• Kaka 2003 Alitua Malpesa Airpot Milan akiwa amevaa mewani ya mwanafunzi, Nywele zake amechana vizuri kama mwanafunzi, kitu pekee alichokosa ili awe mwanafunzi kamili ni vitabu na lunchbox, "nikasema" Mungu wangu tumefanya nini hiki? hivi huyu ataweza kucheza professional football kwa kiwango kinachotakiwa?

    Sikuwahi kumuona Ricardo Kaka kabla hiyo ndo ilikua mara ya kwanza, hata video yake yoyote sikuiona kwahiyo nilikua na wasiwasi.

    Hatimae siku ilifika Kaka akaja kwenye mazoezi kitu cha kwanza nilichotaka kumuuliza ni "Umewaambia wazazi wako kuwa haujaenda shule leo?", Walinzi wa Milanello(uwanja wa mazoezi) walikua na kila sababu ya kumuuliza iko wapi leseni yako ya udereva kabla ya kumruhusu kuingia ila unajua ni nini kilitokea? Ni hiki...

    Aliposimama uwanjani kwa mara ya kwanza niliskia kwaya na tarumbeta kutoka mbinguni kweli Kaka alikua ni Genius alieteremshwa kutoka mbinguni asante Mungu.

    Alipogusa tu mpira alikua na uwezo wa ajabu niliacha kuongea maana hakuna neno la kuelezea hisia zangu, hakuna neno kwenye kamusi linaloweza kuelezea ni nini niliona.

    Nilimpenda sana Kaka, kweli nilimpenda, sana, Aliweka chini mewani yake akavaa tracksuit na akawa kitu ambacho sikutegemea "mchezaji mwenye viwango vya dunia".

    Hayo ni Maneno aliyoandika Carlo Ancelotti kwenye kitabu chake "The beautiful Game of an Ordinary Genius", akielezea nini kilitokea alipokua kocha wa Ac Milan na walipomsajili Ricardo Izecson dos Santos Leite maarufu Ricardo Kaka.
    Kaka 2003 Alitua Malpesa Airpot Milan akiwa amevaa mewani ya mwanafunzi, Nywele zake amechana vizuri kama mwanafunzi, kitu pekee alichokosa ili awe mwanafunzi kamili ni vitabu na lunchbox, "nikasema" Mungu wangu tumefanya nini hiki? hivi huyu ataweza kucheza professional football kwa kiwango kinachotakiwa? Sikuwahi kumuona Ricardo Kaka kabla hiyo ndo ilikua mara ya kwanza, hata video yake yoyote sikuiona kwahiyo nilikua na wasiwasi. Hatimae siku ilifika Kaka akaja kwenye mazoezi kitu cha kwanza nilichotaka kumuuliza ni "Umewaambia wazazi wako kuwa haujaenda shule leo?", Walinzi wa Milanello(uwanja wa mazoezi) walikua na kila sababu ya kumuuliza iko wapi leseni yako ya udereva kabla ya kumruhusu kuingia ila unajua ni nini kilitokea? Ni hiki... Aliposimama uwanjani kwa mara ya kwanza niliskia kwaya na tarumbeta kutoka mbinguni kweli Kaka alikua ni Genius alieteremshwa kutoka mbinguni asante Mungu. Alipogusa tu mpira alikua na uwezo wa ajabu niliacha kuongea maana hakuna neno la kuelezea hisia zangu, hakuna neno kwenye kamusi linaloweza kuelezea ni nini niliona. Nilimpenda sana Kaka, kweli nilimpenda, sana, Aliweka chini mewani yake akavaa tracksuit na akawa kitu ambacho sikutegemea "mchezaji mwenye viwango vya dunia". Hayo ni Maneno aliyoandika Carlo Ancelotti kwenye kitabu chake "The beautiful Game of an Ordinary Genius", akielezea nini kilitokea alipokua kocha wa Ac Milan na walipomsajili Ricardo Izecson dos Santos Leite maarufu Ricardo Kaka.
    Like
    1
    0 Commenti 0 condivisioni 249 Views
  • Naitwa calvin nina miaka 27, namshukuru Mungu kuniweka salama hadi leo na sina changamoto yoyote ya kiafya,Siishi nyumbani nimejitegemea(geto),

    Shida yangu ilianza nilipopata kazi mwaka jana Nikawa bize sana kuipambania future yangu kwani umasikini nilikuwa nisha onja radha yake,

    Nilipokuwa bize mpenzi wangu alianza kunihisi namcheat kwani sitengi muda mwingi kwaajili yake kama zamani,,(Nikumbushe kitu Wanaume wasio na kazi wanaharibu sana mahusiano ya watu na hii kwa sababu muda wowote wakihitajika wanapatikana),,tuendelee

    Baada ya muda kidogo Akaamua kuniacha kabisa sababu alitaka niwe nae muda mwingi kama ilivyokuwa kipindi sina kazi,,

    Tangu hapo nikawa single nikaamua kudiri na future yangu namshukuru Mungu katika hilo nimefanikiwa Asilimia fulani,,Shida yangu kubwa iliyo nileta hapa nikutafuta mchumba,,

    Nimekua bize sana na kazi hata ninaowapata nikidet nao,kutokana na ubize wangu wanahisi sina malengo nao kwani siwapi muda wanaotaka wao,,wanaamua kumove on,,lakini pia Kwa eneo ninaloishi Asilimia kubwa ya mabinti ninao wapata wamerekodiwa video za faragha na ma-x zao,

    Unaweza pata binti fresh mkadet vizuri tu shida itakuja utakapo watambulisha marafiki zako,Watakupa kila kitu kumhusu huyo binti hadi list ya wanaume aliolala nao na ukibisha wanakuonyesha video za faragha,

    Hii kitu imenikuta mara kibao sana na inavunja moyo kumuona unae mpenda kavuliwa nguo na mwanaume mwingne hili eneo nililopo natamani nitoke niende sehemu nyingine,Nikakae japo kwa muda kidogo labda nitabahatika kupata wa kuendana nae lakini kazi zimenibana,,nakosa huo muda

    Sina mtoto na wala sijawahi kuoa,Natamani nipate mwanamke ambae hana mtoto na hajawahi kuolewa,mwenye hofu ya Mungu na mwenye Akili timamu,,Umri asinizidi awe chini yangu,Asiwe mnene sana,awe msafi wa ndani na nje,asiwe na tatoo wala brich

    Akipatikana nikamuelewa nipo tayari kuanza nae ukurasa mpya,,Naahidi kama ataniheshimu na kunisikiliza nitampenda na kumthamini,,

    Naamin huenda kupitia page hii nitampata alie sahihi,,whatsp No;0748374716,,cha kwanza tuma picha isiyo na filter

    La mwisho kabisa mabinti mkiwa kwenye mahusiano msikubali kurekodiwa,siku mkiachana hiyo clip itatumika kama uthibitisho kama umeshaliwa,,Nakama umerekodiwa kaa ukijua mashemeji zako wamesha onyweshwa faragha yako,,,
    Naitwa calvin nina miaka 27, namshukuru Mungu kuniweka salama hadi leo na sina changamoto yoyote ya kiafya,Siishi nyumbani nimejitegemea(geto), Shida yangu ilianza nilipopata kazi mwaka jana Nikawa bize sana kuipambania future yangu kwani umasikini nilikuwa nisha onja radha yake, Nilipokuwa bize mpenzi wangu alianza kunihisi namcheat kwani sitengi muda mwingi kwaajili yake kama zamani,,(Nikumbushe kitu Wanaume wasio na kazi wanaharibu sana mahusiano ya watu na hii kwa sababu muda wowote wakihitajika wanapatikana),,tuendelee馃憞馃憞 Baada ya muda kidogo Akaamua kuniacha kabisa sababu alitaka niwe nae muda mwingi kama ilivyokuwa kipindi sina kazi,, Tangu hapo nikawa single nikaamua kudiri na future yangu namshukuru Mungu katika hilo nimefanikiwa Asilimia fulani,,Shida yangu kubwa iliyo nileta hapa nikutafuta mchumba,, Nimekua bize sana na kazi hata ninaowapata nikidet nao,kutokana na ubize wangu wanahisi sina malengo nao kwani siwapi muda wanaotaka wao,,wanaamua kumove on,,lakini pia Kwa eneo ninaloishi Asilimia kubwa ya mabinti ninao wapata wamerekodiwa video za faragha na ma-x zao, Unaweza pata binti fresh mkadet vizuri tu shida itakuja utakapo watambulisha marafiki zako,Watakupa kila kitu kumhusu huyo binti hadi list ya wanaume aliolala nao na ukibisha wanakuonyesha video za faragha, Hii kitu imenikuta mara kibao sana na inavunja moyo kumuona unae mpenda kavuliwa nguo na mwanaume mwingne hili eneo nililopo natamani nitoke niende sehemu nyingine,Nikakae japo kwa muda kidogo labda nitabahatika kupata wa kuendana nae lakini kazi zimenibana,,nakosa huo muda Sina mtoto na wala sijawahi kuoa,Natamani nipate mwanamke ambae hana mtoto na hajawahi kuolewa,mwenye hofu ya Mungu na mwenye Akili timamu,,Umri asinizidi awe chini yangu,Asiwe mnene sana,awe msafi wa ndani na nje,asiwe na tatoo wala brich Akipatikana nikamuelewa nipo tayari kuanza nae ukurasa mpya,,Naahidi kama ataniheshimu na kunisikiliza nitampenda na kumthamini,, Naamin huenda kupitia page hii nitampata alie sahihi,,whatsp No;0748374716,,cha kwanza tuma picha isiyo na filter La mwisho kabisa mabinti mkiwa kwenye mahusiano msikubali kurekodiwa,siku mkiachana hiyo clip itatumika kama uthibitisho kama umeshaliwa,,Nakama umerekodiwa kaa ukijua mashemeji zako wamesha onyweshwa faragha yako,,,
    Like
    2
    0 Commenti 0 condivisioni 245 Views
  • Mchezaji wa Timu ya Taifa ya Senegal Kalidou Koulibaly aliwahi kunukuliwa akisema " Siwezi kusahau siku ambayo Mtoto wangu alizaliwa. Mke wangu alienda Clinic asubuhi na tulikuwa tukicheza na Sassuolo nyumbani kwetu kwenye siku hiyohiyo. Kipindi tukiwa kwenye kipindi cha video simu yangu ilikuwa ikiita "

    " Mke wangu alinipigia mara 6 au mara 5 . Nilitoka nje na Mke wangu akaniambia " Ni lazima uje ,Mtoto wetu atazaliwa " . Kwahiyo nilienda kumuona Sarri ( Kocha wa Napoli kipindi hicho) na kumwambia "Mwalimu, Samahani , Inabidi niondoke sasa hivi , Mtoto wangu anaenda kuzaliwa "

    "Aliniangalia na kusema " Hapana Hapana Hapana . Nakuhitaji usiku wa leo Koulibaly . Hauwezi kwenda . Nilisisitiza " Ni siku ya kuzaliwa ya Mwanangu"

    " Unaweza kufanya chochote unachotaka kwangu,Ninyonge lakini sijali .Mimi naenda ,Sarri alisema "Sawa unaweza kwenda Clinic , Lakini inabidi urudi kwenye mchezo usiku wa leo . Nakuhitaji Koul " .

    "Nilifika Clinic saa 1:30 mchana na ninamshukuru Mungu niliweza kushuhudia Mtoto wangu akizaliwa . Ilikuwa siku bora kwenye maisha yangu ".

    " Saa 10 jioni ,Sarri alinipigia simu na kuniambia nirudi ,Mke wangu alinihitaji sana lakini aliniruhusu nikajiunge na Timu kiwanjani . Nilienda lakini pindi nilivyoingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo , Niliona Sarri akionesha kikosi " .

    " Niliangalia jina langu pale ,Namba yangu haikuwepo . Nilimwambia " Mheshimiwa nina imani unatania ? Mtoto wangu ,Mke wangu ,Nimewaacha , Ulisema unanihitaji mimi" , Ndipo akajibu " Ndio nakuhitaji .... Kwenye Benchi" .Nikifikiria jambo hilo kwasasa nahisi kucheka . Lakini kwa muda ule , Nilitaka kulia "

    -Kalidou Koulibaly mchezaji wa Klabu ya Al Hilal na timu ya Taifa ya Senegal
    #neliudcosiah
    Mchezaji wa Timu ya Taifa ya Senegal Kalidou Koulibaly aliwahi kunukuliwa akisema " Siwezi kusahau siku ambayo Mtoto wangu alizaliwa. Mke wangu alienda Clinic asubuhi na tulikuwa tukicheza na Sassuolo nyumbani kwetu kwenye siku hiyohiyo. Kipindi tukiwa kwenye kipindi cha video simu yangu ilikuwa ikiita " " Mke wangu alinipigia mara 6 au mara 5 . Nilitoka nje na Mke wangu akaniambia " Ni lazima uje ,Mtoto wetu atazaliwa " . Kwahiyo nilienda kumuona Sarri ( Kocha wa Napoli kipindi hicho) na kumwambia "Mwalimu, Samahani , Inabidi niondoke sasa hivi , Mtoto wangu anaenda kuzaliwa " "Aliniangalia na kusema " Hapana Hapana Hapana . Nakuhitaji usiku wa leo Koulibaly . Hauwezi kwenda . Nilisisitiza " Ni siku ya kuzaliwa ya Mwanangu" " Unaweza kufanya chochote unachotaka kwangu,Ninyonge lakini sijali .Mimi naenda ,Sarri alisema "Sawa unaweza kwenda Clinic , Lakini inabidi urudi kwenye mchezo usiku wa leo . Nakuhitaji Koul " . "Nilifika Clinic saa 1:30 mchana na ninamshukuru Mungu niliweza kushuhudia Mtoto wangu akizaliwa . Ilikuwa siku bora kwenye maisha yangu ". " Saa 10 jioni ,Sarri alinipigia simu na kuniambia nirudi ,Mke wangu alinihitaji sana lakini aliniruhusu nikajiunge na Timu kiwanjani . Nilienda lakini pindi nilivyoingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo , Niliona Sarri akionesha kikosi " . " Niliangalia jina langu pale ,Namba yangu haikuwepo . Nilimwambia " Mheshimiwa nina imani unatania ? Mtoto wangu ,Mke wangu ,Nimewaacha , Ulisema unanihitaji mimi" , Ndipo akajibu " Ndio nakuhitaji .... Kwenye Benchi" .Nikifikiria jambo hilo kwasasa nahisi kucheka . Lakini kwa muda ule , Nilitaka kulia " -Kalidou Koulibaly mchezaji wa Klabu ya Al Hilal na timu ya Taifa ya Senegal #neliudcosiah
    Like
    2
    1 Commenti 0 condivisioni 287 Views
  • VIETNAM WAR VITA AMBAYO MAREKANI ILISHINDWA VIBAYA

    Vita maarufu ya Vietnam ni moja ya vita katika historia ya Marekani ambazo taifa kubwa na lenye nguvu duniani lililazimika kuondoka uwanja wa mapambano baada ya kushindwa vibaya.
    Vita hii ilipiganwa kuanzia mwaka 1955 mpaka 1975, na ilipiganwa maeneo ya Vietnam kwenyewe, Laos na Cambodia.

    Kwa juu juu ilikuwa ni vita iliyopiganwa kati ya Vietnam Kaskazini na Vietnam Kusini lakini nyuma ya pazia ilikuwa ni vita ya kijasusi kati ya wababe wa dunia wa wakati huo yaani Marekani na Urusi ya Kisovieti(proxy war), huku kila mbabe akitaka kupandikiza itikadi yake kwa upande huo, Marekani akitaka Ubepari utawale na Mrusi akitaka Ukomunisti utawale.

    Vietnam ya Kaskazini ilisapotiwa na Urusi ya wakati huo(USSR), China na nchi nyingine za Kikomunisti huku Vietnam ya Kusini ikisapotiwa na Marekani, Korea Kusini, Australia, Thailand na nchi nyingine zilizokuwa zikipinga Ukomunisti.

    Wakati vuguvugu la vita limeanza kukolea mwaka 1950 Marekani ilituma kikosi cha majasusi wake nchini Vietnam wakati huo ikiwa Koloni la Mfaransa ikijulikana kama French IndoChina kwa ajili ya mafunzo, udukuzi na kukusanya taarifa za kijasusi kabla ya kuanza mashambulizi mazito, lengo likiwa kutoa mafunzo ya kijeshi na kijasusi kwa askari wa Vietnam ya Kusini na kuviandaa vikosi vyake kwa ajili ya mapigano ya kukata na shoka.

    Ilipofika mwaka 1961 wakati vita imekolea Marekani kwa kutumia taarifa za kijasusi ilizokusanya ilipeleka kikosi maalumu cha makomando wa Jeshi la Anga maarufu kama Green Berets kwa kazi kuu ya kufanya operations za kimya kimya za anga ili kulidhoofisha jeshi la Vietnam Kaskazini.
    Kikosi hiki kiliungana baadaye na kikosi cha makomando wa anga waliojulikana kama ECO 31 na US Marines.

    Hata hivyo kutokana na udhaifu wa taarifa za kijasusi vikosi hivi havikufanikiwa sana hali iliyopelekea kuvunjwa na kuundwa kikosi maalumu kingine mwaka 1962 kilichoitwa U.S. Military Assistance Command, Vietnam (MACV) kilichokuwa chini ya Idara ya Usalama ya Marekani.

    Pamoja na uwezo mkubwa wa Marekani kimafunzo na kisilaha lakini kulikuwa na udhaifu mkubwa wa idara za kijasusi hali iliyopelekea Idara nyeti za usalama za Marekani
    ikiwemo C.I.A kushindwa kutoa makadirio hasa ya kijeshi juu ya uzito wa Vita ile.

    Kutokana na nature ya nchi za Kikomunisti kuendeshwa kwa uzalendo uliotukuka, Marekani alishindwa kukusanya taarifa za msingi za kivita kwa kutumia ujasusi wa kitaaluma, badala yake alitegemea zaidi kuwahoji askari wa adui waliokamatwa na kuteswa.

    Vietnam Kaskazini kwa kusaidiwa na Majasusi wa Russia aliweza "kuwauzia taarifa feki" majasusi wa Kimarekani, na Marekani ikaingia mkenge kwa ku-underestimate uwezo wa Vietnam Kaskazini katika ulingo wa vita, kifupi taarifa za Kijasusi zilizopelekwa Washington na washirika wake zilikuwa tofauti kabisa na kilichokuwa uwanja wa mapambano.

    Kwa mfano Majasusi wa Marekani walishindwa kujua Formation ya Vita(Battle Formation) waliyokuwa wanatumia Wavietnam.
    Wavietnam wakiwa chini ya Majasusi wao wa VCSS waliweza kuunda vikosi vinne ya kimapambano vilivyopambana kwa wakati mmoja huku makamanda na wale wapiganaji mahiri wa kikosi kimoja wakibadilishana na wa Kikosi kingine huku mapambano yakiendelea.

    Kwamba unaweza kumuona leo kamanda fulani anapigana eneo A na kikosi chake akitumia mbinu fulani za msituni, mara baada ya siku tatu unashangaa imefanyika substitution kama ya kwenye mpira kaingia kamanda mpya na mbinu mpya kwa kutumia kikosi kile kile au akaleta wapiganaji wapya kabisa, huku yule wa eneo A akipelekwa eneo B na akabadili pia mbinu za kimapambano.

    Hali hii ilidumu kwa miaka 11 mfululizo mpaka mwaka 1966 Marekani ilipostukia mchezo huu wa kubadilishana makamanda na wapiganaji waliyokuwa wakitumia wa Vietnam, na ikapelekea idara za Kijasusi za Marekani husasani C.I.A na N.A.S.A kutuma upya majasusi maalumu wa kukusanya intelijensia nyingine mpya mwaka 1967.

    Lakini pia Majasusi wa Marekani walishindwa kujua uwezo wao majasusi wa Kivietnam kujipenyeza kwenye kambi ya adui(Inflitration Capabilities) waliokuwa nao Wa Vietnam.
    Inasadikika wengi wa askari wa Kivetman ya Kusini waliokula mafunzo na mbinu za Kivita kutoka Marekani na washirika wake mwanzoni kabisa mwa vuguvugu la kivita walikuwa wa Vietnam ya Kaskazini.
    Kifupi Vikosi vya Marekani viliwapa mafunzo ya kijeshi adui zao na wakauziwa Intelijensi ya uongo.

    Kubwa kuliko Yote Marekani na washirika wake hawakujua hasa Vietnam ana askari wangapi walio mstari wa mbele kwenye mapambano na wale wa akiba, iwapo wa mstari wa mbele
    wakilemewa, hali hii ilisababishwa na ukweli kuwa Vietnam Kaskazini ilikuwa inafuata itikadi za Kikomunisti, kila mtu alikuwa askari wa kuilinda nchi yake.

    Hata kama ungefanya shambulizi ukaua askari 1000 leo, kesho watakuja wengine wapya 1000 walio na morale ya kupambana mpaka kufa kama wale wa kwanza.
    Mwanzoni hili Wamarekani hawakulijua ila kadri mapigano yalivyopamba moto, askari wengi wa Marekani na Washirika wao walianza kuogopa kwenda mstari wa mbele hasa baada ya kugundua wanapambana na askari wengi wasioisha waliokuwa tayari kufa kwa ajili ya nchi yao.

