Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Αναζήτηση
Δημοσιεύσεις
Blogs
Χρήστες
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-30 19:55:44 ·
    Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigeria, Victor Boniface, anayeichezea Bayer Leverkusen ya Ujerumani, ameachana na mpenzi wake, Rikke Hermine, raia wa Norway. Wawili hao walikuwa katika uhusiano wa kimapenzi kwa miaka minne, lakini wameamua kuvunja uhusiano wao kutokana na kugundua kuwa Victor kwenye mali zake ameandika majina ya mama yake tu.

    Chanzo cha habari kinaeleza kuwa uamuzi wa Rikke kuachana na Victor ulitokana na kugundua kuwa katika mali zote za mshambuliaji huyo, majina ya mama yake mzazi pekee ndiyo yaliyoandikwa. Hali hii ilimfanya Rikke kuhisi kuwa hakuwa na nafasi ya kutosha katika maisha ya Victor, jambo lililomfanya kuchukua hatua hiyo.

    Aidha, inadaiwa kuwa Rikke alikuwa akishinikiza kufunga ndoa baada ya kuwa wapenzi kwa muda mrefu, huku Victor akiwa tayari kufunga naye ndoa lakini kwa sharti la kusaini mkataba wa awali (prenup).

    Prenup ni Mkataba wa awali kabla ya kufunga ndoa ambao unalenga kulinda mali za pande zote mbili endapo itatokea mkaachana kila mmoja anabaki na alichokuja nacho katika ndoa na sio kugawana mali, ila bibie Rikkie amekuwa mgumu kukubali hilo hivyo kuachana

    #tanzania #kenya #daressalaam #africa #zanzibar #diamondplatnumz #arusha #mwanza #dodoma #uganda #wcb #travel #life #safari #wasafi #love #millardayoupdates #mbeya #nairobi #harmonize #rwanda #eastafrica #kilimanjaro #alikiba #gainwithmchina #serengeti #wasafitv #fashion #wasafimedia #wemasepetu
    Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigeria, Victor Boniface, anayeichezea Bayer Leverkusen ya Ujerumani, ameachana na mpenzi wake, Rikke Hermine, raia wa Norway. Wawili hao walikuwa katika uhusiano wa kimapenzi kwa miaka minne, lakini wameamua kuvunja uhusiano wao kutokana na kugundua kuwa Victor kwenye mali zake ameandika majina ya mama yake tu. Chanzo cha habari kinaeleza kuwa uamuzi wa Rikke kuachana na Victor ulitokana na kugundua kuwa katika mali zote za mshambuliaji huyo, majina ya mama yake mzazi pekee ndiyo yaliyoandikwa. Hali hii ilimfanya Rikke kuhisi kuwa hakuwa na nafasi ya kutosha katika maisha ya Victor, jambo lililomfanya kuchukua hatua hiyo. Aidha, inadaiwa kuwa Rikke alikuwa akishinikiza kufunga ndoa baada ya kuwa wapenzi kwa muda mrefu, huku Victor akiwa tayari kufunga naye ndoa lakini kwa sharti la kusaini mkataba wa awali (prenup). Prenup ni Mkataba wa awali kabla ya kufunga ndoa ambao unalenga kulinda mali za pande zote mbili endapo itatokea mkaachana kila mmoja anabaki na alichokuja nacho katika ndoa na sio kugawana mali, ila bibie Rikkie amekuwa mgumu kukubali hilo hivyo kuachana #tanzania #kenya #daressalaam #africa #zanzibar #diamondplatnumz #arusha #mwanza #dodoma #uganda #wcb #travel #life #safari #wasafi #love #millardayoupdates #mbeya #nairobi #harmonize #rwanda #eastafrica #kilimanjaro #alikiba #gainwithmchina #serengeti #wasafitv #fashion #wasafimedia #wemasepetu
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·3χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-30 19:54:59 ·
    #JeWajua Msako mkali wa wahamiaji uliofanyika nchini Marekani siku ya Jumapili na kusababisha kukamatwa kwa watu 956, idadi hiyo ikiwa kubwa zaidi tangu Donald Trump arejee mamlakani, kulingana na shirika la Uhamiaji na Utekelezaji wa Forodha (ICE).

    Mashirika kadhaa ya serikali yenye mamlaka mapya ya kuwaweka kizuizini wasio na vibali yalihusika katika kamata kamata hiyo kwenye miji kadhaa ikiwa ni pamoja na Chicago, Newark na Miami. Moja ya ahadi alizotoa Donald Trump wakati wa kampeni yake, ni kuwafukuza nchi Marekani wahamiaji wasio na vibali.

