hadi pitch feeling wanakwepa.

    Wakongwe wa Simba na Yanga pia wakanikumbusha zamani kwanza walikuwa wote wanapakimbia Dar Es Slaaam sio Mgeni wala Mwenyeji wa mechi, mwingine anaenda Pemba mwingine Morogoro, mara Zanzibar mwingine Pemba, timu zinakutana Mjini Mzizima hapa siku ya mbungi na inapigwa kwelikweli ndio utaratibu wao.

    Kwakuwa Kamishna wa mchezo ameomba radhi nadhani ni muhimu ila sio lazima basi na wale waliounga mkono, wakaaminisha Umma kuwa Yanga alifanya mazoezi pale wakaomba radhi pia, ni muhimu ila sio lazima ni katika kuweka kumbukumbu tu sawa, tunakubaliana?" - Farhan JR, Mchambuzi.

    "Kupitia kituo cha Wasafi, Kamishna wa mchezo wa Simba na Yanga wa raundi ya kwanza Khalid Bitebo ameomba radhi kuwa aliteleza sio kweli kwamba Yanga walifanya mazoezi ya mwisho kwenye uwanja wa Mkapa kwenye Derby iliyopita, kifupi ameomba radhi kuwa alijichanganya. Na huo ndio ukweli ulio wazi kuwa kwenye historia ya Derby hakuna aliyewahi kufanya mazoezi siku moja kabla ya mchezo pale hata Mimi siku ya kwanza ya sakata hili niliripoti kuwa Yanga alifanya mazoezi pale ila sio kweli hawakufanya, Simba na Yanga hata mechi yao iwe Mwanza au Kigoma hawafanyi mazoezi kwenye uwanja wa game, inaenda mbali hadi pitch feeling wanakwepa. Wakongwe wa Simba na Yanga pia wakanikumbusha zamani kwanza walikuwa wote wanapakimbia Dar Es Slaaam sio Mgeni wala Mwenyeji wa mechi, mwingine anaenda Pemba mwingine Morogoro, mara Zanzibar mwingine Pemba, timu zinakutana Mjini Mzizima hapa siku ya mbungi na inapigwa kwelikweli ndio utaratibu wao. Kwakuwa Kamishna wa mchezo ameomba radhi nadhani ni muhimu ila sio lazima basi na wale waliounga mkono, wakaaminisha Umma kuwa Yanga alifanya mazoezi pale wakaomba radhi pia, ni muhimu ila sio lazima ni katika kuweka kumbukumbu tu sawa, tunakubaliana?" - Farhan JR, Mchambuzi.
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·681 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-30 19:55:44 ·
    Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigeria, Victor Boniface, anayeichezea Bayer Leverkusen ya Ujerumani, ameachana na mpenzi wake, Rikke Hermine, raia wa Norway. Wawili hao walikuwa katika uhusiano wa kimapenzi kwa miaka minne, lakini wameamua kuvunja uhusiano wao kutokana na kugundua kuwa Victor kwenye mali zake ameandika majina ya mama yake tu.

    Chanzo cha habari kinaeleza kuwa uamuzi wa Rikke kuachana na Victor ulitokana na kugundua kuwa katika mali zote za mshambuliaji huyo, majina ya mama yake mzazi pekee ndiyo yaliyoandikwa. Hali hii ilimfanya Rikke kuhisi kuwa hakuwa na nafasi ya kutosha katika maisha ya Victor, jambo lililomfanya kuchukua hatua hiyo.

    Aidha, inadaiwa kuwa Rikke alikuwa akishinikiza kufunga ndoa baada ya kuwa wapenzi kwa muda mrefu, huku Victor akiwa tayari kufunga naye ndoa lakini kwa sharti la kusaini mkataba wa awali (prenup).

    Prenup ni Mkataba wa awali kabla ya kufunga ndoa ambao unalenga kulinda mali za pande zote mbili endapo itatokea mkaachana kila mmoja anabaki na alichokuja nacho katika ndoa na sio kugawana mali, ila bibie Rikkie amekuwa mgumu kukubali hilo hivyo kuachana

    #tanzania #kenya #daressalaam #africa #zanzibar #diamondplatnumz #arusha #mwanza #dodoma #uganda #wcb #travel #life #safari #wasafi #love #millardayoupdates #mbeya #nairobi #harmonize #rwanda #eastafrica #kilimanjaro #alikiba #gainwithmchina #serengeti #wasafitv #fashion #wasafimedia #wemasepetu
    Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigeria, Victor Boniface, anayeichezea Bayer Leverkusen ya Ujerumani, ameachana na mpenzi wake, Rikke Hermine, raia wa Norway. Wawili hao walikuwa katika uhusiano wa kimapenzi kwa miaka minne, lakini wameamua kuvunja uhusiano wao kutokana na kugundua kuwa Victor kwenye mali zake ameandika majina ya mama yake tu. Chanzo cha habari kinaeleza kuwa uamuzi wa Rikke kuachana na Victor ulitokana na kugundua kuwa katika mali zote za mshambuliaji huyo, majina ya mama yake mzazi pekee ndiyo yaliyoandikwa. Hali hii ilimfanya Rikke kuhisi kuwa hakuwa na nafasi ya kutosha katika maisha ya Victor, jambo lililomfanya kuchukua hatua hiyo. Aidha, inadaiwa kuwa Rikke alikuwa akishinikiza kufunga ndoa baada ya kuwa wapenzi kwa muda mrefu, huku Victor akiwa tayari kufunga naye ndoa lakini kwa sharti la kusaini mkataba wa awali (prenup). Prenup ni Mkataba wa awali kabla ya kufunga ndoa ambao unalenga kulinda mali za pande zote mbili endapo itatokea mkaachana kila mmoja anabaki na alichokuja nacho katika ndoa na sio kugawana mali, ila bibie Rikkie amekuwa mgumu kukubali hilo hivyo kuachana #tanzania #kenya #daressalaam #africa #zanzibar #diamondplatnumz #arusha #mwanza #dodoma #uganda #wcb #travel #life #safari #wasafi #love #millardayoupdates #mbeya #nairobi #harmonize #rwanda #eastafrica #kilimanjaro #alikiba #gainwithmchina #serengeti #wasafitv #fashion #wasafimedia #wemasepetu
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·3χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-30 19:54:59 ·
    #JeWajua Msako mkali wa wahamiaji uliofanyika nchini Marekani siku ya Jumapili na kusababisha kukamatwa kwa watu 956, idadi hiyo ikiwa kubwa zaidi tangu Donald Trump arejee mamlakani, kulingana na shirika la Uhamiaji na Utekelezaji wa Forodha (ICE).

    Mashirika kadhaa ya serikali yenye mamlaka mapya ya kuwaweka kizuizini wasio na vibali yalihusika katika kamata kamata hiyo kwenye miji kadhaa ikiwa ni pamoja na Chicago, Newark na Miami. Moja ya ahadi alizotoa Donald Trump wakati wa kampeni yake, ni kuwafukuza nchi Marekani wahamiaji wasio na vibali.

    Mtangulizi wake Joe Biden aliwarejesha makwao wastani wa wahamiaji 311 kila siku, kulingana na ICE, wengi wao wakiwa watu ambao walikuwa wamefanya uhalifu. Tangu aingie madarakani, Trump ametekeleza maagizo 21 kurekebisha mfumo wa uhamiaji wa Marekani.

    Huko Miami siku ya Jumapili, vyombo vya kutekeleza sheria vya serikali vilichukua "hatua kadhaa za uhamiaji," Uchunguzi wa Usalama wa jiji hilo ulisema kwenye mitandao ya kijamii.

    #tanzania #kenya #daressalaam #africa #zanzibar #diamondplatnumz #arusha #mwanza #dodoma #uganda #wcb #travel #life #safari #wasafi #love #millardayoupdates #mbeya #nairobi #harmonize #rwanda #eastafrica #kilimanjaro #alikiba #gainwithmchina #serengeti #wasafitv #fashion #wasafimedia
    #JeWajua Msako mkali wa wahamiaji uliofanyika nchini Marekani siku ya Jumapili na kusababisha kukamatwa kwa watu 956, idadi hiyo ikiwa kubwa zaidi tangu Donald Trump arejee mamlakani, kulingana na shirika la Uhamiaji na Utekelezaji wa Forodha (ICE). Mashirika kadhaa ya serikali yenye mamlaka mapya ya kuwaweka kizuizini wasio na vibali yalihusika katika kamata kamata hiyo kwenye miji kadhaa ikiwa ni pamoja na Chicago, Newark na Miami. Moja ya ahadi alizotoa Donald Trump wakati wa kampeni yake, ni kuwafukuza nchi Marekani wahamiaji wasio na vibali. Mtangulizi wake Joe Biden aliwarejesha makwao wastani wa wahamiaji 311 kila siku, kulingana na ICE, wengi wao wakiwa watu ambao walikuwa wamefanya uhalifu. Tangu aingie madarakani, Trump ametekeleza maagizo 21 kurekebisha mfumo wa uhamiaji wa Marekani. Huko Miami siku ya Jumapili, vyombo vya kutekeleza sheria vya serikali vilichukua "hatua kadhaa za uhamiaji," Uchunguzi wa Usalama wa jiji hilo ulisema kwenye mitandao ya kijamii. #tanzania #kenya #daressalaam #africa #zanzibar #diamondplatnumz #arusha #mwanza #dodoma #uganda #wcb #travel #life #safari #wasafi #love #millardayoupdates #mbeya #nairobi #harmonize #rwanda #eastafrica #kilimanjaro #alikiba #gainwithmchina #serengeti #wasafitv #fashion #wasafimedia
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·3χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-10 08:12:15 ·
    Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza, limewaonya wananchi waliotaka kumshambulia mwananchi mmoja wakimtuhumu kuwa ni mbakaji maarufu kwa jina la ‘Teleza’.

    Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi imesema kumekuwa na uvumi wa taarifa potofu zinazoenezwa kwenye maeneo hususan Kata ya Mkolani na Buhongwa mkoani humo zikieleza juu ya mtu aitwaye Teleza anayedaiwa kubaka, kulawiti wanawake pamoja na kuwajeruhi.

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza, limewaonya wananchi waliotaka kumshambulia mwananchi mmoja wakimtuhumu kuwa ni mbakaji maarufu kwa jina la ‘Teleza’. Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi imesema kumekuwa na uvumi wa taarifa potofu zinazoenezwa kwenye maeneo hususan Kata ya Mkolani na Buhongwa mkoani humo zikieleza juu ya mtu aitwaye Teleza anayedaiwa kubaka, kulawiti wanawake pamoja na kuwajeruhi.
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·663 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-10 07:45:46 ·
    Bombardier Q400 Next Generation.
    #Dash8 #Q400 #NextGen

    Uundaji: Canada
    Kampuni: De Havilland Canada/Bombardier Aeropace
    Abiria: 74-90
    Urefu: mita 32
    Kimo: futi 6.40
    Upana: futi 8
    Nguvu/Injini: Hp 10,142
    Mwendokasi: 666.7 km/h
    Umbali iendapo: km 2522
    Umbali wa juu: futi 27,000
    Uwezo/Ubebaji: tani 8.7
    Ubebaji Mafuta: lita 6617
    Barabara/kuruka: mita 1067
    Barabara/kutua: mita 1286
    Ulaji mafuta: lita 14/dakika
    Bei: U$d 27-33 Milion

    #Note:
    Mchanganuo mwepesi wa makadirio ya chini, kati, au juu kwa ndege husika.