    Baada ya Ripoti ya Kikosi kipya kilichoundwa na C.I.A kuja na taarifa zao za kijasusi walizokusanya uwanja wa mapambano, mwishoni mwa mwaka 1967 walikuja kupata taarifa
    za kustua sana kuwa Vietnam nao walikuwa na Shirika lao la Kijasusi lenye nguvu kubwa na lililokuwa limebobea katika tasnia ya Ujasusi lililokuwa linapewa mafunzo ya Kijasusi toka KGB Na China, Shirika hili liliojulikana kama Viet Cong Security Service (VCSS).

    Mwanzoni taarifa za Kijasusi walizozipata Wamarekani zilikuwa feki kuwa VCSS walikuwa kikosi maalum tu cha wapambanaji walio na silaha dhaifu na si majasusi.

    VCSS walikuwa wababe wa mapigano ya msituni na guilera war huku wakiwa na maajenti wengi zaidi ya 100,000.

    Walikuwa mabingwa wa vita vya kuviziana huku askari wachache wakijificha na kufanya ambush za kijeshi dhidi ya askari wa adui zao, wakati mwingine walivaa nguo za Kiraia na kuingia mtaani na kuishi maisha ya kawaiada kabisa huku wakipanga mikakati yao ya mashambulizi ya kuvizia.

    Ilikuwa ni ngumu sana kujua yupi ni raia yupi ni askari, hali hii iliwatia hofu mno askari wa Kimarekani na washirika wao waliokuwa mstari wa mbele wa mapambano, wengi wa waliokuwa wakidhani ni raia wa kawaida walikuwa ni maajenti wa VCSS.

    Kutokana na usiri mkubwa na umakini wa hali ya juu wa VCSS ilikuwa ni ngumu kwa Marekani kupata intelijensia kutoka vyanzo vya kuaminika, taarifa nyingi zilizokusanywa zilikuwa kupitia kukamata na kutesa askari wa adui waliokamatwa uwanja wa mapambano ambao wengi walikuwa ni askari wa vyeo vya chini au raia waliojitolea kupigana waliopewa mafunzo ya muda mfupi kwa ajili ya kupambana.
    Wengi wao walikuwa na taarifa za kupikwa walizopewa makusudi kwa ajili ya kupotosha iwapo wangekamatwa.

    Moja ya mbinu iliyowashusha morale askari wa kimarekani uwanja wa vita ni hit-and-run technique waliyotumia Wavietnam, Marekani alitegemea sana jeshi la anga na vikosi maalumu kupambana huku wakiwa na silaha nzito nzito za kubeba kwa magari.
    Wavietnam walichimba mahandaki njiani kuzuia magari ya silaha na mizinga kupita msituni,
    wali-block njia za kupitishia silaha za adui kwa kuangusha miti mikubwa kabla ya kufanya ambush, walitengeneza kambi za feki za kijeshi msituni na kila mbinu ya guilera war inayofahamika katika uwanja wa mapambano kubwa ikiwa kuviziana.

    Mfano askari wa ki-Vietnam walivizia kambi ya adui na kufanya ambush ndani ya saa moja na kisha kila askari kutimuka njia yake kilomita kadhaa baada ya kufanya shambulio kabla ya kukukutana tena eneo fulani kwa ajili ya kupanga shambulio jingine, na endapo wakizidiwa katika ambush zao iliwabidi askari hao kuficha silaha kwenye mahandaki na kisha kujichanganya na raia mtaani.

    Nyingi ya kambi za kupambana za Kivietnam hazikuwa zile zilizoonekana, nyingi zilikuwa chini ya mahandaki, madege ya kimarekani yaliposhambulia kambi kwa makombora yao, nyingi ya kambi hizo zilikuwa ni feki, zilizojengwa maalumu kwa ajili ya kum-distract adui, huku silaha nzito kutoka Urusi na China zikifichwa chini ya mahandaki makubwa.

    Wamarekani na Vikosi vyao walitumia teknolojia kupambana, huku wakitumia madege ya B-52, mizinga mikubwa, helkopta, kemikali za kupukutisha majani kwenye miti maarufu kama defoliants, lakini zote hazifua dafu.

    Baada ya makamanda wa vikosi vya Marekani kuona mbinu na silaha zao hazifanikiwi wakaamua kuwahamisha raia wote ambao wengi walikuwa wakulima wadogo wadogo kutoka maeneo ambayo maajenti wa VCSS walikuwa wanayamiliki kwenda sehemu salama ambazo zilikuwa chini ya ulinzi wao, hali hii ilizaa tatizo jingine pia kwani maajenti wengi wa VCSS walijifanya raia wakajipenyeza na kuingia maeneo yaliyokuwa hayana mapigano yaliyokuwa chini ya umiliki wa Vikosi vya Wamarekani na kuanza operations upya kwenye maeneo ambayo yalikuwa
    chini ya umiliki wa adui zao.

    Hili lilipelekea mashambulizi ya kuviziana kuongezeka kwenye maeneo mbayo Wamarekani walikuwa wanayashikilia, patrol zao zilivamiwa na askari kupokonywa silaha hali iliyopelekea morale ya askari kushuka sana, ikabidi Askari wa Kimarekani waandae ndege standby kwa ajili ya kutoa msaada muda wowote patrol zao zitakapostambuliwa,
    lakini bado haikusaidia kitu kwani wengi wa askari wa patrol hawakutaka kabisa kuingia maeneo ya ndani ndani walipita njia kuu na maeneo ya wazi kuogopa mashambulizi ya kushtukiza ambayo Shirika la Kijasusi la VCSS lilikuwa limesambaza maajenti zaidi ya 100,000.

    Kutokana na ripoti za Kijasusi kuvuja nchini Marekani kuwa probability ya kuuwawa kwa askari wao walio vitani nchini Vietnam kuwa ni zaidi ya 20% na kuwa askari waliokuwa mapiganoni wengi walikuwa wanaogopa gorilla war iliyokuwa ikiendeshwa na Wavietnam, ripoti za siri za kijasusi zinasema C.I.A kwa kutumia mbinu za kijasusi waliandaa exit strategy ambayo ilikuwa ni
    kuhamasisha maandamano na propaganda ya kile kilichoitwa vuguvugu la wananchi wa Marekani kupinga nchi yao kujiingiza katika vita ya Vietnam.

    Hatimaye Marekani kwa kisingizio cha maandamano ya wananchi kupinga nchi yao kujiingiza Vietnam mwaka 1973 waliondoa vikosi vyao na kuikabidhi Vietnam Kusini jukumu la kuendelea na mapambano dhidi ya Kaskazini.

    Vietnam ya Kaskazini iliendesha mapigano kwa miaka miwili mfululizo na hatimaye mwaka 1975 ikaukamata mji mashuhuri sana wa Saigon uliokuwa unamilikiwa na Vietnam Kusini na mwaka mmoja baadaye Kusini na Kaskazini zikaungana na kutengeneza nchi moja ya Jamhuri ya watu wa Vietnam.

    Inakadiriwa kuwa vita hiyo iligharimu maisha ya WaVietnam kati ya 966,000 mpaka Milioni 3.8 Wakambodia kati ya 240,000–300,000, Walaotia kati ya 20,000–62,000 na Wamarekani zaidi ya 58,220 huku Wamarekani zaidi ya 1,626 wakipotea na hawakujulikana walipo mpaka leo

    Mwisho
    VIETNAM WAR VITA AMBAYO MAREKANI ILISHINDWA VIBAYA Vita maarufu ya Vietnam ni moja ya vita katika historia ya Marekani ambazo taifa kubwa na lenye nguvu duniani lililazimika kuondoka uwanja wa mapambano baada ya kushindwa vibaya. Vita hii ilipiganwa kuanzia mwaka 1955 mpaka 1975, na ilipiganwa maeneo ya Vietnam kwenyewe, Laos na Cambodia. Kwa juu juu ilikuwa ni vita iliyopiganwa kati ya Vietnam Kaskazini na Vietnam Kusini lakini nyuma ya pazia ilikuwa ni vita ya kijasusi kati ya wababe wa dunia wa wakati huo yaani Marekani na Urusi ya Kisovieti(proxy war), huku kila mbabe akitaka kupandikiza itikadi yake kwa upande huo, Marekani akitaka Ubepari utawale na Mrusi akitaka Ukomunisti utawale. Vietnam ya Kaskazini ilisapotiwa na Urusi ya wakati huo(USSR), China na nchi nyingine za Kikomunisti huku Vietnam ya Kusini ikisapotiwa na Marekani, Korea Kusini, Australia, Thailand na nchi nyingine zilizokuwa zikipinga Ukomunisti. Wakati vuguvugu la vita limeanza kukolea mwaka 1950 Marekani ilituma kikosi cha majasusi wake nchini Vietnam wakati huo ikiwa Koloni la Mfaransa ikijulikana kama French IndoChina kwa ajili ya mafunzo, udukuzi na kukusanya taarifa za kijasusi kabla ya kuanza mashambulizi mazito, lengo likiwa kutoa mafunzo ya kijeshi na kijasusi kwa askari wa Vietnam ya Kusini na kuviandaa vikosi vyake kwa ajili ya mapigano ya kukata na shoka. Ilipofika mwaka 1961 wakati vita imekolea Marekani kwa kutumia taarifa za kijasusi ilizokusanya ilipeleka kikosi maalumu cha makomando wa Jeshi la Anga maarufu kama Green Berets kwa kazi kuu ya kufanya operations za kimya kimya za anga ili kulidhoofisha jeshi la Vietnam Kaskazini. Kikosi hiki kiliungana baadaye na kikosi cha makomando wa anga waliojulikana kama ECO 31 na US Marines. Hata hivyo kutokana na udhaifu wa taarifa za kijasusi vikosi hivi havikufanikiwa sana hali iliyopelekea kuvunjwa na kuundwa kikosi maalumu kingine mwaka 1962 kilichoitwa U.S. Military Assistance Command, Vietnam (MACV) kilichokuwa chini ya Idara ya Usalama ya Marekani. Pamoja na uwezo mkubwa wa Marekani kimafunzo na kisilaha lakini kulikuwa na udhaifu mkubwa wa idara za kijasusi hali iliyopelekea Idara nyeti za usalama za Marekani ikiwemo C.I.A kushindwa kutoa makadirio hasa ya kijeshi juu ya uzito wa Vita ile. Kutokana na nature ya nchi za Kikomunisti kuendeshwa kwa uzalendo uliotukuka, Marekani alishindwa kukusanya taarifa za msingi za kivita kwa kutumia ujasusi wa kitaaluma, badala yake alitegemea zaidi kuwahoji askari wa adui waliokamatwa na kuteswa. Vietnam Kaskazini kwa kusaidiwa na Majasusi wa Russia aliweza "kuwauzia taarifa feki" majasusi wa Kimarekani, na Marekani ikaingia mkenge kwa ku-underestimate uwezo wa Vietnam Kaskazini katika ulingo wa vita, kifupi taarifa za Kijasusi zilizopelekwa Washington na washirika wake zilikuwa tofauti kabisa na kilichokuwa uwanja wa mapambano. Kwa mfano Majasusi wa Marekani walishindwa kujua Formation ya Vita(Battle Formation) waliyokuwa wanatumia Wavietnam. Wavietnam wakiwa chini ya Majasusi wao wa VCSS waliweza kuunda vikosi vinne ya kimapambano vilivyopambana kwa wakati mmoja huku makamanda na wale wapiganaji mahiri wa kikosi kimoja wakibadilishana na wa Kikosi kingine huku mapambano yakiendelea. Kwamba unaweza kumuona leo kamanda fulani anapigana eneo A na kikosi chake akitumia mbinu fulani za msituni, mara baada ya siku tatu unashangaa imefanyika substitution kama ya kwenye mpira kaingia kamanda mpya na mbinu mpya kwa kutumia kikosi kile kile au akaleta wapiganaji wapya kabisa, huku yule wa eneo A akipelekwa eneo B na akabadili pia mbinu za kimapambano. Hali hii ilidumu kwa miaka 11 mfululizo mpaka mwaka 1966 Marekani ilipostukia mchezo huu wa kubadilishana makamanda na wapiganaji waliyokuwa wakitumia wa Vietnam, na ikapelekea idara za Kijasusi za Marekani husasani C.I.A na N.A.S.A kutuma upya majasusi maalumu wa kukusanya intelijensia nyingine mpya mwaka 1967. Lakini pia Majasusi wa Marekani walishindwa kujua uwezo wao majasusi wa Kivietnam kujipenyeza kwenye kambi ya adui(Inflitration Capabilities) waliokuwa nao Wa Vietnam. Inasadikika wengi wa askari wa Kivetman ya Kusini waliokula mafunzo na mbinu za Kivita kutoka Marekani na washirika wake mwanzoni kabisa mwa vuguvugu la kivita walikuwa wa Vietnam ya Kaskazini. Kifupi Vikosi vya Marekani viliwapa mafunzo ya kijeshi adui zao na wakauziwa Intelijensi ya uongo. Kubwa kuliko Yote Marekani na washirika wake hawakujua hasa Vietnam ana askari wangapi walio mstari wa mbele kwenye mapambano na wale wa akiba, iwapo wa mstari wa mbele wakilemewa, hali hii ilisababishwa na ukweli kuwa Vietnam Kaskazini ilikuwa inafuata itikadi za Kikomunisti, kila mtu alikuwa askari wa kuilinda nchi yake. Hata kama ungefanya shambulizi ukaua askari 1000 leo, kesho watakuja wengine wapya 1000 walio na morale ya kupambana mpaka kufa kama wale wa kwanza. Mwanzoni hili Wamarekani hawakulijua ila kadri mapigano yalivyopamba moto, askari wengi wa Marekani na Washirika wao walianza kuogopa kwenda mstari wa mbele hasa baada ya kugundua wanapambana na askari wengi wasioisha waliokuwa tayari kufa kwa ajili ya nchi yao. Baada ya Ripoti ya Kikosi kipya kilichoundwa na C.I.A kuja na taarifa zao za kijasusi walizokusanya uwanja wa mapambano, mwishoni mwa mwaka 1967 walikuja kupata taarifa za kustua sana kuwa Vietnam nao walikuwa na Shirika lao la Kijasusi lenye nguvu kubwa na lililokuwa limebobea katika tasnia ya Ujasusi lililokuwa linapewa mafunzo ya Kijasusi toka KGB Na China, Shirika hili liliojulikana kama Viet Cong Security Service (VCSS). Mwanzoni taarifa za Kijasusi walizozipata Wamarekani zilikuwa feki kuwa VCSS walikuwa kikosi maalum tu cha wapambanaji walio na silaha dhaifu na si majasusi. VCSS walikuwa wababe wa mapigano ya msituni na guilera war huku wakiwa na maajenti wengi zaidi ya 100,000. Walikuwa mabingwa wa vita vya kuviziana huku askari wachache wakijificha na kufanya ambush za kijeshi dhidi ya askari wa adui zao, wakati mwingine walivaa nguo za Kiraia na kuingia mtaani na kuishi maisha ya kawaiada kabisa huku wakipanga mikakati yao ya mashambulizi ya kuvizia. Ilikuwa ni ngumu sana kujua yupi ni raia yupi ni askari, hali hii iliwatia hofu mno askari wa Kimarekani na washirika wao waliokuwa mstari wa mbele wa mapambano, wengi wa waliokuwa wakidhani ni raia wa kawaida walikuwa ni maajenti wa VCSS. Kutokana na usiri mkubwa na umakini wa hali ya juu wa VCSS ilikuwa ni ngumu kwa Marekani kupata intelijensia kutoka vyanzo vya kuaminika, taarifa nyingi zilizokusanywa zilikuwa kupitia kukamata na kutesa askari wa adui waliokamatwa uwanja wa mapambano ambao wengi walikuwa ni askari wa vyeo vya chini au raia waliojitolea kupigana waliopewa mafunzo ya muda mfupi kwa ajili ya kupambana. Wengi wao walikuwa na taarifa za kupikwa walizopewa makusudi kwa ajili ya kupotosha iwapo wangekamatwa. Moja ya mbinu iliyowashusha morale askari wa kimarekani uwanja wa vita ni hit-and-run technique waliyotumia Wavietnam, Marekani alitegemea sana jeshi la anga na vikosi maalumu kupambana huku wakiwa na silaha nzito nzito za kubeba kwa magari. Wavietnam walichimba mahandaki njiani kuzuia magari ya silaha na mizinga kupita msituni, wali-block njia za kupitishia silaha za adui kwa kuangusha miti mikubwa kabla ya kufanya ambush, walitengeneza kambi za feki za kijeshi msituni na kila mbinu ya guilera war inayofahamika katika uwanja wa mapambano kubwa ikiwa kuviziana. Mfano askari wa ki-Vietnam walivizia kambi ya adui na kufanya ambush ndani ya saa moja na kisha kila askari kutimuka njia yake kilomita kadhaa baada ya kufanya shambulio kabla ya kukukutana tena eneo fulani kwa ajili ya kupanga shambulio jingine, na endapo wakizidiwa katika ambush zao iliwabidi askari hao kuficha silaha kwenye mahandaki na kisha kujichanganya na raia mtaani. Nyingi ya kambi za kupambana za Kivietnam hazikuwa zile zilizoonekana, nyingi zilikuwa chini ya mahandaki, madege ya kimarekani yaliposhambulia kambi kwa makombora yao, nyingi ya kambi hizo zilikuwa ni feki, zilizojengwa maalumu kwa ajili ya kum-distract adui, huku silaha nzito kutoka Urusi na China zikifichwa chini ya mahandaki makubwa. Wamarekani na Vikosi vyao walitumia teknolojia kupambana, huku wakitumia madege ya B-52, mizinga mikubwa, helkopta, kemikali za kupukutisha majani kwenye miti maarufu kama defoliants, lakini zote hazifua dafu. Baada ya makamanda wa vikosi vya Marekani kuona mbinu na silaha zao hazifanikiwi wakaamua kuwahamisha raia wote ambao wengi walikuwa wakulima wadogo wadogo kutoka maeneo ambayo maajenti wa VCSS walikuwa wanayamiliki kwenda sehemu salama ambazo zilikuwa chini ya ulinzi wao, hali hii ilizaa tatizo jingine pia kwani maajenti wengi wa VCSS walijifanya raia wakajipenyeza na kuingia maeneo yaliyokuwa hayana mapigano yaliyokuwa chini ya umiliki wa Vikosi vya Wamarekani na kuanza operations upya kwenye maeneo ambayo yalikuwa chini ya umiliki wa adui zao. Hili lilipelekea mashambulizi ya kuviziana kuongezeka kwenye maeneo mbayo Wamarekani walikuwa wanayashikilia, patrol zao zilivamiwa na askari kupokonywa silaha hali iliyopelekea morale ya askari kushuka sana, ikabidi Askari wa Kimarekani waandae ndege standby kwa ajili ya kutoa msaada muda wowote patrol zao zitakapostambuliwa, lakini bado haikusaidia kitu kwani wengi wa askari wa patrol hawakutaka kabisa kuingia maeneo ya ndani ndani walipita njia kuu na maeneo ya wazi kuogopa mashambulizi ya kushtukiza ambayo Shirika la Kijasusi la VCSS lilikuwa limesambaza maajenti zaidi ya 100,000. Kutokana na ripoti za Kijasusi kuvuja nchini Marekani kuwa probability ya kuuwawa kwa askari wao walio vitani nchini Vietnam kuwa ni zaidi ya 20% na kuwa askari waliokuwa mapiganoni wengi walikuwa wanaogopa gorilla war iliyokuwa ikiendeshwa na Wavietnam, ripoti za siri za kijasusi zinasema C.I.A kwa kutumia mbinu za kijasusi waliandaa exit strategy ambayo ilikuwa ni kuhamasisha maandamano na propaganda ya kile kilichoitwa vuguvugu la wananchi wa Marekani kupinga nchi yao kujiingiza katika vita ya Vietnam. Hatimaye Marekani kwa kisingizio cha maandamano ya wananchi kupinga nchi yao kujiingiza Vietnam mwaka 1973 waliondoa vikosi vyao na kuikabidhi Vietnam Kusini jukumu la kuendelea na mapambano dhidi ya Kaskazini. Vietnam ya Kaskazini iliendesha mapigano kwa miaka miwili mfululizo na hatimaye mwaka 1975 ikaukamata mji mashuhuri sana wa Saigon uliokuwa unamilikiwa na Vietnam Kusini na mwaka mmoja baadaye Kusini na Kaskazini zikaungana na kutengeneza nchi moja ya Jamhuri ya watu wa Vietnam. Inakadiriwa kuwa vita hiyo iligharimu maisha ya WaVietnam kati ya 966,000 mpaka Milioni 3.8 Wakambodia kati ya 240,000–300,000, Walaotia kati ya 20,000–62,000 na Wamarekani zaidi ya 58,220 huku Wamarekani zaidi ya 1,626 wakipotea na hawakujulikana walipo mpaka leo Mwisho
    0 Commenti 0 condivisioni 759 Views
  • *FAHAMU MAAJABU YA WANAWAKE YALIYOWASHINDA HATA WANA FALSAFA KUELEWA*

    Wanawake ni binadamu wa ajabu sana katika uso huu wa Dunia yaani hawa watu ni next level, Manabii na busara zao zote walishindwa kuwaelewa wakaishia kushauri ya kwamba tuishi nao kwa akili. Sasa najiuliza ni jambo gani unaweza kufanya nao bila kutumia akili?, hapa ndipo napata ushahidi kwamba kumbe wanawake walishindikana tangu zama za mwanzo kabisa!.