    Mtangulizi wake Joe Biden aliwarejesha makwao wastani wa wahamiaji 311 kila siku, kulingana na ICE, wengi wao wakiwa watu ambao walikuwa wamefanya uhalifu. Tangu aingie madarakani, Trump ametekeleza maagizo 21 kurekebisha mfumo wa uhamiaji wa Marekani.

    Huko Miami siku ya Jumapili, vyombo vya kutekeleza sheria vya serikali vilichukua "hatua kadhaa za uhamiaji," Uchunguzi wa Usalama wa jiji hilo ulisema kwenye mitandao ya kijamii.

    #tanzania #kenya #daressalaam #africa #zanzibar #diamondplatnumz #arusha #mwanza #dodoma #uganda #wcb #travel #life #safari #wasafi #love #millardayoupdates #mbeya #nairobi #harmonize #rwanda #eastafrica #kilimanjaro #alikiba #gainwithmchina #serengeti #wasafitv #fashion #wasafimedia
    #JeWajua Msako mkali wa wahamiaji uliofanyika nchini Marekani siku ya Jumapili na kusababisha kukamatwa kwa watu 956, idadi hiyo ikiwa kubwa zaidi tangu Donald Trump arejee mamlakani, kulingana na shirika la Uhamiaji na Utekelezaji wa Forodha (ICE). Mashirika kadhaa ya serikali yenye mamlaka mapya ya kuwaweka kizuizini wasio na vibali yalihusika katika kamata kamata hiyo kwenye miji kadhaa ikiwa ni pamoja na Chicago, Newark na Miami. Moja ya ahadi alizotoa Donald Trump wakati wa kampeni yake, ni kuwafukuza nchi Marekani wahamiaji wasio na vibali. Mtangulizi wake Joe Biden aliwarejesha makwao wastani wa wahamiaji 311 kila siku, kulingana na ICE, wengi wao wakiwa watu ambao walikuwa wamefanya uhalifu. Tangu aingie madarakani, Trump ametekeleza maagizo 21 kurekebisha mfumo wa uhamiaji wa Marekani. Huko Miami siku ya Jumapili, vyombo vya kutekeleza sheria vya serikali vilichukua "hatua kadhaa za uhamiaji," Uchunguzi wa Usalama wa jiji hilo ulisema kwenye mitandao ya kijamii. #tanzania #kenya #daressalaam #africa #zanzibar #diamondplatnumz #arusha #mwanza #dodoma #uganda #wcb #travel #life #safari #wasafi #love #millardayoupdates #mbeya #nairobi #harmonize #rwanda #eastafrica #kilimanjaro #alikiba #gainwithmchina #serengeti #wasafitv #fashion #wasafimedia
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·3χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Mofokeng Elvis @Kas11 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-29 11:16:13 ·
    sokoine mbeya
    sokoine mbeya
    Love
    1
    · 2 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·399 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Kelvin John @Jumae πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-29 10:22:04 ·
    Hali ilivyo sokoine mbeya makarasha Day
    Hali ilivyo sokoine mbeya makarasha Day
    Haha
    1
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·437 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-21 05:31:30 ·
    Boss kapata msiba kaenda Kyeeeeelaa
    Mbeya, Wanazika jumatatu kwahiyo ataunganisha tu na Xmass na Mwaka mpya huko huko!!

    Malipo January akigeuka!!
    Boss kapata msiba kaenda Kyeeeeelaa Mbeya, Wanazika jumatatu kwahiyo ataunganisha tu na Xmass na Mwaka mpya huko huko!! Malipo January akigeuka!!😁
    Like
    2
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·416 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Atto @Mefa πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-10-30 07:44:03 ·
    YANGA SC U17 WATANGAZWA KUWA BINGWA

    RASMI: Kikosi cha Vijana cha Yanga Youth (U-17) Kimetwaa Ubingwa wa ligi kuu ya Vijana kabla ya Mchezo Mmoja wa Mwisho wa ligi hiyo kutamatika,

    👉🏿Mpaka sasa Yanga Youth wamecheza mechi 6
    👉🏿Wameshinda 5
    👉🏿Wamedroo 1
    👉🏿Wamevuna alama 16

    FT' Yanga Youth 2-1 Mbeya City - Huu ndio ulikuwa Mchezo wao Uliowapa Ubingwa Yanga huku wakisaliwa na Mchezo Mmoja dhidi ya TDS,

    RASMI : YANGA YOUTH MABINGWA WA LIGI HIYO YA VIJANA.
    YANGA SC U17 WATANGAZWA KUWA BINGWA 🏆 RASMI: Kikosi cha Vijana cha Yanga Youth (U-17) Kimetwaa Ubingwa wa ligi kuu ya Vijana kabla ya Mchezo Mmoja wa Mwisho wa ligi hiyo kutamatika, 👉🏿Mpaka sasa Yanga Youth wamecheza mechi 6 👉🏿Wameshinda 5 👉🏿Wamedroo 1 👉🏿Wamevuna alama 16 FT' Yanga Youth 2-1 Mbeya City - Huu ndio ulikuwa Mchezo wao Uliowapa Ubingwa Yanga huku wakisaliwa na Mchezo Mmoja dhidi ya TDS, RASMI : YANGA YOUTH MABINGWA WA LIGI HIYO YA VIJANA.
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·545 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Paul Swai @paulswai added 2 Φωτογραφίες
    2024-10-23 09:17:47 ·
    Wachezaji wa kikosi cha Simbasc wakiwasili kutokea Mbeya baada ya mchezo wao Dhidi ya Tz Prisons hapo jana.

    #paulswai
    Wachezaji wa kikosi cha Simbasc wakiwasili kutokea Mbeya baada ya mchezo wao Dhidi ya Tz Prisons hapo jana. #paulswai
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·486 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Paul Swai @paulswai added 3 Φωτογραφίες
    2024-10-23 09:15:06 ·
    Kikosi cha wekundu wa msimbazi Simba kimerejea jijini Dsm kutoka Mbeya ambapo jana kilicheza na kushinda goli 1-0 dhidi ya Wajelajela Tz Prisons nakuvuna alama tatu zilizowafanya wafikishe alama 16 katika michezo 7 waliyocheza huku wakishika nafasi ya 3 kwenye msimamo wa ligi kuu bara.

    Sasa Simba inajiandaa kuipokea Namungo fc mechi itakayopigwa October 25 jijini Dsm.

    #paulswai
    Kikosi cha wekundu wa msimbazi Simba kimerejea jijini Dsm kutoka Mbeya ambapo jana kilicheza na kushinda goli 1-0 dhidi ya Wajelajela Tz Prisons nakuvuna alama tatu zilizowafanya wafikishe alama 16 katika michezo 7 waliyocheza huku wakishika nafasi ya 3 kwenye msimamo wa ligi kuu bara. Sasa Simba inajiandaa kuipokea Namungo fc mechi itakayopigwa October 25 jijini Dsm. #paulswai
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·431 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Boe Mkopi @Last_BOE πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-10-21 09:49:08 ·
    Niko maeneo haya haya #socialpop
    #mbeya#Tanzania
    Niko maeneo haya haya #socialpop #mbeya#Tanzania
    Like
    Haha
    2
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·542 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Paul Swai @paulswai πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-10-21 07:12:02 ·

    ITALETA SHIDA KUTOPATA MATOKEO KWENYE MECHI TATU MFULULIZO SIMBASC

    Kikosi cha Simba tayari kiko mkoani Mbeya kwa ajili ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Tanzania Prisons utakaopigwa kesho Jumanne katika uwanja wa Sokoine.

    Msafara wa Simba ulitua Mbeya jana jioni ambapo leo timu itafanya maandalizi ya mwisho katika uwanja wa Sokoine

    Mchezo dhidi ya Tz Prisons ni Muhimu ili kurejesha Morali na Utulivu kwa Wana Msimbazi wote.

    Ni wazi hautakua mchezo rahisi kwani Tanzania Prisons wamekuwa na historia ya kuisumbua Simba hasa wanapocheza katika uwanja wa
    Sokoine

    Simba haijapata ushindi katika mechi mbili zilizopita dhidi ya Coastal Union na Yanga, hivyo hakuna namna alama tatu za mchezo dhidi ya Prisons zina umuhimu mkubwa

    #paulswai
    ITALETA SHIDA KUTOPATA MATOKEO KWENYE MECHI TATU MFULULIZO SIMBASC🦁💪 Kikosi cha Simba tayari kiko mkoani Mbeya kwa ajili ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Tanzania Prisons utakaopigwa kesho Jumanne katika uwanja wa Sokoine. Msafara wa Simba ulitua Mbeya jana jioni ambapo leo timu itafanya maandalizi ya mwisho katika uwanja wa Sokoine Mchezo dhidi ya Tz Prisons ni Muhimu ili kurejesha Morali na Utulivu kwa Wana Msimbazi wote. Ni wazi hautakua mchezo rahisi kwani Tanzania Prisons wamekuwa na historia ya kuisumbua Simba hasa wanapocheza katika uwanja wa Sokoine Simba haijapata ushindi katika mechi mbili zilizopita dhidi ya Coastal Union na Yanga, hivyo hakuna namna alama tatu za mchezo dhidi ya Prisons zina umuhimu mkubwa #paulswai
    Like
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·563 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Atto @Mefa πρόσθεσε ένα video in Γενικά
    2024-09-25 20:16:05 ·
    Sasa hivi, timu ikifungwa goli 1 na Yanga, inafanya sherehe. Hali hiyo ilianzia kwenye Ngao ya Jamii. Kisha itaenda Ethiopia, na leo tumeona Mbeya.
    Sasa hivi, timu ikifungwa goli 1 na Yanga, inafanya sherehe. Hali hiyo ilianzia kwenye Ngao ya Jamii. Kisha itaenda Ethiopia, na leo tumeona Mbeya.
    Like
    Love
    5
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·629 Views ·95
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • AGL ULINZI @aglulinziTanzania πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-07-17 08:04:39 ·
    Karibu tukupe Huduma nzuri ya ulinzi na Usafi kwa Bei nafuu sana . Tupo Geita , Tarime , Mbeya , Simiyu na Dodoma.
    #Customer's Safety is Our Priority
    Contact Us+255 743 663 512
    Karibu tukupe Huduma nzuri ya ulinzi na Usafi kwa Bei nafuu sana . Tupo Geita , Tarime , Mbeya , Simiyu na Dodoma. #Customer's Safety is Our Priority Contact Us+255 743 663 512
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • AGL ULINZI @aglulinziTanzania πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-07-17 07:59:16 ·
    Tunatoa Huduma nzuri ya Ulinzi na Usafi kwa Bei nafuu sana . Tupo Geita , Tarime , Mbeya , Simiyu na Dodoma.
    #Customer's Safety is Our Priority
    Contact Us 0743 663 512
    Tunatoa Huduma nzuri ya Ulinzi na Usafi kwa Bei nafuu sana . Tupo Geita , Tarime , Mbeya , Simiyu na Dodoma. #Customer's Safety is Our Priority Contact Us 0743 663 512
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Paul Swai @paulswai πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-07-04 10:24:56 ·

    Abdulrazack amewahi kukipiga ndani ya kikosi cha Mbeya City, KMC na Namungo FC.
    Abdulrazack amewahi kukipiga ndani ya kikosi cha Mbeya City, KMC na Namungo FC.
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·541 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Bernard John @Ben666
    2024-06-29 15:02:20 ·
    Rapper mbaya mwenye roho #nzuri
    Ukivamia hili Chaka utarudi #kivuri
    Napambania point japo #niposifuri
    Mafanikio yapombali #nakiburi
    Kurapu ni kazi rahisi kama kupka maharage ya #mbeya
    unaweza ukawa muongeaji na bado usiwe #mmbeya
    Rapper mbaya mwenye roho #nzuri Ukivamia hili Chaka utarudi #kivuri Napambania point japo #niposifuri Mafanikio yapombali #nakiburi Kurapu ni kazi rahisi kama kupka maharage ya #mbeya unaweza ukawa muongeaji na bado usiwe #mmbeya
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Bernard John @Ben666
    2024-06-29 15:01:45 ·
    Rapper mbaya mwenye roho #nzuri
    Ukivamia hili Chaka utarudi #kivuri
    Napambania point japo #niposifuri
    Mafanikio yapombali #nakiburi
    Kurapu ni kazi rahisi kama kupka maharage ya #mbeya
    unaweza ukawa muongeaji na bado usiwe #mmbeya
    Rapper mbaya mwenye roho #nzuri Ukivamia hili Chaka utarudi #kivuri Napambania point japo #niposifuri Mafanikio yapombali #nakiburi Kurapu ni kazi rahisi kama kupka maharage ya #mbeya unaweza ukawa muongeaji na bado usiwe #mmbeya
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Bernard John @Ben666
    2024-06-28 00:13:33 ·
    mlimisi kuniona kusikia sauti yangu..
    Nilkuwa kama giza leo naibuka wanangu..
    Snich kaokoka kanisa sasa umbeya..
    Akuna tena neno wamemisi hadi kwaya..
    mlimisi kuniona kusikia sauti yangu.. Nilkuwa kama giza leo naibuka wanangu.. Snich kaokoka kanisa sasa umbeya.. Akuna tena neno wamemisi hadi kwaya..
    Like
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·518 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Simigo Simigo123 @simigo πρόσθεσε ένα αρχείο ήχου
    2024-05-22 02:39:30 ·
    Ni mependa song hili from Mrs energy at Mbeya Tanzania girls sings a song
    Ni mependa song hili from Mrs energy at Mbeya Tanzania girls sings a song
    ο browser σου δεν υποστηρίζει ήχο HTML5
    Love
    Like
    8
    · 2 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views ·74
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers