• Mtu wa MUNGU baba @AskofuDickson kabigumila alisema katika nabii zake halisema kanisa litashambuliwa sana na kila mtu anaona tunduma katekista alishambuliwa leo nasikia kuwa mtu wa Mungu mch Steve Jacob naye ameshambuliwa na kutupwa katika sehemu moja wapo huko kilimanjaro .

    Na alisema kama tutampima kwa nabii hizi kama ni mtu wa Mungu sasa kila jicho linaona kuwa hakuna namna tunaweza kataa kwamba yeye si mtu wa Mungu.

    Ufunuo 6:10. Basi, wakalia kwa sauti kubwa: “Ee Bwana, uliye mtakatifu na mwaminifu, mpaka lini utakawia kulipiza kisasi kwa wakazi wote wa dunia kwa ajili ya kuuawa kwetu???

    Tutasikia wengi inawezekana ila moja kubwa muhimu kujua hasira ya mungu inakwenda kushuka Tanzania na hakuna mtu ambaye ahataweza kuizuia hasira hii .

    Ole kwa nchi !!siyo sifa njema kama taifa lakini bwana bado anasema anaendelea kukusanya hasira yake na kisha kila mmoja ataona neno hili MENE MENE TEKELI NA PERESI .
    Kwani rohoni lishaandikwa na kutiwa muhuri since april kuwa hakuna namna ambayo haya hayawezi kutimia.

    Ufunuo 6:11
    Wakapewa kila mmoja vazi refu jeupe, wakaambiwa wazidi kusubiri kwa muda mfupi, mpaka itakapotimia idadi ya watumishi wenzao na ndugu ambao watauawa kama wao wenyewe walivyouawa.

    Ndicho kinacho subiliwa mbinguni hilo tu si lingine lolote ni kutimia kwa idadi ya watu hao tu.

    Unaweza leo ukaona kama kawaida na wewe halikugusi lakini kama wewe ni wakili wa Kristo kipindi hiki ni kipindi cha maombi sana sana .

    Kipekee namshukuru Mungu kwa nabii wake juu ya kuizaa Tanzania mpya baba Askofu Kabigumila yeye ameamua kusimama mstali wa mbele kutuongoza siku zingine 50 Kwa ajiri yakuendelea kuivusha nchi hii .

    #build new eden
    #restore men position
    Mtu wa MUNGU baba @AskofuDickson kabigumila alisema katika nabii zake halisema kanisa litashambuliwa sana na kila mtu anaona tunduma katekista alishambuliwa leo nasikia kuwa mtu wa Mungu mch Steve Jacob naye ameshambuliwa na kutupwa katika sehemu moja wapo huko kilimanjaro . Na alisema kama tutampima kwa nabii hizi kama ni mtu wa Mungu sasa kila jicho linaona kuwa hakuna namna tunaweza kataa kwamba yeye si mtu wa Mungu. Ufunuo 6:10. Basi, wakalia kwa sauti kubwa: “Ee Bwana, uliye mtakatifu na mwaminifu, mpaka lini utakawia kulipiza kisasi kwa wakazi wote wa dunia kwa ajili ya kuuawa kwetu??? Tutasikia wengi inawezekana ila moja kubwa muhimu kujua hasira ya mungu inakwenda kushuka Tanzania na hakuna mtu ambaye ahataweza kuizuia hasira hii . Ole kwa nchi !!siyo sifa njema kama taifa lakini bwana bado anasema anaendelea kukusanya hasira yake na kisha kila mmoja ataona neno hili MENE MENE TEKELI NA PERESI . Kwani rohoni lishaandikwa na kutiwa muhuri since april kuwa hakuna namna ambayo haya hayawezi kutimia. Ufunuo 6:11 Wakapewa kila mmoja vazi refu jeupe, wakaambiwa wazidi kusubiri kwa muda mfupi, mpaka itakapotimia idadi ya watumishi wenzao na ndugu ambao watauawa kama wao wenyewe walivyouawa. Ndicho kinacho subiliwa mbinguni hilo tu si lingine lolote ni kutimia kwa idadi ya watu hao tu. Unaweza leo ukaona kama kawaida na wewe halikugusi lakini kama wewe ni wakili wa Kristo kipindi hiki ni kipindi cha maombi sana sana . Kipekee namshukuru Mungu kwa nabii wake juu ya kuizaa Tanzania mpya baba Askofu Kabigumila yeye ameamua kusimama mstali wa mbele kutuongoza siku zingine 50 Kwa ajiri yakuendelea kuivusha nchi hii . #build new eden #restore men position
    Like
    1
    0 Reacties 0 aandelen 1K Views
  • David Kameta 'DUCHU' baada ya kukosa nafasi ya kucheza mzuunguko wa kwanza wa ligi kuu ya NBC, kesho atakuwa sehemu ya kikosi kinachosafiri kuelekea Tabora pamoja na Manyara kwa ajili ya michezo ya ligi.

    DUCHU alikuwa na kiwango bora mechi iliyopita dhidi ya Kilimanjaro Wonders.

    #paulswai
    David Kameta 'DUCHU' baada ya kukosa nafasi ya kucheza mzuunguko wa kwanza wa ligi kuu ya NBC, kesho atakuwa sehemu ya kikosi kinachosafiri kuelekea Tabora pamoja na Manyara kwa ajili ya michezo ya ligi. DUCHU alikuwa na kiwango bora mechi iliyopita dhidi ya Kilimanjaro Wonders. #paulswai
    Like
    Love
    2
    1 Reacties 0 aandelen 1K Views
  • Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigeria, Victor Boniface, anayeichezea Bayer Leverkusen ya Ujerumani, ameachana na mpenzi wake, Rikke Hermine, raia wa Norway. Wawili hao walikuwa katika uhusiano wa kimapenzi kwa miaka minne, lakini wameamua kuvunja uhusiano wao kutokana na kugundua kuwa Victor kwenye mali zake ameandika majina ya mama yake tu.

    Chanzo cha habari kinaeleza kuwa uamuzi wa Rikke kuachana na Victor ulitokana na kugundua kuwa katika mali zote za mshambuliaji huyo, majina ya mama yake mzazi pekee ndiyo yaliyoandikwa. Hali hii ilimfanya Rikke kuhisi kuwa hakuwa na nafasi ya kutosha katika maisha ya Victor, jambo lililomfanya kuchukua hatua hiyo.

    Aidha, inadaiwa kuwa Rikke alikuwa akishinikiza kufunga ndoa baada ya kuwa wapenzi kwa muda mrefu, huku Victor akiwa tayari kufunga naye ndoa lakini kwa sharti la kusaini mkataba wa awali (prenup).

    Prenup ni Mkataba wa awali kabla ya kufunga ndoa ambao unalenga kulinda mali za pande zote mbili endapo itatokea mkaachana kila mmoja anabaki na alichokuja nacho katika ndoa na sio kugawana mali, ila bibie Rikkie amekuwa mgumu kukubali hilo hivyo kuachana

    #tanzania #kenya #daressalaam #africa #zanzibar #diamondplatnumz #arusha #mwanza #dodoma #uganda #wcb #travel #life #safari #wasafi #love #millardayoupdates #mbeya #nairobi #harmonize #rwanda #eastafrica #kilimanjaro #alikiba #gainwithmchina #serengeti #wasafitv #fashion #wasafimedia #wemasepetu
    Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigeria, Victor Boniface, anayeichezea Bayer Leverkusen ya Ujerumani, ameachana na mpenzi wake, Rikke Hermine, raia wa Norway. Wawili hao walikuwa katika uhusiano wa kimapenzi kwa miaka minne, lakini wameamua kuvunja uhusiano wao kutokana na kugundua kuwa Victor kwenye mali zake ameandika majina ya mama yake tu. Chanzo cha habari kinaeleza kuwa uamuzi wa Rikke kuachana na Victor ulitokana na kugundua kuwa katika mali zote za mshambuliaji huyo, majina ya mama yake mzazi pekee ndiyo yaliyoandikwa. Hali hii ilimfanya Rikke kuhisi kuwa hakuwa na nafasi ya kutosha katika maisha ya Victor, jambo lililomfanya kuchukua hatua hiyo. Aidha, inadaiwa kuwa Rikke alikuwa akishinikiza kufunga ndoa baada ya kuwa wapenzi kwa muda mrefu, huku Victor akiwa tayari kufunga naye ndoa lakini kwa sharti la kusaini mkataba wa awali (prenup). Prenup ni Mkataba wa awali kabla ya kufunga ndoa ambao unalenga kulinda mali za pande zote mbili endapo itatokea mkaachana kila mmoja anabaki na alichokuja nacho katika ndoa na sio kugawana mali, ila bibie Rikkie amekuwa mgumu kukubali hilo hivyo kuachana #tanzania #kenya #daressalaam #africa #zanzibar #diamondplatnumz #arusha #mwanza #dodoma #uganda #wcb #travel #life #safari #wasafi #love #millardayoupdates #mbeya #nairobi #harmonize #rwanda #eastafrica #kilimanjaro #alikiba #gainwithmchina #serengeti #wasafitv #fashion #wasafimedia #wemasepetu
    Like
    1
    0 Reacties 0 aandelen 6K Views
  • #JeWajua Msako mkali wa wahamiaji uliofanyika nchini Marekani siku ya Jumapili na kusababisha kukamatwa kwa watu 956, idadi hiyo ikiwa kubwa zaidi tangu Donald Trump arejee mamlakani, kulingana na shirika la Uhamiaji na Utekelezaji wa Forodha (ICE).

    Mashirika kadhaa ya serikali yenye mamlaka mapya ya kuwaweka kizuizini wasio na vibali yalihusika katika kamata kamata hiyo kwenye miji kadhaa ikiwa ni pamoja na Chicago, Newark na Miami. Moja ya ahadi alizotoa Donald Trump wakati wa kampeni yake, ni kuwafukuza nchi Marekani wahamiaji wasio na vibali.

    Mtangulizi wake Joe Biden aliwarejesha makwao wastani wa wahamiaji 311 kila siku, kulingana na ICE, wengi wao wakiwa watu ambao walikuwa wamefanya uhalifu. Tangu aingie madarakani, Trump ametekeleza maagizo 21 kurekebisha mfumo wa uhamiaji wa Marekani.

    Huko Miami siku ya Jumapili, vyombo vya kutekeleza sheria vya serikali vilichukua "hatua kadhaa za uhamiaji," Uchunguzi wa Usalama wa jiji hilo ulisema kwenye mitandao ya kijamii.

    #tanzania #kenya #daressalaam #africa #zanzibar #diamondplatnumz #arusha #mwanza #dodoma #uganda #wcb #travel #life #safari #wasafi #love #millardayoupdates #mbeya #nairobi #harmonize #rwanda #eastafrica #kilimanjaro #alikiba #gainwithmchina #serengeti #wasafitv #fashion #wasafimedia
    #JeWajua Msako mkali wa wahamiaji uliofanyika nchini Marekani siku ya Jumapili na kusababisha kukamatwa kwa watu 956, idadi hiyo ikiwa kubwa zaidi tangu Donald Trump arejee mamlakani, kulingana na shirika la Uhamiaji na Utekelezaji wa Forodha (ICE). Mashirika kadhaa ya serikali yenye mamlaka mapya ya kuwaweka kizuizini wasio na vibali yalihusika katika kamata kamata hiyo kwenye miji kadhaa ikiwa ni pamoja na Chicago, Newark na Miami. Moja ya ahadi alizotoa Donald Trump wakati wa kampeni yake, ni kuwafukuza nchi Marekani wahamiaji wasio na vibali. Mtangulizi wake Joe Biden aliwarejesha makwao wastani wa wahamiaji 311 kila siku, kulingana na ICE, wengi wao wakiwa watu ambao walikuwa wamefanya uhalifu. Tangu aingie madarakani, Trump ametekeleza maagizo 21 kurekebisha mfumo wa uhamiaji wa Marekani. Huko Miami siku ya Jumapili, vyombo vya kutekeleza sheria vya serikali vilichukua "hatua kadhaa za uhamiaji," Uchunguzi wa Usalama wa jiji hilo ulisema kwenye mitandao ya kijamii. #tanzania #kenya #daressalaam #africa #zanzibar #diamondplatnumz #arusha #mwanza #dodoma #uganda #wcb #travel #life #safari #wasafi #love #millardayoupdates #mbeya #nairobi #harmonize #rwanda #eastafrica #kilimanjaro #alikiba #gainwithmchina #serengeti #wasafitv #fashion #wasafimedia
    Like
    1
    0 Reacties 0 aandelen 6K Views
  • Poleni Kilimanjaro Wonders.

    CRDBBankFederationCup


    #paulswai
    Poleni Kilimanjaro Wonders. CRDBBankFederationCup #paulswai
    Like
    Love
    Angry
    7
    1 Reacties 0 aandelen 1K Views
  • Simba vs Kilimanjaro wonders
    Simba vs Kilimanjaro wonders 👐
    Like
    1
    1 Reacties 0 aandelen 692 Views

  • Mchezaji wa Simba SC Mzamiru Yassin, akizungumza kuelekea mchezo wa kesho wa CRDB Bank Federation Cup dhidi ya Kilimanjaro Wonders utakaochezwa uwanja wa KMC, Mwenge

    #paulswai
    Mchezaji wa Simba SC Mzamiru Yassin, akizungumza kuelekea mchezo wa kesho wa CRDB Bank Federation Cup dhidi ya Kilimanjaro Wonders utakaochezwa uwanja wa KMC, Mwenge #paulswai
    Like
    Love
    4
    0 Reacties 0 aandelen 970 Views
  • "MECHI YA KESHO NI KAMA FAINALI" | KOCHA MATOLA AFUNGUKA | KILIMANJARO KAZI WANAYO.

    #paulswai
    "MECHI YA KESHO NI KAMA FAINALI" | KOCHA MATOLA AFUNGUKA | KILIMANJARO KAZI WANAYO. #paulswai
    Like
    3
    2 Reacties 0 aandelen 893 Views
  • "The Unforgetable THROW BACK
    Ilikuwa mwaka 2003 takribani Miaka 22 iliyopita nikiwa naingia kwenye ukumbi wa DIAMOND JUBILEE - UPANGA kwa kusukuma Mkokoteni 'KiZALI LA MENTALI' feat @sir_nature kwenye uzinduzi wa Album yangu ya pili ya MAPINDUZI HALISI ambayo baadae ilikuja kutangazwa na KILIMANJARO MUSIC AWARDS wakati huo (sasa TMA) kuwa album bora ya HIP HOP kwa mwaka 2003, Nilikuwa nimezungukwa na MIILI VIBANDA (Bouncers) pamoja na Producer wangu bora wa muda wote Tanzania @majani187 of BONGO RECORDS na @solothang_aka_ulamaa

    NB: Ni wasanii wachache sana tuliokuwa na uwezo wa kuujaza ukumbi mkubwa wa DIAMOND JUBILEE na ukatapika kisawasawa
    Je wewe ulikuwa wapi kipindi hiki???" - Professor Jay, Msanii wa muziki Hip-hop Tanzania
    "The Unforgetable THROW BACK 🔥🔥🔥 Ilikuwa mwaka 2003 takribani Miaka 22 iliyopita nikiwa naingia kwenye ukumbi wa DIAMOND JUBILEE - UPANGA kwa kusukuma Mkokoteni 'KiZALI LA MENTALI' feat @sir_nature kwenye uzinduzi wa Album yangu ya pili ya MAPINDUZI HALISI ambayo baadae ilikuja kutangazwa na KILIMANJARO MUSIC AWARDS wakati huo (sasa TMA) kuwa album bora ya HIP HOP kwa mwaka 2003, Nilikuwa nimezungukwa na MIILI VIBANDA (Bouncers) pamoja na Producer wangu bora wa muda wote Tanzania @majani187 of BONGO RECORDS na @solothang_aka_ulamaa 👑 NB: Ni wasanii wachache sana tuliokuwa na uwezo wa kuujaza ukumbi mkubwa wa DIAMOND JUBILEE na ukatapika kisawasawa💪💪💪 Je wewe ulikuwa wapi kipindi hiki???" - Professor Jay, Msanii wa muziki Hip-hop Tanzania
    Like
    1
    0 Reacties 0 aandelen 2K Views
  • Mkazi wa Kijiji Cha Shimbi kati wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro mekamatwa na Polisi baada ya kumpaka rangi mbwa wake afanane na chui ili kuwatisha watu wa benki walioenda kumdai kurejesha hela ya mkopo.
    Mkazi wa Kijiji Cha Shimbi kati wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro mekamatwa na Polisi baada ya kumpaka rangi mbwa wake afanane na chui ili kuwatisha watu wa benki walioenda kumdai kurejesha hela ya mkopo.
    Haha
    Like
    3
    2 Reacties 0 aandelen 789 Views