    #karibu #Mwanza #BombardierQ400
    #TGFA #ATCL #TANZANIA #GOVERNMENT
    Bombardier Q400 Next Generation. #Dash8 #Q400 #NextGen Uundaji: Canada Kampuni: De Havilland Canada/Bombardier Aeropace Abiria: 74-90 Urefu: mita 32 Kimo: futi 6.40 Upana: futi 8 Nguvu/Injini: Hp 10,142 Mwendokasi: 666.7 km/h Umbali iendapo: km 2522 Umbali wa juu: futi 27,000 Uwezo/Ubebaji: tani 8.7 Ubebaji Mafuta: lita 6617 Barabara/kuruka: mita 1067 Barabara/kutua: mita 1286 Ulaji mafuta: lita 14/dakika Bei: U$d 27-33 Milion #Note: Mchanganuo mwepesi wa makadirio ya chini, kati, au juu kwa ndege husika. #karibu #Mwanza #BombardierQ400 #TGFA #ATCL #TANZANIA #GOVERNMENT
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-08 16:13:07 ·
    *Mamba anayedaiwa kuua watu kadhaa wakiwa katika shughuli za kibinadamu ndani ya Ziwa Victoria katika Kijiji cha Kasenyi, Wilaya ya Sengerema, Mwanza, ameuawa na wananchi kwa kumtega kwa kutumia ndoano.*

    *Mamba anayedaiwa kuua watu kadhaa wakiwa katika shughuli za kibinadamu ndani ya Ziwa Victoria katika Kijiji cha Kasenyi, Wilaya ya Sengerema, Mwanza, ameuawa na wananchi kwa kumtega kwa kutumia ndoano.*
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·519 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-08 15:27:06 ·
    Mahakama ya wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza imemuhukumu kifungo cha miezi sita Rajabu Reli (22), mkazi wa Sengerema baada ya kukutwa na hatia ya kuvaa sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) bila ruhusa.

    Hata hivyo, mshtakiwa alipopewa nafasi ya kujitetetea kwanini asipewe adhabu; aliomba mahakama hiyo imuachie huru kwa kuwa ni mkosaji wa mara ya kwanza na alivaa ili akubaliwe na mchumba wake.

    Mahakama ya wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza imemuhukumu kifungo cha miezi sita Rajabu Reli (22), mkazi wa Sengerema baada ya kukutwa na hatia ya kuvaa sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) bila ruhusa. Hata hivyo, mshtakiwa alipopewa nafasi ya kujitetetea kwanini asipewe adhabu; aliomba mahakama hiyo imuachie huru kwa kuwa ni mkosaji wa mara ya kwanza na alivaa ili akubaliwe na mchumba wake.
    Like
    1
    · 2 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·541 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-07 08:10:00 ·
    Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linamshikilia Doto Maduhu Sita (32) mkazi wa Kishiri, Wilaya ya Nyamagana ambaye ni baba wa kambo wa mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi kumi kwa tuhuma za kumbaka, kumlawiti na kumshambulia mtoto huyo.

    Taarifa ya Jeshi la Polisi imesema mtoto huyo alikuwa akifanyiwa ukatili huo mara kwa mara na kupelekea hali yake ya kiafya kuwa dhaifu, hivyo kuwafanya raia wema kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi kupitia Dawati la Jinsia na Watoto.
    #neliudcosiah
    Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linamshikilia Doto Maduhu Sita (32) mkazi wa Kishiri, Wilaya ya Nyamagana ambaye ni baba wa kambo wa mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi kumi kwa tuhuma za kumbaka, kumlawiti na kumshambulia mtoto huyo. Taarifa ya Jeshi la Polisi imesema mtoto huyo alikuwa akifanyiwa ukatili huo mara kwa mara na kupelekea hali yake ya kiafya kuwa dhaifu, hivyo kuwafanya raia wema kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi kupitia Dawati la Jinsia na Watoto. #neliudcosiah
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·868 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-11 15:18:14 ·
    RALLY BWALYA yupo katika hatua za mwisho za kujiunga na PAMBA JIJI ya Mwanza akitokea Napsa Stars ya Zambia taarifa ni kuwa Maofisa wa Pamba Jiji wamesafiri kuelekea Zambia kukamilisha dili hilo huku mambo mengi ya msingi yakiwa yametimizwa na inaaminika Nyota huyo wa zamani wa Simba ataitumikia ardhi ya Sato na Sangara.