    Wanasaikolojia wanasema kuwa kama utamuoa/kuishi na mwanamke mwenye miaka 25 basi itakuchukua miaka 25 mingine kumuelewa huyo mwanamke angalau kwa 90% maana hawa kila siku hubadilika na kuwa wapya kimatendo na kifikra.

    Mwanamke unaweza mnunulia BMW X6 akatoka nayo kwenda kutembea, akiwa njiani akaombwa lift na kijana akampa akipitia sheli hela ya mafuta ikawa haitoshi, yule kijana akaamua kumuongeza ata elfu 20 basi mwanamke huweza kubadili mawazo na kumuona yule kijana ni bora kisa tu kachangia mafuta kuliko wewe uliyenunua BMW X6.

    Mfano akitoka hapo akapitia supermarket kununua bidhaa labda akapungukiwa kiasi mfano anadaiwa elfu 20, na yule kijana akasema hiyo ntalipa mimi basi basi hapo atasahau zile zawadi zote huwa unambebea na hiyo elfu 20 inaweza kumfanya awaze kumtunuku yule kijana penzi.

    Mwanamke unaweza mpa hela akanunue nyama kilo 5 buchani, mwenye bucha akimuongeza robo tu hilo litamfurahisha kiasi kwamba anaweza kumpa mwenye bucha penzi na akusahau wewe ulieyota hela ya nyama kilo 5.

    Mwanamke unaweza kumnunulia nguo, weaving, mafuta, perfume na urembo mzuri akavutia ila akipita mtaani akasifiwa na mwanaume kuwa kapendeza inaweza kuwa chanzo cha kumtunuku penzi na akakusahu wewe uliyegharamika na kufanya asifiwe!.

    Mwanamke unaweza kumpa mimba na ukamhudumia mwanzo mwisho na familia ukalea kwa juhudi zako zote ila siku mkikosana anakwambia niache na watoto wangu, apo ashasahau kuwa wewe ndiye uliyempa mimba na kumlea yeye na watoto!.

    Mchukue rafiki yako mwende bar, wewe uwe na laki 5 na yeye awe na elfu 30 kisha mkae meza moja na muagize unywaji, wewe agiza soda na yeye aagize bia. halafu baada ya nusu saa iteni warembo utaona wewe na laki 5 yako unapitwa tu ila yeye mwenye slfu 30 anaibuka kidedea kisa kaweza kumudu gharama ya bia, Hao ndio wanawake ndugu!

    Mwanamke ndiye kiumbe pekee anayeweza kukupenda bila sababu ama kukuchukia bila sababu tofauti na viumbe wengine.
    Mwanamke ndiye mwigizaji mkubwa ulimwenguni, anaweza kulia kwa furaha na akacheka kwa huzuni, bado hujawajua tu wanawake!

    Mwanamke akisema ndio humaanisha hapana, na akisema hapana humaanisha ndio, pia anaweza kucheka bila kujua sababu lakini pia anaweza kulia pasipo sababu ya msingi ya kumfanya alie, hivyo chunga sana usijejichanganya!.

    Mwanamke hupendi vutu vigumu na vyenye hatari mfano wanaume wenye nguvu, mlevi, muhuni (playboy), jambazi, mgomvi anayeogopwa hata na wanaume wenzie ila ukimuuliza anakuambia mie napenda kuwa na mwanaume mpole mwenye hofu ya Mungu tifauti na sisi wanaume tunavyopenda vitu vipole na vinyenyekevu na vyenye ukarimu, sasa wewe jifanye kumuamini mwanamke!

    Jinsi unavyozidi kumpenda na kumthibutishia upendo wa dhati ndivyo unavyozidi kujiweka mbali nayeye, mwanamke hupenda migogoro isiyo na maana, ukijua hili ndoa haitokusumbua. Mwanamke hupendi utulivu kamwe!, usipomchokoa atakuchokoa tuu na usipomuendesha lazima akuendeshe yeye, Hawa viumbe hawana hiyana aisee!.

    Mwanamke hupendi vitu vikubwa wala vidogo, kiufupi hana chaguo maalumu. Ukimnunulia gari sio garantii ya yeye kutulia nawewe bali anaweza kukusaliti hata na muosha gari wako. Ukimjengea nyumba nzuri na kumuwekea kila kitu sio njia ya kumteka kimahaba kwani anaweza kumtunuku penzi ata mtunza bustani wa nyumba yako.

    Mwanamke hapendi ukweli, Ukimpa ukweli akija mwenye uongo basi we andika maumivu. Unaweza kuwa na elfu 50 ukamueleza ukweli kuwa "mke wangu leo hali mbaya chukua hii elfu 30,"... akatokea jamaa akamuongopea kuwa "Chukua hii elfu 15 ngoja nimesahau ATM card yangu nyumbani ikifuka saa 10 jioni ntakutumia laki 2 kwenye simu", Usishangae mkeo akakusaliti hata kabla ya hiyo saa 10 na iyo laki 2 asiione katu!.

    Unamuoa hana ishu akiwa kwao amekaa tu, unaamua kumfungulia biashara hata ya duka unamjazia kila kitu. anatokea mshikaji mmoja kumuunga pale dukani kila siku na kumuachia soda tu na hicho kinakuwa kigezo tosha cha kuona mshikaji anamjali kwa kumuachia ya soda kila siku kuliko wewe uliyemfungulia duka zima na kinachofuata ni usaliti tu.
    Yapo mengi mno kuliko hayo ila kwa leo naishia hapo... ukiweza shea kwenye groups zingine.

    馃檶馃徑馃檶馃徑馃檶馃徑馃檶馃徑
    Wamekuwa viumbe walioshindikana kwa Maana nyingine
    *ni mawazo tu wadau msijenge chuki*馃弮馃徑
    *FAHAMU MAAJABU YA WANAWAKE YALIYOWASHINDA HATA WANA FALSAFA KUELEWA* Wanawake ni binadamu wa ajabu sana katika uso huu wa Dunia yaani hawa watu ni next level, Manabii na busara zao zote walishindwa kuwaelewa wakaishia kushauri ya kwamba tuishi nao kwa akili. Sasa najiuliza ni jambo gani unaweza kufanya nao bila kutumia akili?, hapa ndipo napata ushahidi kwamba kumbe wanawake walishindikana tangu zama za mwanzo kabisa!. Wanasaikolojia wanasema kuwa kama utamuoa/kuishi na mwanamke mwenye miaka 25 basi itakuchukua miaka 25 mingine kumuelewa huyo mwanamke angalau kwa 90% maana hawa kila siku hubadilika na kuwa wapya kimatendo na kifikra. Mwanamke unaweza mnunulia BMW X6 akatoka nayo kwenda kutembea, akiwa njiani akaombwa lift na kijana akampa akipitia sheli hela ya mafuta ikawa haitoshi, yule kijana akaamua kumuongeza ata elfu 20 basi mwanamke huweza kubadili mawazo na kumuona yule kijana ni bora kisa tu kachangia mafuta kuliko wewe uliyenunua BMW X6. Mfano akitoka hapo akapitia supermarket kununua bidhaa labda akapungukiwa kiasi mfano anadaiwa elfu 20, na yule kijana akasema hiyo ntalipa mimi basi basi hapo atasahau zile zawadi zote huwa unambebea na hiyo elfu 20 inaweza kumfanya awaze kumtunuku yule kijana penzi. Mwanamke unaweza mpa hela akanunue nyama kilo 5 buchani, mwenye bucha akimuongeza robo tu hilo litamfurahisha kiasi kwamba anaweza kumpa mwenye bucha penzi na akusahau wewe ulieyota hela ya nyama kilo 5. Mwanamke unaweza kumnunulia nguo, weaving, mafuta, perfume na urembo mzuri akavutia ila akipita mtaani akasifiwa na mwanaume kuwa kapendeza inaweza kuwa chanzo cha kumtunuku penzi na akakusahu wewe uliyegharamika na kufanya asifiwe!. Mwanamke unaweza kumpa mimba na ukamhudumia mwanzo mwisho na familia ukalea kwa juhudi zako zote ila siku mkikosana anakwambia niache na watoto wangu, apo ashasahau kuwa wewe ndiye uliyempa mimba na kumlea yeye na watoto!. Mchukue rafiki yako mwende bar, wewe uwe na laki 5 na yeye awe na elfu 30 kisha mkae meza moja na muagize unywaji, wewe agiza soda na yeye aagize bia. halafu baada ya nusu saa iteni warembo utaona wewe na laki 5 yako unapitwa tu ila yeye mwenye slfu 30 anaibuka kidedea kisa kaweza kumudu gharama ya bia, Hao ndio wanawake ndugu! Mwanamke ndiye kiumbe pekee anayeweza kukupenda bila sababu ama kukuchukia bila sababu tofauti na viumbe wengine. Mwanamke ndiye mwigizaji mkubwa ulimwenguni, anaweza kulia kwa furaha na akacheka kwa huzuni, bado hujawajua tu wanawake! Mwanamke akisema ndio humaanisha hapana, na akisema hapana humaanisha ndio, pia anaweza kucheka bila kujua sababu lakini pia anaweza kulia pasipo sababu ya msingi ya kumfanya alie, hivyo chunga sana usijejichanganya!. Mwanamke hupendi vutu vigumu na vyenye hatari mfano wanaume wenye nguvu, mlevi, muhuni (playboy), jambazi, mgomvi anayeogopwa hata na wanaume wenzie ila ukimuuliza anakuambia mie napenda kuwa na mwanaume mpole mwenye hofu ya Mungu tifauti na sisi wanaume tunavyopenda vitu vipole na vinyenyekevu na vyenye ukarimu, sasa wewe jifanye kumuamini mwanamke! Jinsi unavyozidi kumpenda na kumthibutishia upendo wa dhati ndivyo unavyozidi kujiweka mbali nayeye, mwanamke hupenda migogoro isiyo na maana, ukijua hili ndoa haitokusumbua. Mwanamke hupendi utulivu kamwe!, usipomchokoa atakuchokoa tuu na usipomuendesha lazima akuendeshe yeye, Hawa viumbe hawana hiyana aisee!. Mwanamke hupendi vitu vikubwa wala vidogo, kiufupi hana chaguo maalumu. Ukimnunulia gari sio garantii ya yeye kutulia nawewe bali anaweza kukusaliti hata na muosha gari wako. Ukimjengea nyumba nzuri na kumuwekea kila kitu sio njia ya kumteka kimahaba kwani anaweza kumtunuku penzi ata mtunza bustani wa nyumba yako. Mwanamke hapendi ukweli, Ukimpa ukweli akija mwenye uongo basi we andika maumivu. Unaweza kuwa na elfu 50 ukamueleza ukweli kuwa "mke wangu leo hali mbaya chukua hii elfu 30,"... akatokea jamaa akamuongopea kuwa "Chukua hii elfu 15 ngoja nimesahau ATM card yangu nyumbani ikifuka saa 10 jioni ntakutumia laki 2 kwenye simu", Usishangae mkeo akakusaliti hata kabla ya hiyo saa 10 na iyo laki 2 asiione katu!. Unamuoa hana ishu akiwa kwao amekaa tu, unaamua kumfungulia biashara hata ya duka unamjazia kila kitu. anatokea mshikaji mmoja kumuunga pale dukani kila siku na kumuachia soda tu na hicho kinakuwa kigezo tosha cha kuona mshikaji anamjali kwa kumuachia ya soda kila siku kuliko wewe uliyemfungulia duka zima na kinachofuata ni usaliti tu. Yapo mengi mno kuliko hayo ila kwa leo naishia hapo... ukiweza shea kwenye groups zingine. 馃槀馃檶馃徑馃檶馃徑馃檶馃徑馃檶馃徑 Wamekuwa viumbe walioshindikana kwa Maana nyingine 馃槄馃憖 *ni mawazo tu wadau msijenge chuki*馃弮馃徑
    0 Commenti 0 condivisioni 613 Views
  • JE UNAFAHAMU JINA HALISI LA JOSEPH KABILA ANAITWA "HYPOLITE KANAMBE KAZEMBEREMBE"? NA NI MTOTO WA KUFIKIA WA LAURENT DESIRE KABILA?.

    Kumekuwepo maswali mengi sana ndani ya Kongo DRC na nchi nyingi Afrika juu ya uhalisia wa Joseph Kabila Kabange (JKK) kuhusishwa na Unyarwanda (Rwandese), kumetolewa taarifa nyingi za siri zinazo mtaja JKK kuwa sio mtoto wa kuzaa wa Mzee Laurent Desiree Kabila raisi wa tatu wa Kongo DRC na kiongozi wa zamani wa kundi la uasi la AFDL, aliye uondosha madarakani utawala wa vipindi virefu wa Mobutu Seseseko Kuku Ngwendu wa Zabanga kupitia ile iliyoitwa Operation Banyamrenge/Bahima.

    Joseph Kabila mwenyewe na wafuasi wake wamekuwa wakikanusha hilo na kuhusisha taarifa hizo na njama chafu za kumchafua. Mwaka 2010 kwenye maadhimisho ya miaka kumi ya kifo cha Laurent Desire Kabila, Joseph Kabila mwenyewe alitoa maelezo kuhusiana na taarifa hizo zinazo muhusisha na unyarwanda. Pamoja na maelezo yaliyokanusha ya yeye kuhusishwa na taarifa hizo bado kumekuwepo taarifa na ushahidi mwingi unaoendelea kutolewa kuthibitisha kuwa Joseph Kabila ni Mnyarwanda na sio mtoto wa kuzaa wa Mzee Kabila.

    Moja ya tafiti hizo zinazo zungumzia sintofahamu hii ya Joseph Kabila ni "Waraka" ulio chapishwa na jarida la "Africa Federation" jarada hilo lilipewa jina la (titled) : CONCERNING THE TRUE IDENTITY OF MR. HYPPOLITE KANAMBE ALIAS “JOSEPH KABILA” ndani ya jarida lina mtaja Joseph Kabila kuwa sio mtoto wa kuzaliwa na Kabila mzee, waraka huu unaonesha kuwa mke wa Kabila mzee aliyeitwa Sifa Mahanga alikuwa na watoto sita (6) tu ambao alizaa na mzee Laurent-Desire Kabila. Kati ya watoto hao ambao Sifa Mahanga mke wa mzee Kabila alio zaa nao ni Josephine, Cecile, Masengo, Gloria, Kiki and Maguy. Katika list hiyo Joseph kabila hayumo.

    Je huyu Joseph Kabila Kabangee (JKK) anaye tajwa kuwa sio mtoto wa kuzaa (biological child) wa Mzee Kabila ni nani? Kimsingi huyu Joseph Kabila aliyekuwa rais wa nne wa taifa la Kongo DRC jina lake halisi anaitwa Hypolitte Christopher Kanambe na alizaliwa tarehe 04 June 1971 katika kijiji kidogo cha Hewabora, kilichopo katika mji wa Fizi jimboni Kivu ya kusini (South Kivu Province in the Eastern Congo) huku baba yake akiitwa Christopher Kanambe Kazemberembe na mama yake akiitwa Marcellina Mukambukuje.

    Baba yake alikuwa ni muasi kutoka kabila la Watuttsi aliyepinga utawala wa Juvenal Habyarimana raisi wa Rwanda kipindi hicho. Huyo Christopher Kanambe alikimbia Rwanda yeye na familia yake na kukimbilia nchini Kongo DRC mwaka 1960 baada ya machafuko ya kwanza ya kikabila nchini Rwanda yaliyo anza mwaka 1959, na katika harakati hizo za kutaka kuuondoa utawala wa Juvenal Habyarimana madarakani akafanikiwa kutana na Mzee Laurent Kabila mwaka 1964 aliyekuwa kwenye mapigano ya kumpinga Mobutu Seseseko huko mashariki ya Kongo DRC ,wakawa marafiki chanda na pete kwenye issue zao za kivita.

    Baada ya kukutana na kuendelea na ushirikiano wao kwa makubaliano kwamba Mzee Kabila amsaidie Christopher Kanambe kumuondoa Juvenal Habyalimana madarakani kisha yeye atamsaidia Kabila kumuondosha Mobutu ikulu ya Kinshasa. Walikubaliana hayo kwakua utawala wa Mobutu ulikuwa umewekeza base yake kubwa Rwanda chini ya utawala wa Juvenal Habyalimana (Mtoto wake wa ubatizo) hivyo kufatia sababu hizo Rwanda ilikuwa kikwazo kikubwa kufanikisha mapambano dhidi ya utawala wa Mobutu.

    Mwaka 1977 bwana Christopher Kanambe ambae ndie baba yake wa kumzaa Joseph Kabila alifariki dunia (duru za ndani zinataja Mzee kabila kuhusika, tutalitazama hili baadae) na kwa mujibu wa mila zao na taratibu za kijeshi ilibidi kabila amrithi mke wa Kanambe yani huyo mwanamama Marcellina pamoja na watoto wake wawili mapacha ambao ni Hypolitte na Jenny (wale wa karibu na escape 1 mnakumbuka utajiiri na matanuzi ya huyu dada).

    Baada ya kuchukuliwa na Mzee Kabila wote rasmi wakaanza kuitwa kabila, yani huyo Hypolite na Jenny walibadili majina yao kwa Hypolite kuitwa Joseph kabila na huyo Jenny kuitwa Jennifer Kabila. Ila katika harakati za Mzee Kabila za mapambano yalipo mzidi alikimbilia Tanzania na familia yake ingawaje alikuwa na wanawake 13 na watoto 25 katika sehemu mbalimbali huko Kongo DRC.

    Huyu Joseph Kabila (JKK) a.k.a Hypolite ni mpwa wa mkuu wa majeshi wa zamani wa Rwanda anae aitwaye James kabarebe na hadi mwaka 1996 huyu Hypolite alikuwa ni dereva wake kwenye vita ya Banyamulenge ya kumsaidia Mzee Kabila kumtoa Mobutu madarakani, hilo linathibitishwa na waziri wa mambo ya nje kipindi cha utawala wa Mzee Kabila aliyeitwa Bizima Karaha ambae alikuwa ni mnyarwanda, ambae mara kadhaa Karaha anasema anakumbuka kumuona Kabila akiwa dereva wa Kabarebe mwaka 94 na 95 alikuwa porini na jeshi la kagame la RPF ambalo lilikuwa likimsaidia Mzee Kabila katika vita vya msituni dhidi ya Mobutu.

    Je ni Kwanini Joseph Kabila alipewa uraisi wa Kongo DRC kama hakuwa raia wa Kongo DRC? Katika kujibu swali hilo na kulielewa vizuri ni vyema turejee historia ya kifo cha baba yake Kabila aliyeitwa Christopher Kanambe ambae alikuwa ni mtusi wa Rwanda. plan hii ya kupewa uraisi Joseph Kabila ni plan iliyo injiniwa na Paul Kagame rais wa Rwanda ambae baada ya kuvulugana na Mzee Kabila kufatia kukwama kwa makubaliano ya kile kilichoitwa "Mkataba wa Lemela" ilikuwa ni mpango wa kumuondoa Laurent Kabila duniani na kumuweka mnyarwanda huyu Joseph (Hypolite) mkakati huu ulifanyika kwa umakini wa hali ya juu sana ambapo kijasusi mbinu hizi huitwa "TROJAN HORSE TECHNIC".

    Sasa turejee kwenye habari ya kifo cha BABA YAKE HYPPOLITE........
    Christopher Kanambe Kazemberembe na Mzee Laurent Kabila walikutana na kuanza ushirikiano wao mwaka 1964 kila mmoja akiwa anapambania nchi yake, Kanambe Vs Wahutu (Juvenal Habyarimana) na Kabila Vs Mobutu Seseseko, kufatia mapambano hayo mambo yakawa magumu mwaka 1966 kufatia jeshi la Mobutu kujibu mapigo kwa kusambalatisha uasi wote huko mashariki ya Kongo, kufatia hali hiyo Kanambe na Kabila wakakimbilia Tanzania chini ya mwamvuli wa P.R.P. (Parti de la Revolution du Peuple).

    Baada ya vita ya Moba, Mobutu seseseko alituma watu kumuhonga hela nyingi Christopher Kanambe ambaye ni baba halisi wa Joseph Kabila ili amuue Laurent Kabila lakini mission ilibuma, baada ya mzee Laurent kabila kupenyezewa taarifa hizo, hivyo Kabila akaitisha kikao sehemu iitwayo Nyunzu huko mashariki ya Kongo DRC wanajeshi wake kadhaa wakapatikana na hatia akiwemo Christopher kanambe na wakahukumiwa kifo, lakini kabla ya hukumu ya Christopher Kanambe kutekelezwa aliuwawa na askali wake mwaka 1977 kisha huyo askali nae kuuwawa na walinzi wa Kanambe.

    Baada ya kifo cha Kanambe Laurent Desiree Kabila akamuoa Marcelina mke wa Kanambe na kuwa adopt watoto wake mapacha Jenny na Hypolitte......... Ukweli ni kwamba huyu Hypolite (JKK) alizaliwa Kongo, na baba yake Christopher Kanambe alikuwa ukimbizini akifanya uasi dhidi ya serikali ya wahutu ya Habyarimana, na baada ya kifo chake zilitumika mila za kivu, kurithiwa na mzee Kabila.

    Joseph Kabila, jina lake harisi anaitwa Hyppolite Kanambe Kazemberembe, baba yake wa kufikia Mzee Laurent Kabila alikua na wake zaidi ya 13 na watoto zaidi ya 25 na wengine hawajulikani kwani mzee Kabila hakua na muda wa kuwalea watoto hao kwani kipindi wanaishi Msasani Dar es salaam ambako Hyppolite Kanambe alilazimika kufanya kazi za ufundi, taxi dreva na barman katika Jiji la Dar es salaam na Kigoma kipindi hicho baba yake wa kufikia Laurent Desiree Kabila alikua ana ishi Tanzania huku anapigana vita na Mobutu Sese Seko huko Kongo DRC wakati huo ikiitwa Zaire.

    Mwaka 1995, Hyppolite Kanambe aliamua kurudi kwao Rwanda ambako alipokelewa na mjomba wake James Kabarebe, ambae alikuwa ni mkuu wa intelijensia ya Rwandan Patriotic Army (APR), alimkaribisha Kanambe nyumabni kwake na kumtafutia kazi ya udereva wa ma lori na baadae akawa dereva wake katika jeshi.

    Mwaka 1996, Marekani ilipoandaa shambulio dhidi ya Zaire, kupitia ile iliyoitwa "Operation Banyamrenge" chini ya Paul Kagame, Kagame alimchagua Kanal James Kabarebe kuwa kiongozi mkuu wa Operation hiyo na kuhakikisha Mobutu anapinduliwa.

    Katika kuajilia wanajeshi watakao husika na operation hiyo Banyamrenge Kabarebe aliamua kumweka mpwa wake Hyppolite Kanambe (Joseph Kabila) katika mazoezi ya kijeshi ili baadae ampatie nafasi jeshini, baada ya Hippolyte Kanambe kuhitimu mafunzo aliajiliwa kwenye jeshi la Rwanda kupitia mgongo wa James Kabarebe na alitumika katika jeshi la Rwanda kuanzia mwaka 1995 mpaka 1997, na alitumika pia kama mlinzi wa kagame kuanzia mwaka 1997 mpaka mwaka 1998 alipo rudi Kongo DRC na kuteuliwa kuwa Major General kwenye special Force iliyokuwa ikiendesha operation maalumu huko mashariki ya Kongo DRC.

    Je Kuna uhusiano wowote wa Joseph Kabila kuhusika katika mauaji ya Laurent Desiree Kabila?... Je kuna lolote lile linalohusishwa na ulipaji kisasi cha baba yake marehemu Kanambe Kazemberembe? Au upi uhusiano baina ya "Operation Banyamrenge" na mkakati wa Bahima Platform dhidi ya Joseph kabila na kifo cha Mzee Kabila?... Itaendelea sehemu ya pili.

    Endelea kuwa na mimi katika sehemu ya Pili kupata majibu ya maswali hayo....upate kujua kuwa nchi ya Kongo DRC bado ipo contolled by remote from kigali maana Tshisekedi ni pambo tu.

    Ukinakili kazi zangu kumbuka kufanya acknowledgment.
    庐Wako Mjoli wa Historia na diplomasia ya ulimwengu.

    Ndimi: Comred Mbwana Allyamtu
    漏 Copy rights of this article reserved
    庐written by Comred Mbwana Allyamtu
    JE UNAFAHAMU JINA HALISI LA JOSEPH KABILA ANAITWA "HYPOLITE KANAMBE KAZEMBEREMBE"? NA NI MTOTO WA KUFIKIA WA LAURENT DESIRE KABILA?. Kumekuwepo maswali mengi sana ndani ya Kongo DRC na nchi nyingi Afrika juu ya uhalisia wa Joseph Kabila Kabange (JKK) kuhusishwa na Unyarwanda (Rwandese), kumetolewa taarifa nyingi za siri zinazo mtaja JKK kuwa sio mtoto wa kuzaa wa Mzee Laurent Desiree Kabila raisi wa tatu wa Kongo DRC na kiongozi wa zamani wa kundi la uasi la AFDL, aliye uondosha madarakani utawala wa vipindi virefu wa Mobutu Seseseko Kuku Ngwendu wa Zabanga kupitia ile iliyoitwa Operation Banyamrenge/Bahima. Joseph Kabila mwenyewe na wafuasi wake wamekuwa wakikanusha hilo na kuhusisha taarifa hizo na njama chafu za kumchafua. Mwaka 2010 kwenye maadhimisho ya miaka kumi ya kifo cha Laurent Desire Kabila, Joseph Kabila mwenyewe alitoa maelezo kuhusiana na taarifa hizo zinazo muhusisha na unyarwanda. Pamoja na maelezo yaliyokanusha ya yeye kuhusishwa na taarifa hizo bado kumekuwepo taarifa na ushahidi mwingi unaoendelea kutolewa kuthibitisha kuwa Joseph Kabila ni Mnyarwanda na sio mtoto wa kuzaa wa Mzee Kabila. Moja ya tafiti hizo zinazo zungumzia sintofahamu hii ya Joseph Kabila ni "Waraka" ulio chapishwa na jarida la "Africa Federation" jarada hilo lilipewa jina la (titled) : CONCERNING THE TRUE IDENTITY OF MR. HYPPOLITE KANAMBE ALIAS “JOSEPH KABILA” ndani ya jarida lina mtaja Joseph Kabila kuwa sio mtoto wa kuzaliwa na Kabila mzee, waraka huu unaonesha kuwa mke wa Kabila mzee aliyeitwa Sifa Mahanga alikuwa na watoto sita (6) tu ambao alizaa na mzee Laurent-Desire Kabila. Kati ya watoto hao ambao Sifa Mahanga mke wa mzee Kabila alio zaa nao ni Josephine, Cecile, Masengo, Gloria, Kiki and Maguy. Katika list hiyo Joseph kabila hayumo. Je huyu Joseph Kabila Kabangee (JKK) anaye tajwa kuwa sio mtoto wa kuzaa (biological child) wa Mzee Kabila ni nani? Kimsingi huyu Joseph Kabila aliyekuwa rais wa nne wa taifa la Kongo DRC jina lake halisi anaitwa Hypolitte Christopher Kanambe na alizaliwa tarehe 04 June 1971 katika kijiji kidogo cha Hewabora, kilichopo katika mji wa Fizi jimboni Kivu ya kusini (South Kivu Province in the Eastern Congo) huku baba yake akiitwa Christopher Kanambe Kazemberembe na mama yake akiitwa Marcellina Mukambukuje. Baba yake alikuwa ni muasi kutoka kabila la Watuttsi aliyepinga utawala wa Juvenal Habyarimana raisi wa Rwanda kipindi hicho. Huyo Christopher Kanambe alikimbia Rwanda yeye na familia yake na kukimbilia nchini Kongo DRC mwaka 1960 baada ya machafuko ya kwanza ya kikabila nchini Rwanda yaliyo anza mwaka 1959, na katika harakati hizo za kutaka kuuondoa utawala wa Juvenal Habyarimana madarakani akafanikiwa kutana na Mzee Laurent Kabila mwaka 1964 aliyekuwa kwenye mapigano ya kumpinga Mobutu Seseseko huko mashariki ya Kongo DRC ,wakawa marafiki chanda na pete kwenye issue zao za kivita. Baada ya kukutana na kuendelea na ushirikiano wao kwa makubaliano kwamba Mzee Kabila amsaidie Christopher Kanambe kumuondoa Juvenal Habyalimana madarakani kisha yeye atamsaidia Kabila kumuondosha Mobutu ikulu ya Kinshasa. Walikubaliana hayo kwakua utawala wa Mobutu ulikuwa umewekeza base yake kubwa Rwanda chini ya utawala wa Juvenal Habyalimana (Mtoto wake wa ubatizo) hivyo kufatia sababu hizo Rwanda ilikuwa kikwazo kikubwa kufanikisha mapambano dhidi ya utawala wa Mobutu. Mwaka 1977 bwana Christopher Kanambe ambae ndie baba yake wa kumzaa Joseph Kabila alifariki dunia (duru za ndani zinataja Mzee kabila kuhusika, tutalitazama hili baadae) na kwa mujibu wa mila zao na taratibu za kijeshi ilibidi kabila amrithi mke wa Kanambe yani huyo mwanamama Marcellina pamoja na watoto wake wawili mapacha ambao ni Hypolitte na Jenny (wale wa karibu na escape 1 mnakumbuka utajiiri na matanuzi ya huyu dada). Baada ya kuchukuliwa na Mzee Kabila wote rasmi wakaanza kuitwa kabila, yani huyo Hypolite na Jenny walibadili majina yao kwa Hypolite kuitwa Joseph kabila na huyo Jenny kuitwa Jennifer Kabila. Ila katika harakati za Mzee Kabila za mapambano yalipo mzidi alikimbilia Tanzania na familia yake ingawaje alikuwa na wanawake 13 na watoto 25 katika sehemu mbalimbali huko Kongo DRC. Huyu Joseph Kabila (JKK) a.k.a Hypolite ni mpwa wa mkuu wa majeshi wa zamani wa Rwanda anae aitwaye James kabarebe na hadi mwaka 1996 huyu Hypolite alikuwa ni dereva wake kwenye vita ya Banyamulenge ya kumsaidia Mzee Kabila kumtoa Mobutu madarakani, hilo linathibitishwa na waziri wa mambo ya nje kipindi cha utawala wa Mzee Kabila aliyeitwa Bizima Karaha ambae alikuwa ni mnyarwanda, ambae mara kadhaa Karaha anasema anakumbuka kumuona Kabila akiwa dereva wa Kabarebe mwaka 94 na 95 alikuwa porini na jeshi la kagame la RPF ambalo lilikuwa likimsaidia Mzee Kabila katika vita vya msituni dhidi ya Mobutu. Je ni Kwanini Joseph Kabila alipewa uraisi wa Kongo DRC kama hakuwa raia wa Kongo DRC? Katika kujibu swali hilo na kulielewa vizuri ni vyema turejee historia ya kifo cha baba yake Kabila aliyeitwa Christopher Kanambe ambae alikuwa ni mtusi wa Rwanda. plan hii ya kupewa uraisi Joseph Kabila ni plan iliyo injiniwa na Paul Kagame rais wa Rwanda ambae baada ya kuvulugana na Mzee Kabila kufatia kukwama kwa makubaliano ya kile kilichoitwa "Mkataba wa Lemela" ilikuwa ni mpango wa kumuondoa Laurent Kabila duniani na kumuweka mnyarwanda huyu Joseph (Hypolite) mkakati huu ulifanyika kwa umakini wa hali ya juu sana ambapo kijasusi mbinu hizi huitwa "TROJAN HORSE TECHNIC". Sasa turejee kwenye habari ya kifo cha BABA YAKE HYPPOLITE........ Christopher Kanambe Kazemberembe na Mzee Laurent Kabila walikutana na kuanza ushirikiano wao mwaka 1964 kila mmoja akiwa anapambania nchi yake, Kanambe Vs Wahutu (Juvenal Habyarimana) na Kabila Vs Mobutu Seseseko, kufatia mapambano hayo mambo yakawa magumu mwaka 1966 kufatia jeshi la Mobutu kujibu mapigo kwa kusambalatisha uasi wote huko mashariki ya Kongo, kufatia hali hiyo Kanambe na Kabila wakakimbilia Tanzania chini ya mwamvuli wa P.R.P. (Parti de la Revolution du Peuple). Baada ya vita ya Moba, Mobutu seseseko alituma watu kumuhonga hela nyingi Christopher Kanambe ambaye ni baba halisi wa Joseph Kabila ili amuue Laurent Kabila lakini mission ilibuma, baada ya mzee Laurent kabila kupenyezewa taarifa hizo, hivyo Kabila akaitisha kikao sehemu iitwayo Nyunzu huko mashariki ya Kongo DRC wanajeshi wake kadhaa wakapatikana na hatia akiwemo Christopher kanambe na wakahukumiwa kifo, lakini kabla ya hukumu ya Christopher Kanambe kutekelezwa aliuwawa na askali wake mwaka 1977 kisha huyo askali nae kuuwawa na walinzi wa Kanambe. Baada ya kifo cha Kanambe Laurent Desiree Kabila akamuoa Marcelina mke wa Kanambe na kuwa adopt watoto wake mapacha Jenny na Hypolitte......... Ukweli ni kwamba huyu Hypolite (JKK) alizaliwa Kongo, na baba yake Christopher Kanambe alikuwa ukimbizini akifanya uasi dhidi ya serikali ya wahutu ya Habyarimana, na baada ya kifo chake zilitumika mila za kivu, kurithiwa na mzee Kabila. Joseph Kabila, jina lake harisi anaitwa Hyppolite Kanambe Kazemberembe, baba yake wa kufikia Mzee Laurent Kabila alikua na wake zaidi ya 13 na watoto zaidi ya 25 na wengine hawajulikani kwani mzee Kabila hakua na muda wa kuwalea watoto hao kwani kipindi wanaishi Msasani Dar es salaam ambako Hyppolite Kanambe alilazimika kufanya kazi za ufundi, taxi dreva na barman katika Jiji la Dar es salaam na Kigoma kipindi hicho baba yake wa kufikia Laurent Desiree Kabila alikua ana ishi Tanzania huku anapigana vita na Mobutu Sese Seko huko Kongo DRC wakati huo ikiitwa Zaire. Mwaka 1995, Hyppolite Kanambe aliamua kurudi kwao Rwanda ambako alipokelewa na mjomba wake James Kabarebe, ambae alikuwa ni mkuu wa intelijensia ya Rwandan Patriotic Army (APR), alimkaribisha Kanambe nyumabni kwake na kumtafutia kazi ya udereva wa ma lori na baadae akawa dereva wake katika jeshi. Mwaka 1996, Marekani ilipoandaa shambulio dhidi ya Zaire, kupitia ile iliyoitwa "Operation Banyamrenge" chini ya Paul Kagame, Kagame alimchagua Kanal James Kabarebe kuwa kiongozi mkuu wa Operation hiyo na kuhakikisha Mobutu anapinduliwa. Katika kuajilia wanajeshi watakao husika na operation hiyo Banyamrenge Kabarebe aliamua kumweka mpwa wake Hyppolite Kanambe (Joseph Kabila) katika mazoezi ya kijeshi ili baadae ampatie nafasi jeshini, baada ya Hippolyte Kanambe kuhitimu mafunzo aliajiliwa kwenye jeshi la Rwanda kupitia mgongo wa James Kabarebe na alitumika katika jeshi la Rwanda kuanzia mwaka 1995 mpaka 1997, na alitumika pia kama mlinzi wa kagame kuanzia mwaka 1997 mpaka mwaka 1998 alipo rudi Kongo DRC na kuteuliwa kuwa Major General kwenye special Force iliyokuwa ikiendesha operation maalumu huko mashariki ya Kongo DRC. Je Kuna uhusiano wowote wa Joseph Kabila kuhusika katika mauaji ya Laurent Desiree Kabila?... Je kuna lolote lile linalohusishwa na ulipaji kisasi cha baba yake marehemu Kanambe Kazemberembe? Au upi uhusiano baina ya "Operation Banyamrenge" na mkakati wa Bahima Platform dhidi ya Joseph kabila na kifo cha Mzee Kabila?... Itaendelea sehemu ya pili. Endelea kuwa na mimi katika sehemu ya Pili kupata majibu ya maswali hayo....upate kujua kuwa nchi ya Kongo DRC bado ipo contolled by remote from kigali maana Tshisekedi ni pambo tu. 馃憠馃搸Ukinakili kazi zangu kumbuka kufanya acknowledgment. ®Wako Mjoli wa Historia na diplomasia ya ulimwengu. Ndimi: Comred Mbwana Allyamtu © Copy rights of this article reserved ®written by Comred Mbwana Allyamtu
    Like
    2
    0 Commenti 0 condivisioni 835 Views
  • JAMBAZI MTUKUTU.

    Nchini Tanzania, kuna manju 'Dj' fulani wa muziki anayejulikana kwa jina maarufu la 'DJ JD' au kwa kirefu *'DJ John Dilinga'.* Huyu ni moja kati ya maDj wakongwe na mahiri sana tuliobahatika kuwa nao hapa nchini Tanzania. Kwa wale wapenzi na wadau wa muziki wa 'bongofleva' hususani wa miaka ya nyumanyuma kidogo, bila shaka mtakua mnamfahamu Dj huyu.

    Kwa muda mrefu nimekuwa nikitamani kufahamu ni kwanini anaitwa John Dilinga..nikiwa nataka kujua kama hilo ni jina lake halisi au ni 'a.k.a'. Maana ni kawaida kuona watu mbalimbali hususani walio kwenye tasnia ya burudani wakitumia majina ya ziada (a.k.a) kuliko majina yao halisi.

    Kitu kilichonifanya nianze na DJ JD ni baada ya kugundua kuwa leo ni tarehe 22 Julai. Tarehe ambayo ulimwengu mzima unamtaja bwana mmoja mtukutu sana, aliyewahi kusumbua vichwa vya maofisa usalama wa nchi ya Marekani, akifahamika kama *John Dillinger.* Huyu alikuwa ni moja kati ya wahuni wakubwa nchini Marekani aliyetamba sana katika miaka ya 1930 kwa kujihusisha na matukio ya kihalifu hususani uporaji wa fedha kwenye mabenki.

    Tofauti ni kwamba John Dilinga wa Tanzania ni DJ, wakati John Dillinger wa Marekani alikuwa ni jambazi mtukutu.

    Utukutu wake ulianza angali ana umri mdogo na hata aliweza kuacha shule ili kwenda kutafuta pesa!! Alianza kama mdokozi wa vitu vidogovidogo lakini tukio lake la kwanza lilikuwa ni *kuiba gari*, kisha 'kwenda misele' kwa mpenzi wake mpya. Siku chache baadae alikuja kukamatwa na mapolisi akiwa anazurula mtaani japokuwa alifanikiwa kuchoropoka na 'kutokomea kusikojulikana'.

    Baadae alipata kazi katika jeshi la majini 'navy', akifanya katika meli ya jeshi ya 'USS Uttah'. Baada ya miezi kadhaa John Dillinger alitoroka kazini.

    April 1924 akiwa hana shughuli ya kumuingizia kipato, John Dillinger alifunga ndoa na mwanadada Beryl Hovious ambapo walienda kuishi kwenye nyumba ya baba yake ambapo John Dillinger aliahidi kwamba sasa atatulia na kuacha utukutu wote. Lakini wiki chache baada ya ndoa, Dillinger alikamatwa na hata kufikishwa mahakamani kwa kosa la wizi wa kuku, "nadhani alikuwa anatafuta mboga ya kwenda kula na mkewe".

    Lakini kwa msaada wa Baba yake, kesi ya Dillinger iliweza kufutwa. Baadae Dillinger aliamua kutoka kwenye nyumba ya baba yake na kwenda kuishi kwenye nyumba ya wazazi wa mwanamke ambapo huko alibahatika kupata kazi kwenye duka la kuuza vifaa vya ujenzi. Akiwa huko, Dillinger alikutana na rafiki yake wa muda mrefu aitwaye *Edgar Singleton,* ambapo walipanga mikakati ya kuiba pesa. Ndipo tarehe 6 septemba 1924 waliiba pesa katika moja ya Grocery japokuwa walikamatwa na kufikishwa mahakamani ambapo John Dillinger alihukumiwa kifungo cha miaka 20 katika Gereza la "Indiana State Reformatory in Pendleton".

    Alipokuwa jela, alikutana na wafungwa wengine ambao walimfundisha mbinu nyingine za uhalifu mkubwa hususani uporaji wa fedha kwenye mabenki. Alitumikia kifungo chake hadi mwaka 1933 kwa paroli. Siku chache tu baada ya kutoka jela, John Dillinger alifanya uhalifu mkubwa, safari hii akivamia benki na kuiba pesa benki ingawa alikamatwa na kuhukumiwa kifungo katika gereza la Lima.

    Siku chache baada ya Dillinger kuingia jela, wafungwa 12 ambao baadhi yao ni rafiki zake Dillinger, waliweza kutoroka katika gereza la "Indiana State Prison". Hili ni gereza alilowahi kufungwa John Dillinger baada ya kuhamishwa toka kwenye gereza lile la awali.

    Miongoni mwa hao waliotoroka, ambao baadhi yao ni marafiki wa Dillinger, walifika katika gereza alilofungwa Dillinger lengo ni kumtorosha rafiki yao. Walimuua askari mmoja na kuchukua funguo kisha kufungua mlango wa selo alilomo Dillinger kisha kutoroka naye. Baada ya kutoroka, John Dillinger na wenzake walielekea mjini Chicago ambapo waliunda genge kubwa la kihalifu *Dillinger Gang*. Genge hili lilipora pesa kwenye mabenki mbalimbali, na ili kuongeza nguvu, walivamia ghala la silaha na kuiba silaha nzitonzito walizozotumia katika shughuli zao za kihalifu.

    Wahuni hao walitokea kupata umaarufu mkubwa pale Marekani, hususani huyu Dillinger ambaye alikuwa maarufu sana mithili ya 'nyota wa hollywood' kwani kila siku jina lake lilikuwa likitajwa kwenye vyombo vya habari na kuandikwa magazetini. Sifa nyingine ya genge hili ni kwamba walikuwa watanashati mno wakipendelea kuvaa suti na kofia nyeusi.

    Januari 15 1934, Dillinger alivamia benki kuiba pesa. Katika tukio la majibizano ya risasi, Dillinger alimuua askari mmoja aliyejulikana kwa jina la William O'Malley. Yeye alipigwa risasi kadhaa japokuwa hakufa kwasababu alivaa 'bullet proof'.

    Baadae, 'Dillinger Gang' walikuja kukamatwa, ambapo Dillinger alipelekwa katika gereza la *crown point* kwa kosa la kumuua Askari. Gereza hilo lilipewa jina la 'escape proof' kwakuwa lilikuwa nj ngumu kutoroka hapo. Umaarufu wake ulipelekea wananchi kufurika mahakamani na gerezani kwa ajili ya kutaka kumuona John Dillinger.

    Tarehe 3 Machi 1934, John Dillinger alifanikiwa kutoroka tena katika gereza la *Crown point,* safari hii akitoroka kwa kutumia 'bunduki feki' aliyoichonga kwa kutumia mbao na kuipaka rangi nyeusi. Aliitumia bunduki hiyo kumtisha askari kisha akapora gari la askari na kutoroka nalo. Kitendo hiko kiliwafanya polisi waombe msaada kutoka *FBI* ambao walifanya msako kabambe wa kumkamata John Dillinger.

    Alipotoroka, alikimbilia mjini Chicago ambako huko aliunda Genge jipya safari hii akimchukua mtu hatari aliyejulikana kama 'Baby Face Nelson'. Genge hilo liliendelea kufanya matukio mengi ya uporaji wa pesa benki na hata wizi wa silaha. Katika kipindi hiki, John Dillinger alianzisha mahusiano na binti aliyeitwa 'Polly Hamilton' mhudumu wa mgahawa pale Chicago ambaye hapo kabla alikuwa akijihusisha na ukahaba. Ifahamike kuwa kipindi yupo jela, Dillinger alitalikiana na yule mkewe.

    MSAKO wa kumpata John Dillinger ulikuwa ukiendelea ambapo FBI walisambaza picha za Dillinger pamoja na kutangaza dau nono kwa yeyote atakayefanikisha upatikanaji wake. FBI walitangaza dau la dola $10,000 kwa yeyote atakayefakiwa kumkamata Dillinger na $5,000 kwa yule atakayetoa taarifa za kupatikana kwake. John Dillinger alisumbua sana vichwa vya maafisa usalama kiasi cha FBI kumtangaza kuwa *"Public Enemy N艒 1".* Ukiona hadi mtu anaitwa Public Enemy N艒 1 ujue huyo alikuwa ni 'kiboko pasua kichwa'.

    John Dillinger naye hakuwa nyuma katika kuhakikisha hakamatwi. Unajua alifanyaje??.

    Aliamua kufanya operesheni ya uso *"plastic surgery"* ili kubadilisha muonekano wa sura yake. Pia alifanya uperesheni ya kubadilisha alama za vidole yaani 'finger prints'.

    Mkuu wa FBI bwana J. Edgar Hoover alimteua bwana Samuel Cowley kuongoza misheni ya kumkamata John Dillinger. Cowley naye aliungana na Afisa *Mervin Purvis* kutoka mjini Chicago. Kwa pamoja walishirikiana na polisi kuhakikisha huyu 'Adui namba moja' anapatikana.

    Ilikuwa ni siku ya tarehe 21 Julai 1934 ambapo maafisa usalama walipokea simu kutoka kwa mwanadada mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Anna. Binti huyu alitoa taarifa za siri kwamba 'kesho jioni, yeye, John Dillinger pamoja na mpenzi wake, Polly Hamilton, wataenda kuangalia filamu kwenye moja ya majumba ya sinema, akaeleza kwamba watachagua kwenda aidha Biograph Theater au Marbo Theater. Na wakapanga kwamba atavaa vazi la rangi nyekundu ili iwe rahisi kwa maofisa hao kumtambua.

    Ilipofika kesho yake, maofisa wakampigia simu Anna Sage ili 'ku-comfirm' ni wapi wataenda kati ya Biograph au Marbo??. Lakini kwakua Anna alikuwa bado hajui ni wapi haswa wataenda, tuliona maofisa usalama wakiongozwa na Marvin Purvis wakijigawa kwenda 'kukava' sehemu zote mbili.

    Hatimaye ilipofika majira ya saa 2:30 usiku, Anna, John Dillinger pamoja na Polly Hamilton, walionekana wakiingia kwenye jumba la sinema la *Biograph Theater*. Baada ya kina Dillinger kuingia, tukaona wale maofisa wengine waliokuwepo kule 'Marbo Theater' wakiwasili haraka pale 'Biograph Theater' kwa ajili ya kuongeza nguvu.

    Saa 4:30 usiku, baada ya filamu kumalizika, alionekana John Dillinger akiwa na wale warembo wake wawili, mmoja kulia mwingine kushoto, wakiwa wanatoka nje. Wakati wanakuja usawa wa aliposimama ofisa Purvis. Purvis aliwasha sigara yake kama ishara ya wale wenzake kusogea jirani. Wakati anafanya hivyo, kumbe Dillinger alikuwa *'ameshahisi hali ya hatari',* akatoa bastola yake huku akijihami kwa kujaribu kukimbia.

    Lakini kabla hajafika mbali, risasi tatu zilifika kwenye mwili wa John Dillinger. Risasi moja ikipenya upande wa nyuma wa shingo na kutokezea kwenye sikio. Dakika chache zilizofuata, hospitali ya Alexian Brothers ilitangaza kifo cha John Dillinger. Na hiyo ndio ikawa mwisho wa mtukutu huyu ambaye alifariki tarehe kama ya leo *22 Julai 1934.* Baada ya kuenea taarifa za kifo chake watu wengi walifurika eneo la tukio angalau waweze kuuona mwili wa John Dillinger.

    ****

    Lakini nafahamu utakuwa unajiuliza yule mwanadada aliyetoa taarifa za siri za kurahisisha kukamatwa kwa John Dillinger ni nani na kwanini alifanya hivyo?!! Baadae nitaeleza kisa hiko. Lakini kwa sasa tuishie hapa.

    Ahsante.

    JAMBAZI MTUKUTU. Nchini Tanzania, kuna manju 'Dj' fulani wa muziki anayejulikana kwa jina maarufu la 'DJ JD' au kwa kirefu *'DJ John Dilinga'.* Huyu ni moja kati ya maDj wakongwe na mahiri sana tuliobahatika kuwa nao hapa nchini Tanzania. Kwa wale wapenzi na wadau wa muziki wa 'bongofleva' hususani wa miaka ya nyumanyuma kidogo, bila shaka mtakua mnamfahamu Dj huyu. Kwa muda mrefu nimekuwa nikitamani kufahamu ni kwanini anaitwa John Dilinga..nikiwa nataka kujua kama hilo ni jina lake halisi au ni 'a.k.a'. Maana ni kawaida kuona watu mbalimbali hususani walio kwenye tasnia ya burudani wakitumia majina ya ziada (a.k.a) kuliko majina yao halisi. Kitu kilichonifanya nianze na DJ JD ni baada ya kugundua kuwa leo ni tarehe 22 Julai. Tarehe ambayo ulimwengu mzima unamtaja bwana mmoja mtukutu sana, aliyewahi kusumbua vichwa vya maofisa usalama wa nchi ya Marekani, akifahamika kama *John Dillinger.* Huyu alikuwa ni moja kati ya wahuni wakubwa nchini Marekani aliyetamba sana katika miaka ya 1930 kwa kujihusisha na matukio ya kihalifu hususani uporaji wa fedha kwenye mabenki. Tofauti ni kwamba John Dilinga wa Tanzania ni DJ, wakati John Dillinger wa Marekani alikuwa ni jambazi mtukutu. Utukutu wake ulianza angali ana umri mdogo na hata aliweza kuacha shule ili kwenda kutafuta pesa!! Alianza kama mdokozi wa vitu vidogovidogo lakini tukio lake la kwanza lilikuwa ni *kuiba gari*, kisha 'kwenda misele' kwa mpenzi wake mpya. Siku chache baadae alikuja kukamatwa na mapolisi akiwa anazurula mtaani japokuwa alifanikiwa kuchoropoka na 'kutokomea kusikojulikana'. Baadae alipata kazi katika jeshi la majini 'navy', akifanya katika meli ya jeshi ya 'USS Uttah'. Baada ya miezi kadhaa John Dillinger alitoroka kazini. April 1924 akiwa hana shughuli ya kumuingizia kipato, John Dillinger alifunga ndoa na mwanadada Beryl Hovious ambapo walienda kuishi kwenye nyumba ya baba yake ambapo John Dillinger aliahidi kwamba sasa atatulia na kuacha utukutu wote. Lakini wiki chache baada ya ndoa, Dillinger alikamatwa na hata kufikishwa mahakamani kwa kosa la wizi wa kuku, "nadhani alikuwa anatafuta mboga ya kwenda kula na mkewe". Lakini kwa msaada wa Baba yake, kesi ya Dillinger iliweza kufutwa. Baadae Dillinger aliamua kutoka kwenye nyumba ya baba yake na kwenda kuishi kwenye nyumba ya wazazi wa mwanamke ambapo huko alibahatika kupata kazi kwenye duka la kuuza vifaa vya ujenzi. Akiwa huko, Dillinger alikutana na rafiki yake wa muda mrefu aitwaye *Edgar Singleton,* ambapo walipanga mikakati ya kuiba pesa. Ndipo tarehe 6 septemba 1924 waliiba pesa katika moja ya Grocery japokuwa walikamatwa na kufikishwa mahakamani ambapo John Dillinger alihukumiwa kifungo cha miaka 20 katika Gereza la "Indiana State Reformatory in Pendleton". Alipokuwa jela, alikutana na wafungwa wengine ambao walimfundisha mbinu nyingine za uhalifu mkubwa hususani uporaji wa fedha kwenye mabenki. Alitumikia kifungo chake hadi mwaka 1933 kwa paroli. Siku chache tu baada ya kutoka jela, John Dillinger alifanya uhalifu mkubwa, safari hii akivamia benki na kuiba pesa benki ingawa alikamatwa na kuhukumiwa kifungo katika gereza la Lima. Siku chache baada ya Dillinger kuingia jela, wafungwa 12 ambao baadhi yao ni rafiki zake Dillinger, waliweza kutoroka katika gereza la "Indiana State Prison". Hili ni gereza alilowahi kufungwa John Dillinger baada ya kuhamishwa toka kwenye gereza lile la awali. Miongoni mwa hao waliotoroka, ambao baadhi yao ni marafiki wa Dillinger, walifika katika gereza alilofungwa Dillinger lengo ni kumtorosha rafiki yao. Walimuua askari mmoja na kuchukua funguo kisha kufungua mlango wa selo alilomo Dillinger kisha kutoroka naye. Baada ya kutoroka, John Dillinger na wenzake walielekea mjini Chicago ambapo waliunda genge kubwa la kihalifu *Dillinger Gang*. Genge hili lilipora pesa kwenye mabenki mbalimbali, na ili kuongeza nguvu, walivamia ghala la silaha na kuiba silaha nzitonzito walizozotumia katika shughuli zao za kihalifu. Wahuni hao walitokea kupata umaarufu mkubwa pale Marekani, hususani huyu Dillinger ambaye alikuwa maarufu sana mithili ya 'nyota wa hollywood' kwani kila siku jina lake lilikuwa likitajwa kwenye vyombo vya habari na kuandikwa magazetini. Sifa nyingine ya genge hili ni kwamba walikuwa watanashati mno wakipendelea kuvaa suti na kofia nyeusi. Januari 15 1934, Dillinger alivamia benki kuiba pesa. Katika tukio la majibizano ya risasi, Dillinger alimuua askari mmoja aliyejulikana kwa jina la William O'Malley. Yeye alipigwa risasi kadhaa japokuwa hakufa kwasababu alivaa 'bullet proof'. Baadae, 'Dillinger Gang' walikuja kukamatwa, ambapo Dillinger alipelekwa katika gereza la *crown point* kwa kosa la kumuua Askari. Gereza hilo lilipewa jina la 'escape proof' kwakuwa lilikuwa nj ngumu kutoroka hapo. Umaarufu wake ulipelekea wananchi kufurika mahakamani na gerezani kwa ajili ya kutaka kumuona John Dillinger. Tarehe 3 Machi 1934, John Dillinger alifanikiwa kutoroka tena katika gereza la *Crown point,* safari hii akitoroka kwa kutumia 'bunduki feki' aliyoichonga kwa kutumia mbao na kuipaka rangi nyeusi. Aliitumia bunduki hiyo kumtisha askari kisha akapora gari la askari na kutoroka nalo. Kitendo hiko kiliwafanya polisi waombe msaada kutoka *FBI* ambao walifanya msako kabambe wa kumkamata John Dillinger. Alipotoroka, alikimbilia mjini Chicago ambako huko aliunda Genge jipya safari hii akimchukua mtu hatari aliyejulikana kama 'Baby Face Nelson'. Genge hilo liliendelea kufanya matukio mengi ya uporaji wa pesa benki na hata wizi wa silaha. Katika kipindi hiki, John Dillinger alianzisha mahusiano na binti aliyeitwa 'Polly Hamilton' mhudumu wa mgahawa pale Chicago ambaye hapo kabla alikuwa akijihusisha na ukahaba. Ifahamike kuwa kipindi yupo jela, Dillinger alitalikiana na yule mkewe. MSAKO wa kumpata John Dillinger ulikuwa ukiendelea ambapo FBI walisambaza picha za Dillinger pamoja na kutangaza dau nono kwa yeyote atakayefanikisha upatikanaji wake. FBI walitangaza dau la dola $10,000 kwa yeyote atakayefakiwa kumkamata Dillinger na $5,000 kwa yule atakayetoa taarifa za kupatikana kwake. John Dillinger alisumbua sana vichwa vya maafisa usalama kiasi cha FBI kumtangaza kuwa *"Public Enemy N艒 1".* Ukiona hadi mtu anaitwa Public Enemy N艒 1 ujue huyo alikuwa ni 'kiboko pasua kichwa'. John Dillinger naye hakuwa nyuma katika kuhakikisha hakamatwi. Unajua alifanyaje??. Aliamua kufanya operesheni ya uso *"plastic surgery"* ili kubadilisha muonekano wa sura yake. Pia alifanya uperesheni ya kubadilisha alama za vidole yaani 'finger prints'. Mkuu wa FBI bwana J. Edgar Hoover alimteua bwana Samuel Cowley kuongoza misheni ya kumkamata John Dillinger. Cowley naye aliungana na Afisa *Mervin Purvis* kutoka mjini Chicago. Kwa pamoja walishirikiana na polisi kuhakikisha huyu 'Adui namba moja' anapatikana. Ilikuwa ni siku ya tarehe 21 Julai 1934 ambapo maafisa usalama walipokea simu kutoka kwa mwanadada mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Anna. Binti huyu alitoa taarifa za siri kwamba 'kesho jioni, yeye, John Dillinger pamoja na mpenzi wake, Polly Hamilton, wataenda kuangalia filamu kwenye moja ya majumba ya sinema, akaeleza kwamba watachagua kwenda aidha Biograph Theater au Marbo Theater. Na wakapanga kwamba atavaa vazi la rangi nyekundu ili iwe rahisi kwa maofisa hao kumtambua. Ilipofika kesho yake, maofisa wakampigia simu Anna Sage ili 'ku-comfirm' ni wapi wataenda kati ya Biograph au Marbo??. Lakini kwakua Anna alikuwa bado hajui ni wapi haswa wataenda, tuliona maofisa usalama wakiongozwa na Marvin Purvis wakijigawa kwenda 'kukava' sehemu zote mbili. Hatimaye ilipofika majira ya saa 2:30 usiku, Anna, John Dillinger pamoja na Polly Hamilton, walionekana wakiingia kwenye jumba la sinema la *Biograph Theater*. Baada ya kina Dillinger kuingia, tukaona wale maofisa wengine waliokuwepo kule 'Marbo Theater' wakiwasili haraka pale 'Biograph Theater' kwa ajili ya kuongeza nguvu. Saa 4:30 usiku, baada ya filamu kumalizika, alionekana John Dillinger akiwa na wale warembo wake wawili, mmoja kulia mwingine kushoto, wakiwa wanatoka nje. Wakati wanakuja usawa wa aliposimama ofisa Purvis. Purvis aliwasha sigara yake kama ishara ya wale wenzake kusogea jirani. Wakati anafanya hivyo, kumbe Dillinger alikuwa *'ameshahisi hali ya hatari',* akatoa bastola yake huku akijihami kwa kujaribu kukimbia. Lakini kabla hajafika mbali, risasi tatu zilifika kwenye mwili wa John Dillinger. Risasi moja ikipenya upande wa nyuma wa shingo na kutokezea kwenye sikio. Dakika chache zilizofuata, hospitali ya Alexian Brothers ilitangaza kifo cha John Dillinger. Na hiyo ndio ikawa mwisho wa mtukutu huyu ambaye alifariki tarehe kama ya leo *22 Julai 1934.* Baada ya kuenea taarifa za kifo chake watu wengi walifurika eneo la tukio angalau waweze kuuona mwili wa John Dillinger. **** Lakini nafahamu utakuwa unajiuliza yule mwanadada aliyetoa taarifa za siri za kurahisisha kukamatwa kwa John Dillinger ni nani na kwanini alifanya hivyo?!! Baadae nitaeleza kisa hiko. Lakini kwa sasa tuishie hapa. Ahsante.
    Like
    1
    0 Commenti 0 condivisioni 684 Views
  • HAYA NI MAMBO 25 AMBAYO HUJAWAHI KUYAJUA KUMHUSU PAKA

    1) Kama ingetakiwa paka awe na kitambulisho cha NIDA Basi asingesajili kwa alama za vidole bali angesaini kwa alama ya Pua kwa sababu kwa kupitia pua zao ndio utapata upekee wa kila paka duniani

    2) Paka wengi ni mashoto kwa maana miguu yao ya kushoto ndio hutawala katika shughuli zao nyingi

    3) Siku zote paka ni wapole. ..hawapigani kwa ajili ya kuonyesha umwamba wao ukimuona paka anapigana ujue anapigania haki yake hasahasa kulinda himaya yake....

    4) Watu wa zamani wa Misri walikuwa wakinyoa nyusi zao ilikuonyesha majonzi Iwapo paka wao wa nyumbani atafariki

    5) Uwezo wa paka kunusa ni mara 14 zaidi ya uwezo wa binadamu

    6) Paka anaweza kuruka hadi futi 8 kwenda juu...anaweza kuruka mara sita ya urefu wa mwili wake

    7) Paka ana akili nyingi kuliko mbwa kwa sababu paka ana zaidi ya neurons million 300 wakati mbwa ana neurons million 160 huku binadamu akiwa na zaidi ya neurons bilion 80 (hizo neurons bilion 80 kwa binadamu ni asilimia Kati ya 10-20 ya akili ya binadamu)

    8) Paka anaweza kuishi hadi miaka 30 ...Hadi sasa paka anayeshikilia rekodi ya dunia ya kuishi umri mrefu ni Paka Creme Puff aliyeishi miaka 38 na siku 3 ...paka huyo aliishi huko Texas nchini marekani

    9) Paka anavyolia nyau (Meous) huwa anawasiliana na binadamu pekee ...wao wenyewe kwa wenyewe hawawasiliani kwa kulia nyau (meous)

    10) Paka huweza kujitibu majeraha kwa kukoroma (purring) ... Paka wa nyumbani huweza kuzalisha frequency Kati ya 25 hadi 150 hertz ...Kwa kiwango hiko kinaweza kusaidia mifupa na misuli kukua vizuri na pia kujitibu yenyewe

    11) Paka hawezi kuhisi ladha ya utamu

    12) Mapigo ya moyo ya Paka yanapiga mara mbili zaidi ya Mapigo ya moyo ya binadamu kwa Paka ndani ya dakik 1 hupiga kati ya 110 -140 wakati kwa binadamu ndani ya dakik 1 hupiga kati ya 60 hadi 100

    13) Mwaka 2004 wana akiolojia kutoka ufaransa waliweza kugundua kaburi (mifupa) ya paka inayokadiriwa kuwa ni ya zaidi ya miaka 9500 huko nchini Cyprus.... Hapo awali watu waliamini kuwa paka walianza kuishi nchini misri

    14) Paka Stubb alishawahi kuwa meya wa Talkeetna kwa miaka 20... Talkeetna ni mji mdogo wa Alaska ....Kwa Miaka 20 alikuwa anakosa Mpinzani wa kugombea nae... Japo paka huyo Hakuwa anashika madaraka ya kiutawala lakini alikuwa anapendwa tu na watu wa Talkeetna

    15) Paka mrefu (longest) zaidi duniani ni Stewie alikuwa na urefu wa inchi 48.5 wakati paka mrefu kwenda juu (tallest) zaidi duniani ni Arcturus alikuwa na urefu wa kwenda juu wa inchi 19.05

    16) Asilimia 70 ya maisha ya paka wanayatumia kwa kulala... ( Kwa mfano kama paka ataishi miaka 10 Basi miaka 7 ataitumia kwa kulala)

    17) Paka anayeshikilia rekodi ya utajiri zaidi duniani ni Paka Blackie...utajiri wa paundi million 7 ...ambazo kama tutazibadili kwa thamani ya pesa ya Tanzania ya sasa ...tunaweza kusema kuwa paka huyo alikuwa na zaidi ya utajiri wa Billion 20 na million 900

    18) Kama hujawahi kumuona Twiga akitembea au kama hujawahi kumuona Ngamia akitembea Basi kamuangalie Paka akitembea... Namna paka anavyotembea ni sawa na Ngamia anavyotembea au namna Twiga anavyotembea
    kwahyo badala ya kusema mtoto ana mwendo wa Twiga Unaweza kumwambia tu kuwa mtoto ana mwendo wa paka

    19) Mwaka 1963 ndio paka wa kwanza duniani alikwenda angani... Paka huyo aliitwa Felicette ndio alikuwa paka wa kwanza na wa pekee kwenda angani

    20) Kwa asilimia 80 maumbile ya paka yanafanana na Chui... Lakini pia baadhi ya tabia za paka hufanana na chui

    21) Paka Ana speed ya 30mph wakati chui ana speed ya 40 mph Binadamu ana speed ya 28mph (hapo wameangaliwa akina Usain Bolt sio wewe kibonge )

    22) Paka ana mifupa 230 wakati binadamu ana mifupa 206

    23) Paka anaweza kupata mimba akiwa na umri wa miezi minne

    25) Paka alianza kuishi majumbani zaidi ya miaka 3600 BC

    Tafadhali share na wengine wajifunze kuhusu paka
    HAYA NI MAMBO 25 AMBAYO HUJAWAHI KUYAJUA KUMHUSU PAKA 1) Kama ingetakiwa paka awe na kitambulisho cha NIDA Basi asingesajili kwa alama za vidole bali angesaini kwa alama ya Pua kwa sababu kwa kupitia pua zao ndio utapata upekee wa kila paka duniani 2) Paka wengi ni mashoto kwa maana miguu yao ya kushoto ndio hutawala katika shughuli zao nyingi 3) Siku zote paka ni wapole. ..hawapigani kwa ajili ya kuonyesha umwamba wao ukimuona paka anapigana ujue anapigania haki yake hasahasa kulinda himaya yake.... 4) Watu wa zamani wa Misri walikuwa wakinyoa nyusi zao ilikuonyesha majonzi Iwapo paka wao wa nyumbani atafariki 5) Uwezo wa paka kunusa ni mara 14 zaidi ya uwezo wa binadamu 6) Paka anaweza kuruka hadi futi 8 kwenda juu...anaweza kuruka mara sita ya urefu wa mwili wake 7) Paka ana akili nyingi kuliko mbwa kwa sababu paka ana zaidi ya neurons million 300 wakati mbwa ana neurons million 160 huku binadamu akiwa na zaidi ya neurons bilion 80 (hizo neurons bilion 80 kwa binadamu ni asilimia Kati ya 10-20 ya akili ya binadamu) 8) Paka anaweza kuishi hadi miaka 30 ...Hadi sasa paka anayeshikilia rekodi ya dunia ya kuishi umri mrefu ni Paka Creme Puff aliyeishi miaka 38 na siku 3 ...paka huyo aliishi huko Texas nchini marekani 9) Paka anavyolia nyau (Meous) huwa anawasiliana na binadamu pekee ...wao wenyewe kwa wenyewe hawawasiliani kwa kulia nyau (meous) 10) Paka huweza kujitibu majeraha kwa kukoroma (purring) ... Paka wa nyumbani huweza kuzalisha frequency Kati ya 25 hadi 150 hertz ...Kwa kiwango hiko kinaweza kusaidia mifupa na misuli kukua vizuri na pia kujitibu yenyewe 11) Paka hawezi kuhisi ladha ya utamu 12) Mapigo ya moyo ya Paka yanapiga mara mbili zaidi ya Mapigo ya moyo ya binadamu kwa Paka ndani ya dakik 1 hupiga kati ya 110 -140 wakati kwa binadamu ndani ya dakik 1 hupiga kati ya 60 hadi 100 13) Mwaka 2004 wana akiolojia kutoka ufaransa waliweza kugundua kaburi (mifupa) ya paka inayokadiriwa kuwa ni ya zaidi ya miaka 9500 huko nchini Cyprus.... Hapo awali watu waliamini kuwa paka walianza kuishi nchini misri 14) Paka Stubb alishawahi kuwa meya wa Talkeetna kwa miaka 20... Talkeetna ni mji mdogo wa Alaska ....Kwa Miaka 20 alikuwa anakosa Mpinzani wa kugombea nae... Japo paka huyo Hakuwa anashika madaraka ya kiutawala lakini alikuwa anapendwa tu na watu wa Talkeetna 15) Paka mrefu (longest) zaidi duniani ni Stewie alikuwa na urefu wa inchi 48.5 wakati paka mrefu kwenda juu (tallest) zaidi duniani ni Arcturus alikuwa na urefu wa kwenda juu wa inchi 19.05 16) Asilimia 70 ya maisha ya paka wanayatumia kwa kulala... ( Kwa mfano kama paka ataishi miaka 10 Basi miaka 7 ataitumia kwa kulala) 17) Paka anayeshikilia rekodi ya utajiri zaidi duniani ni Paka Blackie...utajiri wa paundi million 7 ...ambazo kama tutazibadili kwa thamani ya pesa ya Tanzania ya sasa ...tunaweza kusema kuwa paka huyo alikuwa na zaidi ya utajiri wa Billion 20 na million 900 18) Kama hujawahi kumuona Twiga akitembea au kama hujawahi kumuona Ngamia akitembea Basi kamuangalie Paka akitembea... Namna paka anavyotembea ni sawa na Ngamia anavyotembea au namna Twiga anavyotembea kwahyo badala ya kusema mtoto ana mwendo wa Twiga Unaweza kumwambia tu kuwa mtoto ana mwendo wa paka 馃ぃ馃ぃ 19) Mwaka 1963 ndio paka wa kwanza duniani alikwenda angani... Paka huyo aliitwa Felicette ndio alikuwa paka wa kwanza na wa pekee kwenda angani 20) Kwa asilimia 80 maumbile ya paka yanafanana na Chui... Lakini pia baadhi ya tabia za paka hufanana na chui 21) Paka Ana speed ya 30mph wakati chui ana speed ya 40 mph Binadamu ana speed ya 28mph (hapo wameangaliwa akina Usain Bolt sio wewe kibonge 馃ぃ馃ぃ馃ぃ馃ぃ馃ぃ ) 22) Paka ana mifupa 230 wakati binadamu ana mifupa 206 23) Paka anaweza kupata mimba akiwa na umri wa miezi minne 25) Paka alianza kuishi majumbani zaidi ya miaka 3600 BC Tafadhali share na wengine wajifunze kuhusu paka
    0 Commenti 0 condivisioni 286 Views
  • JINSI SHIRIKA LA KIJASUSI LA URUSI FSB {KGB} LILIVYO HATARI....

    Kama waswahili wasemavyo maisha ni safari ndefu na kifo ni Siri, pengine hili ni kweli kutokana na sintofahamu iliyochukua uhai wa Alexander Litvinenko, jasusi wa zamañi wa KGB na baadae FSB ya Urusi ya sasa.

    Tutarudi Sasa tuendelee mwishoni mwa wiki za mwezi wa kumi mwaka 2006 Alexander Litvinenko alipokuwa jijini London alipotorokea baada ya rabsha dhidi ya serikali mjini Moscow, siku hiyo Litvinenko alikuwa ametembelewa na marafiki zake wawili walikuwa wanausalama ndani ya FSB na iliyokuwa KGB Dmitri Kovtun na Andrei Lugovoi, asichokijua ni kwamba wale wawili walikuwa moja ya watu hatari na pia kama wasafirishaji mahiri wa msafiri kama Litvinenko kuliendelea kaburi

    Waliikutana hotelini jijini London wakinywa na kufurahi, siku hiyo Lugovoi na Kovtun wao waliagiza bia wakanywa wakifurahi, unajua nini Litvinenko ye aliagizwa chai ya rangi akanywa huku akiwachekea wasafirishaji wa ule msemo wa kiswahili " maisha ni safari"

    Maskinii Litvinenko alipojichanganya tu Lugovoi na Kovtun wakifanya kazi yao moja waliotumwa na FSB, kumnyamazisha " traitor of the mother Russia"

    Unajua walifanya Nini? Walichukua kemikali hatari sana duniani inayoua taratibu sana jina lake Polonium 210 wakatia katika chai ya Litvinenko. Inavyosemekana alivyorudi walimchekea na kufurahi zaidi kuona Litvinenko alikuwa amesahau mbinu muhimu kabisa ya wanaintelijensia kote duniani ! Kutomwamini mtu hata mama na baba yako.
    Litvinenko alikunywa chai ile

    **********
    Lugovoi na Kovtun walichukua ndege siku tatu baadae haoo Moscow, huko walifanyiwa sherehe ya uhakika wa kazi iliyofanyika isiyo na shaka, Kovtun aliamua kuwa mfanyabiashara mkubwa wakati Lugovoi alipandishwa cheo siku chache baadae.
    ******
    Maskini Litvinenko aliagana na wanyama wale wa kwenye barafu Kama wajiitavyo wao " "bear " lakini akiwapachika majina mazuri yaani marafiki, ndugu, wapenzi kutoka home Russia. Pia aliwauliza vipi watarudi lini kumuona, kimoyomoyo Kovtun na Lugovoi walikua wakicheka na kusikitika kiunafiki,wakijua huyu mtu hana mwezi duniani. Wiki tatu nyingi! atakufa kifo Cha mateso akiwa kitandani amelala.

    ***
    November 1 mwaka 2006 Litvinenko aliugua homa ya ghafla mwili ukiungua kwa namna ya kutisha sana, alipelekwa hospitali mjini London akaishi kwa wiki 3 akiwa hoi kitandani! Wakati akifa akitoa laana kwa Putin akamshutumu amemuua.

    Huo ukawa mwisho wa Litvinenko mtu aliyekuwa ameaminiwa kutunza siri za Russia yeye alizitoa hadharani kwa m16 . Pengine ni chafu sana zenye damu lakini bila shaka kulikuwa pigo kwa vitu hivyo kuwa hadharani. Putin alivuliwa nguo hata asiijifunike.

    Tuzungimzapo Leo ni miaka karibu 12 toka mnyama huyu atutoke.

    Mwaka fulani Putin aliulizwa na mwanahabari mmoja ni kitu gani asichoweza kuvumilia na kusamehe alisema hivi.. Ye ni ngumu sana kuwasamehe wasaliti wa mother Russia.

    Ohh ndo hivyo Litvinenko hakupata bahati ya kusamehewa na Putin hivyo alikwenda.

    Chanzo: na Google
    JINSI SHIRIKA LA KIJASUSI LA URUSI FSB {KGB} LILIVYO HATARI.... Kama waswahili wasemavyo maisha ni safari ndefu na kifo ni Siri, pengine hili ni kweli kutokana na sintofahamu iliyochukua uhai wa Alexander Litvinenko, jasusi wa zamañi wa KGB na baadae FSB ya Urusi ya sasa. Tutarudi Sasa tuendelee mwishoni mwa wiki za mwezi wa kumi mwaka 2006 Alexander Litvinenko alipokuwa jijini London alipotorokea baada ya rabsha dhidi ya serikali mjini Moscow, siku hiyo Litvinenko alikuwa ametembelewa na marafiki zake wawili walikuwa wanausalama ndani ya FSB na iliyokuwa KGB Dmitri Kovtun na Andrei Lugovoi, asichokijua ni kwamba wale wawili walikuwa moja ya watu hatari na pia kama wasafirishaji mahiri wa msafiri kama Litvinenko kuliendelea kaburi Waliikutana hotelini jijini London wakinywa na kufurahi, siku hiyo Lugovoi na Kovtun wao waliagiza bia wakanywa wakifurahi, unajua nini Litvinenko ye aliagizwa chai ya rangi akanywa huku akiwachekea wasafirishaji wa ule msemo wa kiswahili " maisha ni safari" Maskinii Litvinenko alipojichanganya tu Lugovoi na Kovtun wakifanya kazi yao moja waliotumwa na FSB, kumnyamazisha " traitor of the mother Russia" Unajua walifanya Nini? Walichukua kemikali hatari sana duniani inayoua taratibu sana jina lake Polonium 210 wakatia katika chai ya Litvinenko. Inavyosemekana alivyorudi walimchekea na kufurahi zaidi kuona Litvinenko alikuwa amesahau mbinu muhimu kabisa ya wanaintelijensia kote duniani ! Kutomwamini mtu hata mama na baba yako. Litvinenko alikunywa chai ile ********** Lugovoi na Kovtun walichukua ndege siku tatu baadae haoo Moscow, huko walifanyiwa sherehe ya uhakika wa kazi iliyofanyika isiyo na shaka, Kovtun aliamua kuwa mfanyabiashara mkubwa wakati Lugovoi alipandishwa cheo siku chache baadae. ****** Maskini Litvinenko aliagana na wanyama wale wa kwenye barafu Kama wajiitavyo wao " "bear " lakini akiwapachika majina mazuri yaani marafiki, ndugu, wapenzi kutoka home Russia. Pia aliwauliza vipi watarudi lini kumuona, kimoyomoyo Kovtun na Lugovoi walikua wakicheka na kusikitika kiunafiki,wakijua huyu mtu hana mwezi duniani. Wiki tatu nyingi! atakufa kifo Cha mateso akiwa kitandani amelala. *** November 1 mwaka 2006 Litvinenko aliugua homa ya ghafla mwili ukiungua kwa namna ya kutisha sana, alipelekwa hospitali mjini London akaishi kwa wiki 3 akiwa hoi kitandani! Wakati akifa akitoa laana kwa Putin akamshutumu amemuua. Huo ukawa mwisho wa Litvinenko mtu aliyekuwa ameaminiwa kutunza siri za Russia yeye alizitoa hadharani kwa m16 . Pengine ni chafu sana zenye damu lakini bila shaka kulikuwa pigo kwa vitu hivyo kuwa hadharani. Putin alivuliwa nguo hata asiijifunike. Tuzungimzapo Leo ni miaka karibu 12 toka mnyama huyu atutoke. Mwaka fulani Putin aliulizwa na mwanahabari mmoja ni kitu gani asichoweza kuvumilia na kusamehe alisema hivi.. Ye ni ngumu sana kuwasamehe wasaliti wa mother Russia. Ohh ndo hivyo Litvinenko hakupata bahati ya kusamehewa na Putin hivyo alikwenda. Chanzo: na Google
    0 Commenti 0 condivisioni 506 Views
  • .JEMEDARI SAID: MWENDA NI BONGE LA MCHEZAJI,YANGA WAMERAMBA DUME.
    .
    "Kumuona Israh kutoka Singida Black Stars kwenda Yanga sio kitu cha ajabu sana maana tumewaona wengi mfano Feisal kutoka Yanga kwenda Azam ni vitu vya kawaida, Yanga wamepata mchezaji mzuri sana sina shaka nae"

    "Nina imani kocha amehusika kwa asilimia 100% maana wapo viongozi walisemaga kuwa sio rahisi kocha kusajili mwenyewe lazima ashirikishe viongozi ila inawezekana alimuhitaji mchezaji akaonyeshwa video zake nae akaridhika naye"

    "Ni ushamba tu wa mashabiki kuwasema wachezaji wakitanzania, watu walitaka kuona Simba au Yanga wanasajili wachezaji kutoka nje tu...huu ni ushamba na niwapongeze Yanga kufanya usajili wa Mwenda hata Kelvin Nashon"

    "Yanga wamefanya kitu cha maana isipokuwa wanahitaji kuvumilia hadi watakapokuwa vizuri kwenye kikosi chao"
    .
    “ Israel Mwenda ni mchezaji mzuri. Namjua tangu 2016. Dogo ana kipaji kizuri maana amefanya vyema akiwa na timu za Simba SC, KMC hadi timu ya Taifa. Kilichomuondoa Simba SC ni nafasi ya kucheza. Nifichue siri leo, hakuwa na mahusiano mazuri na Shomary Kapombe. Hawa wote ni wanangu. Muda mwingine unaona bora uondoke tu kutafuta changamoto nyingine"
    .
    "Kutoka Singida Black Stars kwenda Yanga SC ni kitu cha kawaida kabisa. Lakini Yanga SC wamepata mchezaji mwenye uwezo, lakini arekebishwe mentality yake. Huyu ni mchezaji ambaye unaweza kumtumia katika mifumo mingi. Naamini kocha wa Yanga SC amehusika moja kwa moja na usajili huu “
    .
    JEMEDARI SAID,Mchambuzi CROWN FM.
    .JEMEDARI SAID: MWENDA NI BONGE LA MCHEZAJI,YANGA WAMERAMBA DUME. . "Kumuona Israh kutoka Singida Black Stars kwenda Yanga sio kitu cha ajabu sana maana tumewaona wengi mfano Feisal kutoka Yanga kwenda Azam ni vitu vya kawaida, Yanga wamepata mchezaji mzuri sana sina shaka nae" "Nina imani kocha amehusika kwa asilimia 100% maana wapo viongozi walisemaga kuwa sio rahisi kocha kusajili mwenyewe lazima ashirikishe viongozi ila inawezekana alimuhitaji mchezaji akaonyeshwa video zake nae akaridhika naye" "Ni ushamba tu wa mashabiki kuwasema wachezaji wakitanzania, watu walitaka kuona Simba au Yanga wanasajili wachezaji kutoka nje tu...huu ni ushamba na niwapongeze Yanga kufanya usajili wa Mwenda hata Kelvin Nashon" "Yanga wamefanya kitu cha maana isipokuwa wanahitaji kuvumilia hadi watakapokuwa vizuri kwenye kikosi chao" . “ Israel Mwenda ni mchezaji mzuri. Namjua tangu 2016. Dogo ana kipaji kizuri maana amefanya vyema akiwa na timu za Simba SC, KMC hadi timu ya Taifa. Kilichomuondoa Simba SC ni nafasi ya kucheza. Nifichue siri leo, hakuwa na mahusiano mazuri na Shomary Kapombe. Hawa wote ni wanangu. Muda mwingine unaona bora uondoke tu kutafuta changamoto nyingine" . "Kutoka Singida Black Stars kwenda Yanga SC ni kitu cha kawaida kabisa. Lakini Yanga SC wamepata mchezaji mwenye uwezo, lakini arekebishwe mentality yake. Huyu ni mchezaji ambaye unaweza kumtumia katika mifumo mingi. Naamini kocha wa Yanga SC amehusika moja kwa moja na usajili huu “ . JEMEDARI SAID,Mchambuzi CROWN FM.
    Like
    Love
    5
    0 Commenti 0 condivisioni 483 Views
  • MBWA KICHAA NA USIKU WA GIZA

    Ilianza kama usiku wa kawaida kijijini Mavumbi. Watu walikuwa wamejifungia ndani ya nyumba zao baada ya kushuhudia mwezi mwekundu ukipaa angani. Hii ilikuwa ishara ya giza kwa wakazi wa kijiji, maana waliamini mwezi huu huamsha nguvu za viumbe vya kishetani.

    Kamau, mchungaji wa ng'ombe, alikuwa ameachwa na shangazi yake ndani ya kibanda kidogo pembeni ya msitu. Shangazi yake alimuonya kuwa asithubutu kutoka nje, lakini Kamau alikuwa na ujasiri wa kijinga wa kijana wa miaka kumi na sita.

    Akiwa ameketi karibu na moto, Kamau alisikia mlio wa mbali wa mbwa ukisogea karibu. Mlio huo haukuwa wa kawaida – ulikuwa wa kutisha, kama wimbo wa mauti. Kila mbwa kijijini alijulikana, lakini sauti hii haikuwahi kusikika hapo awali.

    Moto ulipoanza kuzima, Kamau alihisi upepo wa ajabu ukipita. Akaona kivuli kikubwa kikimzunguka, na kisha akaona macho mekundu yakimwangalia nje ya dirisha. Mbwa huyo alikuwa mkubwa kuliko mbwa yeyote aliyewahi kumuona, manyoya yake yakiwa yamejaa matope na damu iliyokauka.

    Kamau alishtuka alipogundua kuwa mbwa huyo hakusogea bali alikuwa amesimama pale pale, akitabasamu kwa namna isiyo ya kawaida. Kisha ghafla, mlango wa kibanda ulifunguka bila mtu kuufungua. Mbwa huyo akaingia ndani polepole, miguu yake ikigonga sakafu kwa mlio wa chuma.

    Kamau alijaribu kupiga kelele, lakini sauti yake haikutoka. Mbwa huyo akasema kwa sauti nzito isiyo ya kawaida, "Wewe ni wa mwisho, Kamau. Familia yako yote imeondoka. Sasa, ni zamu yako."

    Akiwa amepooza kwa hofu, Kamau alikumbuka kifaa kimoja cha zamani ambacho shangazi yake alimwambia kilikuwa na nguvu ya kuondoa pepo waovu – kikombe cha mti kilichowekwa chini ya kitanda. Kwa juhudi za mwisho, Kamau alijitupa chini ya kitanda, akakivuta kikombe, na kumwaga maji yaliyokuwa ndani yake kuelekea kwa mbwa huyo.

    Mlio wa maumivu ulitanda kote kibandani, na mwanga wa ajabu ulijaa kila kona. Mbwa huyo alipotea ghafla, akiacha moshi mzito wenye harufu mbaya.

    Kamau alinusurika, lakini hakuwahi tena kuzungumza. Wanasema, kila mwezi mwekundu unapoonekana, mbwa kichaa hurejea kutafuta mwathirika mpya.

    Usiku huu, je, wewe uko tayari?
    MBWA KICHAA NA USIKU WA GIZA Ilianza kama usiku wa kawaida kijijini Mavumbi. Watu walikuwa wamejifungia ndani ya nyumba zao baada ya kushuhudia mwezi mwekundu ukipaa angani. Hii ilikuwa ishara ya giza kwa wakazi wa kijiji, maana waliamini mwezi huu huamsha nguvu za viumbe vya kishetani. Kamau, mchungaji wa ng'ombe, alikuwa ameachwa na shangazi yake ndani ya kibanda kidogo pembeni ya msitu. Shangazi yake alimuonya kuwa asithubutu kutoka nje, lakini Kamau alikuwa na ujasiri wa kijinga wa kijana wa miaka kumi na sita. Akiwa ameketi karibu na moto, Kamau alisikia mlio wa mbali wa mbwa ukisogea karibu. Mlio huo haukuwa wa kawaida – ulikuwa wa kutisha, kama wimbo wa mauti. Kila mbwa kijijini alijulikana, lakini sauti hii haikuwahi kusikika hapo awali. Moto ulipoanza kuzima, Kamau alihisi upepo wa ajabu ukipita. Akaona kivuli kikubwa kikimzunguka, na kisha akaona macho mekundu yakimwangalia nje ya dirisha. Mbwa huyo alikuwa mkubwa kuliko mbwa yeyote aliyewahi kumuona, manyoya yake yakiwa yamejaa matope na damu iliyokauka. Kamau alishtuka alipogundua kuwa mbwa huyo hakusogea bali alikuwa amesimama pale pale, akitabasamu kwa namna isiyo ya kawaida. Kisha ghafla, mlango wa kibanda ulifunguka bila mtu kuufungua. Mbwa huyo akaingia ndani polepole, miguu yake ikigonga sakafu kwa mlio wa chuma. Kamau alijaribu kupiga kelele, lakini sauti yake haikutoka. Mbwa huyo akasema kwa sauti nzito isiyo ya kawaida, "Wewe ni wa mwisho, Kamau. Familia yako yote imeondoka. Sasa, ni zamu yako." Akiwa amepooza kwa hofu, Kamau alikumbuka kifaa kimoja cha zamani ambacho shangazi yake alimwambia kilikuwa na nguvu ya kuondoa pepo waovu – kikombe cha mti kilichowekwa chini ya kitanda. Kwa juhudi za mwisho, Kamau alijitupa chini ya kitanda, akakivuta kikombe, na kumwaga maji yaliyokuwa ndani yake kuelekea kwa mbwa huyo. Mlio wa maumivu ulitanda kote kibandani, na mwanga wa ajabu ulijaa kila kona. Mbwa huyo alipotea ghafla, akiacha moshi mzito wenye harufu mbaya. Kamau alinusurika, lakini hakuwahi tena kuzungumza. Wanasema, kila mwezi mwekundu unapoonekana, mbwa kichaa hurejea kutafuta mwathirika mpya. Usiku huu, je, wewe uko tayari?
    Like
    1
    1 Commenti 0 condivisioni 423 Views
  • Mama John alienda kumuona daktari ambaye ni ***** yake na mazungumzo yao yalikuwa hivi:-

    Mama John: Best mume wangu haniridhishi kabisa kwenye tendo la ndoa kama una dawa yoyote nipatie kabla uzalendo haujanishinda.

    Daktari: Mh sawa kuna dawa hapa wacha nikupatie ukaijaribu (akafungua droo akatoa kikopo kidogo cha dawa) umuwekee shemeji kidonge kimoja kila siku kwenye kinywaji chochote kabla ya tendo.

    Basi Mama John akaondoka na kile kikopo, kweli mume wake aliporudi aliandaa juis akaweka na kidonge kimoja akampa mumewe akanywa. Siku ile walifanya tendo mpaka roho yake ikasuuzika.

    Siku ya pili akaona amuwekee vidonge viwili aone itakuaje, walifanya tendo mara mbili ya jana. Akazidi kufurahi.

    Siku ya tatu akafikiria hivi akimuwekea vidonge vyote vilivyobaki show yake itakuwaje? Mbona daktari ni ***** yake atampatia vingine hata kwa gharama yoyote atavinunua. Mumewe aliporudi akaandaa juisi kama kawaida akavimimina vyote.

    Siku ya nne yule daktari aliamua kumpigia simu baada ya kuona kimya ili apate mrejesho wa ile dawa

    Cha kustaajabisha simu yake ilipokelewa na mtoto wa kiume huku akitweta, ambaye bila shaka ndiye John. Alipouluzwa mama yake yupo wapi ndio akaanza kufunguka...

    "Mama yupo ICU muhimbili, shangazi naye kalazwa hukohuko, dada wa kazi katoroka, mimi mwenyewe hapa mk *** unaniuma vibaya mpaka damu zinatoka"

    Kengele ya hatari ikagonga kichwani kwa daktari akamuuliza baba je yupo wapi? Akajibu

    "Baba yupo huko nje kachanganyikwa yupo uchi uchi anakimbiza kila anayepita huku anaimba ...nataka k*. nataka... k*. mpaka kuku na mbwa wote wanamkimbia kunusuru maisha yao

    @highlight@highlightaPeter Joram
    Mama John alienda kumuona daktari ambaye ni shoga yake na mazungumzo yao yalikuwa hivi:- Mama John: Best mume wangu haniridhishi kabisa kwenye tendo la ndoa kama una dawa yoyote nipatie kabla uzalendo haujanishinda. Daktari: Mh sawa kuna dawa hapa wacha nikupatie ukaijaribu (akafungua droo akatoa kikopo kidogo cha dawa) umuwekee shemeji kidonge kimoja kila siku kwenye kinywaji chochote kabla ya tendo. Basi Mama John akaondoka na kile kikopo, kweli mume wake aliporudi aliandaa juis akaweka na kidonge kimoja akampa mumewe akanywa. Siku ile walifanya tendo mpaka roho yake ikasuuzika. Siku ya pili akaona amuwekee vidonge viwili aone itakuaje, walifanya tendo mara mbili ya jana. Akazidi kufurahi. Siku ya tatu akafikiria hivi akimuwekea vidonge vyote vilivyobaki show yake itakuwaje? Mbona daktari ni shoga yake atampatia vingine hata kwa gharama yoyote atavinunua. Mumewe aliporudi akaandaa juisi kama kawaida akavimimina vyote. Siku ya nne yule daktari aliamua kumpigia simu baada ya kuona kimya ili apate mrejesho wa ile dawa Cha kustaajabisha simu yake ilipokelewa na mtoto wa kiume huku akitweta, ambaye bila shaka ndiye John. Alipouluzwa mama yake yupo wapi ndio akaanza kufunguka... "Mama yupo ICU muhimbili, shangazi naye kalazwa hukohuko, dada wa kazi katoroka, mimi mwenyewe hapa mk *** unaniuma vibaya mpaka damu zinatoka" Kengele ya hatari ikagonga kichwani kwa daktari akamuuliza baba je yupo wapi? Akajibu "Baba yupo huko nje kachanganyikwa yupo uchi uchi anakimbiza kila anayepita huku anaimba ...nataka k*.馃槸 nataka... k*.馃槸 mpaka kuku na mbwa wote wanamkimbia kunusuru maisha yao馃槀馃槀馃槀馃槀馃槀馃槀馃槀馃槀 @highlight@highlightaPeter Joram
    Like
    Love
    Haha
    3
    0 Commenti 0 condivisioni 456 Views
  • Mama John alienda kumuona daktari ambaye ni ***** yake na mazungumzo yao yalikuwa hivi:-

    Mama John: Best mume wangu haniridhishi kabisa kwenye tendo la ndoa kama una dawa yoyote nipatie kabla uzalendo haujanishinda.

    Daktari: Mh sawa kuna dawa hapa wacha nikupatie ukaijaribu (akafungua droo akatoa kikopo kidogo cha dawa) umuwekee shemeji kidonge kimoja kila siku kwenye kinywaji chochote kabla ya tendo.

    Basi Mama John akaondoka na kile kikopo, kweli mume wake aliporudi aliandaa juis akaweka na kidonge kimoja akampa mumewe akanywa. Siku ile walifanya tendo mpaka roho yake ikasuuzika.

    Siku ya pili akaona amuwekee vidonge viwili aone itakuaje, walifanya tendo mara mbili ya jana. Akazidi kufurahi.

    Siku ya tatu akafikiria hivi akimuwekea vidonge vyote vilivyobaki show yake itakuwaje? Mbona daktari ni ***** yake atampatia vingine hata kwa gharama yoyote atavinunua. Mumewe aliporudi akaandaa juisi kama kawaida akavimimina vyote.

    Siku ya nne yule daktari aliamua kumpigia simu baada ya kuona kimya ili apate mrejesho wa ile dawa

    Cha kustaajabisha simu yake ilipokelewa na mtoto wa kiume huku akitweta, ambaye bila shaka ndiye John. Alipouluzwa mama yake yupo wapi ndio akaanza kufunguka...

    "Mama yupo ICU muhimbili, shangazi naye kalazwa hukohuko, dada wa kazi katoroka, mimi mwenyewe hapa mk*nd* unaniuma vibaya mpaka damu zinatoka"

    Kengele ya hatari ikagonga kichwani kwa daktari akamuuliza baba je yupo wapi? Akajibu

    "Baba yupo huko nje kachanganyikwa yupo uchi uchi anakimbiza kila anayepita huku anaimba ...nataka k*ma... nataka... k*ma... mpaka kuku na mbwa wote wanamkimbia kunusuru maisha yao

    Mama John alienda kumuona daktari ambaye ni shoga yake na mazungumzo yao yalikuwa hivi:- Mama John: Best mume wangu haniridhishi kabisa kwenye tendo la ndoa kama una dawa yoyote nipatie kabla uzalendo haujanishinda. Daktari: Mh sawa kuna dawa hapa wacha nikupatie ukaijaribu (akafungua droo akatoa kikopo kidogo cha dawa) umuwekee shemeji kidonge kimoja kila siku kwenye kinywaji chochote kabla ya tendo. Basi Mama John akaondoka na kile kikopo, kweli mume wake aliporudi aliandaa juis akaweka na kidonge kimoja akampa mumewe akanywa. Siku ile walifanya tendo mpaka roho yake ikasuuzika. Siku ya pili akaona amuwekee vidonge viwili aone itakuaje, walifanya tendo mara mbili ya jana. Akazidi kufurahi. Siku ya tatu akafikiria hivi akimuwekea vidonge vyote vilivyobaki show yake itakuwaje? Mbona daktari ni shoga yake atampatia vingine hata kwa gharama yoyote atavinunua. Mumewe aliporudi akaandaa juisi kama kawaida akavimimina vyote. Siku ya nne yule daktari aliamua kumpigia simu baada ya kuona kimya ili apate mrejesho wa ile dawa Cha kustaajabisha simu yake ilipokelewa na mtoto wa kiume huku akitweta, ambaye bila shaka ndiye John. Alipouluzwa mama yake yupo wapi ndio akaanza kufunguka... "Mama yupo ICU muhimbili, shangazi naye kalazwa hukohuko, dada wa kazi katoroka, mimi mwenyewe hapa mk*nd* unaniuma vibaya mpaka damu zinatoka" Kengele ya hatari ikagonga kichwani kwa daktari akamuuliza baba je yupo wapi? Akajibu "Baba yupo huko nje kachanganyikwa yupo uchi uchi anakimbiza kila anayepita huku anaimba ...nataka k*ma... nataka... k*ma... mpaka kuku na mbwa wote wanamkimbia kunusuru maisha yao馃槀馃槀馃槀馃槀馃槀馃槀馃槀馃槀
    Like
    Yay
    2
    1 Commenti 0 condivisioni 461 Views
  • TAFADHALI KUWA NA HURUMA...

    Sio sawa kabisa kuingia katika mahusiano na mtu na kumfanya atengeneze hisia za kukupenda wewe, kumfanya mtu aamini kuwa wewe ni wa tofauti na wale wote ambao wamekwisha muumiza kihisia hapo mwanzo.

    Anakuamini na anakukabidhi moyo, mapenzi na mwili wake, anakutegemea wewe, anapanga kesho yake pamoja na wewe, ana sucrifice kile kidogo alicho nacho kwa ajili yako.

    Anajivunia kuwa na wewe kiasi cha kukutambulisha kwa familia yake na marafiki zake wote wa mbali na wa karibu, anabadilisha tabia yake kwa ajili yako, anaacha tabia zake fulani kwa ajili yako.

    Muda mwingine anapoteza kazi fulani kukufuata wewe huko unakoishi kwa ajili ya wewe, anakuwa na maadui kwa ajili yako na anatukanwa na watu kwa ajili yako.

    Wewe kwa ujinga wako au kwa ujinga juu ya jambo la kipumbavu, unamuacha yeye au unamtelekeza au unamuumiza kihisia, haumpendi tena. Unasahau ni yepi amepitia au mlipitia pamoja. Umesahau ahadi nono ulizomueleza hapo mwanzo, umesahau kila kitu kabisa

    Unaanza kumuona ni mpumbavu na ni mbaya kiasi gani, unaanza kumuita majina ya ajabu ajabu na kumtukana matusi ya nguoni, unakana mbele yake na kumwambia watoto si wako

    Sio sawa ndugu yangu, inaumiza mno, ni maumivu makali sana moyoni, moyo unavuja damu, maumivu hayaponi kirahisi. Unaweza kuwa umefanya hivyo kwa kuwa na wewe ulifanyiwa hivyo kipindi cha nyuma na watu wengine ila sio busara kumfanyia mwenzako ambae hana hatia.

    Unaweza ukachukulia kama ni mchezo fulani. Ila amini me nakwambia MUNGU hana furaha na hicho ulichokifanya na wewe pia.

    Tafadhali sana nimejifunza kamwe usimfanye mtu akupende katika mahusiano wakati unajua kwamba haumpendi na hautadumu nae siku zote. Kamwe usimpumbaze mtu au kumtumia kwa faida zako.

    Kuwa na huruma na huo moyo wa mpenzi wako uliojaa mapenzi na ambao hauna hatia masikini ya Mungu. Bila shaka unanisoma hapa, nenda ukamwambie ukweli kuhusu mustakabari wa mahusiano yenu. Nenda tafadhali, mueleze ukweli! Usimfiche, usiendelee kumdanganya na kumpa ahadi kedekede wakati unaona kabisa hilo jambo haliwzekani.!

    Onyesha hekima yako angalau mara moja tu sasa hivi na Mungu atakubariki. Natoa Pole kwa Wanawake na Wanaume wanaopitia wakati mgumu katika mahusiano yao...

    Dah inauma sana....!
    TAFADHALI KUWA NA HURUMA... Sio sawa kabisa kuingia katika mahusiano na mtu na kumfanya atengeneze hisia za kukupenda wewe, kumfanya mtu aamini kuwa wewe ni wa tofauti na wale wote ambao wamekwisha muumiza kihisia hapo mwanzo. Anakuamini na anakukabidhi moyo, mapenzi na mwili wake, anakutegemea wewe, anapanga kesho yake pamoja na wewe, ana sucrifice kile kidogo alicho nacho kwa ajili yako. Anajivunia kuwa na wewe kiasi cha kukutambulisha kwa familia yake na marafiki zake wote wa mbali na wa karibu, anabadilisha tabia yake kwa ajili yako, anaacha tabia zake fulani kwa ajili yako. Muda mwingine anapoteza kazi fulani kukufuata wewe huko unakoishi kwa ajili ya wewe, anakuwa na maadui kwa ajili yako na anatukanwa na watu kwa ajili yako. Wewe kwa ujinga wako au kwa ujinga juu ya jambo la kipumbavu, unamuacha yeye au unamtelekeza au unamuumiza kihisia, haumpendi tena. Unasahau ni yepi amepitia au mlipitia pamoja. Umesahau ahadi nono ulizomueleza hapo mwanzo, umesahau kila kitu kabisa Unaanza kumuona ni mpumbavu na ni mbaya kiasi gani, unaanza kumuita majina ya ajabu ajabu na kumtukana matusi ya nguoni, unakana mbele yake na kumwambia watoto si wako Sio sawa ndugu yangu, inaumiza mno, ni maumivu makali sana moyoni, moyo unavuja damu, maumivu hayaponi kirahisi. Unaweza kuwa umefanya hivyo kwa kuwa na wewe ulifanyiwa hivyo kipindi cha nyuma na watu wengine ila sio busara kumfanyia mwenzako ambae hana hatia. Unaweza ukachukulia kama ni mchezo fulani. Ila amini me nakwambia MUNGU hana furaha na hicho ulichokifanya na wewe pia. Tafadhali sana nimejifunza kamwe usimfanye mtu akupende katika mahusiano wakati unajua kwamba haumpendi na hautadumu nae siku zote. Kamwe usimpumbaze mtu au kumtumia kwa faida zako. Kuwa na huruma na huo moyo wa mpenzi wako uliojaa mapenzi na ambao hauna hatia masikini ya Mungu. Bila shaka unanisoma hapa, nenda ukamwambie ukweli kuhusu mustakabari wa mahusiano yenu. Nenda tafadhali, mueleze ukweli! Usimfiche, usiendelee kumdanganya na kumpa ahadi kedekede wakati unaona kabisa hilo jambo haliwzekani.! Onyesha hekima yako angalau mara moja tu sasa hivi na Mungu atakubariki. Natoa Pole kwa Wanawake na Wanaume wanaopitia wakati mgumu katika mahusiano yao... Dah inauma sana....!
    0 Commenti 0 condivisioni 468 Views

  • KAMA UNAELEWA SAYANSI YA MPIRA UTAMUELEWA FADLU, SIMBA YA JANA

    Sayansi ya mpira inasema kabla ya mechi msome sana mpinzani, wazungu wanaita game guiding, lakini pia wakati wa mchezo, ile mechi inaanza tu shika peni na karatasi noti vitu muhimu kwa mpinzani, amekuja kujaje.

    Itasaidia kukupa ABC kudili naye, kutambua ulipo ubora wake & ulipo udhaifu wake. Unaweza kuvunja mitego yake, vunja. Kuna eneo yeye ni bora sana, wewe boresha ilipo nguvu yako kwa lengo la kuudhibiti ubora wake.

    Davids Fadlu kaichukua Simba ambapo moja kati ya eneo lilikuwa linavuja sana ni safu ya ulinzi. Kutoruhusu goli mechi mbili za Ligi Kuu NBC haiwezi kutumika kama guarantee ya kwenda kujilipua ugenini mchezo wa CAF mtoano mbele ya Waarabu.

    Nidhamu ya kwanza ya kimbinu kama mpango kazi, inakulazimu plan A iwe ni kuziba mianya kwa namba kubwa. Sio tena kazi ya mabeki pekee hiyo bali kazi ya timu. System ni mid-block.

    Ilikuwa ni rahisi kumuona mtu kama deep playmaker Deborah Fernandes Mavambo akicheza zaidi chini kuliko ilivyozoeleka. Game Aproach ilimhitaji acheze hivyo.

    Plan A ya kuzima mashambulizi ya mpinzani ilitiki, Plan B ya counter attack ikakataa.Mutale&Balua wakimezwa. Kwenye football kawaida inatokea, kimoja kukubali, kingine kukataa.

    Take away:Bora nusu kitu kuliko kukosa kabisa.
    #paulswai
    KAMA UNAELEWA SAYANSI YA MPIRA UTAMUELEWA FADLU, SIMBA YA JANA Sayansi ya mpira inasema kabla ya mechi msome sana mpinzani, wazungu wanaita game guiding, lakini pia wakati wa mchezo, ile mechi inaanza tu shika peni na karatasi noti vitu muhimu kwa mpinzani, amekuja kujaje. Itasaidia kukupa ABC kudili naye, kutambua ulipo ubora wake & ulipo udhaifu wake. Unaweza kuvunja mitego yake, vunja. Kuna eneo yeye ni bora sana, wewe boresha ilipo nguvu yako kwa lengo la kuudhibiti ubora wake. Davids Fadlu kaichukua Simba ambapo moja kati ya eneo lilikuwa linavuja sana ni safu ya ulinzi. Kutoruhusu goli mechi mbili za Ligi Kuu NBC haiwezi kutumika kama guarantee ya kwenda kujilipua ugenini mchezo wa CAF mtoano mbele ya Waarabu. Nidhamu ya kwanza ya kimbinu kama mpango kazi, inakulazimu plan A iwe ni kuziba mianya kwa namba kubwa. Sio tena kazi ya mabeki pekee hiyo bali kazi ya timu. System ni mid-block. Ilikuwa ni rahisi kumuona mtu kama deep playmaker Deborah Fernandes Mavambo akicheza zaidi chini kuliko ilivyozoeleka. Game Aproach ilimhitaji acheze hivyo. Plan A ya kuzima mashambulizi ya mpinzani ilitiki, Plan B ya counter attack ikakataa.Mutale&Balua wakimezwa. Kwenye football kawaida inatokea, kimoja kukubali, kingine kukataa. Take away:Bora nusu kitu kuliko kukosa kabisa. #paulswai
    Like
    1
    0 Commenti 0 condivisioni 729 Views
  • .NANI ALIYEMLETA MZIZE YANGA?

    Watu wengi wamekuwa na swali la nani Aliyemleta clement mzinze katika familia ya Yanga, Apa unamzungumzia mchezaji kinda anayeumiza vichwa vya club nyingi Barani Africa na ulaya vikitaka kufanya kazi nayeye baada yakuona Ana kitu ktk miguu yake

    Dr Mshindo Msola Alitembelea Tawi la yanga KILOLO Iringa na vijana kutoka Tawi ilo walipiga magoti nakumuomba dr msolwa Aondoke na clement mzinze wakiamin Dogo Anaubonda sana but Ana conection pale kilolo hivyo kutoboa ni ngumu, ,

    Dr msola Alikubali nakufanya Taratibu mzinze alipanda gali hadi jangwani na Baadae akapelekwa yanga B aliupiga mwingi kiasi chakumshtua mwinyi zahera, Ambaye Alibahatika kumuona live clement mzinze akicheza mpira ndani ya Yanga B, Mwinyi zahera Aliuomba uongozi wa Yanga umpige mkopo katika timu ya ligi kuu clement mzinze ili Aweze kuimalika zaidi,hali hii iliushtua uongozi wa Yanga Nakuanza kufatilia mazoezi ya Yanga B, kuna mtu maalum Alitumwa kufatilia kwaumakin, Ripoti ya mzinze iliposomwa na jopo la wataalamu ndani ya Yanga Africa, jibu likawa moja Mzinze asipigwe mkopo Apandishwe timu kubwa, ,

    Asante Dr mshindo msola kwa busala zako ktk kuibua vipaji,
    .NANI ALIYEMLETA MZIZE YANGA? Watu wengi wamekuwa na swali la nani Aliyemleta clement mzinze katika familia ya Yanga, Apa unamzungumzia mchezaji kinda anayeumiza vichwa vya club nyingi Barani Africa na ulaya vikitaka kufanya kazi nayeye baada yakuona Ana kitu ktk miguu yake Dr Mshindo Msola Alitembelea Tawi la yanga KILOLO Iringa na vijana kutoka Tawi ilo walipiga magoti nakumuomba dr msolwa Aondoke na clement mzinze wakiamin Dogo Anaubonda sana but Ana conection pale kilolo hivyo kutoboa ni ngumu, , Dr msola Alikubali nakufanya Taratibu mzinze alipanda gali hadi jangwani na Baadae akapelekwa yanga B aliupiga mwingi kiasi chakumshtua mwinyi zahera, Ambaye Alibahatika kumuona live clement mzinze akicheza mpira ndani ya Yanga B, Mwinyi zahera Aliuomba uongozi wa Yanga umpige mkopo katika timu ya ligi kuu clement mzinze ili Aweze kuimalika zaidi,hali hii iliushtua uongozi wa Yanga Nakuanza kufatilia mazoezi ya Yanga B, kuna mtu maalum Alitumwa kufatilia kwaumakin, Ripoti ya mzinze iliposomwa na jopo la wataalamu ndani ya Yanga Africa, jibu likawa moja Mzinze asipigwe mkopo Apandishwe timu kubwa, , Asante Dr mshindo msola kwa busala zako ktk kuibua vipaji,
    Like
    2
    0 Commenti 0 condivisioni 371 Views
  • TAFAKARI :

    Kulikuwa na Mwalimu mmoja aliyezoea kumchapa viboko mwanafunzi mmoja mchelewaji shuleni, Mwanafunzi huyo alikuwa ni mtoto wa kimasikini pia mpole sana na mwenye huruma na alikuwa akiishi eneo lenye umbali kiasi mpaka kufika shuleni, kwa hivyo Mwanafunzi yule takriban miaka 3 alikuwa akichelewa kipindi cha kwanza kila siku. Kwa hiyo siku ambazo Mwalimu huyo alikuwa na kipindi cha kwanza darasani kwao Mwanafunzi huyo alikuwa anachapwa kwanza kabla ya kuingia darasani. Hali hii iliendelea kwa muda mrefu, jambo la kushangaza wiki moja ilipita bila yule mwanafunzi kuonekana kabisa shuleni!

    Wiki ililoyofuata yule Mwanafunzi alifika shuleni mapema kabla ya Mwanafunzi mwingine yeyote. Mwalimu yule alishangaa sana alipomwona alifurahi sana alipoingia Darasani alimwita na kumsifia sana mbele ya Darasa kabla ya kumuuliza jambo lo lote.

    "Mwalimu akamwambia yule Mwanafunzi hebu simama akatii amri ya Mwalimu wake akasimama, Mwalimu akawaambia wanafunzi wenzake wampigie makofi kwa sababu leo kawa wa kwanza kufika shuleni. Mwalim akasema kumbe zile fimbo ninazomchapa zimesaidia sana eeeeenh?"

    Wanafunzi walipiga makofi huku wengine wakimcheka na kumdhihaki. Baada ya dakika kadhaa yule Mwanafunzi akamwomba Mwalimu ampe nafasi aseme jambo kidogo ili wapate kujua ni nini anataka kuwaelezea, Mwalimu akamruhusu huku akiwa amemkodolea macho haya tuambie.

    "Kwanza akawaomba radhi kwa kusema Mwalimu pamoja na wanafunzi wenzangu nyote kwa jumla, nakuombeni unisamehe iwapo nilikuwa nikiwaudhi kwa sababu siku zote nilizokuwa nikichelewa kufika shuleni nilikuwa namuuguza Mama yangu mzazi. Baba yangu alifariki kabla sijazaliwa, kwa hivyo sikujaaliwa kumuona nililelewa na Mama yangu tu naye alitengwa na ndugu kutokana na ufukara kwa hakika unyonge ni kitu kibaya sana simjui ndugu ye yote, Mama yangu alipopatwa na Maradhi tulimpeleka hospitalini Mimi ni jirani zetu lakini maradhi yake hayakuonekana. Akaruhusiwa kurudi nyumbani akiwa na Dawa za kutuliza maumivu tu." Kwa sababu hatukuwa na pesa sikuweza kumpeleka popote kwa vipimo zaidi."

    Mara akafuta machozi yaliyoanza kumtiririka kwa wingi mashavuni, na akasema kwa unyonge ewe Mwalimu wangu pamoja na wanafunzi wenzangu.

    "Kwa hivyo kila siku nilitakiwa kufanya usafi wa nyumba kuchota maji, kumsafisha Mama yangu pamoja na kumstiri, kumwandalia chakula chake kabla ya kuondoka kuja hapa shuleni na kazi zingine zote." Akanyamaza kidogo kwa uchungu."

    "Na sikitika kusema leo hii nimewahi kuja Shuleni kwa sababu Mama yangu alifariki wiki moja iliyopita ambayo sikuonekana shuleni nilikuwa nikimalizia msiba wa Mama yangu. Yote ndio mipango yake Mwenyezi Mungu kwa hiyo kilichokuwa kinanichelewesha kimeondoka ndio maana leo nimewahi kufika mapema shuleni."

    Hakuweza kuongea tena kutokana na uchungu, akakaa taratibu kitini huku akilia kwa kwikwi

    Hatimae Darasa zima nalo liligeuka mahala pa msiba kila mmoja akilia pamoja na Mwalimu wao, huku wakimpa pole na kumuomba msamaha kwa jinsi walivyokuwa wakimdhihaki. Naye akawaambia nimekusameheni kwa moyo safi kabisa.

    WITO:

    Msiharakishe kuadhibu wenzenu bila kuwapa nafasi ya kujieleza, sababu huwezi kujua jambo gani linalowasibu bila kuwapa fursa ya kujielezea au kukwambia ili upatikane ufumbuzi wa tatizo.

    Unapo muona mwenzako hayupo sawa kifikra, kiafya, au jambo lo lote muulize kwanza kabla ya kuanza kumshutumu.

    Tunamuomba Mwenyezi Mungu atujalie tuwe ni wenye kupendana, kuuliza na kusaidiana kwa kila jambo.
    TAFAKARI : Kulikuwa na Mwalimu mmoja aliyezoea kumchapa viboko mwanafunzi mmoja mchelewaji shuleni, Mwanafunzi huyo alikuwa ni mtoto wa kimasikini pia mpole sana na mwenye huruma na alikuwa akiishi eneo lenye umbali kiasi mpaka kufika shuleni, kwa hivyo Mwanafunzi yule takriban miaka 3 alikuwa akichelewa kipindi cha kwanza kila siku. Kwa hiyo siku ambazo Mwalimu huyo alikuwa na kipindi cha kwanza darasani kwao Mwanafunzi huyo alikuwa anachapwa kwanza kabla ya kuingia darasani. Hali hii iliendelea kwa muda mrefu, jambo la kushangaza wiki moja ilipita bila yule mwanafunzi kuonekana kabisa shuleni! Wiki ililoyofuata yule Mwanafunzi alifika shuleni mapema kabla ya Mwanafunzi mwingine yeyote. Mwalimu yule alishangaa sana alipomwona alifurahi sana alipoingia Darasani alimwita na kumsifia sana mbele ya Darasa kabla ya kumuuliza jambo lo lote. "Mwalimu akamwambia yule Mwanafunzi hebu simama akatii amri ya Mwalimu wake akasimama, Mwalimu akawaambia wanafunzi wenzake wampigie makofi kwa sababu leo kawa wa kwanza kufika shuleni. Mwalim akasema kumbe zile fimbo ninazomchapa zimesaidia sana eeeeenh?" Wanafunzi walipiga makofi huku wengine wakimcheka na kumdhihaki. Baada ya dakika kadhaa yule Mwanafunzi akamwomba Mwalimu ampe nafasi aseme jambo kidogo ili wapate kujua ni nini anataka kuwaelezea, Mwalimu akamruhusu huku akiwa amemkodolea macho haya tuambie. "Kwanza akawaomba radhi kwa kusema Mwalimu pamoja na wanafunzi wenzangu nyote kwa jumla, nakuombeni unisamehe iwapo nilikuwa nikiwaudhi kwa sababu siku zote nilizokuwa nikichelewa kufika shuleni nilikuwa namuuguza Mama yangu mzazi. Baba yangu alifariki kabla sijazaliwa, kwa hivyo sikujaaliwa kumuona nililelewa na Mama yangu tu naye alitengwa na ndugu kutokana na ufukara kwa hakika unyonge ni kitu kibaya sana simjui ndugu ye yote, Mama yangu alipopatwa na Maradhi tulimpeleka hospitalini Mimi ni jirani zetu lakini maradhi yake hayakuonekana. Akaruhusiwa kurudi nyumbani akiwa na Dawa za kutuliza maumivu tu." Kwa sababu hatukuwa na pesa sikuweza kumpeleka popote kwa vipimo zaidi." Mara akafuta machozi yaliyoanza kumtiririka kwa wingi mashavuni, na akasema kwa unyonge ewe Mwalimu wangu pamoja na wanafunzi wenzangu. "Kwa hivyo kila siku nilitakiwa kufanya usafi wa nyumba kuchota maji, kumsafisha Mama yangu pamoja na kumstiri, kumwandalia chakula chake kabla ya kuondoka kuja hapa shuleni na kazi zingine zote." Akanyamaza kidogo kwa uchungu." "Na sikitika kusema leo hii nimewahi kuja Shuleni kwa sababu Mama yangu alifariki wiki moja iliyopita ambayo sikuonekana shuleni nilikuwa nikimalizia msiba wa Mama yangu. Yote ndio mipango yake Mwenyezi Mungu kwa hiyo kilichokuwa kinanichelewesha kimeondoka ndio maana leo nimewahi kufika mapema shuleni." Hakuweza kuongea tena kutokana na uchungu, akakaa taratibu kitini huku akilia kwa kwikwi Hatimae Darasa zima nalo liligeuka mahala pa msiba kila mmoja akilia pamoja na Mwalimu wao, huku wakimpa pole na kumuomba msamaha kwa jinsi walivyokuwa wakimdhihaki. Naye akawaambia nimekusameheni kwa moyo safi kabisa. WITO: Msiharakishe kuadhibu wenzenu bila kuwapa nafasi ya kujieleza, sababu huwezi kujua jambo gani linalowasibu bila kuwapa fursa ya kujielezea au kukwambia ili upatikane ufumbuzi wa tatizo. Unapo muona mwenzako hayupo sawa kifikra, kiafya, au jambo lo lote muulize kwanza kabla ya kuanza kumshutumu. Tunamuomba Mwenyezi Mungu atujalie tuwe ni wenye kupendana, kuuliza na kusaidiana kwa kila jambo.
    Like
    3
    0 Commenti 0 condivisioni 842 Views
  • Naam dhambi zijapo nikabili na dunia #Kuniteka//

    Ntarudi msalabani neno nitaubiri watenda dhambi #Watanicheka//

    Wataona kama utani ntapost somo mtandaoni wengi #Watafoka
    Maandiko ya zaburi ntatoa ubaoni wakristo wenye viburi kwenye kipindi #Watatoka
    Bila ya kutaka ushauri wao na vileo wakipokezana #Bilauri
    Watasahau alieuawa kwa kombeo alidharau na kujawa #Kiburi
    Naamini Mungu yupo japo sijawai #Kumuona
    Soma bible upate michapo ilivyo teketea #Sodoma
    Nyakati mbaya zaja kila mmoja kwa mshtuko atabanwa na #Haja
    Guest zitafunguka bila funguo atatoa majibu alie datishwa na #Paja
    Naam dhambi zijapo nikabili na dunia #Kuniteka// Ntarudi msalabani neno nitaubiri watenda dhambi #Watanicheka// Wataona kama utani ntapost somo mtandaoni wengi #Watafoka Maandiko ya zaburi ntatoa ubaoni wakristo wenye viburi kwenye kipindi #Watatoka Bila ya kutaka ushauri wao na vileo wakipokezana #Bilauri Watasahau alieuawa kwa kombeo alidharau na kujawa #Kiburi Naamini Mungu yupo japo sijawai #Kumuona Soma bible upate michapo ilivyo teketea #Sodoma Nyakati mbaya zaja kila mmoja kwa mshtuko atabanwa na #Haja Guest zitafunguka bila funguo atatoa majibu alie datishwa na #Paja
    0 Commenti 0 condivisioni 1K Views
  • Mzee william anafanya kazi katika kampuni inayohusika na maswala ya bima na kila siku huwa anatumia usafiri wa train anapoenda kazini na kurudi nyumbani

    lakini siku moja inageuka chungu kwake baada ya kufukuzwa kazi bila sababu ya msingi na bosi wake,kwa uchungu anaingia katika train ambayo huwa anapanda kilasiku ili kurudi nyumbani .

    ndani ya train anakutana na mama mmoja wa makamo ambae hajawahi kumuona ktk hiyo train aliyozowea kupanda kilasiku, mama alisogea katika siti ya Mzee william na kuanza kupiga story mbalimbali, story zilipo noga akamwambia Mzee william kwamba anampa kiasi cha dola elfu 25 kwa sharti la kumfanyia kazi ya kumtafuta mtu mmoja ndani ya train ambaye ana mzigo wake lakini hamwambii huyo mtu yupoje lakini anachomwambia ni kwamba mtu huyo ana begi tu leusi

    Mzee anachukulia suala Hilo la kupata Hela kimseleleko kama masihara hivi, ila huyo mama anamwambia Mzee william akitaka kuamini aende katika bafu la treni kuna sehemu ataikuta hiyo hela na akimaliza kazi nzima atapewa tena dolla elfu 75(mamilion yakutosha) , jamaa anaenda bafuni anakuta kweli Kuna dola elf 25

    Wazo likamjia la kutoka ndani ya train na kukimbia na hela Dola elf 25 bila kufanya kazi aliyopewa, lakini wakati anataka kutoka ndani train akakutana na mtu akampa bahasha ina pete ya mke wakehiyo ni kama onyo kwamba wanamjua na wanaweza kufanya chochote kwa mke wake hivyo inabidi arudi ndani ya train aendelee na kazi.kisanga ni namna ya kumpata huyo mtu , kwa nn anatafutwa na hilo begi lina nn !!!!!?

    utamu wa movie unaanzaia hapaMzee alizunguka train nzima kumtafuta huyo mtu ambae hajukikani ni mwanamke au mwanaume,too bad watu wenye mabegi meusi Wapo wengimpaka ilifika kipindi anaonekana kama gaidi

    Ila Muongozo aliopewa ni kwamba mtu huyo anayepaswa kumtafuta ni mtu ambae hajawahi kupanda hiyo train kwa hiyo akawa anaangalia mtu mmoja mmoja ambaye hajawahi kumuona ktk hiyo train , kuwafuatilia na kuwahoji kimitego mitego mpaka wakawa wanaingiwa na mashaka juu yake. Tambara linaitwa THE COMMUTER.
    Mzee william anafanya kazi katika kampuni inayohusika na maswala ya bima na kila siku huwa anatumia usafiri wa train anapoenda kazini na kurudi nyumbani lakini siku moja inageuka chungu kwake baada ya kufukuzwa kazi bila sababu ya msingi na bosi wake,kwa uchungu anaingia katika train ambayo huwa anapanda kilasiku ili kurudi nyumbani . ndani ya train anakutana na mama mmoja wa makamo ambae hajawahi kumuona ktk hiyo train aliyozowea kupanda kilasiku, mama alisogea katika siti ya Mzee william na kuanza kupiga story mbalimbali, story zilipo noga akamwambia Mzee william kwamba anampa kiasi cha dola elfu 25 kwa sharti la kumfanyia kazi ya kumtafuta mtu mmoja ndani ya train ambaye ana mzigo wake lakini hamwambii huyo mtu yupoje lakini anachomwambia ni kwamba mtu huyo ana begi tu leusi馃ぃ Mzee anachukulia suala Hilo la kupata Hela kimseleleko kama masihara hivi, ila huyo mama anamwambia Mzee william akitaka kuamini aende katika bafu la treni kuna sehemu ataikuta hiyo hela na akimaliza kazi nzima atapewa tena dolla elfu 75(mamilion yakutosha) , jamaa anaenda bafuni anakuta kweli Kuna dola elf 25馃槏 Wazo likamjia la kutoka ndani ya train na kukimbia na hela Dola elf 25 bila kufanya kazi aliyopewa, lakini wakati anataka kutoka ndani train akakutana na mtu akampa bahasha ina pete ya mke wake馃hiyo ni kama onyo kwamba wanamjua na wanaweza kufanya chochote kwa mke wake hivyo inabidi arudi ndani ya train aendelee na kazi.kisanga ni namna ya kumpata huyo mtu , kwa nn anatafutwa na hilo begi lina nn !!!!!? utamu wa movie unaanzaia hapa馃憠Mzee alizunguka train nzima kumtafuta huyo mtu ambae hajukikani ni mwanamke au mwanaume,too bad watu wenye mabegi meusi Wapo wengi馃mpaka ilifika kipindi anaonekana kama gaidi Ila Muongozo aliopewa ni kwamba mtu huyo anayepaswa kumtafuta ni mtu ambae hajawahi kupanda hiyo train kwa hiyo akawa anaangalia mtu mmoja mmoja ambaye hajawahi kumuona ktk hiyo train , kuwafuatilia na kuwahoji kimitego mitego mpaka wakawa wanaingiwa na mashaka juu yake. Tambara linaitwa THE COMMUTER.
    Like
    Love
    6
    2 Commenti 0 condivisioni 630 Views
  • Pep Guardiola kuhusu Kompany kukaribia kusaini Bayern:

    "Haijalishi kama alishuka daraja na Burnley".

    "Nina maoni ya juu kuhusu kazi yake, kama mtu, haiba yake, ujuzi wa mchezo, jinsi anavyoshughulikia vyombo vya habari ... Ningefurahi kumuona Kompany akiwa Bayern".

    #Sportsview
    Pep Guardiola kuhusu Kompany kukaribia kusaini Bayern: "Haijalishi kama alishuka daraja na Burnley". "Nina maoni ya juu kuhusu kazi yake, kama mtu, haiba yake, ujuzi wa mchezo, jinsi anavyoshughulikia vyombo vya habari ... Ningefurahi kumuona Kompany akiwa Bayern". #Sportsview
    Like
    Love
    Yay
    5
    2 Commenti 0 condivisioni 547 Views
Pagine in Evidenza