    🚨RALLY BWALYA yupo katika hatua za mwisho za kujiunga na PAMBA JIJI ya Mwanza akitokea Napsa Stars ya Zambia 🇿🇲 taarifa ni kuwa Maofisa wa Pamba Jiji wamesafiri kuelekea Zambia kukamilisha dili hilo huku mambo mengi ya msingi yakiwa yametimizwa na inaaminika Nyota huyo wa zamani wa Simba ataitumikia ardhi ya Sato na Sangara.
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·574 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • George Sykes @SykesJr πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-11-21 15:54:27 ·
    MSAADA KITUO CHA ILEMELA MWANZA
    MSAADA KITUO CHA ILEMELA MWANZA
    Love
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·567 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Kelvin John @Jumae πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-11-12 10:12:43 ·
    Bodi ya Ligi ya Kuu ya soka ya Tanzania (TPLB) imefanya mabadiliko kwenye mchezo wa NBC kati ya Pamba Jiji dhidi ya Simba, uliokuwa haujapangiwa tarehe baada ya kuondolewa Novemba 21, 2024.

    Taarifa kutoka TPLB zinasema kuwa mchezo huo sasa utachezwa utachezwa Novemba 22, 2024 saa 10:00 jioni katika Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza.

    #KastulElias
    Bodi ya Ligi ya Kuu ya soka ya Tanzania (TPLB) imefanya mabadiliko kwenye mchezo wa NBC kati ya Pamba Jiji dhidi ya Simba, uliokuwa haujapangiwa tarehe baada ya kuondolewa Novemba 21, 2024. Taarifa kutoka TPLB zinasema kuwa mchezo huo sasa utachezwa utachezwa Novemba 22, 2024 saa 10:00 jioni katika Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. #KastulElias
    Love
    Like
    3
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·788 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Idd Kisinza @Lubinza πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-09-05 17:11:56 ·
    Officials kisinza
    Mwanza
    Tz
    Officials kisinza Mwanza Tz
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·836 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Bernald Peter @Makali123 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-08-28 03:42:31 ·
    #bernaldpeter #MAGU_MWANZA
    #bernaldpeter #MAGU_MWANZA
    Like
    Love
    5
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·722 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Bernard John @Ben666
    2024-06-25 19:25:45 ·
    kuna jamaa yangu leo siku ya sita ktk week namkuta anakula dagaa wa mwanza nae akiwa dodoma!!
    NIMEMWAMBIA NATAKA KUFANYA BIASHARA YA DAGAA KANIJIBU hailipi na hakuna wateja hapa dodoma!!
    kuna jamaa yangu leo siku ya sita ktk week namkuta anakula dagaa wa mwanza nae akiwa dodoma!! NIMEMWAMBIA NATAKA KUFANYA BIASHARA YA DAGAA KANIJIBU hailipi na hakuna wateja hapa dodoma!!
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·547 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Bernard John @Ben666
    2024-06-25 19:25:17 ·
    kuna jamaa yangu leo siku ya sita ktk week namkuta anakula dagaa wa mwanza nae akiwa dodoma!!
    NIMEMWAMBIA NATAKA KUFANYA BIASHARA YA DAGAA KANIJIBU hailipi na hakuna wateja hapa dodoma!!
    kuna jamaa yangu leo siku ya sita ktk week namkuta anakula dagaa wa mwanza nae akiwa dodoma!! NIMEMWAMBIA NATAKA KUFANYA BIASHARA YA DAGAA KANIJIBU hailipi na hakuna wateja hapa dodoma!!
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·544 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Idd Kisinza @Lubinza πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-05-20 07:08:20 ·
    Lubinza#
    #mwanza#
    #arusha#
    #simiyu#
    @kisinza family#
    Lubinza# #mwanza# #arusha# #simiyu# @kisinza family#
    Like
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·814 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Salum Aman @Mzambuli πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-05-18 21:18:23 ·
    #VisitMwanzaTanzania
    #VisitMwanzaTanzania
    Love
    Like
    5
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·875 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers